#TBC

#kishindochadktmwinyi

Пікірлер: 13

  • @hikmanalkanan9365
    @hikmanalkanan9365Ай бұрын

    Bro big up

  • @harithwhite589
    @harithwhite58929 күн бұрын

    Mambo haya yakipangwa dubai yanakuwa reality lakini huku kwetu yanakuwa dream tu, lakini tusubiri tuone

  • @hikmanalkanan9365
    @hikmanalkanan9365Ай бұрын

    Jamani mimi nakumbuka Maneno ya hayati makufuli mukimchanguwa mwinyi heheeeeee

  • @hikmanalkanan9365

    @hikmanalkanan9365

    Ай бұрын

    Hadi raha

  • @SalminTenga-fx6wi
    @SalminTenga-fx6wiАй бұрын

    Hongera mh rais

  • @natafutamatatizo4382
    @natafutamatatizo4382Ай бұрын

    ATAKAE KUAMINIKA WE DR BAADA YA MAUAJI YA WATU 21 UCHAGUZI ULIOPI, BASI NI KICHAA TU. ISIPOKUA SAMIHA SULUHU AWADHULUMI WATANGANYIKA NA KUIBA HELA ZAO ILI UJENGE ZANZIBAR

  • @ndimimaskati3641
    @ndimimaskati3641Ай бұрын

    Funga virago urudi kwenu MKURANGA.

  • @user-hk2oz2eg4j
    @user-hk2oz2eg4jАй бұрын

    Anajenga kwa pesa zilizotolewa kwa sababu ya corona. Hivyo hatuoni ajabu kufanya hivo. Ila ajue wananchi wanalalamika maisha magumu. Na wanalia njaa.

  • @afropanorama4730

    @afropanorama4730

    Ай бұрын

    tafuta kazi ufanye ndo dawa ya njaa

  • @user-hk2oz2eg4j

    @user-hk2oz2eg4j

    Ай бұрын

    @@afropanorama4730 Ww hujui Kiswahili.

  • @rajabmsinzia1715

    @rajabmsinzia1715

    Ай бұрын

    Hizo hizo pesa za Corona kama hazina mtu sahihi zingeishia mifukoni mwa watu ila Daktari Hussein Mwinyi Ana dhamira njema na Wazanzibari ndio maana amezitumia kwa njia sahihi, na dawa ya njaa ni kufanya kazi kijana au unataka akuletee nyumani chakula?

  • @user-hk2oz2eg4j

    @user-hk2oz2eg4j

    Ай бұрын

    @@rajabmsinzia1715 Watu wanafanya kazi usiku na mchana. Kijana kua mkweli kubali ukweli ikiwa ww ni muumini wa dini yoyote. Maisha yamekuwa mabaya na magumu kutokana na uongozi mbovu. Huo ndio ukweli. Acha kujitia ujinga. Soma ili uelewe na fuatilia dunia inaendaje acha ujinga.

  • @rajabmsinzia1715

    @rajabmsinzia1715

    Ай бұрын

    @@user-hk2oz2eg4j Maisha hayajawahi kuwa rahisi kwa mtu mvivu Na kwa akili yako Serikali iliendeshwa na kina Jusa ndio maisha yatakuwa rahisi ?hebu nijibu hili suala msomi wangu