TIN WHITE KAKA WA RICH MAVOKO ,ATANGAZA VITA,SITOKUBALI RICH MAVOKO KUWA HIVI

Ойын-сауық

#bongo24 #harmonize #diamondplutnumz

Пікірлер: 187

  • @brendankatha8038
    @brendankatha803810 ай бұрын

    cha muhimu maokoto bro ukipata riski ya siku inatosha💪💪👍💯 much love from Messi kadenge 254🇰🇪🙏 big up mavoko Kwa upendo Kwa watu bila kiburi au maringo.🙏🙏

  • @jescakahangwa5224
    @jescakahangwa522410 ай бұрын

    Mavoko Yuko vizuri asikate tamaa anakubalika sana maneno ya watu acha iwe story kama wimbo wake.❤️❤️❤️❤️

  • @daynesakulu3169

    @daynesakulu3169

    10 ай бұрын

    Imebaki story ni wimbo nzuri , ana nyimbo nzuri nyingi tu, Mavoko ni mwanamuziki mzuri sana.

  • @MBATINOFILMS
    @MBATINOFILMS10 ай бұрын

    Tin we ni msaada mkubwa sana sana katika sanaa yetu ya Tz 💥

  • @avidiuselias4126
    @avidiuselias412610 ай бұрын

    Natamani Rich Mavoko awe kwenye competition ya Kina Kiba, Konde na mondi. Namkubali sana Mavoko. Big up sana Tin white

  • @user-eo5ku4ce7t
    @user-eo5ku4ce7t10 ай бұрын

    Kwenye maisha kila mmoja ana njia zake za kupita

  • @ashuramhandoashuramhando6798
    @ashuramhandoashuramhando679810 ай бұрын

    Mavoko kote anakubalika mi napenda sana nyimbo zake mpk Sasa ni Nzuri hazichuji ❤❤

  • @WiselightOfficial

    @WiselightOfficial

    10 ай бұрын

    Kabisa aendeleee hivo hvio

  • @salimkibwana4189
    @salimkibwana418910 ай бұрын

    😂😂😂kingwendu ameenda chaka 2 chaka akarud na mtoto😅😅😅

  • @EzzyEddy-il3ce
    @EzzyEddy-il3ce10 ай бұрын

    Mje na Tunduma border hakuna wasafi festival Wala fiesta huku but Kuna watu wakutosha na mafans wenu wakumwaga wapo huku so muwe mnaangalia pande zote

  • @mdachiog5211

    @mdachiog5211

    10 ай бұрын

    Kabisa

  • @DavidMbwilo-qk1bz

    @DavidMbwilo-qk1bz

    10 ай бұрын

    Tunduma 😂😂😂 wakinga kutosha

  • @user-po8hz7xw9j

    @user-po8hz7xw9j

    10 ай бұрын

    Hizi shoo amnazo piga rich mavoko ndio zinahela kama hamuamini umuulize h baba

  • @shykohjopa7518

    @shykohjopa7518

    10 ай бұрын

    Atamim namupenda mavko

  • @oneboytzoneboytz6789

    @oneboytzoneboytz6789

    10 ай бұрын

    Waje TUNDUMA

  • @ManG-ru1km
    @ManG-ru1km10 ай бұрын

    Safi sana kaka wa Rich kumtia moyo ndugu yako

  • @tabiangonyani3526

    @tabiangonyani3526

    10 ай бұрын

    😂

  • @makejaffar8119
    @makejaffar811910 ай бұрын

    Ameanzisha ili tamasha la chaka to chaka..Kesho utaona mabwenyenye wengine wanaiga... Respect Rich Mavoko

  • @salomecomedyofficial
    @salomecomedyofficial10 ай бұрын

    Chaka 2 chaka itakuja kua show kubwa hatari, next time mjumulisheni na 20 percent,, pia na Best nasso ikiwezekana,,

