TAZAMA TEACHER YUFRESH AKIFUNDISHA SOMO LA SAYANSI DRS7 KWA MBINU BORA KABISA YA WIMBO.🥰 JIFUNZE LEO

Jifunze somo la sayansi kwa vitendo kwa mbinu bora na nyepesi zaidi ya nyimbo na #Teacheryfresh🥰
Majaribio ya kisayansi kwa vitendo. Mada ndogo ni "Moto"🤸🤸‍♂️

Пікірлер: 51

  • @dilliwa
    @dilliwa4 ай бұрын

    Hv kweli hatuwezi kutafuta kujua gharama za kumtengenezea mguu wa bandia ili aweze kufanyakazi yake kwa ufanisi na uhuru mkubwa? Mi nashauri tumchangie ili kufanikisha hili. Huyu jamaa ni Hazina ya Taifa, Jamani tuamke...... Kwa wasioelewa Kiswahili, I'm calling anyone who wishes to support this hero so that he can walk with both legs normally.

  • @RickMartin-gs2rv

    @RickMartin-gs2rv

    4 күн бұрын

    Tuunde group😭

  • @scorasticaclement6308

    @scorasticaclement6308

    Күн бұрын

    Huyu Mwamba Yuko Vizur Sana

  • @elizabethawuor5402

    @elizabethawuor5402

    Күн бұрын

    It's true

  • @magesajoseph
    @magesajoseph4 күн бұрын

    Pole Sana mwalimu naongera kwa juhudi zako

  • @AlbinusPeter-yw6oy
    @AlbinusPeter-yw6oy6 күн бұрын

    Hongera sana mwalimu

  • @user-lc9zf6jw1r
    @user-lc9zf6jw1r7 күн бұрын

    Mwalimu apandishwe cheo kile cha mwisho kabisa mwalimu kupanda yaani daraja Z anapiga kazi nzuri.

  • @user-ry5kz9ck9e

    @user-ry5kz9ck9e

    5 күн бұрын

    Akipandishwa watoto watapata wapi huduma nzr kama hyo

  • @user-gz1tm6ck8i
    @user-gz1tm6ck8i3 күн бұрын

    Kazi nzuri mwalimu Mungu akulinde🎉🙏🙏

  • @MapiganodelleMasobeji-sq3oc
    @MapiganodelleMasobeji-sq3ocКүн бұрын

    Kaka kiukweli nimependa na umenigusa sana ameni barikiwa sana

  • @VenanceAlex-q8l
    @VenanceAlex-q8l8 сағат бұрын

    Honger mwalim happy hataukiwa nakichwa chakunguni utaelewatu

  • @denisbongore3098
    @denisbongore309833 минут бұрын

    Adi nimelia mwalimu Mungu akubariki sana

  • @ChristineAkinyi-jo5jw
    @ChristineAkinyi-jo5jw7 күн бұрын

    Huyu Mwalimu anunuliwe gari 😭😭😭 anafanya kazi nzuri saana Kwa wanafunzi.'Anyway am watching from Kenyan

  • @MohamedGeorge-yr3cp
    @MohamedGeorge-yr3cp16 күн бұрын

    Wonderful Job. Student will not forget. Easy to memorize the entire topic.

  • @user-ui5xc6sb5m
    @user-ui5xc6sb5m4 ай бұрын

    Aiseee uyumwamba wamemkata mguu aisee pole Sana mwamba ww ni best ticher tanzania

  • @markoshem-ij6cf
    @markoshem-ij6cf2 күн бұрын

    Hongera kamanda

  • @marywanjiku-hk5mb
    @marywanjiku-hk5mb15 күн бұрын

    I love this teacher from Kenya

  • @betrinamkude7826
    @betrinamkude7826Күн бұрын

    mwalimu Mungu akuweke

  • @EnockNanyaro-lk1zi
    @EnockNanyaro-lk1zi11 күн бұрын

    Hongera sana mwalimu upo vizur sana nakufuatilia kuongeza mbinu katika ufundishaji wangu

  • @MwajumaKibwana-yv7ge
    @MwajumaKibwana-yv7ge4 күн бұрын

    Hakika anastahili pongezi

  • @Teacher_Hassan_Lemunje
    @Teacher_Hassan_Lemunje10 сағат бұрын

    Well done

  • @Chezue316
    @Chezue3164 ай бұрын

    Pole sana mwl. U fresh kwa kukatwa mguu MUNGU akupe lankheri kwa kazi unayofanya atakujalia maisha marefu

  • @salomeomashibo1971
    @salomeomashibo19712 күн бұрын

    HONGERA MWALIMI NIKITAZAMA VIDIO ZAKO NATAMANI UNGE KUA KARIBU NA WW NILETE WATOTO WANGU KAZI YAKO NIMWITO KUTOKA NDANI YA ROHO MUNGU AKIBARIKI💙💙🙏🙏

  • @zebedayompindo2758
    @zebedayompindo275813 күн бұрын

    Hongera sana mwalimu kwa kazi nzuru

  • @MohamedGeorge-yr3cp
    @MohamedGeorge-yr3cp16 күн бұрын

    May Allah bless you and you student

  • @MohamedGeorge-yr3cp

    @MohamedGeorge-yr3cp

    8 күн бұрын

    Thank you sir

  • @bonifacemushijoseph9382
    @bonifacemushijoseph93822 ай бұрын

    Karibu na Kilimanjaro .. Waalimu wa huku wamepoaaaa sanaaaaa.... Hata mbio hakunaaaa

  • @LOSERIANILOSUJACK
    @LOSERIANILOSUJACK16 күн бұрын

    Hongera teacher mungu akutunze

  • @aboudasilver6541
    @aboudasilver654110 күн бұрын

    Innaah liliah wainnah liliah rajiun jamaa alifanya Nini Hadi akakatwa mguu

  • @stellastella7245
    @stellastella72458 күн бұрын

    Pole bro.

