cha muhimu maokoto bro ukipata riski ya siku inatosha💪💪👍💯 much love from Messi kadenge 254🇰🇪🙏 big up mavoko Kwa upendo Kwa watu bila kiburi au maringo.🙏🙏
@jescakahangwa522410 ай бұрын
Mavoko Yuko vizuri asikate tamaa anakubalika sana maneno ya watu acha iwe story kama wimbo wake.❤️❤️❤️❤️
@daynesakulu3169
10 ай бұрын
Imebaki story ni wimbo nzuri , ana nyimbo nzuri nyingi tu, Mavoko ni mwanamuziki mzuri sana.
@MBATINOFILMS10 ай бұрын
Tin we ni msaada mkubwa sana sana katika sanaa yetu ya Tz 💥
@avidiuselias412610 ай бұрын
Natamani Rich Mavoko awe kwenye competition ya Kina Kiba, Konde na mondi. Namkubali sana Mavoko. Big up sana Tin white
@user-eo5ku4ce7t10 ай бұрын
Kwenye maisha kila mmoja ana njia zake za kupita
@ashuramhandoashuramhando679810 ай бұрын
Mavoko kote anakubalika mi napenda sana nyimbo zake mpk Sasa ni Nzuri hazichuji ❤❤
@WiselightOfficial
10 ай бұрын
Kabisa aendeleee hivo hvio
@salimkibwana418910 ай бұрын
😂😂😂kingwendu ameenda chaka 2 chaka akarud na mtoto😅😅😅
@EzzyEddy-il3ce10 ай бұрын
Mje na Tunduma border hakuna wasafi festival Wala fiesta huku but Kuna watu wakutosha na mafans wenu wakumwaga wapo huku so muwe mnaangalia pande zote
@mdachiog5211
10 ай бұрын
Kabisa
@DavidMbwilo-qk1bz
10 ай бұрын
Tunduma 😂😂😂 wakinga kutosha
@user-po8hz7xw9j
10 ай бұрын
Hizi shoo amnazo piga rich mavoko ndio zinahela kama hamuamini umuulize h baba
@shykohjopa7518
10 ай бұрын
Atamim namupenda mavko
@oneboytzoneboytz6789
10 ай бұрын
Waje TUNDUMA
@ManG-ru1km10 ай бұрын
Safi sana kaka wa Rich kumtia moyo ndugu yako
@tabiangonyani3526
10 ай бұрын
😂
@makejaffar811910 ай бұрын
Ameanzisha ili tamasha la chaka to chaka..Kesho utaona mabwenyenye wengine wanaiga... Respect Rich Mavoko
@salomecomedyofficial10 ай бұрын
Chaka 2 chaka itakuja kua show kubwa hatari, next time mjumulisheni na 20 percent,, pia na Best nasso ikiwezekana,,
@draxlerjunior188210 ай бұрын
Chaka tuchaka salute tin white napenda kuwaona p1 na mkojani
@whitetigerprincy588210 ай бұрын
Mavoko ana kipaji kikubwa 🎉
@richardromo154710 ай бұрын
Pia mavoko alete show Kenya fundi mwenye 🔥🔥🔥💪💪💪
@lailalaila820610 ай бұрын
Nimependa hi ya kumnyanyua rich atasimama in sha allah kweri allah kareem uyo mond sio allah wara atoi ridhiki yye nani kwa mfano mbaka ashudiwe hongeren tin wainti na mkojani pambaneni na washiken mkono wario didimizwa kimsiki na kuigiza mrad ridhiki ingie maokoto ndio kira kitu sio mbaka mtu afanye sho mjin hata vijijin ni utafutaji na vijijin ndio kunapesa sana kuriko mjini sema waja wariozoeya mji hawaerewi?
