UCHAMBUZI MZITO WA UCHAGUZI WA UINGEREZA | KASRI LA KIKEKE

Follow us on Social Media Platforms
Instagram:
Crown FM - / crownfmtz
Crown TV - / crowntvtz
Twitter (X):
CROWN MEDIA SWAHILI: / crownmediatz
CROWN MEDIA ENGLISH: / crownmediaen
Facebook:
CROWN MEDIA: profile.php?...
TIKTOK:
- www.tiktok.com/@crownmedialiv...
SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: / @crownmediatz

Пікірлер: 85

  • @EmanuelGeoffrey
    @EmanuelGeoffrey14 күн бұрын

    Nani yupo kama mimi bila kusikiza crown Sijisikii vizuri,, kama upo nipe like zako hapo

  • @JoseWilson-vb2di

    @JoseWilson-vb2di

    14 күн бұрын

    @@EmanuelGeoffrey sante sana mkuu

  • @ISSASHABANI-sw7lx

    @ISSASHABANI-sw7lx

    14 күн бұрын

    Tupo wengi tu bila kuskiliza crown tunaumwa tena homa kali sana 😣

  • @abrablack
    @abrablack14 күн бұрын

    Yaani BBC hii hapa. Hii imekaa vzur sana. Congratulations Crown media. Hapa ni nyumbani

  • @Ambagaye
    @Ambagaye14 күн бұрын

    Kikeke umeleta mabadailiko makubwa sana kwenye utanganzaji wa Tanzania. Crown Media itakuwa media house kubwa sana kutokana na utangazaji wako.

  • @MuharramHassan-gc3wl
    @MuharramHassan-gc3wl14 күн бұрын

    Sijawahi kucomment hata siu moja ila leo namimi nimejaribu yoye sababu hii ni channel ya watanzania kikeke allah akubariki na pia akuhifadhi kwa kuibadilisha tasnia yetu tanzania kama upo mamimi like hapo

  • @CostantinoFredrick-dw8nh
    @CostantinoFredrick-dw8nh14 күн бұрын

    Kipindi kikubwa sana, kinachochambua Kwa kina,crown oko vzuri

  • @godwinkasaizi882
    @godwinkasaizi88212 күн бұрын

    Hivi Salim hicho kipaji Huwa unakumbuka kumshikuru Mungu. Yan unatangaza vizuri kiasi kwamba mtu huchoki kusikia. Hii imekaa vizuri san. Mungu AKUPE maisha marefu

  • @OnlyRuky
    @OnlyRuky14 күн бұрын

    Congratulations Crown radio 👊

  • @ELIAMICHAEL46
    @ELIAMICHAEL4614 күн бұрын

    Hapa ni nyumbanii crown Media on fire 🔥

  • @Sampovoice8088
    @Sampovoice808814 күн бұрын

    Crown 👑 media

  • @Cutterose
    @Cutterose2 күн бұрын

    Crown mtaniuwa naiyona mbali sana crown fm mvuke mipaka africa nzima yupo kikeke najua hamshindwi kitu hapo

  • @KS-iw7qv
    @KS-iw7qv12 күн бұрын

    Kule Wasafi upuuzi mwingi na umbea.... Hii ndio tulikuwa tunataka watz 🇹🇿 kupata elimu sahihi

  • @albertjames6845
    @albertjames684514 күн бұрын

    Kikeke ni hazina ya tasnia ya Habari

  • @fadhilimpini
    @fadhilimpini14 күн бұрын

    Wakwanza from 🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @ahmedronga7583
    @ahmedronga758314 күн бұрын

    Sasa BBC ya nini wakati kila kitu tunakipata hapa

  • @barakaPaulo-ei8zp

    @barakaPaulo-ei8zp

    14 күн бұрын

    Hahaha qubaliiii sanaaaaa

  • @Fadhilimwamlima

    @Fadhilimwamlima

    14 күн бұрын

    Na kikeke Ana watu ambao alifanya nao kazi bbc kwaiyo lazima apate Habari nyingi inje ya nchi

  • @user-iu1ym3dc2i
    @user-iu1ym3dc2i14 күн бұрын

    Tudo ndani ya mozambiqui

  • @JumaMatiko-zp5nm
    @JumaMatiko-zp5nm12 күн бұрын

    Hongera sana Salim kikeke wa tanzania tulikuwa tumeikosa Sana sauti yako brother!.Ulipotoka bbc tulikuwa tumeikosa sauti yako Sana.

