TAZAMA MUONEKANO MPYA UWANJA WA MKAPA TAA KILA KONA, INTERNET BURE, RAIS SAMIA AMWAGA BILIONI 31
Ripoti za Ayo Tv leo zinatokea Uwanja wa Benjamin Mkapa wengine wakipaita Lupaso ambapo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr Samia Suluhu Hassan ametoa Shilingi Bilioni 31 kwa ajili ya ukarabati wa uwanja huo.
Timu ya Ayo Tv imefika hadi Lupaso na kushuhudia maboresho yaliyofanyika ikiwemo Taa, Screen za LED, vyumba vya Wachezaji, nyasi mpya na huduma ya Internet
Kaimu Meneja wa Uwanja Milinde Mahona ameeleza kuwa Uwanja huo ulizinduliwa mwaka 2007 ni takribani miaka 17 haujafanyiwa ukarabati Mkubwa kama huo unaoendelea.
Пікірлер: 251
nawapongeza serikali kwa kazi nzuri ya kuukarabati uwanya wetu yaani umenoga sana
Quality peach,
Mtangazaji tupeleke sehemu korofi kama vyooni kwa mashabiki tuone marekebisho
@MabulaPatrick-bv5io
9 ай бұрын
😆
@fanuelykitambule5542
9 ай бұрын
Hilo nalo neno wasijipendelee wao tu wakatusahau sisi
@reiphan9894
9 ай бұрын
😀😀😀 hilo nalo nimuhimu
@mamboshepea8888
9 ай бұрын
@@reiphan9894 ulibomolewa au ni ukarabati tuuuu😃😃!!!
@reiphan9894
9 ай бұрын
@@mamboshepea8888 huo ni ukarabati sasa je sehem zote hata za mashabiki? Wanaonesha pich na taa tu vipi kuhusu kule ofisini kwa mashabiki
L.A.D Safi saana iyoo 💯🔝🔥💥💪
@vinny.morales
9 ай бұрын
Ni L.E.D mkuu
Hongera rais wetu KAZI iendeleeeeeeeeee. Mafanikio wengine yanawaumiza hawataki kabisa kusikia vitendo halisia ni shiiiiida Kwa wanaopinga
@francisphilipo5749
9 ай бұрын
Acha upumbafu mpira na siasa ni tofaut
@MashaSayi-ui7dz
9 ай бұрын
@@francisphilipo5749 Kuna siasa Gani ambayo nimeihusisha hapo. Be knowledgeable when you're replying someone's comment usikurupuke!
@hemedmtunguja9788
9 ай бұрын
Raisi kwafuata nn na Kama sio siasa acha shobo
@Kijana-wa-Tanzania
9 ай бұрын
Kwani huo uwanja haukuwa ukiingiza mapato kwa kipindi chote mpaka leo pesa itoke serekalini? Wewe haujui wanaokusanya mapato na kuuendesha uwanja wa Mkapa sio serekali? Alafu hiyo pesa imepitishwa kwenye budget ipi? Ama raisi katoa kwenye pension yake?
