TWENDE SAMBAMBA - AIC Buzuruga Choir
Фильм және анимация
Twende Sambamba aic Buzuruga choir
2024 Tunamshuru Mungu kutufikisha mwaka huu,
January hii tunakupa Zawadi ya Wimbo huu
mzuri, uwe Baraka kwa mwaka huu wabaraka,
#aic buzuruga choir
#2024shorts #aic #christmas #tanzania #east
TWENDE SAMBAMBA 2024
Пікірлер: 70
Tuendelee kubarikiwa na huu wimbo wa injili.
Wimbo wangu pendwa niliungoja kwa ham sana hatimaye mungu azid kuwainua zaid ya hapo mbarikiwe sana nataman kuhamia mwnza nije niimbe nanyi 😢😢
@agnessboaz7349
5 ай бұрын
Karibu sana
@FrolaEdward-vo8vz
5 ай бұрын
@@agnessboaz7349 asanteee
BWANA YESU awabariki sana BUZURUGA CHOIR kila wimbo unaujumbe ulioshika sanaaa 👏🏻👏🏻👏🏻
Daah!sijawahi kuchoka kusikiliza nyimbo za watumishi hawa...maana wananipaga laha mpaka najihisi nipo Jerusalem mji wahadi🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼
@irenejuma440
5 ай бұрын
🙏🙏🙏
Mbalikiwe sana Buzuruga kwaya kwa huduma njema na kweli Twende sambamba na Jesus wimbo mzuri sana
Amina kabisa mwenyez mungu muweza wa yote ibarikiwe huduma hii ya bwana mnavyoipeleka injir hii ya uimbaji god bless you aic buzurunga
Nimebarikiwa sana na wimbo huu... Mungu awainue zaidi🙏🙏🙏
Wimbo Wangu pendwaaaa🔥🔥🔥
Great job wapendwa wimbo watuliza sanaa ,Neema ya Mungu ikazidi kuwa nanyi
Nabarikiwa sana na wimbo huu natembea na yesu sambamba
Natembea na Yesu sita mwacha ng'ooo
Amen kazi Nzuri 🔥
Tuendelee kubarikiwa na maneno ya Mungu kupitia wimboo huu ulojaa baraka za Mungu.
Mungu azidi kuwabariki!!Good song ever!
Mbarikiwe Sana
My lover song❤❤❤❤❤❤❤
Wow Mungu awabariki wote watumishi wa Mungu,kazi yenu ni njema
Mbarikiwe mno wapendwa kwa kazi nzuri.
KARIBUNI Sana tunafurahi njinsi wapendwa wetu mnavyobarikiwa na wimbo huu. Mbarikiwe sana
Nimeungoja mno.... Mungu azidi kuwabariki kwa kazi nzuri sana hii
🔥🔥🔥
Nabarikiwa sanaaa na hii nyimbo MUNGU Awainue zaidiiiii🙏🙏🙏🙏🙏
Mungu awainue zaidi
Amina
Mbarikiwe sana wana buzuluga kwa kazi nzuri sana ya kumtukuza Mungu
Mh kwakweli mko vizuri watumishi wa mungu
Hongereni kwa kazi zuri wapendwa
Ninani atakae tutenga na upendo wa Yesu ❤
Well performed ❤
Nabarikiwa na huu wimbo asate
A song of our time, blessings
Hongereni kwa kazi nzuri Mungu awabariki
@peterntalima7976
5 ай бұрын
Neema ya MUNGU iendelee kuwafunika. Unyenyekevu uwe ngao yenu
Wimbo wangu pendwa kabisa 🙏🙏
Amen 🙏🙏🙏
Nawapenda sana Mungu awainue kiwango kingine
Mungu azidi kuwainua kwa utumishi wenu
Kweli ni Sambaaamba ❤
Amen
Amen nabarikiwa Sanaa
mbarikiwe sana watumishi kazi njema
Mpo vizuri sana tumebarikiwa
Amina watumish mungu azind kuwabalik🙏
Mwaka 2024 tutatembea na YESU .sambamba
Sita mwacha Yesu,amenifaa sana
Mbarikiwe watumishi nawapenda
Wimbo mzuri sana, Mungu azidi kuwainua
Barikiweni sana ❤ following you from kenya
Wimbo mzuri sana umenibariki sana
Wimbo mzuri sana, hongereni
Nafhani hizi nyimbo ni nzuri sana, mnatakiwa mzifanyie promo kwenye media zener nguvu, mkialikwa sehemu kuweni na msemaji wa kuwahamasisha watu wapitie kwenye kurasa zenu za mitandao ya kijamii ili wawasupport
Mbarikiwe sana Watu wa Mungu
Naupendaaa sanaaa❤❤❤❤❤
❤❤ Its good song,,, God bless you more.
Buzuruga mmekuwa kufikisha moyo wangu Mungu wa mbinguni awainue
Wimbo mzuri i love it from Burundi
Wimbo mtamu. Kweli wakristo tutembee na Yesu sambamba. Neema ya Bwana iwatoshe wapenzi wa Mungu
MUNGU AWABARIKI SANA
Live recording inanukia❤❤❤❤
🙏 🙏 🙏 🙏 🙏
❤❤❤❤
❤
Kazi nzuri, ujumbe,muziki,utulivu,unadhifu .Endeleeni kunyenyekea ili Mungu awainue kwa wakati wake
Safi sana
Hata sasa bwana ametusaidia Ebenezer
Mbarikiwe mno mlitupa kionjo tangu mwaka jna hatimaye tumeipata nyimbo mpo vzr mabarikiwa mno na nyimbo zenu mungu awainue zaid
Hiii