MWALIMU ALIYEKATAA MSHAHARA MNONO SHULE BINAFSI, FULL VITUKO DARASANI “NAOGOPA WAKE ZA WATU”(PART 2)

Mwalimu yusuph pangoma ni mmoja ya walimu waliopata umaarufu nchini kwa mfumo wake wa kufundisha wanafunzi wake akiwa anacheza mziki na michezo mbali lakini mda huohuo akiwafundisha wanafunzi hao na kuelewa vizuri.
AyoTV imempata mwalimu huyo akiwa likizo wilaya ya temeke akifundisha shule ya msingi mbagala kuu kwa kujitolea kuwanoa wanafunzi wa darasa la saba masomo ya sayansi licha yeye kuwa mwajiliwa katika shule ya msingi wilaya ya serengeti mkoa wa Mara,

Пікірлер: 96

  • @mussasaid8702
    @mussasaid87023 жыл бұрын

    Masha Allah mwalim yussuf mung akzidshie hapa dunia na akhera insha allah

  • @josephatjohn
    @josephatjohn3 жыл бұрын

    Ualimu na utume kama wa Yesu endelea kuboresha na kutoa kila kilichomoyoni mwako wasipoona binadamu Mungu ataona

  • @nasraabdallah850
    @nasraabdallah8503 жыл бұрын

    Mashaallah tungewapata walim km wew watt wetu wangefanya vizur zaid🌹🌹👏

  • @kadigatanzaniya4792
    @kadigatanzaniya47923 жыл бұрын

    Mashallah mwali yusuf mungu atasimama na wewe lnshaallah

  • @afwililenisaidie9597
    @afwililenisaidie9597 Жыл бұрын

    Hongera mwalimu mungu akupe Kila heri watoto wetu wanahitaji sana kama wewe

  • @0ttiliwiliam317
    @0ttiliwiliam3173 жыл бұрын

    Unaingea mwalimu hadi mtangazaji kashindwa kuhoji, duuh haya

  • @jamilaezekiel6174
    @jamilaezekiel61742 жыл бұрын

    Daa hongera sana mwalim watoto wanakuelewa sana maana daa mungu akubariki sana

  • @neemasolomon1541
    @neemasolomon1541 Жыл бұрын

    Mwl Yusuf hongera Taifa linakutegemea sana mawasiliano yako napataje ?

  • @tielyelibariki8958
    @tielyelibariki89583 жыл бұрын

    Shule iliyokupa we Yusuph nazani wanajivunia Sana watoto wao kupata furaha manake kwa shule zetu tunazijua wenye Mungu akubariki Sana utafika mbali.

  • @malicksalum5425
    @malicksalum54253 жыл бұрын

    M.mungu akuzidishie imani uzidi kuendelea ili wtt. unaofundisha wazidi kusoma

  • @bintmrisho3526
    @bintmrisho35263 жыл бұрын

    Sema mwalimu unaongea kweli yan😂 Adi nimekupenda🥰🥰

  • @hassinaalharthi5984
    @hassinaalharthi5984 Жыл бұрын

    Mashaalla huo ndiyo utu na ubinaadam kukaa na watoto wa watu vizuri. Siyo unapiga kama unaua nyooka.

  • @saudambinga3832
    @saudambinga38323 жыл бұрын

    Good teacher

  • @agiasaidi5294
    @agiasaidi52943 жыл бұрын

    MASHAALLAH, MASHAALLAH, MASHAALLAH

  • @happyhappiness940
    @happyhappiness9403 жыл бұрын

    Safi mungu akubariki xan walimu wote wangekua kam ww ingekua powa

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne74913 жыл бұрын

    Huyu ni mtu anaye penda sana kazi yake

  • @wemapingu8937
    @wemapingu89373 жыл бұрын

    Kweli anafanya kazi yake kutoka moyoni

  • @mbotwambotwa2186
    @mbotwambotwa2186 Жыл бұрын

    Hongera sana mwalimu nimeipenda

  • @bobg611
    @bobg611 Жыл бұрын

    I like this guym. Welcome kenya you have a job here.

  • @josephkulija293
    @josephkulija293 Жыл бұрын

    Safi sana mwalimu hakika una wito ndo maana anafurahia na wanafunzi wake.

