TAZAMA MUONEKANO MPYA UWANJA WA MKAPA TAA KILA KONA, INTERNET BURE, RAIS SAMIA AMWAGA BILIONI 31

Ripoti za Ayo Tv leo zinatokea Uwanja wa Benjamin Mkapa wengine wakipaita Lupaso ambapo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr Samia Suluhu Hassan ametoa Shilingi Bilioni 31 kwa ajili ya ukarabati wa uwanja huo.
Timu ya Ayo Tv imefika hadi Lupaso na kushuhudia maboresho yaliyofanyika ikiwemo Taa, Screen za LED, vyumba vya Wachezaji, nyasi mpya na huduma ya Internet
Kaimu Meneja wa Uwanja Milinde Mahona ameeleza kuwa Uwanja huo ulizinduliwa mwaka 2007 ni takribani miaka 17 haujafanyiwa ukarabati Mkubwa kama huo unaoendelea.

Пікірлер: 251

  • @cuthbertswai2774
    @cuthbertswai27749 ай бұрын

    nawapongeza serikali kwa kazi nzuri ya kuukarabati uwanya wetu yaani umenoga sana

  • @isackmikosi-th3wv
    @isackmikosi-th3wv9 ай бұрын

    Quality peach,

  • @emmanueltarimo892
    @emmanueltarimo8929 ай бұрын

    Mtangazaji tupeleke sehemu korofi kama vyooni kwa mashabiki tuone marekebisho

  • @MabulaPatrick-bv5io

    @MabulaPatrick-bv5io

    9 ай бұрын

    😆

  • @fanuelykitambule5542

    @fanuelykitambule5542

    9 ай бұрын

    Hilo nalo neno wasijipendelee wao tu wakatusahau sisi

  • @reiphan9894

    @reiphan9894

    9 ай бұрын

    😀😀😀 hilo nalo nimuhimu

  • @mamboshepea8888

    @mamboshepea8888

    9 ай бұрын

    @@reiphan9894 ulibomolewa au ni ukarabati tuuuu😃😃!!!

  • @reiphan9894

    @reiphan9894

    9 ай бұрын

    @@mamboshepea8888 huo ni ukarabati sasa je sehem zote hata za mashabiki? Wanaonesha pich na taa tu vipi kuhusu kule ofisini kwa mashabiki

  • @PanchoValentino-wh7wt
    @PanchoValentino-wh7wt9 ай бұрын

    L.A.D Safi saana iyoo 💯🔝🔥💥💪

  • @vinny.morales

    @vinny.morales

    9 ай бұрын

    Ni L.E.D mkuu

  • @MashaSayi-ui7dz
    @MashaSayi-ui7dz9 ай бұрын

    Hongera rais wetu KAZI iendeleeeeeeeeee. Mafanikio wengine yanawaumiza hawataki kabisa kusikia vitendo halisia ni shiiiiida Kwa wanaopinga

  • @francisphilipo5749

    @francisphilipo5749

    9 ай бұрын

    Acha upumbafu mpira na siasa ni tofaut

  • @MashaSayi-ui7dz

    @MashaSayi-ui7dz

    9 ай бұрын

    @@francisphilipo5749 Kuna siasa Gani ambayo nimeihusisha hapo. Be knowledgeable when you're replying someone's comment usikurupuke!

  • @hemedmtunguja9788

    @hemedmtunguja9788

    9 ай бұрын

    Raisi kwafuata nn na Kama sio siasa acha shobo

  • @Kijana-wa-Tanzania

    @Kijana-wa-Tanzania

    9 ай бұрын

    Kwani huo uwanja haukuwa ukiingiza mapato kwa kipindi chote mpaka leo pesa itoke serekalini? Wewe haujui wanaokusanya mapato na kuuendesha uwanja wa Mkapa sio serekali? Alafu hiyo pesa imepitishwa kwenye budget ipi? Ama raisi katoa kwenye pension yake?