@zephaniamanembe6929
9 ай бұрын
Mmeamua kuutangazia ulimwengu kua ninyi mnashiliki Mambo ya ushoga, fafanua na hizo rangi za mlango mkuu
Kombe la dunia iko siku mungu yupo
eshima kwa simba 🦁❤❤❤❤❤👏👏👏👏👏
Sehemu ya kuchezea boli inajaa maji mvua ikinyesha cjui kama wameliangapia hilo!😢😢
@yohanayohanaadamu6483
9 ай бұрын
We mgumu kuelewa hivi umuelewa meneja anachokionge kwel we kichwa ngumu
@EdsonEdwin-tg5ey
9 ай бұрын
Wataliangalia siku iyo iyo Braza usijali ,kwan si ushajua kuna ubabaifuu ..ha ha ha ha vumilia tu ndo viongozi tulionao uchawa wingi ili mradi majambo yao yaendeee
@willygraphics360
9 ай бұрын
@@EdsonEdwin-tg5eyhivi nyie mnajua maana ya Matengenezo?😂
@user-jt2xo5dw7e
9 ай бұрын
😂😂😂
@isackmikosi-th3wv
9 ай бұрын
sure,
Kinachouma bado Africa maisha yetu duni sana,efforts Kama hizi zielekezwe mwingine pia
Apo vizuri sana imekaa poaa
Ayotv siku nyingine mkienda ulizieni kuhusu VAR tafadhali
@emanuelherman7029
9 ай бұрын
😂😂😂VAR Haiwezi kuwekwa kwa uwanja moja labda Ccm wakarabati viwanja vyao nchi mzima maana ndo wamiliki
@ahmednoor1412
9 ай бұрын
Var inawezekana popote Uganda wanaweka magari maalum ya var
Thanks 🙏🙏🙏
Tanzania is the big country
Me naona nimambo yakawaida mbona tulijichelewesha wenyewe wenzetu mpaka washasahau izi mambo
All the best mnyama🦁
Hongera karia
Hongera sana mama etu samia hongera tff hongera timu ya simba kuufanya uwanja uwe wa viwango zaid tuzidi ombea amani nchi etu izid songa
@barakamarando-fd4qp
9 ай бұрын
Punguza uchawa
Nimependa izo L.A.D zinazowaka Pembeni ya Uwanja safi sana🔥🔥👏👏👏
@brownsebastianmwibi5647
9 ай бұрын
@medyproduction2042 hizo zinaitwa L.E.D
@mimikeny
9 ай бұрын
L.E.D
@michaelezekiel4297
9 ай бұрын
@@brownsebastianmwibi5647 😂 atakuwa kafanya maksudi kijana wa ...yo
@victorjames3730
9 ай бұрын
Ni L.E.D na sio LAD
@davidcavishe9235
9 ай бұрын
ni Light Emitting Diode (LED) na sio LAD
Kingine kikubwa zaidi tunaomba mfunge VAR mtakua mmetisha Sanaa....
@isackmikosi-th3wv
9 ай бұрын
together
@omaribakari2894
9 ай бұрын
Wenye Mamlaka Ya VAR ni CAF Pekeyao Ndio Wenye Dhamana Hiyo Wao Wanahaki Ya Kufunga VAR Kutokana Na Mashindano Husika Silipingi Wazolako Nizuri Sana Na Lenye Maana Kutokana Na Maamuzi Batili Ya Waamuzi.
@mkubwajuma4367
9 ай бұрын
Hata wakifunga VAR kama refa amedhamiria kufungisha anafungisha tu Kilichotokea Liver na Spurs VAR ilikuepo
Duh ko serikal miaka yote iyo ilishindwa kutoa ka fedha kadogo kwa ajili ya malekebisho mpaka fifa wakaingilia kati
Mimi naomba niwe wakwanza ku koment hahahaaaa
Bilion 31 kukarabati uwanja?😮 Acheni wizi serekali ya ccm. Bilioni 31 inajenga uwanja mpya wa hadi wakaaji elfu 20 na unakamilika. Uwanja umekuwa ukiingiza pesa toka ulipozinduliwa, leo mnatoa kodi zetu kufanya marekebisho. Acheni ujambazi majizi ninyi. CAG tafadhali pitia hiyo.
Kazi iendelee
Taa bado hizo kuna kiza na eneo jingine eneo la kuchezea mvua ikinyesha maji hukai kiwanjan
Ila jamani manager wetu abadirike nayeye aendane na mkapa mpya sio kwa koti hizi nahiyo miwani😊😊😊😅
Vyoo vichafu sana
Yaani tatizo wandishi sijui mnapangwa hadi maswali ya kuuliza? Daaah nchii hiii uchawa kila kona yaani!!
Wanatakiwa waangalie na hizo paa mechi za saa 10 au mvua ikinyesha watu wa chini wanaathirika sana.
Ulizeni maswali ya msingi," je hayo mabango ya display pemben yataendelea kuepo ? Manake si mama katoa pesa yamenunuliwa au tumekodii?
@muyongahassan2188
9 ай бұрын
Uongozi wa simba ndio umenunua
All this happen due to the presence of simba💥💥
Haya tuonyesheni vyoo maan Ni vya hovyo Kama nn😓😓😭
Bila Simba uwanja usingefanyiwa ukarabati mkubwa kama huo.