@reginamanyangu725810 ай бұрын
Namkubali sana mavoko kigwendu mbona anamawazo sana jmn ila nimependa ubunifu wenu🎉🎉🎉🎉
@user-bs7ut2tg7f10 ай бұрын
Namkubari sana rich mavoko big up kwake .....upo na mashabiki wa kutosha broo
@MrTop-wj7no10 ай бұрын
Duuh yani VOKO kawa sawa na kina Best Naso 😂😂😂😂😂 Chaka tu Chaka for every body😂😂
@christinembeye548910 ай бұрын
Safi kabisa Tin White umewajibu Vizuri sanaaaa👍 Mhimu Mkono uende Kinywani kuliko Msanii anae Lala na Kunywa au Kuvuta. Big up Mavoko’s Brother. Mavoko asisikilize Maneno ya Watu achape Kazi tu❤🤝
@PamelaJonas-dh6lg10 ай бұрын
Yani nikiangalia wote hapo naona komedia tu 😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤ nawapenda sana yana mpo services lakini surazenu zinakaa kuchekesha tu😂😂😂😂❤❤❤
@eduardomala15010 ай бұрын
Hongera sana, huo ni uvumbuzi mkubwa sana. Mnastahili kuingia kwenye "Guiness book". Wanatoa dhihaki watakoma
@ikouwasi7644
10 ай бұрын
Hii nchi ngumu yaani waingie kwenye guines book kisa show za vumbi😂
@alimasha701710 ай бұрын
God bless your progress ❤❤
@izzahboe144210 ай бұрын
Namuona Samofi kwa nyuma😂🥰🥰🥰🥰❤❤❤
@edwinelias855410 ай бұрын
Mkojani 😂eti tutaanza kulinga hapa karibuni
@user-dt4wx3nd7t10 ай бұрын
+254 mm nakubali xana Richie mavoko God bless him❤❤❤❤❤❤❤
@mweroruwa633910 ай бұрын
Chaka 2 chaka big up sanaaaaaa tine white
@user-oc4vw5yx2p10 ай бұрын
wazee wa bariad chaka to chaka saf sana mshiko upo mpka chaka ni mikazo tu
@rasmbegu10 ай бұрын
Heshima kwenu damu zangu mmetisha sana nipo upande wenu
@matabishipatrick396510 ай бұрын
Hongera kwahio mawazo mazuri saaana yani chukuweni wale wasanii wote waliyo jificha muwazungushe African zima tunatani kuwaona kabisa, karibuni Uvira,kalemie,Lubumbashi,Bukavu,Goma,Bujumbura huko kote mutatoboa
@fidemgonja196610 ай бұрын
Xafi sana wazee achanane nayule paka maringo wa tandale
@AbdulhakimAbdala-qc5pj10 ай бұрын
Kingwendu anaitamani hii hiyo maiki
@-ex5ig10 ай бұрын
Sna sna mnafanya poa snaa njooni narombo tarakea nyie ndiyo wasanii wakubwa kilakijj wanahamu yakuwaona sana
@mashalamusicempire115810 ай бұрын
Nakubali nakubali karibuni sana kwakitolyo
@mussasalimomuarabo725910 ай бұрын
Mavoko anajulikana adi Moçambique UP mavoko!
@KassimSiri
9 ай бұрын
Og
@chiefnyanda326010 ай бұрын
Good idea
@suleimanjuma187210 ай бұрын
Mavoko kafungua fursa kwanza haina gharama
@kisebwaanord178710 ай бұрын
Acheni uongo kashuka kiwango ila sisi bado tunampenda akaze ❤❤❤
@kherizambo42010 ай бұрын
Long time pacha wangu
@2ndbornmc58210 ай бұрын
Rich mavoko haja anza leoo. Kuna show akipiga malawi ilikua Loko sana lakini ndiyoaliingiza pesa freshi .
@KitangaliMaster10 ай бұрын
Voko Ukovizuli mwanangu endelea nashoo shabikizako tunakusapoti By kitangally
@user-vs9ku6dj5w9 ай бұрын
Me siwapingi brothers... Mapambano yaendelee
@magulumakenzi10 ай бұрын
Kwa hyo kumbe huyu mtanga anasauti ya hivyo?