  • @zephaniamanembe6929

    @zephaniamanembe6929

    9 ай бұрын

    Mmeamua kuutangazia ulimwengu kua ninyi mnashiliki Mambo ya ushoga, fafanua na hizo rangi za mlango mkuu

  • @MaryErnest-pm1qz
    @MaryErnest-pm1qz9 ай бұрын

    Kombe la dunia iko siku mungu yupo

  • @Samsonilaizer
    @Samsonilaizer9 ай бұрын

    eshima kwa simba 🦁❤❤❤❤❤👏👏👏👏👏

  • @AbduraufuIbrahim-vm3ee
    @AbduraufuIbrahim-vm3ee9 ай бұрын

    Sehemu ya kuchezea boli inajaa maji mvua ikinyesha cjui kama wameliangapia hilo!😢😢

  • @yohanayohanaadamu6483

    @yohanayohanaadamu6483

    9 ай бұрын

    We mgumu kuelewa hivi umuelewa meneja anachokionge kwel we kichwa ngumu

  • @EdsonEdwin-tg5ey

    @EdsonEdwin-tg5ey

    9 ай бұрын

    Wataliangalia siku iyo iyo Braza usijali ,kwan si ushajua kuna ubabaifuu ..ha ha ha ha vumilia tu ndo viongozi tulionao uchawa wingi ili mradi majambo yao yaendeee

  • @willygraphics360

    @willygraphics360

    9 ай бұрын

    ​@@EdsonEdwin-tg5eyhivi nyie mnajua maana ya Matengenezo?😂

  • @user-jt2xo5dw7e

    @user-jt2xo5dw7e

    9 ай бұрын

    😂😂😂

  • @isackmikosi-th3wv

    @isackmikosi-th3wv

    9 ай бұрын

    sure,

  • @dennischarles8524
    @dennischarles85249 ай бұрын

    Kinachouma bado Africa maisha yetu duni sana,efforts Kama hizi zielekezwe mwingine pia

  • @petercostakisoka
    @petercostakisoka9 ай бұрын

    Apo vizuri sana imekaa poaa

  • @vincentjohn3193
    @vincentjohn31939 ай бұрын

    Ayotv siku nyingine mkienda ulizieni kuhusu VAR tafadhali

  • @emanuelherman7029

    @emanuelherman7029

    9 ай бұрын

    😂😂😂VAR Haiwezi kuwekwa kwa uwanja moja labda Ccm wakarabati viwanja vyao nchi mzima maana ndo wamiliki

  • @ahmednoor1412

    @ahmednoor1412

    9 ай бұрын

    Var inawezekana popote Uganda wanaweka magari maalum ya var

  • @Raphaelsmaterials
    @Raphaelsmaterials9 ай бұрын

    Thanks 🙏🙏🙏

  • @enockemanuel108
    @enockemanuel1088 ай бұрын

    Tanzania is the big country

  • @ramseytekeye-ol1jx
    @ramseytekeye-ol1jx9 ай бұрын

    Me naona nimambo yakawaida mbona tulijichelewesha wenyewe wenzetu mpaka washasahau izi mambo

  • @ellymwampashe8927
    @ellymwampashe89279 ай бұрын

    All the best mnyama🦁

  • @salimtumba8804
    @salimtumba88049 ай бұрын

    Hongera karia

  • @Msanii12
    @Msanii129 ай бұрын

    Hongera sana mama etu samia hongera tff hongera timu ya simba kuufanya uwanja uwe wa viwango zaid tuzidi ombea amani nchi etu izid songa

