MWALIMU ALIYEKATAA MSHAHARA MNONO SHULE BINAFSI, FULL VITUKO DARASANI “NAOGOPA WAKE ZA WATU”(PART 2)
Mwalimu yusuph pangoma ni mmoja ya walimu waliopata umaarufu nchini kwa mfumo wake wa kufundisha wanafunzi wake akiwa anacheza mziki na michezo mbali lakini mda huohuo akiwafundisha wanafunzi hao na kuelewa vizuri.
AyoTV imempata mwalimu huyo akiwa likizo wilaya ya temeke akifundisha shule ya msingi mbagala kuu kwa kujitolea kuwanoa wanafunzi wa darasa la saba masomo ya sayansi licha yeye kuwa mwajiliwa katika shule ya msingi wilaya ya serengeti mkoa wa Mara,
Пікірлер: 96
Masha Allah mwalim yussuf mung akzidshie hapa dunia na akhera insha allah
Ualimu na utume kama wa Yesu endelea kuboresha na kutoa kila kilichomoyoni mwako wasipoona binadamu Mungu ataona
Mashaallah tungewapata walim km wew watt wetu wangefanya vizur zaid🌹🌹👏
Mashallah mwali yusuf mungu atasimama na wewe lnshaallah
Hongera mwalimu mungu akupe Kila heri watoto wetu wanahitaji sana kama wewe
Unaingea mwalimu hadi mtangazaji kashindwa kuhoji, duuh haya
Daa hongera sana mwalim watoto wanakuelewa sana maana daa mungu akubariki sana
Mwl Yusuf hongera Taifa linakutegemea sana mawasiliano yako napataje ?
Shule iliyokupa we Yusuph nazani wanajivunia Sana watoto wao kupata furaha manake kwa shule zetu tunazijua wenye Mungu akubariki Sana utafika mbali.
M.mungu akuzidishie imani uzidi kuendelea ili wtt. unaofundisha wazidi kusoma
Sema mwalimu unaongea kweli yan😂 Adi nimekupenda🥰🥰
Mashaalla huo ndiyo utu na ubinaadam kukaa na watoto wa watu vizuri. Siyo unapiga kama unaua nyooka.
Good teacher
MASHAALLAH, MASHAALLAH, MASHAALLAH
Safi mungu akubariki xan walimu wote wangekua kam ww ingekua powa
Huyu ni mtu anaye penda sana kazi yake
Kweli anafanya kazi yake kutoka moyoni
Hongera sana mwalimu nimeipenda
I like this guym. Welcome kenya you have a job here.
Safi sana mwalimu hakika una wito ndo maana anafurahia na wanafunzi wake.
Hongera sana mwalimu
Nimekupenda buree Kaka anguu ,ufke mbali
Hongera sana ubarikiwe
Hongera ndugu yetu
@mamahelen4584
3 жыл бұрын
Teacher kiboko ya watoro 😂mwanfunz anatamani masomo yote afundishe yye
Una moyo Sana Mungu akubariki mdogo wangu
Hongeraaa mwalimu ila du! unakipaji sikufikii hahaaaaa
Mwalimu Yusuph nakupenda hakika atakae kuchukia mchawi
@yusuph_pangoma
3 жыл бұрын
shukrani 0789088459
@bintmrisho3526
3 жыл бұрын
@@yusuph_pangoma we muongo
@yusuph_pangoma
3 жыл бұрын
@@bintmrisho3526 wa Nini tena namba yangu
@bintmrisho3526
3 жыл бұрын
@@yusuph_pangoma upo WhatsApp au
@yusuph_pangoma
3 жыл бұрын
@@bintmrisho3526 ndiyooo hiyoo
Anafanya kazi nzuri kwa kweli...
Mashallah
FIRST VIEWER STANDING 🤑🤑🤑
Ukiipenda kazi yako huchoki
Si kwa uongeaji huo Dhuu !!😅 Kama mtangazaji mpira …Sikubaliani na walimu kupiga watoto hata bakora moja. Waeleweshe watoto kwa kongea nao. Kazi yao iwe kufundisha na kuelimisha sio kupiga watoto.