  • @draxlerjunior1882
    @draxlerjunior188210 ай бұрын

    Chaka tuchaka salute tin white napenda kuwaona p1 na mkojani

  • @whitetigerprincy5882
    @whitetigerprincy588210 ай бұрын

    Mavoko ana kipaji kikubwa 🎉

  • @richardromo1547
    @richardromo154710 ай бұрын

    Pia mavoko alete show Kenya fundi mwenye 🔥🔥🔥💪💪💪

  • @lailalaila8206
    @lailalaila820610 ай бұрын

    Nimependa hi ya kumnyanyua rich atasimama in sha allah kweri allah kareem uyo mond sio allah wara atoi ridhiki yye nani kwa mfano mbaka ashudiwe hongeren tin wainti na mkojani pambaneni na washiken mkono wario didimizwa kimsiki na kuigiza mrad ridhiki ingie maokoto ndio kira kitu sio mbaka mtu afanye sho mjin hata vijijin ni utafutaji na vijijin ndio kunapesa sana kuriko mjini sema waja wariozoeya mji hawaerewi?

  • @reginamanyangu7258
    @reginamanyangu725810 ай бұрын

    Namkubali sana mavoko kigwendu mbona anamawazo sana jmn ila nimependa ubunifu wenu🎉🎉🎉🎉

  • @user-bs7ut2tg7f
    @user-bs7ut2tg7f10 ай бұрын

    Namkubari sana rich mavoko big up kwake .....upo na mashabiki wa kutosha broo

  • @MrTop-wj7no
    @MrTop-wj7no10 ай бұрын

    Duuh yani VOKO kawa sawa na kina Best Naso 😂😂😂😂😂 Chaka tu Chaka for every body😂😂

  • @christinembeye5489
    @christinembeye548910 ай бұрын

    Safi kabisa Tin White umewajibu Vizuri sanaaaa👍 Mhimu Mkono uende Kinywani kuliko Msanii anae Lala na Kunywa au Kuvuta. Big up Mavoko’s Brother. Mavoko asisikilize Maneno ya Watu achape Kazi tu❤🤝

  • @PamelaJonas-dh6lg
    @PamelaJonas-dh6lg10 ай бұрын

    Yani nikiangalia wote hapo naona komedia tu 😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤ nawapenda sana yana mpo services lakini surazenu zinakaa kuchekesha tu😂😂😂😂❤❤❤

  • @eduardomala150
    @eduardomala15010 ай бұрын

    Hongera sana, huo ni uvumbuzi mkubwa sana. Mnastahili kuingia kwenye "Guiness book". Wanatoa dhihaki watakoma

  • @ikouwasi7644

    @ikouwasi7644

    10 ай бұрын

    Hii nchi ngumu yaani waingie kwenye guines book kisa show za vumbi😂

  • @alimasha7017
    @alimasha701710 ай бұрын

    God bless your progress ❤❤

  • @izzahboe1442
    @izzahboe144210 ай бұрын

    Namuona Samofi kwa nyuma😂🥰🥰🥰🥰❤❤❤

  • @edwinelias8554
    @edwinelias855410 ай бұрын

    Mkojani 😂eti tutaanza kulinga hapa karibuni

  • @user-dt4wx3nd7t
    @user-dt4wx3nd7t10 ай бұрын

    +254 mm nakubali xana Richie mavoko God bless him❤❤❤❤❤❤❤

  • @mweroruwa6339
    @mweroruwa633910 ай бұрын

    Chaka 2 chaka big up sanaaaaaa tine white

  • @user-oc4vw5yx2p
    @user-oc4vw5yx2p10 ай бұрын

    wazee wa bariad chaka to chaka saf sana mshiko upo mpka chaka ni mikazo tu

  • @rasmbegu
    @rasmbegu10 ай бұрын

    Heshima kwenu damu zangu mmetisha sana nipo upande wenu

  • @matabishipatrick3965
    @matabishipatrick396510 ай бұрын

    Hongera kwahio mawazo mazuri saaana yani chukuweni wale wasanii wote waliyo jificha muwazungushe African zima tunatani kuwaona kabisa, karibuni Uvira,kalemie,Lubumbashi,Bukavu,Goma,Bujumbura huko kote mutatoboa

  • @fidemgonja1966
    @fidemgonja196610 ай бұрын

    Xafi sana wazee achanane nayule paka maringo wa tandale

  • @AbdulhakimAbdala-qc5pj
    @AbdulhakimAbdala-qc5pj10 ай бұрын

    Kingwendu anaitamani hii hiyo maiki

  • @-ex5ig
    @-ex5ig10 ай бұрын

    Sna sna mnafanya poa snaa njooni narombo tarakea nyie ndiyo wasanii wakubwa kilakijj wanahamu yakuwaona sana

  • @mashalamusicempire1158
    @mashalamusicempire115810 ай бұрын

    Nakubali nakubali karibuni sana kwakitolyo

  • @mussasalimomuarabo7259
    @mussasalimomuarabo725910 ай бұрын

    Mavoko anajulikana adi Moçambique UP mavoko!