  • @barakamarando-fd4qp

    @barakamarando-fd4qp

    9 ай бұрын

    Punguza uchawa

  • @medyproductionTz
    @medyproductionTz9 ай бұрын

    Nimependa izo L.A.D zinazowaka Pembeni ya Uwanja safi sana🔥🔥👏👏👏

  • @brownsebastianmwibi5647

    @brownsebastianmwibi5647

    9 ай бұрын

    @medyproduction2042 hizo zinaitwa L.E.D

  • @mimikeny

    @mimikeny

    9 ай бұрын

    L.E.D

  • @michaelezekiel4297

    @michaelezekiel4297

    9 ай бұрын

    @@brownsebastianmwibi5647 😂 atakuwa kafanya maksudi kijana wa ...yo

  • @victorjames3730

    @victorjames3730

    9 ай бұрын

    Ni L.E.D na sio LAD

  • @davidcavishe9235

    @davidcavishe9235

    9 ай бұрын

    ni Light Emitting Diode (LED) na sio LAD

  • @MohamediAbdallah-mb7xj
    @MohamediAbdallah-mb7xj9 ай бұрын

    Kingine kikubwa zaidi tunaomba mfunge VAR mtakua mmetisha Sanaa....

  • @isackmikosi-th3wv

    @isackmikosi-th3wv

    9 ай бұрын

    together

  • @omaribakari2894

    @omaribakari2894

    9 ай бұрын

    Wenye Mamlaka Ya VAR ni CAF Pekeyao Ndio Wenye Dhamana Hiyo Wao Wanahaki Ya Kufunga VAR Kutokana Na Mashindano Husika Silipingi Wazolako Nizuri Sana Na Lenye Maana Kutokana Na Maamuzi Batili Ya Waamuzi.

  • @mkubwajuma4367

    @mkubwajuma4367

    9 ай бұрын

    Hata wakifunga VAR kama refa amedhamiria kufungisha anafungisha tu Kilichotokea Liver na Spurs VAR ilikuepo

  • @cleveronlinemedia820
    @cleveronlinemedia8209 ай бұрын

    Duh ko serikal miaka yote iyo ilishindwa kutoa ka fedha kadogo kwa ajili ya malekebisho mpaka fifa wakaingilia kati

  • @braisonhabibu6201
    @braisonhabibu62019 ай бұрын

    Mimi naomba niwe wakwanza ku koment hahahaaaa

  • @Kijana-wa-Tanzania
    @Kijana-wa-Tanzania9 ай бұрын

    Bilion 31 kukarabati uwanja?😮 Acheni wizi serekali ya ccm. Bilioni 31 inajenga uwanja mpya wa hadi wakaaji elfu 20 na unakamilika. Uwanja umekuwa ukiingiza pesa toka ulipozinduliwa, leo mnatoa kodi zetu kufanya marekebisho. Acheni ujambazi majizi ninyi. CAG tafadhali pitia hiyo.

  • @amosiabdulallh7965
    @amosiabdulallh79659 ай бұрын

    Kazi iendelee

  • @sultanhamis9292
    @sultanhamis92929 ай бұрын

    Taa bado hizo kuna kiza na eneo jingine eneo la kuchezea mvua ikinyesha maji hukai kiwanjan

  • @abiboseleman1649
    @abiboseleman16499 ай бұрын

    Ila jamani manager wetu abadirike nayeye aendane na mkapa mpya sio kwa koti hizi nahiyo miwani😊😊😊😅

  • @Johnsonmkubwa
    @Johnsonmkubwa9 ай бұрын

    Vyoo vichafu sana

  • @EdsonEdwin-tg5ey
    @EdsonEdwin-tg5ey9 ай бұрын

    Yaani tatizo wandishi sijui mnapangwa hadi maswali ya kuuliza? Daaah nchii hiii uchawa kila kona yaani!!

  • @saidiomari708
    @saidiomari7089 ай бұрын

    Wanatakiwa waangalie na hizo paa mechi za saa 10 au mvua ikinyesha watu wa chini wanaathirika sana.

  • @EdsonEdwin-tg5ey
    @EdsonEdwin-tg5ey9 ай бұрын

    Ulizeni maswali ya msingi," je hayo mabango ya display pemben yataendelea kuepo ? Manake si mama katoa pesa yamenunuliwa au tumekodii?