Duh 🙄🙄🙄 kumbe walimu wanapata pesa ndogo serikali muwaone walimu ata sie wafanya kazi za ndani nnje pesa nyingi
Safi
Jamani kweri kaka unamoyo sana mshahara mdogo sana sana MUNGU atakuinua
Hongera sn ticha lkn cku nyngne usitaje mshahara wko
uko vizur king kiberit mfalume njiti pangoma
@yusuph_pangoma
3 жыл бұрын
🙏🙏🙏 broo shukrani
Jmn kumbe ndo mushahara tyukomae tyulioko omani
Tv Darasani
Sophia Laurent kwni nayy amekuambia anakutaka au shobo
Hapo kwenye SIASA sasa, Siasa inachukua kila kilichobora!
Jamaniiiiiiii wakusapoti mahali jmniii
Good 😂😂😂
Kutaja mshahara kwa lengo la kufundisha sio mbaya.
Wakola waitu
@anoldjose7793
3 жыл бұрын
Kasinge
Safi sana utafika mbali
Kwa mwl.wa msingi parefu
Jamani kumbe walimu wanalipwa pesa kidogo sana dah 😢
Please next time on your holiday come visit us 🇺🇸
@yusuph_pangoma
3 жыл бұрын
take my number +255789088459
Mbaye uwambere munyihere izo like
@fatemaligalawa1918
3 жыл бұрын
Nakufuatiloa mda sijui unaitumia lugha gani
Nakuona homeboy
@johnwillingstone3121
3 жыл бұрын
Mwanamtoti mojaa
Hakuna Yusuf boya dunian
Mwl kipato ni Siri yako na mwajili hukupaswa kutamka hadharani
Joti no. 2! kutokana na fani ya Ualimu ni "kioo cha jamii: Ushauri wangu ungepunguza kidogo hz commedy
@pendopendojoshua7624
3 жыл бұрын
Haujamuelewa huyu mwalimu,watoto wanamuelewa na wanafanya vizuri
@yusuph_pangoma
3 жыл бұрын
Hizi hazipo kila siku ila kipindi kikinoga huwa mizuka
@samwa9496
Жыл бұрын
Madhali anaenda na syllabus hiyo si issue watoto ufaulu wa upo juu inatosha wachaa maisha yaendelee
@faridakigava4904
Жыл бұрын
Anafanya muda wa ziada pia
Huyu Kaka anaongea Sana khaa,😂😂😂 mwanaume wa hivi simtaki kbs
@jacoblukumay472
3 жыл бұрын
Yemwenyewe hakutaki mwanamke mpole kama wewe
@Expedito2512
Жыл бұрын
Duuu! Ila kazi anafanya. Na anaongea sana
@faridakigava4904
Жыл бұрын
Kwani kakwambia anakutaka 🤣🤣😏
@magerechales9018
Жыл бұрын
Ye anaongelea masomo we humpendi kimapenzi vitu viwil na mada tulio nayo mezani
@shinemakenzi8101
Жыл бұрын
Tafuta unaowapenda hujalazimishwa kumpenda wew fuvu lako unawaza ngono tu ovyoo
USITAJE MSHAHARA WAKO KAKA UNAKOSEA SANA
@zuleikhakhamis3303
3 жыл бұрын
why asitaje walimu ni wa2 dunii Tz bora ataje kwa elimu ya Tz ngumu wanatakiwa kulipwa zaidi km nchi tulokuepo cc tunapeleka CV kujadiliwa na nchi tulosoma wanashangaa tunasoma zaidi kuliko huku nje ya nchi
@saknajumapili8282
3 жыл бұрын
Jmn🙏
@chiefmahucha6847
3 жыл бұрын
"Unakosea sana" Nini tafsri yake? Je, kuna maadili ya jamii gani kavunja? Au ni sheria / kanuni gani kavunja?
@msanifukatunzi8434
3 жыл бұрын
Ethics only
@sofiakimvula4168
Жыл бұрын
Bora kasema Lamda wataongezewa ss tungejuwa Kama wanalipwa kidogo kiac hicho