@titokwareh1852
9 ай бұрын
Hujui kitu ww kaa kimya
@ramadhanmzee4143
9 ай бұрын
Haya tushskia ah hee
Tanzania is developing fast
@enockemanuel108
8 ай бұрын
Yes
safi sanaaa
Kiukweli mmejitahid jpo sio sana
Ela ndogo kulingana na ukubwa wa huo uwanja😢😢
Safiiiiiiii sanaaaa
Kwa Tanzania ya mavi kunuka subiri mwezi tu wamefanya uharibifu
koki zenyewe za 3500 wekeni koki za kisasa _acheni kuweka mabango ya matangozo badilisheni aina ya matangazo yawe wa tv pembeni kama viwanja vya wenzetu
samia ametufanya tuheshimike sana
@flova7022
9 ай бұрын
Ila Kuna kajirangi Ka ushogaaa kaleeeee
@magigesabai8674
9 ай бұрын
Sio mkapa tena
@rayisadesigns2646
9 ай бұрын
@@magigesabai8674 mkakati wa ujenzi ulianza kipindi cha mwinyi, mkapa akajenga, mama anaukarabati, sasa shida iko wapi?!
Hapo kwnye taa mmekula ela 😂😂
@AbdulatifSaidy
9 ай бұрын
Wamezifunga chache kwaajili ya kufanya mechi ya simba ipite lakini kuna taa kama 128 ivi zipo lakini hazijafungwa. Watafunga baada ya Super league
Bg up
Mh!, Kaimu anatone yasiasa .. hii nchi hii
Kumenoga kwa mkapa❤
Simba nguvu moja 🦁 ❤ 💪
@sebastiageofrey1377
9 ай бұрын
Nyoko we 😅😅😅😅
@jumakibe5032
9 ай бұрын
Nguvu moja kwani mmetengeneza nyinyi au mtacheza wenyewe😂😂😂😂😂
@aminata3702
9 ай бұрын
@@jumakibe5032 Sababu ya matengenezo ni nini?
@aminata3702
9 ай бұрын
@@sebastiageofrey1377 umeumia
@aminata3702
9 ай бұрын
Huu uwanja ni wa Simba wengine tunawafadhili 2 🙏
Kiwanja ni kizuri hongera sana mmepambana.
Sa ndo muweke mambomba yakufungua jaman..vya kuminya akuna au automatic bomba..
Viva rais Samia anazidi kuijenga Tanganyika ❤
@magigesabai8674
9 ай бұрын
Ni serikali inajenga,hakuna maendeleo bila watu na watu ni Serikali
@rayisadesigns2646
9 ай бұрын
@@magigesabai8674 akiwemo kiongozi wao ambaye ni mama
@OmerSuley-gl7go
9 ай бұрын
@@magigesabai8674 Mama Samia ndie mkuu wa serikali na yeye ndio anapanga kila jambo kubwa nchi hii
Kujaa maji kiwanja kujaa maji vipi limefanyiwa kazi
vp kuu tv ya uwa njan Mana ipo of every time
Adi matangazo ya kiektronic
saw mbona L.A.D mbona nusu sehem nyigine haijawekwa
Mngerekebisha paaa liwe kubwa mpka watu wa chini wasinyeshwe na mvua na juu mfunge panel Za solar apo ndo yatakuwa ukarabati wa maana sio uwo kwa iko kiwango cha pesa
Nione vyoo kwanza maana daaah ni kinyaaa
Mtuwekee na sehemu ya kuchajia simu
@saidseleman3269
9 ай бұрын
Hahahaa duu wi-fi umepewa Bure wataka Upewe na sehemu ya kuchajia kabisa ili uwe live Instagram
Wazee wa pirated games tutakuwepo apo kudownload cracked games! Need for speed unbound sina hii game ntakuja kuidownload
Vyooo
VAR wapi?
Jaman tushukuru kwa hapa
Pongezi nyingi Kwa mama yetu rais yetu mpendwa.