  • @muyongahassan2188

    @muyongahassan2188

    9 ай бұрын

    Uongozi wa simba ndio umenunua

  • @user-im6ex4sj4h
    @user-im6ex4sj4h9 ай бұрын

    All this happen due to the presence of simba💥💥

  • @lilyngonyani2312
    @lilyngonyani23129 ай бұрын

    Haya tuonyesheni vyoo maan Ni vya hovyo Kama nn😓😓😭

  • @mafurumatijo8803
    @mafurumatijo88039 ай бұрын

    Bila Simba uwanja usingefanyiwa ukarabati mkubwa kama huo.

  • @titokwareh1852

    @titokwareh1852

    9 ай бұрын

    Hujui kitu ww kaa kimya

  • @ramadhanmzee4143

    @ramadhanmzee4143

    9 ай бұрын

    Haya tushskia ah hee

  • @ernestsinje-ng8hm
    @ernestsinje-ng8hm9 ай бұрын

    Tanzania is developing fast

  • @enockemanuel108

    @enockemanuel108

    8 ай бұрын

    Yes

  • @user-lh5tj9hu4k
    @user-lh5tj9hu4k9 ай бұрын

    safi sanaaa

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya74759 ай бұрын

    Kiukweli mmejitahid jpo sio sana

  • @bonnymakuke3153
    @bonnymakuke31539 ай бұрын

    Ela ndogo kulingana na ukubwa wa huo uwanja😢😢

  • @shadrackdamson7904
    @shadrackdamson79049 ай бұрын

    Safiiiiiiii sanaaaa

  • @kabwelasutiviraka4765
    @kabwelasutiviraka47659 ай бұрын

    Kwa Tanzania ya mavi kunuka subiri mwezi tu wamefanya uharibifu

  • @kikungo4774
    @kikungo47749 ай бұрын

    koki zenyewe za 3500 wekeni koki za kisasa _acheni kuweka mabango ya matangozo badilisheni aina ya matangazo yawe wa tv pembeni kama viwanja vya wenzetu

  • @SitaAlphonce
    @SitaAlphonce9 ай бұрын

    samia ametufanya tuheshimike sana

  • @flova7022

    @flova7022

    9 ай бұрын

    Ila Kuna kajirangi Ka ushogaaa kaleeeee

  • @magigesabai8674

    @magigesabai8674

    9 ай бұрын

    Sio mkapa tena

  • @rayisadesigns2646

    @rayisadesigns2646

    9 ай бұрын

    @@magigesabai8674 mkakati wa ujenzi ulianza kipindi cha mwinyi, mkapa akajenga, mama anaukarabati, sasa shida iko wapi?!

  • @Davio123
    @Davio1239 ай бұрын

    Hapo kwnye taa mmekula ela 😂😂

  • @AbdulatifSaidy

    @AbdulatifSaidy

    9 ай бұрын

    Wamezifunga chache kwaajili ya kufanya mechi ya simba ipite lakini kuna taa kama 128 ivi zipo lakini hazijafungwa. Watafunga baada ya Super league

  • @ShabaniHussein-om1up
    @ShabaniHussein-om1up9 ай бұрын

    Bg up

  • @felisteronesmo3091
    @felisteronesmo30919 ай бұрын

    Mh!, Kaimu anatone yasiasa .. hii nchi hii

  • @zakiaesaa972
    @zakiaesaa9729 ай бұрын

    Kumenoga kwa mkapa❤

  • @Samsonilaizer
    @Samsonilaizer9 ай бұрын

    Simba nguvu moja 🦁 ❤ 💪

  • @sebastiageofrey1377

    @sebastiageofrey1377

    9 ай бұрын

    Nyoko we 😅😅😅😅

  • @jumakibe5032

    @jumakibe5032

    9 ай бұрын

    Nguvu moja kwani mmetengeneza nyinyi au mtacheza wenyewe😂😂😂😂😂

  • @aminata3702

    @aminata3702

    9 ай бұрын

    @@jumakibe5032 Sababu ya matengenezo ni nini?