  • @KassimSiri

    @KassimSiri

    9 ай бұрын

    Og

  • @chiefnyanda3260
    @chiefnyanda326010 ай бұрын

    Good idea

  • @suleimanjuma1872
    @suleimanjuma187210 ай бұрын

    Mavoko kafungua fursa kwanza haina gharama

  • @kisebwaanord1787
    @kisebwaanord178710 ай бұрын

    Acheni uongo kashuka kiwango ila sisi bado tunampenda akaze ❤❤❤

  • @kherizambo420
    @kherizambo42010 ай бұрын

    Long time pacha wangu

  • @2ndbornmc582
    @2ndbornmc58210 ай бұрын

    Rich mavoko haja anza leoo. Kuna show akipiga malawi ilikua Loko sana lakini ndiyoaliingiza pesa freshi .

  • @KitangaliMaster
    @KitangaliMaster10 ай бұрын

    Voko Ukovizuli mwanangu endelea nashoo shabikizako tunakusapoti By kitangally

  • @user-vs9ku6dj5w
    @user-vs9ku6dj5w9 ай бұрын

    Me siwapingi brothers... Mapambano yaendelee

  • @magulumakenzi
    @magulumakenzi10 ай бұрын

    Kwa hyo kumbe huyu mtanga anasauti ya hivyo?

  • @MusaDadi-pd3jd
    @MusaDadi-pd3jd10 ай бұрын

    Mtanga angekuwa na bambo ingekuwa poa sana

  • @roseney5779
    @roseney577910 ай бұрын

    Nice aidia

  • @user-ju4rv1uc3n
    @user-ju4rv1uc3n10 ай бұрын

    brodhe mond nakuomba uweke ofisi yoyote ile songea meneja niwe mimi atupigiela kafungue labo kule

  • @godfreysanziki1461
    @godfreysanziki146110 ай бұрын

    Nikimwona kingwendu na jicho lake la khila 😂😂😅nachekaga sana

  • @mdachiog5211

    @mdachiog5211

    10 ай бұрын

    😂😂😂😂

  • @janifferkavutu7484

    @janifferkavutu7484

    10 ай бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @ricklandennis
    @ricklandennis10 ай бұрын

    Chaka tu chaka zina faida kubwa ukitolea pesa watu wanaona fursa kibao huko ndichi kwa uwekezaji wa pesa kidogo, ila kwa mpumbavu anayehisi maisha ni mjini tu na kuwa chawa hawezi kuelewa

  • @AishaTarimo
    @AishaTarimo10 ай бұрын

    Mbona Mkojani analegeza macho 😅😅😅😅

  • @kaditokenya6873
    @kaditokenya687310 ай бұрын

    Kikubwa mtonyo uzame mfukoni mengine tumuachie Allah

  • @HISEXCELLENCEFAMILY
    @HISEXCELLENCEFAMILY10 ай бұрын

    Natamani wampe nafasi kingwendu😅

  • @user-hz5dv2el4m
    @user-hz5dv2el4m9 ай бұрын

    Kkkk😂😂😂 kingwendu ariludi na prado. Na sio prado tuu ariludi pia na mtoto wa kiume

  • @demolenebooysen2085
    @demolenebooysen208510 ай бұрын

    Piga kazi sana

  • @GunFire-dm5fl
    @GunFire-dm5fl10 ай бұрын

    Usanii popote siyo lazima jukwaa kubwa ukishindwa huku kushoo hata jukwaani hutoweza kushoo 🔥🔥

  • @D_50886
    @D_5088610 ай бұрын

    Sanaaaa nasis tufaidike bana

  • @user-lp7wq4lp3v
    @user-lp7wq4lp3v10 ай бұрын

    Brother .K.