@MusaDadi-pd3jd10 ай бұрын
Mtanga angekuwa na bambo ingekuwa poa sana
@roseney577910 ай бұрын
Nice aidia
@user-ju4rv1uc3n10 ай бұрын
brodhe mond nakuomba uweke ofisi yoyote ile songea meneja niwe mimi atupigiela kafungue labo kule
@godfreysanziki146110 ай бұрын
Nikimwona kingwendu na jicho lake la khila 😂😂😅nachekaga sana
@mdachiog5211
10 ай бұрын
😂😂😂😂
@janifferkavutu7484
10 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@ricklandennis10 ай бұрын
Chaka tu chaka zina faida kubwa ukitolea pesa watu wanaona fursa kibao huko ndichi kwa uwekezaji wa pesa kidogo, ila kwa mpumbavu anayehisi maisha ni mjini tu na kuwa chawa hawezi kuelewa
@AishaTarimo10 ай бұрын
Mbona Mkojani analegeza macho 😅😅😅😅
@kaditokenya687310 ай бұрын
Kikubwa mtonyo uzame mfukoni mengine tumuachie Allah
@HISEXCELLENCEFAMILY10 ай бұрын
Natamani wampe nafasi kingwendu😅
@user-hz5dv2el4m9 ай бұрын
Kkkk😂😂😂 kingwendu ariludi na prado. Na sio prado tuu ariludi pia na mtoto wa kiume
@demolenebooysen208510 ай бұрын
Piga kazi sana
@GunFire-dm5fl10 ай бұрын
Usanii popote siyo lazima jukwaa kubwa ukishindwa huku kushoo hata jukwaani hutoweza kushoo 🔥🔥
@D_5088610 ай бұрын
Sanaaaa nasis tufaidike bana
@user-lp7wq4lp3v10 ай бұрын
Brother .K.
@princehalawa_official798010 ай бұрын
Yani Tin ukimuona ata akiwa serious basi utacheka tu 😂😂😂
@MrTop-wj7no
10 ай бұрын
😂😂😂
@PamelaJonas-dh6lg
10 ай бұрын
Nikwel😂😂😂😂
@tigejuma986510 ай бұрын
Imekua konde gang 4everybody😅😅😅
@user-nz6rs9vn3t
10 ай бұрын
Kazi Kaz
@brazilsanga797810 ай бұрын
hakuna Cha kishuka brandi mashabiki ni Hawa wa chini wa juu wapo wangapi mavoko nakukubali sana njia hii ukiiheshimu itakutoa zaidi usiangalie machawa wanasemaje
@meshack326610 ай бұрын
Ila kamkojani bhana utazani sio kenyewe kanakosumbuaga kwenye muvi😅😅😅😅😅😅😅😅😂😂😂😂
@zachaamaster5378
10 ай бұрын
#kwer kabis
@user-xf8xz1zp6o10 ай бұрын
Kaz Kaz ilimradi maokoto yako vizuri iyo festival yao yenyewe pia wengine wamekataa laki tano sio kisa umepanda jukwaani
@superhemed759010 ай бұрын
Big up sana wazee
@bonabonala555910 ай бұрын
mavoko sio freemasoni hamasharti
@samsonmwingwa36410 ай бұрын
Ok fine
@Saginimokaya-rp5cg10 ай бұрын
Mziki wa Vijana ukahi mavoko achanza Leo kuimba anakubalika kimziki
@SalehSaleh-yr7ce10 ай бұрын
Kingwendu kitambo sana alikuwa na kofia yenye mwamvuli kazuramimba kigoma
@MohammedMohammed-uo5sk10 ай бұрын
Mkojani na kingwendu wako radar
@rahimmarions571210 ай бұрын
Hii itakwenda itakuja kuwa ndio style.. Chaka to Chaka watu wanapiga pesa sana Ila wakina stuka wenzao wako mbali tu
@Lovenesszani7 ай бұрын
Team rich ❤💪💪💪💪💪
@ernestsereli855910 ай бұрын
Wapili mm
@Mr_maamen360
10 ай бұрын
Lao mmeniwahi
@erickdioniz827710 ай бұрын
Safi
@ibnayub23749 ай бұрын
Mtanga akili zako mbovu 😂😂😂
@MohammedMohammed-uo5sk10 ай бұрын
Counter attack Kwa Wasafi festival.hii ni poa kabisaa.
@seifmiraji43
10 ай бұрын
@wisedupshop2731ndo uhalisia usiminyane
@johnsonchonja403210 ай бұрын
Hapo kingwendu yupo kama nani? Maana sio kwa umakini huo
nivizuli sana kunamashabiki wapo wametulia huko mikoa wasanii muwemnaenda jaman mashabiki wapowengisana wanawapenda msanii kioo cha jamii
@DOTOCHARLES-so7rh10 ай бұрын
Safiiii
@suleimansaid263310 ай бұрын
Tin White na Mkojani nataka umfanye TIN White awe mlinzi wa Kasri
@basharahamtzhalisi6871
10 ай бұрын
Sema kubwa kuliko season 5.