  • @aminata3702

    @aminata3702

    9 ай бұрын

    @@sebastiageofrey1377 umeumia

  • @aminata3702

    @aminata3702

    9 ай бұрын

    Huu uwanja ni wa Simba wengine tunawafadhili 2 🙏

  • @user-ou1fj3vg2c
    @user-ou1fj3vg2c9 ай бұрын

    Kiwanja ni kizuri hongera sana mmepambana.

  • @mussamussa8181
    @mussamussa81819 ай бұрын

    Sa ndo muweke mambomba yakufungua jaman..vya kuminya akuna au automatic bomba..

  • @OmerSuley-gl7go
    @OmerSuley-gl7go9 ай бұрын

    Viva rais Samia anazidi kuijenga Tanganyika ❤

  • @magigesabai8674

    @magigesabai8674

    9 ай бұрын

    Ni serikali inajenga,hakuna maendeleo bila watu na watu ni Serikali

  • @rayisadesigns2646

    @rayisadesigns2646

    9 ай бұрын

    @@magigesabai8674 akiwemo kiongozi wao ambaye ni mama

  • @OmerSuley-gl7go

    @OmerSuley-gl7go

    9 ай бұрын

    @@magigesabai8674 Mama Samia ndie mkuu wa serikali na yeye ndio anapanga kila jambo kubwa nchi hii

  • @user-vs7ll8dn6t
    @user-vs7ll8dn6t9 ай бұрын

    Kujaa maji kiwanja kujaa maji vipi limefanyiwa kazi

  • @DavalsonMarlony
    @DavalsonMarlony9 ай бұрын

    vp kuu tv ya uwa njan Mana ipo of every time

  • @user-wn6rr5dk8t
    @user-wn6rr5dk8t9 ай бұрын

    Adi matangazo ya kiektronic

  • @twalibubaweni4078
    @twalibubaweni40789 ай бұрын

    saw mbona L.A.D mbona nusu sehem nyigine haijawekwa

  • @jeromeshirima2053
    @jeromeshirima20539 ай бұрын

    Mngerekebisha paaa liwe kubwa mpka watu wa chini wasinyeshwe na mvua na juu mfunge panel Za solar apo ndo yatakuwa ukarabati wa maana sio uwo kwa iko kiwango cha pesa

  • @frankkashner
    @frankkashner9 ай бұрын

    Nione vyoo kwanza maana daaah ni kinyaaa

  • @reginaogiro4845
    @reginaogiro48459 ай бұрын

    Mtuwekee na sehemu ya kuchajia simu

  • @saidseleman3269

    @saidseleman3269

    9 ай бұрын

    Hahahaa duu wi-fi umepewa Bure wataka Upewe na sehemu ya kuchajia kabisa ili uwe live Instagram

  • @isaackamando8484
    @isaackamando84849 ай бұрын

    Wazee wa pirated games tutakuwepo apo kudownload cracked games! Need for speed unbound sina hii game ntakuja kuidownload

  • @ErastoKawa-xu5op
    @ErastoKawa-xu5op9 ай бұрын

    Vyooo

  • @charleswilliam2481
    @charleswilliam24819 ай бұрын

    VAR wapi?

  • @IssaSwalehe
    @IssaSwalehe9 ай бұрын

    Jaman tushukuru kwa hapa

  • @marthabura2266
    @marthabura22669 ай бұрын

    Pongezi nyingi Kwa mama yetu rais yetu mpendwa.

