#SHAMBA LULU
Nimeipenda sana hakika umaskini ni uchaguzi I must do it
asanteeh kwa elim mkuu
najifunza vema ubarikiwe kaka
Ubunifu uliojaa umakinii mkubwa nimeupendaa sanaa
Mkuu asante kwa mafundisho yako mazuri,ubarikiwe,naomba kujua je pili pili kichaa waweza kupanda katika mfuko? Nimjasiriamali nikiwa Tabora
Ni nzuri
Good
Safi sana nilijaribu na nikapata matokeo mazuri sana .napenda sana bustani ya mboga mboga na matunda
Safi sana nazidi kupata elimu
Asantee Sana...
Naomba kujua jinsi ya kupanda chainizi kwenye kiroba napandaje
i need more examples on how to plant vegetable
Asante kwa elimu
Asante kwa kipindi kizuri
Saf kabsa
Asntee Sanaa Kaka dah najihisi mjinga kweli yani kumbe naweza kabisaa
😂😂😂kama mimi nimejitafuta na nimejipata😂
Naanisha kuicompose
Mpo wap me nataka nije nijifunze
Udongo wa takataka za jalalani ni lazima uuchanganye na mbolea au unakitosheleza
Inapendeza
Vipi kuhusu viazi mbatata
Sasa unamwagiaji maji?
Nauliza ule udongo ukishavuna mazao yote namwaga udongo huo naweka mpya?
Jaman majibu huku mtusaidie
Mkuu naambiwa pili pili kichaa ina mizizi mirefu sana na huwezi kuweka kwenye mifuko, unasemaje?
Jamani ebu mjibuni huyu na sisi tupate elimu bas
Umwagiliaji vipi unatumia njia gani kumwagilia?
Nimependa Sana kilimo hiki
Пікірлер: 29
Nimeipenda sana hakika umaskini ni uchaguzi I must do it
asanteeh kwa elim mkuu
najifunza vema ubarikiwe kaka
Ubunifu uliojaa umakinii mkubwa nimeupendaa sanaa
Mkuu asante kwa mafundisho yako mazuri,ubarikiwe,naomba kujua je pili pili kichaa waweza kupanda katika mfuko? Nimjasiriamali nikiwa Tabora
Ni nzuri
Good
Safi sana nilijaribu na nikapata matokeo mazuri sana .napenda sana bustani ya mboga mboga na matunda
Safi sana nazidi kupata elimu
@lucyshula5669
4 жыл бұрын
Asantee Sana...
Naomba kujua jinsi ya kupanda chainizi kwenye kiroba napandaje
i need more examples on how to plant vegetable
Asante kwa elimu
Asante kwa kipindi kizuri
Saf kabsa
Asntee Sanaa Kaka dah najihisi mjinga kweli yani kumbe naweza kabisaa
@user-yz5zn4tr6i
4 ай бұрын
😂😂😂kama mimi nimejitafuta na nimejipata😂
Naanisha kuicompose
Mpo wap me nataka nije nijifunze
Udongo wa takataka za jalalani ni lazima uuchanganye na mbolea au unakitosheleza
Inapendeza
Vipi kuhusu viazi mbatata
Sasa unamwagiaji maji?
Nauliza ule udongo ukishavuna mazao yote namwaga udongo huo naweka mpya?
@ggmmjasiliamalionline2746
2 жыл бұрын
Jaman majibu huku mtusaidie
Mkuu naambiwa pili pili kichaa ina mizizi mirefu sana na huwezi kuweka kwenye mifuko, unasemaje?
@ggmmjasiliamalionline2746
2 жыл бұрын
Jamani ebu mjibuni huyu na sisi tupate elimu bas
Umwagiliaji vipi unatumia njia gani kumwagilia?
Nimependa Sana kilimo hiki