  • @princehalawa_official7980
    @princehalawa_official798010 ай бұрын

    Yani Tin ukimuona ata akiwa serious basi utacheka tu 😂😂😂

  • @MrTop-wj7no

    @MrTop-wj7no

    10 ай бұрын

    😂😂😂

  • @PamelaJonas-dh6lg

    @PamelaJonas-dh6lg

    10 ай бұрын

    Nikwel😂😂😂😂

  • @tigejuma9865
    @tigejuma986510 ай бұрын

    Imekua konde gang 4everybody😅😅😅

  • @user-nz6rs9vn3t

    @user-nz6rs9vn3t

    10 ай бұрын

    Kazi Kaz

  • @brazilsanga7978
    @brazilsanga797810 ай бұрын

    hakuna Cha kishuka brandi mashabiki ni Hawa wa chini wa juu wapo wangapi mavoko nakukubali sana njia hii ukiiheshimu itakutoa zaidi usiangalie machawa wanasemaje

  • @meshack3266
    @meshack326610 ай бұрын

    Ila kamkojani bhana utazani sio kenyewe kanakosumbuaga kwenye muvi😅😅😅😅😅😅😅😅😂😂😂😂

  • @zachaamaster5378

    @zachaamaster5378

    10 ай бұрын

    #kwer kabis

  • @user-xf8xz1zp6o
    @user-xf8xz1zp6o10 ай бұрын

    Kaz Kaz ilimradi maokoto yako vizuri iyo festival yao yenyewe pia wengine wamekataa laki tano sio kisa umepanda jukwaani

  • @superhemed7590
    @superhemed759010 ай бұрын

    Big up sana wazee

  • @bonabonala5559
    @bonabonala555910 ай бұрын

    mavoko sio freemasoni hamasharti

  • @samsonmwingwa364
    @samsonmwingwa36410 ай бұрын

    Ok fine

  • @Saginimokaya-rp5cg
    @Saginimokaya-rp5cg10 ай бұрын

    Mziki wa Vijana ukahi mavoko achanza Leo kuimba anakubalika kimziki

  • @SalehSaleh-yr7ce
    @SalehSaleh-yr7ce10 ай бұрын

    Kingwendu kitambo sana alikuwa na kofia yenye mwamvuli kazuramimba kigoma

  • @MohammedMohammed-uo5sk
    @MohammedMohammed-uo5sk10 ай бұрын

    Mkojani na kingwendu wako radar

  • @rahimmarions5712
    @rahimmarions571210 ай бұрын

    Hii itakwenda itakuja kuwa ndio style.. Chaka to Chaka watu wanapiga pesa sana Ila wakina stuka wenzao wako mbali tu

  • @Lovenesszani
    @Lovenesszani7 ай бұрын

    Team rich ❤💪💪💪💪💪

  • @ernestsereli8559
    @ernestsereli855910 ай бұрын

    Wapili mm

  • @Mr_maamen360

    @Mr_maamen360

    10 ай бұрын

    Lao mmeniwahi

  • @erickdioniz8277
    @erickdioniz827710 ай бұрын

    Safi

  • @ibnayub2374
    @ibnayub23749 ай бұрын

    Mtanga akili zako mbovu 😂😂😂

  • @MohammedMohammed-uo5sk
    @MohammedMohammed-uo5sk10 ай бұрын

    Counter attack Kwa Wasafi festival.hii ni poa kabisaa.

  • @seifmiraji43

    @seifmiraji43

    10 ай бұрын

    ​@wisedupshop2731ndo uhalisia usiminyane

  • @johnsonchonja4032
    @johnsonchonja403210 ай бұрын

    Hapo kingwendu yupo kama nani? Maana sio kwa umakini huo

  • @chiconinde8135

    @chiconinde8135

    10 ай бұрын

    😅😅😅😅😅

  • @makischocho4613
    @makischocho461310 ай бұрын

    Kingwendu anavyokasirika Mondi kumroga mavoko 😁😁😁😂😂

  • @GabrielSky64
    @GabrielSky6410 ай бұрын

    Maptomot nyokoo😅😅😅

  • @lugakajohn4509
    @lugakajohn450910 ай бұрын

    Hii comedy inaemdelea

  • @abrahamtitusi8967
    @abrahamtitusi896710 ай бұрын

    nivizuli sana kunamashabiki wapo wametulia huko mikoa wasanii muwemnaenda jaman mashabiki wapowengisana wanawapenda msanii kioo cha jamii

  • @DOTOCHARLES-so7rh
    @DOTOCHARLES-so7rh10 ай бұрын

    Safiiii

  • @suleimansaid2633
    @suleimansaid263310 ай бұрын

    Tin White na Mkojani nataka umfanye TIN White awe mlinzi wa Kasri

  • @basharahamtzhalisi6871

    @basharahamtzhalisi6871

    10 ай бұрын

    Sema kubwa kuliko season 5.

