#TBC

Пікірлер: 11

  • @aboubakarmahmoudmashaka696
    @aboubakarmahmoudmashaka6962 ай бұрын

    Philipe na Kiswahili kama kazaliwa mbagala 😂😂😂

  • @michelongolo7553
    @michelongolo75532 ай бұрын

    Philipe unaongea kiswahili kizuri lakin inchi yako inakushinda mzee baba. Sisi huku hatuna furaha na wewe kabisa tumechoka ,nendaaaa huko

  • @prosperidinya5864
    @prosperidinya58642 ай бұрын

    Filipe unaongea kiswahili kizuri, wala usiwe na wasiwasi

  • @salmaheri971
    @salmaheri9712 ай бұрын

    Nilicho jifunza kwa viongozi wetu ni mfumo waliyo wekewa na wazungu

  • @alvinsafi2733
    @alvinsafi27332 ай бұрын

    Raisi wangu na yeye anajua kiswahili vizuri sana😅😅

  • @prince.eric_msemwa9732
    @prince.eric_msemwa97322 ай бұрын

    io story ya kuingia porini kutafuta amani kweli ni ya kishujaa,

  • @alfinmbilinyi5985
    @alfinmbilinyi59852 ай бұрын

    🇹🇿Hii nchi ya Msumbiji si ingeungana tu na Tanzania kuwa nchi moja?Naona watu wake ni wamoja na kila kitu wanafanana.kuna wangoni,wamakonde,wamakua,wayao na wanaongea kiswahili kizuri.kuna haja mozambique kuanza kutumia kiswahili mashuleni ili watoto waache tumia kireno lugha ya kikoloni za kutugawa na kutuibia utajiri wetu.Hongera Rais nyusi kwa lugha nzuri ya kiswahili.pia nyusi jenga bara bara za lami kuunganisha Tanzania na Msumbiji hasa maeneo ya newala, songea,na tunduru ili uchumi wa wananchi wa Msumbiji na Tanzania uwe mzuri.pia maisha yatakuwa ya raha kwa nchi zote mbili mungu akubariki sana na akupe nguvu pia kufanya makubwa katika nchi yako

  • @othumanlorenzo260

    @othumanlorenzo260

    2 ай бұрын

    hao sio watawala , mzee wangu watawala wakonkule juu maputo

  • @faidhangaga4757
    @faidhangaga47572 ай бұрын

    ❤❤❤

  • @kasimkassam9565
    @kasimkassam95652 ай бұрын

    Rais Nyusi Akiri nyingi sanaa mzeee

  • @aboubakarmahmoudmashaka696
    @aboubakarmahmoudmashaka6962 ай бұрын

    Philipe na Kiswahili kama kazaliwa mbagala 😂😂😂

Келесі