@bonifaceferdinand56610 ай бұрын
Pesa bongo zipo ndiyo maana wazungu wanakuja kuwekeza
@ChrisMwambeje10 ай бұрын
Nendeni morogoro vijinini
@fatumasuleiman698910 ай бұрын
Kingwendu yupo seriously 😂😂😂😂
@user-cw7jk3hl6h10 ай бұрын
Tiny white nawakubal sana
@thumy092610 ай бұрын
Pigeni kazi
@amiripolwe98510 ай бұрын
Ila kwenye ile clip muliyoonesha pesa, kwa mimi nimeziona elfu 30 tu.
@user-cd4ft3cy5w10 ай бұрын
Ok
@nzitogondwe997610 ай бұрын
😂😂😂 acheni uongo atapataje Hera show ya uwazi vile au tunzo za buku mbili mbili ndio maokoto acheni uongo mavoko kashuka nanyie mmeona ndio pakupatia ishu
@47rewind68
10 ай бұрын
Ukiielewa hela hutadharau hela
@victorbwisso10 ай бұрын
Njoo Eni na mbingaa ruvuma uku
@DaniKasa-en4kt10 ай бұрын
Samofi namuona nyuma
@user-cp8iz7bn7c10 ай бұрын
Bwana mkojani tumekumiss kitama tandahimba chaka tu chaka iibukie tandahimba kipind hichi cha msimu wa korosho maokoto yake usipime ndio maan mwenyeji konde boy atakuja miezi hii
@suleimanmohamed11110 ай бұрын
Hawakawii kuiga sasa hapo halafu wajifanye kuboresha mafisadi
Пікірлер: 187
cha muhimu maokoto bro ukipata riski ya siku inatosha💪💪👍💯 much love from Messi kadenge 254🇰🇪🙏 big up mavoko Kwa upendo Kwa watu bila kiburi au maringo.🙏🙏
Mavoko Yuko vizuri asikate tamaa anakubalika sana maneno ya watu acha iwe story kama wimbo wake.❤️❤️❤️❤️
@daynesakulu3169
10 ай бұрын
Imebaki story ni wimbo nzuri , ana nyimbo nzuri nyingi tu, Mavoko ni mwanamuziki mzuri sana.
Tin we ni msaada mkubwa sana sana katika sanaa yetu ya Tz 💥
Natamani Rich Mavoko awe kwenye competition ya Kina Kiba, Konde na mondi. Namkubali sana Mavoko. Big up sana Tin white
Kwenye maisha kila mmoja ana njia zake za kupita
Mavoko kote anakubalika mi napenda sana nyimbo zake mpk Sasa ni Nzuri hazichuji ❤❤
@WiselightOfficial
10 ай бұрын
Kabisa aendeleee hivo hvio
😂😂😂kingwendu ameenda chaka 2 chaka akarud na mtoto😅😅😅
Mje na Tunduma border hakuna wasafi festival Wala fiesta huku but Kuna watu wakutosha na mafans wenu wakumwaga wapo huku so muwe mnaangalia pande zote
@mdachiog5211
10 ай бұрын
Kabisa
@DavidMbwilo-qk1bz
10 ай бұрын
Tunduma 😂😂😂 wakinga kutosha
@user-po8hz7xw9j
10 ай бұрын
Hizi shoo amnazo piga rich mavoko ndio zinahela kama hamuamini umuulize h baba
@shykohjopa7518
10 ай бұрын
Atamim namupenda mavko
@oneboytzoneboytz6789
10 ай бұрын
Waje TUNDUMA
Safi sana kaka wa Rich kumtia moyo ndugu yako
@tabiangonyani3526
10 ай бұрын
😂
Ameanzisha ili tamasha la chaka to chaka..Kesho utaona mabwenyenye wengine wanaiga... Respect Rich Mavoko
Chaka 2 chaka itakuja kua show kubwa hatari, next time mjumulisheni na 20 percent,, pia na Best nasso ikiwezekana,,
Chaka tuchaka salute tin white napenda kuwaona p1 na mkojani
Mavoko ana kipaji kikubwa 🎉
Pia mavoko alete show Kenya fundi mwenye 🔥🔥🔥💪💪💪
Nimependa hi ya kumnyanyua rich atasimama in sha allah kweri allah kareem uyo mond sio allah wara atoi ridhiki yye nani kwa mfano mbaka ashudiwe hongeren tin wainti na mkojani pambaneni na washiken mkono wario didimizwa kimsiki na kuigiza mrad ridhiki ingie maokoto ndio kira kitu sio mbaka mtu afanye sho mjin hata vijijin ni utafutaji na vijijin ndio kunapesa sana kuriko mjini sema waja wariozoeya mji hawaerewi?
