"UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA DSM UTAKUA HURU NA WA HAKI" - RC CHALAMILA

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salam Mhe Albert Chalamila leo Julai 6, 2024 amekutana na Waandishi wa Habari Ofisini kwake Ilala Boma kwa lengo la Kuhamasisha Ushiriki wa Wananchi katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa.

Пікірлер