  • @masakaupdate1488
    @masakaupdate14889 ай бұрын

    Kweli tanzania yangu eti bilioni 30 ivi nyie hhhhh acheni utani apo bilioni 2 tu ila TZ nchi ya wahuni 🇹🇿✋

  • @geofreymahujilo9600

    @geofreymahujilo9600

    9 ай бұрын

    AWAMU YA KWANZA TAYAR, BADO AWAM YA PILI NDO KUBWA KULIKO HII

  • @KidoKasimu-fr4fz
    @KidoKasimu-fr4fz9 ай бұрын

    Kununuwa V R msisahau pia , hicho ndichocha muhimu than mambomengine muboreshe.

  • @MaikoKonya-ue9zt
    @MaikoKonya-ue9zt9 ай бұрын

    jamn B 31 uwanja mwngn... Ukarqbt tu

  • @johnirungu4550
    @johnirungu45509 ай бұрын

    Viti vya kukaa wachezaji wa bench??

  • @user-fr4dz4dl5y

    @user-fr4dz4dl5y

    9 ай бұрын

    Hiv ni movable

  • @kingdavidmoto6149
    @kingdavidmoto61499 ай бұрын

    Bilioni 31 duuu😢😢

  • @rajabumshana8167
    @rajabumshana81679 ай бұрын

    Tupo RAIVU na Ayo tivi😅

  • @brysonkaale3003
    @brysonkaale30039 ай бұрын

    Nguvu kubwa ielekezwe kwenye vyoo,ni pamoja na usimamizi makini na wahudumu wa kutosha ktk eneo la vyoo.

  • @bellam.vyampi5528
    @bellam.vyampi55289 ай бұрын

    Ayoo TV hamna bayaa

  • @IjumaaIjumaa
    @IjumaaIjumaa9 ай бұрын

    Hawa wamisiri ni waislamu au mayahúdi wamekubali kutangaza ushoga

  • @abdalahsambala6667
    @abdalahsambala66679 ай бұрын

    Makabati yapakwe rangi nzuri

  • @doctordoctorshumbi-fk2fq
    @doctordoctorshumbi-fk2fq9 ай бұрын

    Ila wamejitaidi sijugi choon

  • @nicksonclinton5842
    @nicksonclinton58429 ай бұрын

    Led mmetisha yaani mnapiga hela tu

  • @sabrinakassimu
    @sabrinakassimu9 ай бұрын

    msinge weka wifi mnge weka VR inge pendeza zaidi

  • @mbonimanakisenya4178
    @mbonimanakisenya41789 ай бұрын

    Bdilisheni paa

  • @abdulkadirramadhan
    @abdulkadirramadhan9 ай бұрын

    hv hiz za uwanjan wachezaj wakiwa wanachez mpira ukipgwa juu hiz taa haziwez waumiz macho na wakashindw kuon mpira

  • @erickndabhasik1727
    @erickndabhasik17279 ай бұрын

    Vyooni waweke walizi ili watu wakijoe wakiwa wamesimamiwa

  • @aminatanzanya7475

    @aminatanzanya7475

    9 ай бұрын

    Huwa naend Taif miak hio ila choon sijawh kwend

  • @sebastianchisunga5899
    @sebastianchisunga58999 ай бұрын

    Msenge tu huyo kiongozi hana lolote mpigaji tu huyo na huyo Ndio anaturoga simba tunafungwa kwa mkapa 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂haha

  • @austorb.nyondo2708

    @austorb.nyondo2708

    9 ай бұрын

    Daaaaa😂

  • @lothphin_starpercent
    @lothphin_starpercent9 ай бұрын

    Issue ya seat no. vipi? mambo ya umelipia VIP alafu unakaa mzunguko sio Sawa

  • @msafirimfilinge8222
    @msafirimfilinge82229 ай бұрын

    Vioooooooni mtangazaji 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂😂

  • @whiteAfrican83
    @whiteAfrican839 ай бұрын

    Miaka 7 inayokuja Tz itakuwa ni sehemu nyingine kabisa nayaona mafuriko ya watu kutamani kufika Kwa ardhi hii