  • @annamwakibinga527
    @annamwakibinga5273 жыл бұрын

    Hongera sana mwalimu

  • @doreensamwely8740
    @doreensamwely87402 жыл бұрын

    Nimekupenda buree Kaka anguu ,ufke mbali

  • @mwanatz5980
    @mwanatz5980 Жыл бұрын

    Hongera sana ubarikiwe

  • @marcelleali7946
    @marcelleali79463 жыл бұрын

    Hongera ndugu yetu

  • @mamahelen4584

    @mamahelen4584

    3 жыл бұрын

    Teacher kiboko ya watoro 😂mwanfunz anatamani masomo yote afundishe yye

  • @elicegeorge9991
    @elicegeorge99913 жыл бұрын

    Una moyo Sana Mungu akubariki mdogo wangu

  • @venitarugemalila9290
    @venitarugemalila9290 Жыл бұрын

    Hongeraaa mwalimu ila du! unakipaji sikufikii hahaaaaa

  • @azizamohamed7692
    @azizamohamed76923 жыл бұрын

    Mwalimu Yusuph nakupenda hakika atakae kuchukia mchawi

  • @yusuph_pangoma

    @yusuph_pangoma

    3 жыл бұрын

    shukrani 0789088459

  • @bintmrisho3526

    @bintmrisho3526

    3 жыл бұрын

    @@yusuph_pangoma we muongo

  • @yusuph_pangoma

    @yusuph_pangoma

    3 жыл бұрын

    @@bintmrisho3526 wa Nini tena namba yangu

  • @bintmrisho3526

    @bintmrisho3526

    3 жыл бұрын

    @@yusuph_pangoma upo WhatsApp au

  • @yusuph_pangoma

    @yusuph_pangoma

    3 жыл бұрын

    @@bintmrisho3526 ndiyooo hiyoo

  • @beetrootfruit2098
    @beetrootfruit2098 Жыл бұрын

    Anafanya kazi nzuri kwa kweli...

  • @salmasalim6055
    @salmasalim60553 жыл бұрын

    Mashallah

  • @vannylowe8436
    @vannylowe84363 жыл бұрын

    FIRST VIEWER STANDING 🤑🤑🤑

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne74913 жыл бұрын

    Ukiipenda kazi yako huchoki

  • @lucykristensen7145
    @lucykristensen7145 Жыл бұрын

    Si kwa uongeaji huo Dhuu !!😅 Kama mtangazaji mpira …Sikubaliani na walimu kupiga watoto hata bakora moja. Waeleweshe watoto kwa kongea nao. Kazi yao iwe kufundisha na kuelimisha sio kupiga watoto.

  • @maloomaalmnsj5111
    @maloomaalmnsj51113 жыл бұрын

    Duh 🙄🙄🙄 kumbe walimu wanapata pesa ndogo serikali muwaone walimu ata sie wafanya kazi za ndani nnje pesa nyingi

  • @josephkulija293
    @josephkulija293 Жыл бұрын

    Safi

  • @sofiakimvula4168
    @sofiakimvula4168 Жыл бұрын

    Jamani kweri kaka unamoyo sana mshahara mdogo sana sana MUNGU atakuinua

  • @muniramtika3614
    @muniramtika3614 Жыл бұрын

    Hongera sn ticha lkn cku nyngne usitaje mshahara wko

  • @mussamdoe1556
    @mussamdoe15563 жыл бұрын

    uko vizur king kiberit mfalume njiti pangoma

  • @yusuph_pangoma

    @yusuph_pangoma

    3 жыл бұрын

    🙏🙏🙏 broo shukrani

  • @hamedabashir9
    @hamedabashir93 жыл бұрын

    Jmn kumbe ndo mushahara tyukomae tyulioko omani

  • @mlebesitv2628
    @mlebesitv26283 жыл бұрын

    Tv Darasani

  • @mirajizuberi7992
    @mirajizuberi7992 Жыл бұрын

    Sophia Laurent kwni nayy amekuambia anakutaka au shobo

  • @aloycesambuta9937
    @aloycesambuta99372 жыл бұрын

    Hapo kwenye SIASA sasa, Siasa inachukua kila kilichobora!

  • @venitarugemalila9290
    @venitarugemalila9290 Жыл бұрын

    Jamaniiiiiiii wakusapoti mahali jmniii

  • @benjaminkimaro5074
    @benjaminkimaro50743 жыл бұрын

    Good 😂😂😂

  • @salimharrasy7047
    @salimharrasy7047 Жыл бұрын

    Kutaja mshahara kwa lengo la kufundisha sio mbaya.

