WANIJUA -| KWAYA YA MT MARTIN DE PORRES | SAUT - MWANZA
Музыка
Kwaya ya Mt. Martin De Porres- SAUT - Mwanza - inakukaribisha kutazama na kusikiliza wimbo huu, kwa Sifa na utukufu wa Mungu.
WIMBO: WANIJUA
WAIMBAJI : KWAYA YA MT MARTIN DE PORRES - SAUT MWANZA
MTUNZI : DR KELVIN B BONGOLE
AUDIO: ESSENCE PRODUCTIONS
SOUND ENG. : EDDO
VIDEO : Dir. MDETE TM
Usisahau kusubscribe, like na kucomment.
#choir #kwayakatoliki #gospelmusic #africangospel #praiseandworship
Пікірлер: 212
Wajua kuketi kwangu wajua kuondoka kwangu wafahamu mawazo yangu wafahamu tokea mbali umepepeta na kwenda kwangu Na pia kulala kwangu umeelewa na njia zangu Njia zangu oooh zangu zote ❤❤❤😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 jmn wimbo huu ni wimbo bora wa mwaka na hisi mm kwaya zote za vyuo vikuu nchini Tanzania Mt. Martin De-poress SAUT ni number mmoja 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@leoodongo690
3 күн бұрын
Can I get the whole lyrics tafadhali❤❤
Huu wimbo ni mzuri.. hongera zenu
Bwana wajua maisha yangu yote, Mungu awabariki wote.
@st.martindeporreschoir-sau678
14 күн бұрын
Kak umeupiga mwingi mno kak barikiwa na bwana🙏🙏🙏
Yaani cjui niwaambieje ila!! Kwaajili yenu atukuzwe Mungu milele
ROMAN Catholic forever ❤
Hii ni never seen before... Martin De Porres forever ❤ Glory to God 🙏
Elario...kaka angu❤❤...umenifurahisha Jaman ..Hadi machozi...nyie ..kaka angu umenibariki...
@st.martindeporreschoir-sau678
17 күн бұрын
Asante sana🙏
Another one this song is amazing 🔥🔥🎉
Mambo ni fireeeeee 🔥🔥🔥🔥
Aisee Chuma ni moto hii Kwaya mnajua Kila mwaka ni kigongo Cha maana, hongereni sana❤❤
@st.martindeporreschoir-sau678
17 күн бұрын
Asante sana kak
Waoooh so amazing song hii kwaya mnajua Hadi mnajua tena kwenye harusi yangu ntawaalika❤❤❤
Wachumba kama wotee❤❤❤ goma kali sana 🎉🎉🎉
Ni humu tuu ,, hongera sana fam ❣️🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@st.martindeporreschoir-sau678
17 күн бұрын
Asante sana
Nice
Mtamuuuu....hauchosh kuangalia mara 100000000000❤🎉🎉
Mungu awajazie zaid kwa uinjilishaji mwema
Haya njooni....msikie wamerudi tena...msikie bure
Mambo ni 🔥🔥🔥
Hongera Sana soloists mko vizuri Sana big up🎉🥰
wooooh ni moto fire atar. mmmetisha saaana wana Depores kwa Mwanza your are the best na mmemtendea haki daktari Bongolee
Wimbo mzur sanaaa video nzuri na mmependezaaa. Hongereni sana familia ya Porres❤
Fire sana nimetamani maneno ya Fr nijiunge kwaya
@byeralety9237
16 күн бұрын
karibu sanaa
My choir...my family 🥰 Glory to God 🎉🙏
Wimbo unabariki sana❤️🔥🔥🔥
Nimempata Despina mpya na Kameja. nice song❤
Congratulations for the good work of evangelism through songs
Kazi nzuri wadogo wetu,,,Hngrn Sana kwa kweli Helleni selestin,,Agano,,,Na Kaka Devid Mtambo wajionea Wimbo mzr kutoka kwenye kwaya yetu eee Mungu azidi kuilinda kwaya miaka yote iwepo Amina....