  • @aminata3702

    @aminata3702

    9 ай бұрын

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 tunatembea na kasi ya 5G mchezo tushaushtukia 😎😎😎

  • @whiteAfrican83

    @whiteAfrican83

    9 ай бұрын

    @@aminata3702 maana Kila sehemu ni Tz japo Kwa udogo wetu hii ina maana kubwa sana

  • @muyongahassan2188
    @muyongahassan21889 ай бұрын

    Eti kuchezea kombe la dunia niuwongo kwa uwanjagani mnao wakisasa semeni nikama nyumba ume ripea tu ss sikumtakuwa na uwanja kam wa Sénégal itakuwaj mtaenda kutangaz dubai

  • @salimsacy6973
    @salimsacy69739 ай бұрын

    Duuh hayo ndo makabati ya kisasa hiv mnaona Makati ya kisasa kam pale bernabeu

  • @matikowambura7657
    @matikowambura76579 ай бұрын

    Je viooo ni visafi au ndo kinyaaa tena

  • @vincentjohn3193
    @vincentjohn31939 ай бұрын

    Vip kuhusu VAR Kwann wasiweke

  • @nasibuahmedy2438
    @nasibuahmedy24389 ай бұрын

    Wamejitahidi lkn Bilioni 31 ndio wasibadilishe hvyo viti vilivyopauka rangi kutokana na jua? Vp upande wa vyoo vya mashabiki mabomba masinki na koki vipo sawa au ndio vile vile

  • @AraphaKhamis-dv4pt
    @AraphaKhamis-dv4pt9 ай бұрын

    Mbn hayo mabango cyo hd

  • @deliciouschalse8776
    @deliciouschalse87769 ай бұрын

    Mhuuu wasije wakawa wameboresha tu kwa wakubwa!!!!! Maaana hawaonyeshi.

  • @flova7022
    @flova70229 ай бұрын

    Tatizo naona ushogaa

  • @Geo_Fungo08
    @Geo_Fungo089 ай бұрын

    Wamerekebsha au wameweka mabango ya umeme tu

  • @GabrielalmightyTanzania
    @GabrielalmightyTanzania9 ай бұрын

    Nasikia kuna yale mabendera ya Rainbow huko 😂😂😂⚠️

  • @FrimatiremjiMassawe-ss5bv
    @FrimatiremjiMassawe-ss5bv9 ай бұрын

    Kweli tunajitaidi kimtindo ila bado xana kiukweli

  • @RahelMwakasala-zw6qw
    @RahelMwakasala-zw6qw9 ай бұрын

    5

  • @Raymondi23
    @Raymondi239 ай бұрын

    Wa pili😂

  • @ibrahimshilinde6129
    @ibrahimshilinde61299 ай бұрын

    Rais amwaga pesa,inamaana uwanja huu hauingizagi pesa au ni upigaji tu

  • @bundaboytz2101
    @bundaboytz21019 ай бұрын

    Benchi za wachezaji wa akiba vip

  • @Migabo928
    @Migabo9289 ай бұрын

    Eti kombe la dunia 😅😢

  • @marthabura2266
    @marthabura22669 ай бұрын

    Fungeni VR

  • @OriginalKibiki
    @OriginalKibiki9 ай бұрын

    Nmekubali kwa marekebisho ila kwenye 31bilion duuuuh😅😅😅😅tumrpigwa kama bilioni 13

  • @kabwelasutiviraka4765

    @kabwelasutiviraka4765

    9 ай бұрын

    Umewahi kukarabati uwanja wako unajua thamani ya vitu na gharama zake au unaropoka tu umeshiba makande unaropoka tu

  • @SeveriniKazaura45-ek3jw
    @SeveriniKazaura45-ek3jw9 ай бұрын

    Dah uyu mzee mtamchosha

  • @amanimusa5744
    @amanimusa57449 ай бұрын

    Mbona vyooni hamonyeshi kilasiku vyumba vya wachezaji shenzi time

Келесі