THE CLASSIC NURUELLY: FUNDI WA R & B/NLIDHARAULIWA/TAJI ALINISHUSHA STEJINI/MEDIA ZIMEUA R & B BONGO
Moja ya wanamuziki bora na waimbaji bora kabisa muda wote wa Bongofleva ni Nuruelly ,alifanya kazi kubwa kwa karibu miaka 30 kwenye game,ameshiriki katika mamia ya nyimbo za Bongofleva,hii ni sehemu ya hadithi yake alipofika kwenye The Classic
Пікірлер: 33
Tuliokua tukisikiliza watu kama hawa, sasa hivi tunasikia kelele tu...Nuruelly, Pure talent!!!
Hilo pindi lilivyofunguliwa....Nuruelly Kiboko nyinyii. 🎶🔥🔥🔥
Nuruelly una ile ngoma UMETUTOKA BABA naikubumbuka sana uliweua
Huyu mshakaji hakua na bahati tu, ila ni bonge la musician. Mkali sana r&b
@sidiqmhina7823
6 ай бұрын
sio Bahati walimbania maisha
Ruge mungu anakuona ukae panapostahil
Big up Nuruelly collaboration yako na Marehemu Salu Tee "Nyota imedondoka" ulifanya kitu kizuri sana....Kunta...Kinte.
Nuruelly aliwahi toa goma moja kali balaa linaitwa MNG'ARO WA SILVER sijui yake ile ama alishirikishwa ila ngoma ile kwa utoto wetu enzi zile ilibamba
Mimi umetutoka baba hadi kesho hua ina nili a sana hua nakumbuka mengi sana
Kaka kuvichaka big up sana kwa kazi nziru,mpe hi moruo king daah kitambo sana mwana ,respect for what you're doing broo much ✌️✌️ love
GOOD JOB JABIR WE NEED THIS HISTORY...TUNAPISHANA NA WATU MITAANI HATUWAJUI KUMBE WAMEFANYA MAKUBWA SANA KWENYE MZIKI
@KuviFacts
7 ай бұрын
yes kaka kabisa kaka ni muhimu sana kaka kuna watu wamepigania mazuri yanayopatikana sasa kwenye game kwa kias kikubwa ,baati mbaya jamii inachukulia poa ,ni jukumu letu kuweka sawa haya
@sidiqmhina7823
6 ай бұрын
@@KuviFacts Jamaa amekuambia ukweli, hizi story baadae zitakuwa historia za kutafuta sana , unafanya vizuri sana Bro Jabbir.
Iyo nyimbo inayosikika nyuma yaaan sound track inaitwaje daah inaunyama sana
@henrishjohn8783
2 ай бұрын
Mng'aro wa silver
Duh pole nuruely
Jamaa anajua😮
Jamaa kammaindi sana RG
❤❤❤❤
Kinywaj kipo vzur
Huyo jamaa aliesimama kavaa kofia nyeusi ni nani😢😢
@MsafirLeuna-zz6rw
6 ай бұрын
Mm huyo
Interview na kaka Emanuel Nkulila kaka @kuvichaka please
Moja ya kolabo kali ni ile alofanya mapacha inaitwa nipe jibu...
Brother anapiga ukweli wa roho sana..
Ila mmemkata na kumhamisha uelekeo wakati alikuwa anataka afunguke kuhusu umafia wa radio
4 cruese fravour
Ismail kipila ndio kaimba rangi yachungwa
Nuruely mkali sana.. Nimesemaje apo? 😂
Media Kongwe kubwa za Tanzania , zilipoteza wasanii wengi wakali , walikuwa wanachagua wasanii wao na kuacha wasanii wa kali.
Mtaalamu
Ruge huyu🤨🤨🤨
nimesemaje hapo?😂