Mtumish naomba mungu akuinue saana mm umenijenga saana Kwa nyimbo zako n mahubir YAKO Hawa nidanganyi tena
@JosephTherathini26 күн бұрын
Mungu azidi kukutumia. Ila ujue kuna dawa nyingi zimevumbuliwa na waganga wa kienyeji . Na pia kuna vituo vingi vya hadawa za kienyeji yana mahusiano makubwa na roho ya gza. Ok ni bora sana mtu akachuma miti yeye mwenyewe kuliko mtu kwenda kwenye hivi vituo. Au mtu apate maarifa zaidi kuhusu mimea.
@mwambakibucheche1119Ай бұрын
Amina
@AyubuJuma-df4pnАй бұрын
Asante sana mtumishi wa Mungu. Nakupata vizuri sana. MUNGU AKUBARIKI SANA
@jamesboka-kk9rvАй бұрын
Mutumish wabwana somo nzuri ubalikie
@user-ii1qk9xn9zАй бұрын
Amen Amen 🙏 leo tunaangalia namna shetani anavyomuiga Mungu kwa usahihi na kuwasilisha tofauti alichokiiga. Mungu ndiye Muumbaji na mmiliki wa vitu vyote. Shetani naye anadanganya kuwa ndiye mmiliki wa vitu vyote. Kimsingi anayetoa mibaraka ya utajiri ni Mungu kwa sababu Yeye ndiye mmiliki wa vyote. Dawa za kienyeji sio mbaya.... Ubarikiwe sana Mtumishi umenibariki sana kwa neno hili. Umenifundisha jambo jipya 🙏🙏 asante sana ulindwe siku zote
@paschalcassianoriginal9411
Ай бұрын
Aaame ammen utukufu kwake
@mwambakibucheche1119
Ай бұрын
Umenena vyema mwinjiristi Mungu awe pamoja nawe
@JoyceMmari-rc9yvАй бұрын
Mungu akubariki sana Mtumishi wa Bwana
@ibramakula230326 күн бұрын
Ata mm naamin hvo mtumish wa mungu ila hii nimipango ya wazungu bado ss niwatumwa wa wazungu kidigitali walibadili tu mfumo wakutumikisha wanatutumikisha kiakir kidikitali
@jakobobuyonga3427Ай бұрын
Mungu azidi kukutumia zaid na zaid
@user-dz8qh6yb2xАй бұрын
Mtumishi Asante sana🙏🙏
@Visionofeagle9689Ай бұрын
Ukweli mtupu
@user-lu2or6mm4gАй бұрын
Amen
@Visionofeagle9689Ай бұрын
Panadol , na wezake wametumaliza.
@Mamantontine27 күн бұрын
Ushirikina nini? Tuambie hatujui
@tinnahagustinolyelu4247
17 күн бұрын
Ushirikiano Ni pale unapenda Kwa mganga WA kienyeji akaniambia ukamwambia naomba mroge mtu Fulani n,k
@Mamantontine26 күн бұрын
Kama mtu nimgonjwa analala.kwenye ndoto unaona mtu anakuambia kamata majanifulani ujitunze naunakamata unakunywa nakweliunapona ilenayo niushirikina?nionyeshe baba
@user-jl5un4wf3uАй бұрын
Hata wamisionari walioleta enjili Afrika walichangia sana kuipotosha sana Bibiria maana waliwazuia waumini wao kutoamini dawa zamimea nawatalaamu wamimeahiyo eti wachawi nawapagani hadimajinayetu nayo wakawadanganya hivyohivyo baadhi yawaumini wa madhehebu hayo hatahawaisomi Bibiriahadi leo nawanaongoza kutojua bibiria hadi leo.
Пікірлер: 22
Mtumish naomba mungu akuinue saana mm umenijenga saana Kwa nyimbo zako n mahubir YAKO Hawa nidanganyi tena
Mungu azidi kukutumia. Ila ujue kuna dawa nyingi zimevumbuliwa na waganga wa kienyeji . Na pia kuna vituo vingi vya hadawa za kienyeji yana mahusiano makubwa na roho ya gza. Ok ni bora sana mtu akachuma miti yeye mwenyewe kuliko mtu kwenda kwenye hivi vituo. Au mtu apate maarifa zaidi kuhusu mimea.
Amina
Asante sana mtumishi wa Mungu. Nakupata vizuri sana. MUNGU AKUBARIKI SANA
Mutumish wabwana somo nzuri ubalikie
Amen Amen 🙏 leo tunaangalia namna shetani anavyomuiga Mungu kwa usahihi na kuwasilisha tofauti alichokiiga. Mungu ndiye Muumbaji na mmiliki wa vitu vyote. Shetani naye anadanganya kuwa ndiye mmiliki wa vitu vyote. Kimsingi anayetoa mibaraka ya utajiri ni Mungu kwa sababu Yeye ndiye mmiliki wa vyote. Dawa za kienyeji sio mbaya.... Ubarikiwe sana Mtumishi umenibariki sana kwa neno hili. Umenifundisha jambo jipya 🙏🙏 asante sana ulindwe siku zote
@paschalcassianoriginal9411
Ай бұрын
Aaame ammen utukufu kwake
@mwambakibucheche1119
Ай бұрын
Umenena vyema mwinjiristi Mungu awe pamoja nawe
Mungu akubariki sana Mtumishi wa Bwana
Ata mm naamin hvo mtumish wa mungu ila hii nimipango ya wazungu bado ss niwatumwa wa wazungu kidigitali walibadili tu mfumo wakutumikisha wanatutumikisha kiakir kidikitali
Mungu azidi kukutumia zaid na zaid
Mtumishi Asante sana🙏🙏
Ukweli mtupu
Amen
Panadol , na wezake wametumaliza.
Ushirikina nini? Tuambie hatujui
@tinnahagustinolyelu4247
17 күн бұрын
Ushirikiano Ni pale unapenda Kwa mganga WA kienyeji akaniambia ukamwambia naomba mroge mtu Fulani n,k
Kama mtu nimgonjwa analala.kwenye ndoto unaona mtu anakuambia kamata majanifulani ujitunze naunakamata unakunywa nakweliunapona ilenayo niushirikina?nionyeshe baba
Hata wamisionari walioleta enjili Afrika walichangia sana kuipotosha sana Bibiria maana waliwazuia waumini wao kutoamini dawa zamimea nawatalaamu wamimeahiyo eti wachawi nawapagani hadimajinayetu nayo wakawadanganya hivyohivyo baadhi yawaumini wa madhehebu hayo hatahawaisomi Bibiriahadi leo nawanaongoza kutojua bibiria hadi leo.
𝑴𝒖𝒏𝒈𝒖 𝒛𝒂𝒊𝒅𝒊 𝒂𝒆𝒏𝒅𝒆𝒍𝒆𝒆 𝒌𝒖𝒌𝒖𝒕𝒖𝒎𝒊𝒂 𝒌𝒂𝒎𝒂 𝒄𝒉𝒐𝒎𝒃𝒐 𝒄𝒉𝒂𝒌𝒆,,❤❤