UCHAWI DAWA ZA KIENYEJI SIO ZAMBI EV PASCHAL CAASIAN

Ойын-сауық

#0766998994 #call0688199370

Пікірлер: 22

  • @ContentClam-df1vy
    @ContentClam-df1vy26 күн бұрын

    Mtumish naomba mungu akuinue saana mm umenijenga saana Kwa nyimbo zako n mahubir YAKO Hawa nidanganyi tena

  • @JosephTherathini
    @JosephTherathini26 күн бұрын

    Mungu azidi kukutumia. Ila ujue kuna dawa nyingi zimevumbuliwa na waganga wa kienyeji . Na pia kuna vituo vingi vya hadawa za kienyeji yana mahusiano makubwa na roho ya gza. Ok ni bora sana mtu akachuma miti yeye mwenyewe kuliko mtu kwenda kwenye hivi vituo. Au mtu apate maarifa zaidi kuhusu mimea.

  • @mwambakibucheche1119
    @mwambakibucheche1119Ай бұрын

    Amina

  • @AyubuJuma-df4pn
    @AyubuJuma-df4pnАй бұрын

    Asante sana mtumishi wa Mungu. Nakupata vizuri sana. MUNGU AKUBARIKI SANA

  • @jamesboka-kk9rv
    @jamesboka-kk9rvАй бұрын

    Mutumish wabwana somo nzuri ubalikie

  • @user-ii1qk9xn9z
    @user-ii1qk9xn9zАй бұрын

    Amen Amen 🙏 leo tunaangalia namna shetani anavyomuiga Mungu kwa usahihi na kuwasilisha tofauti alichokiiga. Mungu ndiye Muumbaji na mmiliki wa vitu vyote. Shetani naye anadanganya kuwa ndiye mmiliki wa vitu vyote. Kimsingi anayetoa mibaraka ya utajiri ni Mungu kwa sababu Yeye ndiye mmiliki wa vyote. Dawa za kienyeji sio mbaya.... Ubarikiwe sana Mtumishi umenibariki sana kwa neno hili. Umenifundisha jambo jipya 🙏🙏 asante sana ulindwe siku zote

  • @paschalcassianoriginal9411

    @paschalcassianoriginal9411

    Ай бұрын

    Aaame ammen utukufu kwake

  • @mwambakibucheche1119

    @mwambakibucheche1119

    Ай бұрын

    Umenena vyema mwinjiristi Mungu awe pamoja nawe

  • @JoyceMmari-rc9yv
    @JoyceMmari-rc9yvАй бұрын

    Mungu akubariki sana Mtumishi wa Bwana

  • @ibramakula2303
    @ibramakula230326 күн бұрын

    Ata mm naamin hvo mtumish wa mungu ila hii nimipango ya wazungu bado ss niwatumwa wa wazungu kidigitali walibadili tu mfumo wakutumikisha wanatutumikisha kiakir kidikitali

  • @jakobobuyonga3427
    @jakobobuyonga3427Ай бұрын

    Mungu azidi kukutumia zaid na zaid

  • @user-dz8qh6yb2x
    @user-dz8qh6yb2xАй бұрын

    Mtumishi Asante sana🙏🙏

  • @Visionofeagle9689
    @Visionofeagle9689Ай бұрын

    Ukweli mtupu

  • @user-lu2or6mm4g
    @user-lu2or6mm4gАй бұрын

    Amen

  • @Visionofeagle9689
    @Visionofeagle9689Ай бұрын

    Panadol , na wezake wametumaliza.

  • @Mamantontine
    @Mamantontine27 күн бұрын

    Ushirikina nini? Tuambie hatujui

  • @tinnahagustinolyelu4247

    @tinnahagustinolyelu4247

    17 күн бұрын

    Ushirikiano Ni pale unapenda Kwa mganga WA kienyeji akaniambia ukamwambia naomba mroge mtu Fulani n,k

  • @Mamantontine
    @Mamantontine26 күн бұрын

    Kama mtu nimgonjwa analala.kwenye ndoto unaona mtu anakuambia kamata majanifulani ujitunze naunakamata unakunywa nakweliunapona ilenayo niushirikina?nionyeshe baba

  • @user-jl5un4wf3u
    @user-jl5un4wf3uАй бұрын

    Hata wamisionari walioleta enjili Afrika walichangia sana kuipotosha sana Bibiria maana waliwazuia waumini wao kutoamini dawa zamimea nawatalaamu wamimeahiyo eti wachawi nawapagani hadimajinayetu nayo wakawadanganya hivyohivyo baadhi yawaumini wa madhehebu hayo hatahawaisomi Bibiriahadi leo nawanaongoza kutojua bibiria hadi leo.

  • @user-jr5fv1yd1o
    @user-jr5fv1yd1oАй бұрын

    𝑴𝒖𝒏𝒈𝒖 𝒛𝒂𝒊𝒅𝒊 𝒂𝒆𝒏𝒅𝒆𝒍𝒆𝒆 𝒌𝒖𝒌𝒖𝒕𝒖𝒎𝒊𝒂 𝒌𝒂𝒎𝒂 𝒄𝒉𝒐𝒎𝒃𝒐 𝒄𝒉𝒂𝒌𝒆,,❤❤

Келесі