Namkubali sana mavoko kigwendu mbona anamawazo sana jmn ila nimependa ubunifu wenu🎉🎉🎉🎉
Namkubari sana rich mavoko big up kwake .....upo na mashabiki wa kutosha broo
Duuh yani VOKO kawa sawa na kina Best Naso 😂😂😂😂😂 Chaka tu Chaka for every body😂😂
Safi kabisa Tin White umewajibu Vizuri sanaaaa👍 Mhimu Mkono uende Kinywani kuliko Msanii anae Lala na Kunywa au Kuvuta. Big up Mavoko’s Brother. Mavoko asisikilize Maneno ya Watu achape Kazi tu❤🤝
Yani nikiangalia wote hapo naona komedia tu 😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤ nawapenda sana yana mpo services lakini surazenu zinakaa kuchekesha tu😂😂😂😂❤❤❤
Hongera sana, huo ni uvumbuzi mkubwa sana. Mnastahili kuingia kwenye "Guiness book". Wanatoa dhihaki watakoma
@ikouwasi7644
10 ай бұрын
Hii nchi ngumu yaani waingie kwenye guines book kisa show za vumbi😂
God bless your progress ❤❤
Namuona Samofi kwa nyuma😂🥰🥰🥰🥰❤❤❤
Mkojani 😂eti tutaanza kulinga hapa karibuni
+254 mm nakubali xana Richie mavoko God bless him❤❤❤❤❤❤❤
Chaka 2 chaka big up sanaaaaaa tine white
wazee wa bariad chaka to chaka saf sana mshiko upo mpka chaka ni mikazo tu
Heshima kwenu damu zangu mmetisha sana nipo upande wenu
Hongera kwahio mawazo mazuri saaana yani chukuweni wale wasanii wote waliyo jificha muwazungushe African zima tunatani kuwaona kabisa, karibuni Uvira,kalemie,Lubumbashi,Bukavu,Goma,Bujumbura huko kote mutatoboa
Xafi sana wazee achanane nayule paka maringo wa tandale
Kingwendu anaitamani hii hiyo maiki
Sna sna mnafanya poa snaa njooni narombo tarakea nyie ndiyo wasanii wakubwa kilakijj wanahamu yakuwaona sana
Nakubali nakubali karibuni sana kwakitolyo
Mavoko anajulikana adi Moçambique UP mavoko!
@KassimSiri
9 ай бұрын
Og
Good idea
Mavoko kafungua fursa kwanza haina gharama
Acheni uongo kashuka kiwango ila sisi bado tunampenda akaze ❤❤❤
Long time pacha wangu
Rich mavoko haja anza leoo. Kuna show akipiga malawi ilikua Loko sana lakini ndiyoaliingiza pesa freshi .
Voko Ukovizuli mwanangu endelea nashoo shabikizako tunakusapoti By kitangally
Me siwapingi brothers... Mapambano yaendelee
Kwa hyo kumbe huyu mtanga anasauti ya hivyo?
Mtanga angekuwa na bambo ingekuwa poa sana
Nice aidia
brodhe mond nakuomba uweke ofisi yoyote ile songea meneja niwe mimi atupigiela kafungue labo kule
Nikimwona kingwendu na jicho lake la khila 😂😂😅nachekaga sana
@mdachiog5211
10 ай бұрын
😂😂😂😂
@janifferkavutu7484
10 ай бұрын
😂😂😂😂😂
Chaka tu chaka zina faida kubwa ukitolea pesa watu wanaona fursa kibao huko ndichi kwa uwekezaji wa pesa kidogo, ila kwa mpumbavu anayehisi maisha ni mjini tu na kuwa chawa hawezi kuelewa
Mbona Mkojani analegeza macho 😅😅😅😅
Kikubwa mtonyo uzame mfukoni mengine tumuachie Allah
Natamani wampe nafasi kingwendu😅
Kkkk😂😂😂 kingwendu ariludi na prado. Na sio prado tuu ariludi pia na mtoto wa kiume
Piga kazi sana
Usanii popote siyo lazima jukwaa kubwa ukishindwa huku kushoo hata jukwaani hutoweza kushoo 🔥🔥
Sanaaaa nasis tufaidike bana
Brother .K.
