Kama unaamini kuwa ataemshusha king kiba ni mwenyezi mungu peke yake gonga like hapa❤❤
@halimasssomar87934 жыл бұрын
Ali kiba nakupenda.. sikupendi eti Kwa sababu waimba.. nakupenda sababu Una utu na busara..Una majivuno.. Masha Allah..mungu akuongoze...Una vaa vzr..uja vaa hereni wala kipuli..Yani uo ndio uwanaume..hongera yako...utabi kuwa Ali...tu
@markjuliusdaud80054 жыл бұрын
Big up King kiba kwa uelewa wako nilikuwa na mawazo ila tu ulipo toa ufafanuz kuhusu penseli nimejikuta naenda bank kudraw hela niwalipe mafundi ili nami niwe huru na ujenzi wa nyumba yangu big King kiba wewe ni Mfalme wa muziki Africa.
@farajiwanted8257
Жыл бұрын
Duuuh aiseeh 😁😁🤣
@kelvinmwangi96454 жыл бұрын
#Alikiba Mungu ambariki kwa heshima yake na kwa kukuza amani kila mahali....... you're really humble God bless you ...🇰🇪🇰🇪🇰🇪 tunakupenda sana
@ommyTv194
4 жыл бұрын
💪👏👏👊king daima yuko juuu
@kelvinmwangi9645
4 жыл бұрын
@@ommyTv194 i salute him so cool....real gentleman
@ommyTv194
4 жыл бұрын
yap very smart
@rashidhusain29584 жыл бұрын
Hishima, hikma na busara na ndio maana tukakuozesha dada yetu. Salute kwa shemeji yetu from 001+254.
@manallove14 жыл бұрын
Kiba that's a good decision kutokwenda wasafi festival labda ungeonyeshwa dharau huko ukiingia stage..ni kama "kuuitwa na ex wako na mlishaachana hakuna kingine kina kusubiri huko isipokuwa kutumiwa na kutupwa nje" salute you kiba...LENGA HUYO panya uma puliza diamond
@genevakarani8084 жыл бұрын
King kiba nimugwana ! I admire his boundaries second he has soothing top notch voice! And his music like waltz jazz super classy! How can we forget Cinderella kigoma! 🙏🙏🙏🙏
@queenandchill914 жыл бұрын
Team Kiba for Life 🙌🏽💖💖💖 Mungu akutunze na azidi kukujalia hekima,..na busara 🙏🏽
@com_sci1234 жыл бұрын
Ali kiba nakupenda bure I swear 😍😍😍😍
@aminaabdallah36444 жыл бұрын
Huyu ndio king kiba he's the man yea baba🔥🔥🔥🔥🔥
@Immaculate-zy6hb4 жыл бұрын
Wow so nice Alikiba always ❤️❤️❤️
@abdiyathe62214 жыл бұрын
Diamond platnumz+harmonize=KING KIBA
@nicholasshukuru49284 жыл бұрын
This is a working brain. Brains, I repeat. King 🔥
@user-vf3tb9mk5i4 жыл бұрын
Alikiba Big up sana Unahekima Sana Kingkiba Ongera sana 😍😍😍😍😍😍😍😍😍❤
@theofficialstarfish294 жыл бұрын
Wisdom bro.....upstairs uko safi keep the fire burning
Buda wee ni mtu unapenda watu sana then huongei kwa maringo uko tu sawa kiba big up brother
@zennakailo81064 жыл бұрын
Kiukweli #Alikiba ni msanii pekee mstaarabu pia anajua kitu gani anafanya 🥰nimemwelewa sana I love u brother king
@marymonjemghalu93624 жыл бұрын
Hongera Alia kiba kwa jibu lako wengi walisema kwa kutasfiri vibaya kwa Leo hongera sana
@Zanzibar_quiztv
4 жыл бұрын
Mary monje Mghalu kzread.info/dash/bejne/d2adt9qGpq3IdcY.html
@edwardtrigga5701
4 жыл бұрын
Hivi mnafurahi kusikiliza ujinga? Hajui ata kuongea huyu Ali
@aliraeeq4 жыл бұрын
Diamond kamtuma mtoto mwenzake.kapata majibu ya kifalme🔥🔥🔥🔥
@Daphne3624 жыл бұрын
I love Alikiba all the way ❤❤❤❤❤❤❤🙌🙌🙌🙌❤❤❤❤🇬🇧🇬🇧🇬🇧🇬🇧🇬🇧
@djgmp81404 жыл бұрын
Kiba hua anaongea point sana kwa mtu mwenye akili ata mwelewa ila kama hana akili hatomwelewa king ni noma nakuku bali kaka big up
@Zanzibar_quiztv
4 жыл бұрын
G. P. M TV SHOW VIDEO kzread.info/dash/bejne/d2adt9qGpq3IdcY.html
@wemakalamu35384 жыл бұрын
It's a asearch amazing speech big up king kiba for life.
@maryamabdalahmakyalue404 жыл бұрын
I like that kiba, umetumia akili sana kumjibu huyo kijana🙏
@FINGATanzania4 жыл бұрын
Safi sana Kiba,,,, Sasa iyo mijitu iliokuwa inamvutavuta uyo dogo nia yao ni nn, kweli naamini hao mijusi wa pembeni ndo wanafanya hii ishu inaonekana kuwa kuuubwa mana dogo alivyotaja diamond tu wameanza kumkimbilia kama wameambiwa kabeba mabomu. ACHENI IZO CHAWA NYIEE msiuuu
@brownjulius8514
4 жыл бұрын
Umeonae mijitu mingine haijielew
@Zanzibar_quiztv
4 жыл бұрын
D Fell Finger kzread.info/dash/bejne/d2adt9qGpq3IdcY.html
@zainabubakari36304 жыл бұрын
kiba kiba unanifanya nalia kiba kwa maneno yako na nikupe pongezi kwa tamko lako mungu akujalie maisha marefu
@najmasalimsalim2741
4 жыл бұрын
Ameen
@Majambo_Duniani_Tv
4 жыл бұрын
Tamko lipi sasa...
