THE CLASSIC NURUELLY: FUNDI WA R & B/NLIDHARAULIWA/TAJI ALINISHUSHA STEJINI/MEDIA ZIMEUA R & B BONGO

Moja ya wanamuziki bora na waimbaji bora kabisa muda wote wa Bongofleva ni Nuruelly ,alifanya kazi kubwa kwa karibu miaka 30 kwenye game,ameshiriki katika mamia ya nyimbo za Bongofleva,hii ni sehemu ya hadithi yake alipofika kwenye The Classic

Пікірлер: 33

  • @melki-kabalu759
    @melki-kabalu7597 ай бұрын

    Tuliokua tukisikiliza watu kama hawa, sasa hivi tunasikia kelele tu...Nuruelly, Pure talent!!!

  • @CoachHafidh
    @CoachHafidh2 ай бұрын

    Hilo pindi lilivyofunguliwa....Nuruelly Kiboko nyinyii. 🎶🔥🔥🔥

  • @goodneighbour2638
    @goodneighbour26387 ай бұрын

    Nuruelly una ile ngoma UMETUTOKA BABA naikubumbuka sana uliweua

  • @hemedisalim812
    @hemedisalim8127 ай бұрын

    Huyu mshakaji hakua na bahati tu, ila ni bonge la musician. Mkali sana r&b

  • @sidiqmhina7823

    @sidiqmhina7823

    6 ай бұрын

    sio Bahati walimbania maisha

  • @farajiissa560
    @farajiissa5602 ай бұрын

    Ruge mungu anakuona ukae panapostahil

  • @webstersinje7712
    @webstersinje77127 ай бұрын

    Big up Nuruelly collaboration yako na Marehemu Salu Tee "Nyota imedondoka" ulifanya kitu kizuri sana....Kunta...Kinte.

  • @arsenalic23
    @arsenalic235 ай бұрын

    Nuruelly aliwahi toa goma moja kali balaa linaitwa MNG'ARO WA SILVER sijui yake ile ama alishirikishwa ila ngoma ile kwa utoto wetu enzi zile ilibamba

  • @hadserhood2823
    @hadserhood28237 ай бұрын

    Mimi umetutoka baba hadi kesho hua ina nili a sana hua nakumbuka mengi sana

  • @anoldkivuyohiphopmc1957
    @anoldkivuyohiphopmc19577 ай бұрын

    Kaka kuvichaka big up sana kwa kazi nziru,mpe hi moruo king daah kitambo sana mwana ,respect for what you're doing broo much ✌️✌️ love

  • @shebelezatv1809
    @shebelezatv18097 ай бұрын

    GOOD JOB JABIR WE NEED THIS HISTORY...TUNAPISHANA NA WATU MITAANI HATUWAJUI KUMBE WAMEFANYA MAKUBWA SANA KWENYE MZIKI

  • @KuviFacts

    @KuviFacts

    7 ай бұрын

    yes kaka kabisa kaka ni muhimu sana kaka kuna watu wamepigania mazuri yanayopatikana sasa kwenye game kwa kias kikubwa ,baati mbaya jamii inachukulia poa ,ni jukumu letu kuweka sawa haya

  • @sidiqmhina7823

    @sidiqmhina7823

    6 ай бұрын

    @@KuviFacts Jamaa amekuambia ukweli, hizi story baadae zitakuwa historia za kutafuta sana , unafanya vizuri sana Bro Jabbir.

  • @farajiissa560
    @farajiissa5602 ай бұрын

    Iyo nyimbo inayosikika nyuma yaaan sound track inaitwaje daah inaunyama sana

  • @henrishjohn8783

    @henrishjohn8783

    2 ай бұрын

    Mng'aro wa silver

  • @mawazomedia.6454
    @mawazomedia.64547 ай бұрын

    Duh pole nuruely

  • @sokastreet
    @sokastreet7 ай бұрын

    Jamaa anajua😮

  • @jumachillo7329
    @jumachillo73297 ай бұрын

    Jamaa kammaindi sana RG

  • @bongeone
    @bongeone7 ай бұрын

    ❤❤❤❤

  • @saidimbwambo6689
    @saidimbwambo66896 ай бұрын

    Kinywaj kipo vzur

  • @raphaelkaswahili323
    @raphaelkaswahili3237 ай бұрын

    Huyo jamaa aliesimama kavaa kofia nyeusi ni nani😢😢

  • @MsafirLeuna-zz6rw

    @MsafirLeuna-zz6rw

    6 ай бұрын

    Mm huyo

  • @khanafrica22
    @khanafrica225 ай бұрын

    Interview na kaka Emanuel Nkulila kaka @kuvichaka please

  • @jumakabota8277
    @jumakabota82776 ай бұрын

    Moja ya kolabo kali ni ile alofanya mapacha inaitwa nipe jibu...

  • @brightvatta284
    @brightvatta2846 ай бұрын

    Brother anapiga ukweli wa roho sana..

  • @ubuntubantu2404
    @ubuntubantu24047 ай бұрын

    Ila mmemkata na kumhamisha uelekeo wakati alikuwa anataka afunguke kuhusu umafia wa radio

  • @patrickjulius5951
    @patrickjulius59517 ай бұрын

    4 cruese fravour

  • @mawazomedia.6454
    @mawazomedia.64547 ай бұрын

    Ismail kipila ndio kaimba rangi yachungwa

  • @defxtro
    @defxtro7 ай бұрын

    Nuruely mkali sana.. Nimesemaje apo? 😂

  • @sidiqmhina7823
    @sidiqmhina78236 ай бұрын

    Media Kongwe kubwa za Tanzania , zilipoteza wasanii wengi wakali , walikuwa wanachagua wasanii wao na kuacha wasanii wa kali.

  • @azorindege2556
    @azorindege25567 ай бұрын

    Mtaalamu

  • @ntopangonyani6964
    @ntopangonyani69646 ай бұрын

    Ruge huyu🤨🤨🤨

  • @fahamuzaidiinvestments1260
    @fahamuzaidiinvestments12606 ай бұрын

    nimesemaje hapo?😂

Келесі