  • @bonifaceferdinand566
    @bonifaceferdinand56610 ай бұрын

    Pesa bongo zipo ndiyo maana wazungu wanakuja kuwekeza

  • @ChrisMwambeje
    @ChrisMwambeje10 ай бұрын

    Nendeni morogoro vijinini

  • @fatumasuleiman6989
    @fatumasuleiman698910 ай бұрын

    Kingwendu yupo seriously 😂😂😂😂

  • @user-cw7jk3hl6h
    @user-cw7jk3hl6h10 ай бұрын

    Tiny white nawakubal sana

  • @thumy0926
    @thumy092610 ай бұрын

    Pigeni kazi

  • @amiripolwe985
    @amiripolwe98510 ай бұрын

    Ila kwenye ile clip muliyoonesha pesa, kwa mimi nimeziona elfu 30 tu.

  • @user-cd4ft3cy5w
    @user-cd4ft3cy5w10 ай бұрын

    Ok

  • @nzitogondwe9976
    @nzitogondwe997610 ай бұрын

    😂😂😂 acheni uongo atapataje Hera show ya uwazi vile au tunzo za buku mbili mbili ndio maokoto acheni uongo mavoko kashuka nanyie mmeona ndio pakupatia ishu

  • @47rewind68

    @47rewind68

    10 ай бұрын

    Ukiielewa hela hutadharau hela

  • @victorbwisso
    @victorbwisso10 ай бұрын

    Njoo Eni na mbingaa ruvuma uku

  • @DaniKasa-en4kt
    @DaniKasa-en4kt10 ай бұрын

    Samofi namuona nyuma

  • @user-cp8iz7bn7c
    @user-cp8iz7bn7c10 ай бұрын

    Bwana mkojani tumekumiss kitama tandahimba chaka tu chaka iibukie tandahimba kipind hichi cha msimu wa korosho maokoto yake usipime ndio maan mwenyeji konde boy atakuja miezi hii

  • @suleimanmohamed111
    @suleimanmohamed11110 ай бұрын

    Hawakawii kuiga sasa hapo halafu wajifanye kuboresha mafisadi

  • @exsavermateus2670
    @exsavermateus267010 ай бұрын

    Wakwanza Mimi Leo nipeni maua yangu wadau🎉

  • @Mr_maamen360

    @Mr_maamen360

    10 ай бұрын

    Huna baya 🎉🎉

  • @whitetigerprincy5882

    @whitetigerprincy5882

    10 ай бұрын

    🥀🥀🥀🥀🥀🥀🥀🌷🌷🌷😊

  • @donaldmartin-ps2ig
    @donaldmartin-ps2ig9 ай бұрын

    Chaka to chaka

  • @nzitogondwe9976
    @nzitogondwe997610 ай бұрын

    Nendeni mwakaleli

  • @fatmanadia1357
    @fatmanadia135710 ай бұрын

    Kumbe tin white ni kaka yake mavoko

  • @issackathman850
    @issackathman85010 ай бұрын

    kachakaa kweli bana yani muhuni kakonda kinoma

  • @kitapondatv8709
    @kitapondatv870910 ай бұрын

    Mtanga anatetemeka akiwa kwenye vyombo vya habari

  • @milliardere9177
    @milliardere917710 ай бұрын

    Mavoco

  • @wiseman-or8xv
    @wiseman-or8xv10 ай бұрын

    Hahahaha mutajibiwa kila swali lenu na hao watu

  • @paulalove1223

    @paulalove1223

    10 ай бұрын

    😂😂😂

  • @user-xn6ki7hd1z
    @user-xn6ki7hd1z10 ай бұрын

    Mje na kasulu

Келесі