Mwanagu Eralio. Ongr sana mungu akutanguliee umeuaaaaa
Kwaya nzuri Sanaa👏👏. Wanijua🔥🔥🔥🔥 Anna umepigaje apoo
Familia amna kupoa 🎉🎉
Nyimbo nzuri sana hongeren wainjilishaji.🎉🎉🎉
Yan tukielewa jinsi Mungu anatujua...tutampenda zaidi...Kwan kujtujuabkwake pia ni upendo wake kwetu. Love you Lord ❤
Nzurii sana aisee❤
Kazi nzuri Sana Mungu awabariki,mzidi kutumikia
Kazi nzuri, KAZI ni kubwa🔥🔥🔥
Kazi nzurii sanaaaaaa mna sauti nzuri sanaaa🔥🔥 karibun udom
@user-nq6pr4ky6m
16 күн бұрын
Jipangeni vzr kongamano tutakuwepo❤
Wee Nini hichoo mbona naogopa kazi imezidi uzuriiii🎉🎉🎉🎉
Am blessed
hongereni sanaa kwaya ya mt. Martine de Polesi kwa wimbo mtamu na watafakari
Mungu awabariki sana nawaona mbalii sana
Hongeren San kwa uinjirishaji mzur .hakika ninafarijika sananisikiapo sauti hzo nzurii.namuona ndugu yangu makoye gervas hajawah kununa
Ongereni sana Kwa nyimbo nzur mungu azidi kuwabariki♥️👏
Najivunia kuwa mkatolik, nmependa keep it up
@user-nq6pr4ky6m
15 күн бұрын
Karibu sana ndugu😊
Kazi nzuri, Mungu baba atawalipa nyote
hiyo imeendaaaa ndugu zanguuu wa familia ya de pores
Good song , hakika Bwana ajua kuketi kwetu na anafahamu mawazo Yetu❤❤❤❤
Hongereni sana mwenyezi Mungu azid kuwabariki katika uinjilishaji kupitia kwaya
you guys you kill it🫡😂can’t stop watching this❤️❤️🫶
Mwenyez Mungu aendelee kukuza kipawa mlicho jaliwa Barikiwa sana 🙏
Bwana awabaliki🎉🎉🎉
Aisee everytime naingia KZread tu because of this song, ukiangalia waimbaji na kusikiliza ujumbe,,unatambua Mungu ni mwema kwetu❤
jamani hongereni sana Mt.Martine nimewapenda sanaaa❤❤❤
Hatari sn Dr. Bongole utaniuwa mm kwa furaha hongeren Martin mmeimba vzr sn mzidhidi barikiwa
Wow wow wow. Wanijua BWANA🥳🥳
Hongereni sana kwa kwaya nzima nyimbo nzuri sana Imenibariki 🙏
Kazi njema hongereni sana injili kwa wote🎉
Wimbo mzur sana mungu awabariki wote mlio imba wimbo huu
popote pale unaweza kusikiliza wimbo huu ❤❤❤❤❤❤
W8mbo mzuri sana,unabariki na kutia moyo. Hongereni sana.
Nimekuwa ka chizi na wimbo kila mahali naubonda tyu geto ndo imekuwa balaa sauti adi mwisho big up sana Familia
Que Dieu tout-puissant soit avec vous pour prêcher la parole de Dieu à travers les chants. Vive la Chorale, viva l'église catholique !
@scolastephano6547
11 күн бұрын
Merci beaucoup 🙏
Amen nimemuona mwanasheria
Hongereni sana... Mungu awe nanyi katika utume wetu pendwaaa
Kazi njema sana. Mungu awabariki saana De epores❤❤❤
These are the creative minds. I am impressed by the masked group. Be blessed
@scolastephano6547
11 күн бұрын
😂😂
Hii imeenda ❤❤
Hongereni sana sana... Huu wimbo jaman❤❤🎉🎉🎉
Wajua ni Moto 🔥🔥🔥
Hongereni kwa kazi njema Wana kwaya wa Mt Martini De Pores
Hii ni 🔥sana, kwa kweli mmenihamasisha nijiunge na kwaya, hongereni sana kwa uinjilishaji Bora, mmbarikiwe 🙏
Bwana kiongozi hupoi naona et hongera sana
Kazi nzuri sana Mungu awabariki sana 🎉,,mzidi kumuimbia daima 🙏🙏🙏🙏
Well done .Familia❤❤
Wow 👌 👏 😍 👍 🥰 Never seen b4, nyie watu mnajua Kisha mnajua tena❤
Nyimboo kaliiii 🎉🎉🎉🎉
Kazi iendelee
Mungu awabariki sana mmefanya vzriii 🎉🎉🎉🎉
@scolastephano6547
11 күн бұрын
Amina
Greetings from Oklahoma city, Oklahoma USA. Excellent, beautiful.
@byeralety9237
16 күн бұрын
Asante karibu sanaaa
Woooh n nzuri sana🎉🎉🎉good job Mungu awabariki wote
WIMBO mzuri Sana, hongereni Sana kwa utume🙏🙏🙏
Hongereni wanakwaya kwa kuimba vizur
Congratulations our feature personnel's from various carrier And precious congratulations to our fellow Dr Kelvin Bongole keep service people and praising the Lord Jesus Christ
It's breathtaking ❤ Glory to God forever and ever, Amen 🙏 My choir my family ❤
Kazi safi sana......tusaidie na nota za wimbo wenyew
Wimbo mzuri...barikiweni
Good song nabarikiwa saana hongereni wanakwaya👏👏
Najivunia kuwa mkatolik, nmependa keep it up 0:58
Well done 🎉
Kaz nzuri sana hongeren🎉🎉🎉🎉
Be blessed all of you much love ❤❤❤❤❤ on fire🔥🔥🔥🔥
Hongereni saana 🎉🎉
Kazi nzuri, Mungu aendelee kutupa nguvu, kazi iendele
Tumuimbie Bwana katika roho na kweli, Hongereni sn ndgu zangu kwa kazi nzuri..Mungu awabariki sn
Hongereni sana kwa utume mzuri na wimbo mzuri mno umeimbwa kwa ujuzi kila kitu kipo vzr piano sololists wetu hongereni sana My classmate Elario and my youngest Crecencia mpo vizuri mno keep it up🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Woouu good job crecensia
Waoooooooooooo 🌹 hongereni wapendwa wangu 🥰🌹🎉 kazi nzuri bila kuchoka mzidi kumtumikia Mungu kwa uimbaji.......,🥰🌹🎉 Sorolist umenikosha🎉🎉🎉🎉🔥🔥
Hongeren sana mungu awabariki san🙏🙏🙏🙏
Ceci nmekuona hongeraaaa❤
hongerenk wadogo zangu kazii nzuri
🎉🎉Chukueni maua yenuuu...