TAZAMA TEACHER YUFRESH AKIFUNDISHA SOMO LA SAYANSI DRS7 KWA MBINU BORA KABISA YA WIMBO.🥰 JIFUNZE LEO
Jifunze somo la sayansi kwa vitendo kwa mbinu bora na nyepesi zaidi ya nyimbo na #Teacheryfresh🥰
Majaribio ya kisayansi kwa vitendo. Mada ndogo ni "Moto"🤸🤸♂️
Пікірлер: 51
Hv kweli hatuwezi kutafuta kujua gharama za kumtengenezea mguu wa bandia ili aweze kufanyakazi yake kwa ufanisi na uhuru mkubwa? Mi nashauri tumchangie ili kufanikisha hili. Huyu jamaa ni Hazina ya Taifa, Jamani tuamke...... Kwa wasioelewa Kiswahili, I'm calling anyone who wishes to support this hero so that he can walk with both legs normally.
@RickMartin-gs2rv
4 күн бұрын
Tuunde group😭
@scorasticaclement6308
Күн бұрын
Huyu Mwamba Yuko Vizur Sana
@elizabethawuor5402
Күн бұрын
It's true
Pole Sana mwalimu naongera kwa juhudi zako
Hongera sana mwalimu
Mwalimu apandishwe cheo kile cha mwisho kabisa mwalimu kupanda yaani daraja Z anapiga kazi nzuri.
@user-ry5kz9ck9e
5 күн бұрын
Akipandishwa watoto watapata wapi huduma nzr kama hyo
Kazi nzuri mwalimu Mungu akulinde🎉🙏🙏
Kaka kiukweli nimependa na umenigusa sana ameni barikiwa sana
Honger mwalim happy hataukiwa nakichwa chakunguni utaelewatu
Adi nimelia mwalimu Mungu akubariki sana
Huyu Mwalimu anunuliwe gari 😭😭😭 anafanya kazi nzuri saana Kwa wanafunzi.'Anyway am watching from Kenyan
Wonderful Job. Student will not forget. Easy to memorize the entire topic.
Aiseee uyumwamba wamemkata mguu aisee pole Sana mwamba ww ni best ticher tanzania
Hongera kamanda
I love this teacher from Kenya
mwalimu Mungu akuweke
Hongera sana mwalimu upo vizur sana nakufuatilia kuongeza mbinu katika ufundishaji wangu
Hakika anastahili pongezi
Well done
Pole sana mwl. U fresh kwa kukatwa mguu MUNGU akupe lankheri kwa kazi unayofanya atakujalia maisha marefu
HONGERA MWALIMI NIKITAZAMA VIDIO ZAKO NATAMANI UNGE KUA KARIBU NA WW NILETE WATOTO WANGU KAZI YAKO NIMWITO KUTOKA NDANI YA ROHO MUNGU AKIBARIKI💙💙🙏🙏
Hongera sana mwalimu kwa kazi nzuru
May Allah bless you and you student
@MohamedGeorge-yr3cp
8 күн бұрын
Thank you sir
Karibu na Kilimanjaro .. Waalimu wa huku wamepoaaaa sanaaaaa.... Hata mbio hakunaaaa
Hongera teacher mungu akutunze
Innaah liliah wainnah liliah rajiun jamaa alifanya Nini Hadi akakatwa mguu
Pole bro.
Walimu kama hawa dhawadi pekee unayoweza ikawa motisha kwake ni kupandisha madaraja ya vyeo vya mshahara kwa mseleleko mfano kama yuko daraja C unampandisha D,E,F na motisha kama hiyo iwe endelevu kwa waalimu wanaoibuka na ubunifu wa ziada katika ufundishaji. Aina ya motisha niliyoisema inakupalika kisheria na ndio hutakiwa kuwa hivyo japo hatuoni ikifanyika. Askri akifanya jambo zuri huongezewa nyota hata kwa kuruka kwanini walimu wasipewe madaraja ya kuruka? I'm sorry. I'm not a teacher by professional but i love teachers.
mwarim anakipajichakee apewee pongezi zakee serekari ioneejichorapili wanunulie mguu wapili
Hongera sana mwalim
Nice
Jamani mguu umekuwaje tena????
Huyu mwalimu muongezeeni mshahara kuliko wengine kwa maksudi
Aisee ungewatafutia hata kirago maana hapo chini Sasa mihatar au ndo bado tunalia na umasikini tu
Kalibu shule ya msingi Luiye iliyo Tanga wilaya ya Handen Kijiji cha
Hii ni karama kabisa ya kufundisha hafanyi kama kazi ili apate mlo ndio maana anaifurahia
As in u pple learn Science in kiswahili?
Kwan Tanzania masomo yote ni kiswahili 🫢🫢🫢🫢
@edithmushy1010
2 сағат бұрын
Ndiyo. Isipokua SoMo la English pekee.
@edithmushy1010
2 сағат бұрын
Halafu sio kiswahili Ni kwa kiswahili yaan yanafundishwa kwa kutumia lugha ya kiswahili. Ingawaeje SoMo la Kiswahili Kama lugha lipo na linafundishwa pia.
Miwalimu yetu hapa Msongola inaangalia pesa tuu... Kila ck kila Mtoto anatoa kati ya 400,na 500. Dar es salaam hii hi ya Chalamila anayejifanya ana msimamo. Teacher Wangu kwa Kweli Mungu akuzidishie Inshallah.
Mwalimu yusufu matatizo ya mguu umefika hatuwa ya kukatwa 😂
@yudachelango6824
17 күн бұрын
Ni suala la kucheka Hilo?
@julicenyabaro5291
7 күн бұрын
@@yudachelango6824👌👌
@sharifanyumayo6314
6 күн бұрын
Msamee TU hajui matumiz ya emoj
Uko vizury mwalimu
Hv kweli hatuwezi kutafuta kujua gharama za kumtengenezea mguu wa bandia ili aweze kufanyakazi yake kwa ufanisi na uhuru mkubwa? Mi nashauri tumchangie ili kufanikisha hili. Huyu jamaa ni Hazina ya Taifa, Jamani tuamke...... Kwa wasioelewa Kiswahili, I'm calling anyone who wishes to support this hero so that he can walk with both legs normally.
@Teacher_Hassan_Lemunje
10 сағат бұрын
Wekeni namba tuweke chochote kitu