UCHAMBUZI MZITO WA UCHAGUZI WA UINGEREZA | KASRI LA KIKEKE
Follow us on Social Media Platforms
Instagram:
Crown FM - / crownfmtz
Crown TV - / crowntvtz
Twitter (X):
CROWN MEDIA SWAHILI: / crownmediatz
CROWN MEDIA ENGLISH: / crownmediaen
Facebook:
CROWN MEDIA: profile.php?...
TIKTOK:
- www.tiktok.com/@crownmedialiv...
SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: / @crownmediatz
Пікірлер: 85
Nani yupo kama mimi bila kusikiza crown Sijisikii vizuri,, kama upo nipe like zako hapo
@JoseWilson-vb2di
14 күн бұрын
@@EmanuelGeoffrey sante sana mkuu
@ISSASHABANI-sw7lx
14 күн бұрын
Tupo wengi tu bila kuskiliza crown tunaumwa tena homa kali sana 😣
Yaani BBC hii hapa. Hii imekaa vzur sana. Congratulations Crown media. Hapa ni nyumbani
Kikeke umeleta mabadailiko makubwa sana kwenye utanganzaji wa Tanzania. Crown Media itakuwa media house kubwa sana kutokana na utangazaji wako.
Sijawahi kucomment hata siu moja ila leo namimi nimejaribu yoye sababu hii ni channel ya watanzania kikeke allah akubariki na pia akuhifadhi kwa kuibadilisha tasnia yetu tanzania kama upo mamimi like hapo
Kipindi kikubwa sana, kinachochambua Kwa kina,crown oko vzuri
Hivi Salim hicho kipaji Huwa unakumbuka kumshikuru Mungu. Yan unatangaza vizuri kiasi kwamba mtu huchoki kusikia. Hii imekaa vizuri san. Mungu AKUPE maisha marefu
Congratulations Crown radio 👊
Hapa ni nyumbanii crown Media on fire 🔥
Crown 👑 media
Crown mtaniuwa naiyona mbali sana crown fm mvuke mipaka africa nzima yupo kikeke najua hamshindwi kitu hapo
Kule Wasafi upuuzi mwingi na umbea.... Hii ndio tulikuwa tunataka watz 🇹🇿 kupata elimu sahihi
Kikeke ni hazina ya tasnia ya Habari
Wakwanza from 🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Sasa BBC ya nini wakati kila kitu tunakipata hapa
@barakaPaulo-ei8zp
14 күн бұрын
Hahaha qubaliiii sanaaaaa
@Fadhilimwamlima
14 күн бұрын
Na kikeke Ana watu ambao alifanya nao kazi bbc kwaiyo lazima apate Habari nyingi inje ya nchi
Tudo ndani ya mozambiqui
Hongera sana Salim kikeke wa tanzania tulikuwa tumeikosa Sana sauti yako brother!.Ulipotoka bbc tulikuwa tumeikosa sauti yako Sana.