  • @rockcitynative9985
    @rockcitynative99853 күн бұрын

    Walimu kama hawa dhawadi pekee unayoweza ikawa motisha kwake ni kupandisha madaraja ya vyeo vya mshahara kwa mseleleko mfano kama yuko daraja C unampandisha D,E,F na motisha kama hiyo iwe endelevu kwa waalimu wanaoibuka na ubunifu wa ziada katika ufundishaji. Aina ya motisha niliyoisema inakupalika kisheria na ndio hutakiwa kuwa hivyo japo hatuoni ikifanyika. Askri akifanya jambo zuri huongezewa nyota hata kwa kuruka kwanini walimu wasipewe madaraja ya kuruka? I'm sorry. I'm not a teacher by professional but i love teachers.

  • @braitonilomo1635
    @braitonilomo16353 күн бұрын

    mwarim anakipajichakee apewee pongezi zakee serekari ioneejichorapili wanunulie mguu wapili

  • @SadyPatison
    @SadyPatison9 күн бұрын

    Hongera sana mwalim

  • @EliahKanyika
    @EliahKanyika4 ай бұрын

    Nice

  • @user-bo2lm3gb4b
    @user-bo2lm3gb4b17 күн бұрын

    Jamani mguu umekuwaje tena????

  • @nassirmasoud2545
    @nassirmasoud25455 күн бұрын

    Huyu mwalimu muongezeeni mshahara kuliko wengine kwa maksudi

  • @noahemanuel7015
    @noahemanuel70158 күн бұрын

    Aisee ungewatafutia hata kirago maana hapo chini Sasa mihatar au ndo bado tunalia na umasikini tu

  • @SalimNandu
    @SalimNanduАй бұрын

    Kalibu shule ya msingi Luiye iliyo Tanga wilaya ya Handen Kijiji cha

  • @user-eu6ql9zl7n
    @user-eu6ql9zl7n9 күн бұрын

    Hii ni karama kabisa ya kufundisha hafanyi kama kazi ili apate mlo ndio maana anaifurahia

  • @mercygitonga4664
    @mercygitonga466416 күн бұрын

    As in u pple learn Science in kiswahili?

  • @Walkmwalkm
    @Walkmwalkm4 күн бұрын

    Kwan Tanzania masomo yote ni kiswahili 🫢🫢🫢🫢

  • @edithmushy1010

    @edithmushy1010

    2 сағат бұрын

    Ndiyo. Isipokua SoMo la English pekee.

  • @edithmushy1010

    @edithmushy1010

    2 сағат бұрын

    Halafu sio kiswahili Ni kwa kiswahili yaan yanafundishwa kwa kutumia lugha ya kiswahili. Ingawaeje SoMo la Kiswahili Kama lugha lipo na linafundishwa pia.

  • @EagerBirthdayCake-zh8xb
    @EagerBirthdayCake-zh8xbАй бұрын

    Miwalimu yetu hapa Msongola inaangalia pesa tuu... Kila ck kila Mtoto anatoa kati ya 400,na 500. Dar es salaam hii hi ya Chalamila anayejifanya ana msimamo. Teacher Wangu kwa Kweli Mungu akuzidishie Inshallah.

  • @saidsalum423
    @saidsalum42317 күн бұрын

    Mwalimu yusufu matatizo ya mguu umefika hatuwa ya kukatwa 😂

  • @yudachelango6824

    @yudachelango6824

    17 күн бұрын

    Ni suala la kucheka Hilo?

  • @julicenyabaro5291

    @julicenyabaro5291

    7 күн бұрын

    ​@@yudachelango6824👌👌

  • @sharifanyumayo6314

    @sharifanyumayo6314

    6 күн бұрын

    Msamee TU hajui matumiz ya emoj

  • @abdulikilala5902
    @abdulikilala59024 ай бұрын

    Uko vizury mwalimu

  • @dilliwa
    @dilliwa4 ай бұрын

    Hv kweli hatuwezi kutafuta kujua gharama za kumtengenezea mguu wa bandia ili aweze kufanyakazi yake kwa ufanisi na uhuru mkubwa? Mi nashauri tumchangie ili kufanikisha hili. Huyu jamaa ni Hazina ya Taifa, Jamani tuamke...... Kwa wasioelewa Kiswahili, I'm calling anyone who wishes to support this hero so that he can walk with both legs normally.

  • @Teacher_Hassan_Lemunje

    @Teacher_Hassan_Lemunje

    10 сағат бұрын

    Wekeni namba tuweke chochote kitu

Келесі