Kweli tanzania yangu eti bilioni 30 ivi nyie hhhhh acheni utani apo bilioni 2 tu ila TZ nchi ya wahuni 🇹🇿✋
@geofreymahujilo9600
9 ай бұрын
AWAMU YA KWANZA TAYAR, BADO AWAM YA PILI NDO KUBWA KULIKO HII
Kununuwa V R msisahau pia , hicho ndichocha muhimu than mambomengine muboreshe.
jamn B 31 uwanja mwngn... Ukarqbt tu
Viti vya kukaa wachezaji wa bench??
@user-fr4dz4dl5y
9 ай бұрын
Hiv ni movable
Bilioni 31 duuu😢😢
Tupo RAIVU na Ayo tivi😅
Nguvu kubwa ielekezwe kwenye vyoo,ni pamoja na usimamizi makini na wahudumu wa kutosha ktk eneo la vyoo.
Ayoo TV hamna bayaa
Hawa wamisiri ni waislamu au mayahúdi wamekubali kutangaza ushoga
Makabati yapakwe rangi nzuri
Ila wamejitaidi sijugi choon
Led mmetisha yaani mnapiga hela tu
msinge weka wifi mnge weka VR inge pendeza zaidi
Bdilisheni paa
hv hiz za uwanjan wachezaj wakiwa wanachez mpira ukipgwa juu hiz taa haziwez waumiz macho na wakashindw kuon mpira
Vyooni waweke walizi ili watu wakijoe wakiwa wamesimamiwa
@aminatanzanya7475
9 ай бұрын
Huwa naend Taif miak hio ila choon sijawh kwend
Msenge tu huyo kiongozi hana lolote mpigaji tu huyo na huyo Ndio anaturoga simba tunafungwa kwa mkapa 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂haha
@austorb.nyondo2708
9 ай бұрын
Daaaaa😂
Issue ya seat no. vipi? mambo ya umelipia VIP alafu unakaa mzunguko sio Sawa
Vioooooooni mtangazaji 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂😂
Miaka 7 inayokuja Tz itakuwa ni sehemu nyingine kabisa nayaona mafuriko ya watu kutamani kufika Kwa ardhi hii
@aminata3702
9 ай бұрын
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 tunatembea na kasi ya 5G mchezo tushaushtukia 😎😎😎
@whiteAfrican83
9 ай бұрын
@@aminata3702 maana Kila sehemu ni Tz japo Kwa udogo wetu hii ina maana kubwa sana
Eti kuchezea kombe la dunia niuwongo kwa uwanjagani mnao wakisasa semeni nikama nyumba ume ripea tu ss sikumtakuwa na uwanja kam wa Sénégal itakuwaj mtaenda kutangaz dubai
Duuh hayo ndo makabati ya kisasa hiv mnaona Makati ya kisasa kam pale bernabeu
Je viooo ni visafi au ndo kinyaaa tena
Vip kuhusu VAR Kwann wasiweke
Wamejitahidi lkn Bilioni 31 ndio wasibadilishe hvyo viti vilivyopauka rangi kutokana na jua? Vp upande wa vyoo vya mashabiki mabomba masinki na koki vipo sawa au ndio vile vile
Mbn hayo mabango cyo hd
Mhuuu wasije wakawa wameboresha tu kwa wakubwa!!!!! Maaana hawaonyeshi.
Tatizo naona ushogaa
Wamerekebsha au wameweka mabango ya umeme tu
Nasikia kuna yale mabendera ya Rainbow huko 😂😂😂⚠️
Kweli tunajitaidi kimtindo ila bado xana kiukweli
5
Wa pili😂
Rais amwaga pesa,inamaana uwanja huu hauingizagi pesa au ni upigaji tu
Benchi za wachezaji wa akiba vip
Eti kombe la dunia 😅😢
Fungeni VR
Nmekubali kwa marekebisho ila kwenye 31bilion duuuuh😅😅😅😅tumrpigwa kama bilioni 13
@kabwelasutiviraka4765
9 ай бұрын
Umewahi kukarabati uwanja wako unajua thamani ya vitu na gharama zake au unaropoka tu umeshiba makande unaropoka tu
Dah uyu mzee mtamchosha
Mbona vyooni hamonyeshi kilasiku vyumba vya wachezaji shenzi time