  • @yasiniselemani2412
    @yasiniselemani24123 жыл бұрын

    Wakola waitu

  • @anoldjose7793

    @anoldjose7793

    3 жыл бұрын

    Kasinge

  • @rashidubruhani8981
    @rashidubruhani89813 жыл бұрын

    Safi sana utafika mbali

  • @venitarugemalila9290
    @venitarugemalila9290 Жыл бұрын

    Kwa mwl.wa msingi parefu

  • @aishachambo3293
    @aishachambo32933 жыл бұрын

    Jamani kumbe walimu wanalipwa pesa kidogo sana dah 😢

  • @ednaJF1028
    @ednaJF10283 жыл бұрын

    Please next time on your holiday come visit us 🇺🇸

  • @yusuph_pangoma

    @yusuph_pangoma

    3 жыл бұрын

    take my number +255789088459

  • @mr_manpower250
    @mr_manpower2503 жыл бұрын

    Mbaye uwambere munyihere izo like

  • @fatemaligalawa1918

    @fatemaligalawa1918

    3 жыл бұрын

    Nakufuatiloa mda sijui unaitumia lugha gani

  • @johnwillingstone3121
    @johnwillingstone31213 жыл бұрын

    Nakuona homeboy

  • @johnwillingstone3121

    @johnwillingstone3121

    3 жыл бұрын

    Mwanamtoti mojaa

  • @yusufulimo5737
    @yusufulimo5737 Жыл бұрын

    Hakuna Yusuf boya dunian

  • @marianyahenge9529
    @marianyahenge9529 Жыл бұрын

    Mwl kipato ni Siri yako na mwajili hukupaswa kutamka hadharani

  • @aishaabdalla7624
    @aishaabdalla76243 жыл бұрын

    Joti no. 2! kutokana na fani ya Ualimu ni "kioo cha jamii: Ushauri wangu ungepunguza kidogo hz commedy

  • @pendopendojoshua7624

    @pendopendojoshua7624

    3 жыл бұрын

    Haujamuelewa huyu mwalimu,watoto wanamuelewa na wanafanya vizuri

  • @yusuph_pangoma

    @yusuph_pangoma

    3 жыл бұрын

    Hizi hazipo kila siku ila kipindi kikinoga huwa mizuka

  • @samwa9496

    @samwa9496

    Жыл бұрын

    Madhali anaenda na syllabus hiyo si issue watoto ufaulu wa upo juu inatosha wachaa maisha yaendelee

  • @faridakigava4904

    @faridakigava4904

    Жыл бұрын

    Anafanya muda wa ziada pia

  • @sophialaurent2406
    @sophialaurent24063 жыл бұрын

    Huyu Kaka anaongea Sana khaa,😂😂😂 mwanaume wa hivi simtaki kbs

  • @jacoblukumay472

    @jacoblukumay472

    3 жыл бұрын

    Yemwenyewe hakutaki mwanamke mpole kama wewe

  • @Expedito2512

    @Expedito2512

    Жыл бұрын

    Duuu! Ila kazi anafanya. Na anaongea sana

  • @faridakigava4904

    @faridakigava4904

    Жыл бұрын

    Kwani kakwambia anakutaka 🤣🤣😏

  • @magerechales9018

    @magerechales9018

    Жыл бұрын

    Ye anaongelea masomo we humpendi kimapenzi vitu viwil na mada tulio nayo mezani

  • @shinemakenzi8101

    @shinemakenzi8101

    Жыл бұрын

    Tafuta unaowapenda hujalazimishwa kumpenda wew fuvu lako unawaza ngono tu ovyoo

  • @victormushi6641
    @victormushi66413 жыл бұрын

    USITAJE MSHAHARA WAKO KAKA UNAKOSEA SANA

  • @zuleikhakhamis3303

    @zuleikhakhamis3303

    3 жыл бұрын

    why asitaje walimu ni wa2 dunii Tz bora ataje kwa elimu ya Tz ngumu wanatakiwa kulipwa zaidi km nchi tulokuepo cc tunapeleka CV kujadiliwa na nchi tulosoma wanashangaa tunasoma zaidi kuliko huku nje ya nchi

  • @saknajumapili8282

    @saknajumapili8282

    3 жыл бұрын

    Jmn🙏

  • @chiefmahucha6847

    @chiefmahucha6847

    3 жыл бұрын

    "Unakosea sana" Nini tafsri yake? Je, kuna maadili ya jamii gani kavunja? Au ni sheria / kanuni gani kavunja?

  • @msanifukatunzi8434

    @msanifukatunzi8434

    3 жыл бұрын

    Ethics only

  • @sofiakimvula4168

    @sofiakimvula4168

    Жыл бұрын

    Bora kasema Lamda wataongezewa ss tungejuwa Kama wanalipwa kidogo kiac hicho