  • @amirlehao8945
    @amirlehao894514 күн бұрын

    Bila shala zuhura yunusu anahitajika hapa weka na Charles Hillary

  • @MaarufuAmani-bq6qc
    @MaarufuAmani-bq6qc14 күн бұрын

    Hii radio itafika mbali sana

  • @KHALFAN-m4o

    @KHALFAN-m4o

    14 күн бұрын

    Inshallah

  • @juliusmsegu3347
    @juliusmsegu334712 күн бұрын

    Kuanzia sasa jinanjisajii kua mwanafamilia wa hiki kipindi. Yaan ni BBC mtupu. Hongera king kiba hongera pia Salim kikieke. Hii ndio maana ya chombo cha habari. Burudani sawa lakini habari kama za muhimu ndio msingi wa kitu kinachoitwa chombo cha habari. Hii ndio itakayotofautisha kati ya redio za udaku na chombo cha habari. Big up sana crown Media

  • @JoseWilson-vb2di
    @JoseWilson-vb2di14 күн бұрын

    Kwel mmeleta mapinduzi makubwa ya habari hongereni sana tena sana najivunia kuwa mwanafamilia wa grown media nikiwa hapa njombe makambako

  • @EmanuelGeoffrey

    @EmanuelGeoffrey

    14 күн бұрын

    Karibu mwana makambko mwenzang

  • @Oficialkb
    @Oficialkb14 күн бұрын

    Jaman ongezen vipinde bila crown tuwende maana tushazoea burudan, fanyen kwel basi 🔥🔥🔥🔥🔥

  • @fadhilisule

    @fadhilisule

    11 күн бұрын

    We kikeke weeewe dah BBC yangu imerudi karibu kabisa

  • @petermgaya9693
    @petermgaya969312 күн бұрын

    Huu ndio uchambuzi sasa. Hongera kikeke

  • @saidjuma9782
    @saidjuma978211 күн бұрын

    Yeeebabah 😇 😇 😇

  • @mwendajr6035
    @mwendajr603513 күн бұрын

    Mnatisha sana crown media

  • @carolernest9222
    @carolernest922214 күн бұрын

    Mapinduzi ya industry ya habari 🔥

  • @bensonmwakalindile8545
    @bensonmwakalindile854514 күн бұрын

    Aiseeh hongeren kama crown,na kikeke na timu yako.keep it up.kaz nzur

  • @official_m.jay255
    @official_m.jay25514 күн бұрын

    Aminia croun

  • @barakamfilinge6943
    @barakamfilinge694314 күн бұрын

    Uchambuzi mzuri sana na kipindi Cha kuelimisha sana

  • @ISSASHABANI-sw7lx

    @ISSASHABANI-sw7lx

    14 күн бұрын

    Sasa utachaguwa wewe kama kuskiliza juma lokole aliebkuwa hajuwi nini maana ya habari ama kuskiliza redio ya watu walio somea habar

  • @Fadhilimwamlima

    @Fadhilimwamlima

    14 күн бұрын

    ​@@ISSASHABANI-sw7lxmsanii amenunuwa jumba la kifahari 😂😂😂

  • @barakamfilinge6943

    @barakamfilinge6943

    10 күн бұрын

    @@ISSASHABANI-sw7lx 😃😃😃

  • @haidhabushiri9558
    @haidhabushiri955814 күн бұрын

    That is democracy

  • @jinsiyakutengezavijora8909
    @jinsiyakutengezavijora890914 күн бұрын

    Watuache t2 midia zote

  • @frankyeye
    @frankyeye11 күн бұрын

    Crown media so hot

  • @linnashayo6710
    @linnashayo671013 күн бұрын

    Aiseee hii crown nimeipenda buure

  • @paul1985ization
    @paul1985ization14 күн бұрын

    Ile Radio ya Familia inaaanza kukosa uhalali. Niwaombe sana Crown msiweke uchawa sana. Uchawa unagawa watu. Kuweni fair kwa kila mtu. Sisi sote ni nchi moja.

  • @fahadfaraj6474

    @fahadfaraj6474

    14 күн бұрын

    Hamna chawa hapo hapo professionalism ndio imezingatiwa ndo maana kila mtu kakaa kwenye sehemu yake sio mtu mmoja anachambua lila kitu kikee huwezi mfananisha na mtu yoyote kibongo bongo Huyu alikua mwanahabari wakimataifa

  • @math2sany97
    @math2sany9714 күн бұрын

    Tuko pamoja

  • @Brunotarimo10
    @Brunotarimo1014 күн бұрын

    Hapa ni home

  • @Fadhilimwamlima
    @Fadhilimwamlima14 күн бұрын

    Abu mleteni crown 👑

  • @WiliamTomas-oo9kb
    @WiliamTomas-oo9kb13 күн бұрын

    Noma sana kumbe utamu uko uku

  • @Ufahamu-01
    @Ufahamu-0112 күн бұрын

    Safii kikeke

  • @Lamar-e4t
    @Lamar-e4t14 күн бұрын

    Crown 4Life 💥🔥🔥🔥

  • @user-iu1ym3dc2i
    @user-iu1ym3dc2i14 күн бұрын

    Poa

  • @rajabumhasha8468
    @rajabumhasha846814 күн бұрын

    Hongera crown

  • @dicksontimotheo7617
    @dicksontimotheo761714 күн бұрын

    bila crown hakuna masisha naona siku haziendi kabisa

  • @alcadoathumani9957
    @alcadoathumani995711 күн бұрын

    Kweli hapa ninyumbani

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything14 күн бұрын

    ✌️👍👊.