Yani Tin ukimuona ata akiwa serious basi utacheka tu 😂😂😂
@MrTop-wj7no
10 ай бұрын
😂😂😂
@PamelaJonas-dh6lg
10 ай бұрын
Nikwel😂😂😂😂
Imekua konde gang 4everybody😅😅😅
@user-nz6rs9vn3t
10 ай бұрын
Kazi Kaz
hakuna Cha kishuka brandi mashabiki ni Hawa wa chini wa juu wapo wangapi mavoko nakukubali sana njia hii ukiiheshimu itakutoa zaidi usiangalie machawa wanasemaje
Ila kamkojani bhana utazani sio kenyewe kanakosumbuaga kwenye muvi😅😅😅😅😅😅😅😅😂😂😂😂
@zachaamaster5378
10 ай бұрын
#kwer kabis
Kaz Kaz ilimradi maokoto yako vizuri iyo festival yao yenyewe pia wengine wamekataa laki tano sio kisa umepanda jukwaani
Big up sana wazee
mavoko sio freemasoni hamasharti
Ok fine
Mziki wa Vijana ukahi mavoko achanza Leo kuimba anakubalika kimziki
Kingwendu kitambo sana alikuwa na kofia yenye mwamvuli kazuramimba kigoma
Mkojani na kingwendu wako radar
Hii itakwenda itakuja kuwa ndio style.. Chaka to Chaka watu wanapiga pesa sana Ila wakina stuka wenzao wako mbali tu
Team rich ❤💪💪💪💪💪
Wapili mm
@Mr_maamen360
10 ай бұрын
Lao mmeniwahi
Safi
Mtanga akili zako mbovu 😂😂😂
Counter attack Kwa Wasafi festival.hii ni poa kabisaa.
@seifmiraji43
10 ай бұрын
@wisedupshop2731ndo uhalisia usiminyane
Hapo kingwendu yupo kama nani? Maana sio kwa umakini huo
@chiconinde8135
10 ай бұрын
😅😅😅😅😅
Kingwendu anavyokasirika Mondi kumroga mavoko 😁😁😁😂😂
Maptomot nyokoo😅😅😅
Hii comedy inaemdelea
nivizuli sana kunamashabiki wapo wametulia huko mikoa wasanii muwemnaenda jaman mashabiki wapowengisana wanawapenda msanii kioo cha jamii
Safiiii
Tin White na Mkojani nataka umfanye TIN White awe mlinzi wa Kasri
@basharahamtzhalisi6871
10 ай бұрын
Sema kubwa kuliko season 5.
Pesa bongo zipo ndiyo maana wazungu wanakuja kuwekeza
Nendeni morogoro vijinini
Kingwendu yupo seriously 😂😂😂😂
Tiny white nawakubal sana
Pigeni kazi
Ila kwenye ile clip muliyoonesha pesa, kwa mimi nimeziona elfu 30 tu.
Ok
😂😂😂 acheni uongo atapataje Hera show ya uwazi vile au tunzo za buku mbili mbili ndio maokoto acheni uongo mavoko kashuka nanyie mmeona ndio pakupatia ishu
@47rewind68
10 ай бұрын
Ukiielewa hela hutadharau hela
Njoo Eni na mbingaa ruvuma uku
Samofi namuona nyuma
Bwana mkojani tumekumiss kitama tandahimba chaka tu chaka iibukie tandahimba kipind hichi cha msimu wa korosho maokoto yake usipime ndio maan mwenyeji konde boy atakuja miezi hii
Hawakawii kuiga sasa hapo halafu wajifanye kuboresha mafisadi
Wakwanza Mimi Leo nipeni maua yangu wadau🎉
@Mr_maamen360
10 ай бұрын
Huna baya 🎉🎉
@whitetigerprincy5882
10 ай бұрын
🥀🥀🥀🥀🥀🥀🥀🌷🌷🌷😊
Chaka to chaka
Nendeni mwakaleli
Kumbe tin white ni kaka yake mavoko
kachakaa kweli bana yani muhuni kakonda kinoma
Mtanga anatetemeka akiwa kwenye vyombo vya habari
Mavoco
Hahahaha mutajibiwa kila swali lenu na hao watu
@paulalove1223
10 ай бұрын
😂😂😂
Mje na kasulu