Ubunifu: Kilimo cha mboga mboga kwenye mifuko

#SHAMBA LULU

Пікірлер: 29

  • @elizabethkaroli3799
    @elizabethkaroli37994 жыл бұрын

    Nimeipenda sana hakika umaskini ni uchaguzi I must do it

  • @lovechrispin4851
    @lovechrispin48514 ай бұрын

    asanteeh kwa elim mkuu

  • @erckevarst9022
    @erckevarst90224 жыл бұрын

    najifunza vema ubarikiwe kaka

  • @muddygood1120
    @muddygood11204 жыл бұрын

    Ubunifu uliojaa umakinii mkubwa nimeupendaa sanaa

  • @godmayunga4078
    @godmayunga40782 жыл бұрын

    Mkuu asante kwa mafundisho yako mazuri,ubarikiwe,naomba kujua je pili pili kichaa waweza kupanda katika mfuko? Nimjasiriamali nikiwa Tabora

  • @crepinusrubona6448
    @crepinusrubona64484 жыл бұрын

    Ni nzuri

  • @ramsonmeshack1032
    @ramsonmeshack10325 ай бұрын

    Good

  • @icecream8399
    @icecream83994 жыл бұрын

    Safi sana nilijaribu na nikapata matokeo mazuri sana .napenda sana bustani ya mboga mboga na matunda

  • @marymathew6529
    @marymathew65294 жыл бұрын

    Safi sana nazidi kupata elimu

  • @lucyshula5669

    @lucyshula5669

    4 жыл бұрын

    Asantee Sana...

  • @kolimokilonzo4254
    @kolimokilonzo42544 жыл бұрын

    Naomba kujua jinsi ya kupanda chainizi kwenye kiroba napandaje

  • @user-zw4ek1kb7u
    @user-zw4ek1kb7u Жыл бұрын

    i need more examples on how to plant vegetable

  • @shangwejastas3372
    @shangwejastas33724 жыл бұрын

    Asante kwa elimu

  • @aureliachiwanga5956
    @aureliachiwanga59562 жыл бұрын

    Asante kwa kipindi kizuri

  • @yasinikateula6605
    @yasinikateula66054 жыл бұрын

    Saf kabsa

  • @nolimittvonline6822
    @nolimittvonline6822 Жыл бұрын

    Asntee Sanaa Kaka dah najihisi mjinga kweli yani kumbe naweza kabisaa

  • @user-yz5zn4tr6i

    @user-yz5zn4tr6i

    4 ай бұрын

    😂😂😂kama mimi nimejitafuta na nimejipata😂

  • @carolinemrinji9605
    @carolinemrinji9605 Жыл бұрын

    Naanisha kuicompose

  • @MohammedAli-vq2dk
    @MohammedAli-vq2dk3 жыл бұрын

    Mpo wap me nataka nije nijifunze

  • @zuwenatabu9176
    @zuwenatabu91762 жыл бұрын

    Udongo wa takataka za jalalani ni lazima uuchanganye na mbolea au unakitosheleza

  • @allyfaki8773
    @allyfaki87734 жыл бұрын

    Inapendeza

  • @ggmmjasiliamalionline2746
    @ggmmjasiliamalionline27462 жыл бұрын

    Vipi kuhusu viazi mbatata

  • @felixarnaldotsenane-wg9kf
    @felixarnaldotsenane-wg9kf Жыл бұрын

    Sasa unamwagiaji maji?

  • @jackmossile8076
    @jackmossile80762 жыл бұрын

    Nauliza ule udongo ukishavuna mazao yote namwaga udongo huo naweka mpya?

  • @ggmmjasiliamalionline2746

    @ggmmjasiliamalionline2746

    2 жыл бұрын

    Jaman majibu huku mtusaidie

  • @vicentkamwaya3542
    @vicentkamwaya35424 жыл бұрын

    Mkuu naambiwa pili pili kichaa ina mizizi mirefu sana na huwezi kuweka kwenye mifuko, unasemaje?

  • @ggmmjasiliamalionline2746

    @ggmmjasiliamalionline2746

    2 жыл бұрын

    Jamani ebu mjibuni huyu na sisi tupate elimu bas

  • @lamecklaurentius8936
    @lamecklaurentius89362 жыл бұрын

    Umwagiliaji vipi unatumia njia gani kumwagilia?

  • @jacquelinelyatuu6252
    @jacquelinelyatuu62524 жыл бұрын

    Nimependa Sana kilimo hiki