  • @saidalhinai1131
    @saidalhinai113112 күн бұрын

    Vita vya Gaza vitaleta mageuzi mengi uk ufaransa na usa na ulaya yote

  • @KassimAlly-xp4dz
    @KassimAlly-xp4dz12 күн бұрын

    Na ccm pia itaondoka madarakani In Shaa Allah anaebisha aje na hoja

  • @ISSASHABANI-sw7lx
    @ISSASHABANI-sw7lx14 күн бұрын

    Kuna wapuuzi walisema oooh salum kikeke katoka bbc kaja kuajiriwa na crown sasa kama walikuwa hawajuwi hichi ndo kilicho mfanya ali kiba mbaka amvute kikeke

  • @Japanese-lz1or

    @Japanese-lz1or

    11 күн бұрын

    Amvute wapi wakati wote ni wamiliki wa hio media kikeke na alikiba wote wameweka shares hapo

  • @khamzdady7977
    @khamzdady797714 күн бұрын

    🔥🔥🔥👑

  • @JemesSakala
    @JemesSakala14 күн бұрын

    ❤❤❤❤❤❤

  • @HamimuMakumba
    @HamimuMakumba10 күн бұрын

    🎉

  • @danielmgalla558
    @danielmgalla55814 күн бұрын

    Bonge la kipindi

  • @Fadhilimwamlima
    @Fadhilimwamlima14 күн бұрын

    Crown 👑 nihatari sana tz , midea zingine utasikia msani flani amenunuwa gari jipya😅😂

  • @EmmanulYoram

    @EmmanulYoram

    14 күн бұрын

    😅😅😅

  • @lucymsheshi5871
    @lucymsheshi587113 күн бұрын

    Huyu jamaa ni kichwa

  • @sonnyr1899
    @sonnyr189914 күн бұрын

    Kipindi kimetuliya sio vya fujo vya kinanihi kule

  • @abukhadija1993
    @abukhadija199314 күн бұрын

    🎉🎉🎉🎉🎉

  • @azizaomary2568
    @azizaomary256813 күн бұрын

    ❤❤❤❤

  • @WilliumJoseph-i8w
    @WilliumJoseph-i8w14 күн бұрын

    Maana halisi ya combo cha habari ✊

  • @abdullahabdulla9697

    @abdullahabdulla9697

    14 күн бұрын

    Sio combo Ni chombo

  • @ayubugeorge2168
    @ayubugeorge216812 күн бұрын

    Zelensk hana uhalari wa kuwa Raisi Muda wake ulishapita

  • @funforfunnychannel
    @funforfunnychannel13 күн бұрын

    Yan kikeke tunahisi kama bbc vile tu

  • @allyiddy4542
    @allyiddy454212 күн бұрын

    Azam chanel namba ngapiiiiii ?

  • @Yegon254
    @Yegon25414 күн бұрын

    Hii ni kubwa zaidi

  • @AliDulla
    @AliDulla14 күн бұрын

    Bbc kiba umeweza bro

  • @adelinakihwelo721
    @adelinakihwelo72114 күн бұрын

    BBC

  • @abukhadija1993
    @abukhadija199314 күн бұрын

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @mosescalvinnyoha120
    @mosescalvinnyoha12014 күн бұрын

    🎉🎉🎉🎉

  • @softsoftbby8013
    @softsoftbby801313 күн бұрын

    Kapata ushindi kwa sababu ya waislam,waislam walionesha nguvu ya ummoja

  • @EtieniRama
    @EtieniRama14 күн бұрын

    ❤❤❤😂😂❤❤❤😮

  • @MwigaAdam
    @MwigaAdam14 күн бұрын

    Democrasia yakweli na furaha zaidi

  • @petermgaya9693

    @petermgaya9693

    12 күн бұрын

    Sana aisee Democrasia ya Hali ya juu mno, chama kinaondoka kinakuja chama kingine

  • @WilliumJoseph-i8w
    @WilliumJoseph-i8w14 күн бұрын

    🎉

  • @sadikiissa2454
    @sadikiissa245414 күн бұрын

    ❤❤❤❤

Келесі