THE JUNCTION S1:E17 | ANEZYLITTA & GIBSON KAWAGO
Ойын-сауық
#iRoctv#iRocNetworks#fashion#taifastars#coco#anezlytta#afcon#Yanga#gibsonkawago#climate#Simba,#Zuchu#Podcast#PodcastTanzania#DiamondPlatnumz#Alikiba#Harmonize#Afyayaakili#Usawawakijinsia#SamiaSuluhu#babalevo #mwijaku#magufuli5tena#tanzanianshow#connection#mamakizimkazii#afyayaakili
Пікірлер: 52
Excellent Show .. I’m watching all the way from Up north England 🏴.. big up bro . I love the factual in this episode 🔥🔥🔥🔥🇬🇧🇬🇧🇬🇧🙌🙌🙌
Podcast hii ni zaid ya elimu kila kitu unapata 🤣🥺🤯😎 junction never disappoint me 🎉big up
Much appreciation I will be back 2027 with my Tesla kucoment tena🎉
Best episode so far! Hongereeni iroc, mpo vizuri sana
hii episode kaliii tuning in from the US
my best interview ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Top interview kwa hawa vijana💯
Nimepata pa kununua furniture.... Fire episode, watu wa nguvu
Kasema kweli hata ujerumani walifanya hivyo kwa chayna 💯
Sema Gibson umetisha sana upo very smart kwenye kupangilia point zako mzee
safi sanaaa
Hii episode ni kali sana ata tu, I have gained more experience thanks for that Charles❤❤❤
Presenter punguza reactions ... the podcast nzuri sana ... hongereni to both speakers.
Mashaallah dada upo vizur
🎉🎉🎉anezylitaa
podcast makini snaaa
Best episode so far📌
mtangazaji una makelele sana tulia bro interview nzuri by the way
@eliamtani2840
2 ай бұрын
na watu wengi walisha mwambia aache izo mambo lkn haelewi, kila interview mpya ikitoka anafanya yale yale.
@amisaissa208
20 күн бұрын
Mi i love hizo mbwembwe zake na hizo kelele zake 😊#keep it up bro
@michaelkisalisho8698
Күн бұрын
Ndio Ndio Nipo Pamoja Na Wewe, Kwanza Kipindi Hivo Ndio Kinachangamka Bhana 👌🏾😂😂@@amisaissa208
tesla moja yangu hapo
Anayehusika ni nani aje hasa kwa hii show ndiyo MVP wa hii show 🔥 📛
😂😂😂bajent
podcast nzuri sana hihi
the guy is so smart
🤣🤣panjenaii dadiiii wanamaa🤣🤣matukiooooo🔥🔥
Asanteni kwa kutuelimisha vijana
Host punguza chai unakata radha
Good job
Waiting….
@jacksonjudicate9388
5 ай бұрын
Hey Gibson, As a Tanzanian Youth am very proud of you, When you are Dar please lets have a coffee, I believe i'll walk away with Something
Muarabu weee 😂
X junction ❤❤
Mdondosh kusah n Abby girl chams
The more you go around 🤔😅iyk yk
🔥🔥🔥🔥
Naomba muongozo na msada wenu please hebu waiteni kina baba levo na mwijakuu huku ikiwezekana na hawa masley wajinga tulionao badhii waje washuhudie nini wanatakiwa waifunze TZ kupitia nafasi walizoo pewaa 😡😡😡😡🤬
Gibson ni mtu Smart sana
Kiwango ako na facts nyingi sana, ila huyo Anezy aende shule maana anaropka sana
@narumbahanje9393
5 ай бұрын
hata mie nimeliona , huo ndio utofauti wa kwenda shule ma kutokwenda shule
@jebajr
5 ай бұрын
Shule muhimu@@narumbahanje9393
@Sharifa_Fashion_21
5 ай бұрын
Acheni wivu 😂tafuteni pesa mpunguze makasiriko
@jebajr
5 ай бұрын
@@Sharifa_Fashion_21 unadhani kila mtu anatafuta pesa?
@MonicaDedu
5 ай бұрын
Aropoki ila anasimama na nafasi ya kujibu maswali yake kwa sababu anaingiliwa pale anapojibu maswali yake 😊
Aloooo !!!!
Mdondosh kusah
F
The interviewer is good at questioning, but his reactions are a turn off. Anakatisha maongezi, too much noise, over reaction. Inanifanya ni skip parts just because of that. How about being more proffessional? Yes vibe is good but needs to be standard and controlled :)
@iRocNetworks
2 ай бұрын
Thanks for your constructive feedback.
@MwanaheriRajabu
Ай бұрын
sorry hiii ipo kwenye platform nyengine
@MwanaheriRajabu
Ай бұрын
like kusikiliza kwenye platform nyengine au