Bila shala zuhura yunusu anahitajika hapa weka na Charles Hillary
Hii radio itafika mbali sana
@KHALFAN-m4o
14 күн бұрын
Inshallah
Kuanzia sasa jinanjisajii kua mwanafamilia wa hiki kipindi. Yaan ni BBC mtupu. Hongera king kiba hongera pia Salim kikieke. Hii ndio maana ya chombo cha habari. Burudani sawa lakini habari kama za muhimu ndio msingi wa kitu kinachoitwa chombo cha habari. Hii ndio itakayotofautisha kati ya redio za udaku na chombo cha habari. Big up sana crown Media
Kwel mmeleta mapinduzi makubwa ya habari hongereni sana tena sana najivunia kuwa mwanafamilia wa grown media nikiwa hapa njombe makambako
@EmanuelGeoffrey
14 күн бұрын
Karibu mwana makambko mwenzang
Jaman ongezen vipinde bila crown tuwende maana tushazoea burudan, fanyen kwel basi 🔥🔥🔥🔥🔥
@fadhilisule
11 күн бұрын
We kikeke weeewe dah BBC yangu imerudi karibu kabisa
Huu ndio uchambuzi sasa. Hongera kikeke
Yeeebabah 😇 😇 😇
Mnatisha sana crown media
Mapinduzi ya industry ya habari 🔥
Aiseeh hongeren kama crown,na kikeke na timu yako.keep it up.kaz nzur
Aminia croun
Uchambuzi mzuri sana na kipindi Cha kuelimisha sana
@ISSASHABANI-sw7lx
14 күн бұрын
Sasa utachaguwa wewe kama kuskiliza juma lokole aliebkuwa hajuwi nini maana ya habari ama kuskiliza redio ya watu walio somea habar
@Fadhilimwamlima
14 күн бұрын
@@ISSASHABANI-sw7lxmsanii amenunuwa jumba la kifahari 😂😂😂
@barakamfilinge6943
10 күн бұрын
@@ISSASHABANI-sw7lx 😃😃😃
That is democracy
Watuache t2 midia zote
Crown media so hot
Aiseee hii crown nimeipenda buure
Ile Radio ya Familia inaaanza kukosa uhalali. Niwaombe sana Crown msiweke uchawa sana. Uchawa unagawa watu. Kuweni fair kwa kila mtu. Sisi sote ni nchi moja.
@fahadfaraj6474
14 күн бұрын
Hamna chawa hapo hapo professionalism ndio imezingatiwa ndo maana kila mtu kakaa kwenye sehemu yake sio mtu mmoja anachambua lila kitu kikee huwezi mfananisha na mtu yoyote kibongo bongo Huyu alikua mwanahabari wakimataifa
Tuko pamoja
Hapa ni home
Abu mleteni crown 👑
Noma sana kumbe utamu uko uku
Safii kikeke
Crown 4Life 💥🔥🔥🔥
Poa
Hongera crown
bila crown hakuna masisha naona siku haziendi kabisa
Kweli hapa ninyumbani
✌️👍👊.
Vita vya Gaza vitaleta mageuzi mengi uk ufaransa na usa na ulaya yote
Na ccm pia itaondoka madarakani In Shaa Allah anaebisha aje na hoja
Kuna wapuuzi walisema oooh salum kikeke katoka bbc kaja kuajiriwa na crown sasa kama walikuwa hawajuwi hichi ndo kilicho mfanya ali kiba mbaka amvute kikeke
@Japanese-lz1or
11 күн бұрын
Amvute wapi wakati wote ni wamiliki wa hio media kikeke na alikiba wote wameweka shares hapo
🔥🔥🔥👑
❤❤❤❤❤❤
🎉
Bonge la kipindi
Crown 👑 nihatari sana tz , midea zingine utasikia msani flani amenunuwa gari jipya😅😂
@EmmanulYoram
14 күн бұрын
😅😅😅
Huyu jamaa ni kichwa
Kipindi kimetuliya sio vya fujo vya kinanihi kule
🎉🎉🎉🎉🎉
❤❤❤❤
Maana halisi ya combo cha habari ✊
@abdullahabdulla9697
14 күн бұрын
Sio combo Ni chombo
Zelensk hana uhalari wa kuwa Raisi Muda wake ulishapita
Yan kikeke tunahisi kama bbc vile tu
Azam chanel namba ngapiiiiii ?
Hii ni kubwa zaidi
Bbc kiba umeweza bro
BBC
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
🎉🎉🎉🎉
Kapata ushindi kwa sababu ya waislam,waislam walionesha nguvu ya ummoja
❤❤❤😂😂❤❤❤😮
Democrasia yakweli na furaha zaidi
@petermgaya9693
12 күн бұрын
Sana aisee Democrasia ya Hali ya juu mno, chama kinaondoka kinakuja chama kingine
🎉
❤❤❤❤