@amissislywachako1772
4 жыл бұрын
Allahuma aamyn aamyn
@angelluanda42214 жыл бұрын
Bro king me shabiki yko mpaka mwisho wa maisha yangu yaani wewe ni mtu mwenye hekima sana n'a usiekua na majigambo I love you brother 😘😘😘
@halfaniland3850
4 жыл бұрын
Duh! Unakosea. Hata Yesu umemsahau kumpenda.
@ommyTv194
4 жыл бұрын
kibaaaa utabaki juu
@shamsalulanje4151
4 жыл бұрын
Dahhh nimependa sana alichoongea kg kumbe ali unabusara hivyo Allah akubaluki
@angelluanda4221
4 жыл бұрын
@@ommyTv194 kilelenii
@angelluanda4221
4 жыл бұрын
@@halfaniland3850 hahaha apa tupo kidunia zaidi
@witneymbise50404 жыл бұрын
Kibaaaaaaaaaa dah we niwanaume and ur unforgettable ever Tanzania tunakupenda
@tusamwangasa31564 жыл бұрын
Love much kiba 😘😘
@munirasaleh56034 жыл бұрын
that's why we call him king🙌🙌
@jayclassic51644 жыл бұрын
He doesn't brag he never sing ill of others..so proud of your maturity king kiba
@jacksonkatenga8223
4 жыл бұрын
Jay Classic If you have nothing to sing what will you brag ?
@jayclassic5164
4 жыл бұрын
@@jacksonkatenga8223 its like you the only one who doesn't knw he has amessage in every song he does...my friend..diamond used to sing wakati wa mbagala,kamwambie, ntarejea,ukimwona,etc. But now anapuyuka tu maneno haina mwelekea ameambukiza rayvanny ujinga wa kupayuka pia
@ptrboy8439
4 жыл бұрын
Jay classic the game of musics always changes it doesn't the style you started will be the same always, no that's not an artist with the same style always. Diamond platnumz is a game changer in bongo music industry and that's why he always archieve in his musics
@ptrboy8439
4 жыл бұрын
@@saidjuma9782 like what meaning you mean? All artist in bongo fleva they resemble there music but diamond platnumz came with different ideas that's why he keeps winning trophies in Africa and he has broke many records that no one in Tanzania has done before
@jayclassic5164
4 жыл бұрын
@@ptrboy8439 ..chris brown has undergone so many evolutions in music but he has never changed the conted..and dats y many love have him..he doesn't brag but his music has always been dope...ua boy chibu is a good artist but he copies ideas then makes it them his..go read story about this new track babalao is from Nigeria artist called shatter walle
@joshuaibrahim43054 жыл бұрын
Dah! Ali we ni mtu poa sanaaaa big up bro anaheshima sana
@issaadam8674 жыл бұрын
Maturity at it's best ...Mtoto kaelewa fumbo la penceli
@khadijaomar84274 жыл бұрын
Mwenye heshima zake king kiba🇰🇪
@zclassicfashionz1573
4 жыл бұрын
Umeona enhe
@maryamm7765
4 жыл бұрын
Umeona ee
@nsanzabahizirahma7104
4 жыл бұрын
Kbs king Kiba 👑
@eloisaoriel6638
4 жыл бұрын
We wamuogopa watafuta nni humu utb usio shika mswala ukaswali nyooooo
@kassimrajabu7805
4 жыл бұрын
Khadija Omar najuwa unampenda sana huyu, ila kakuangusha kiukweli
@samueljames69774 жыл бұрын
👏👏👏👏 good maturity
@jaymore49064 жыл бұрын
Mwanazuoni mwenye hekma BG up. King kiba
@hancymachemba9594 жыл бұрын
Hapa Ally ameonyesha utu zima hasa. Kukubali na kujishusha ni jambo jema sana.
@abdallahhamad44994 жыл бұрын
Huyu dogo kama Ulishawah kumuona uwanja wa taifa akimlilia dimond.gonga like kwa dogo aliepewa laki nne na sitin na mond
@RuzoOwzy
4 жыл бұрын
Naomba unipe link ya hiyo video, anayomlilia dimond
@mbodzechiro3669
4 жыл бұрын
Ni yy alikumbatiwa akakataa kuoga😀
@levindalolalola7255
4 жыл бұрын
Weeeh ni yeye
@levindalolalola7255
4 жыл бұрын
@@RuzoOwzy video ziko
@musomatvumakinijadiyetu550
4 жыл бұрын
Ndio huyo halipewa laki nne d ili aje uku
@adamkangezi23064 жыл бұрын
Kama umependa maneno ya busara kwa king kibaaaaaa like apa penda xn kibaaaaaaa😂😂😂😂😂😂
@davidanthony49343 жыл бұрын
Ali kiba endelea kuimba nyumbo nzuli nakukubali sana kaka achana nauyo mtoto anaetambaa
@OmanCom-ky8tn Жыл бұрын
Nakupenda sana alikiba allah akulinde sana na uendelee na moyo huohuo
@emmanuelmagangatz4 жыл бұрын
hahahaaa Safi sana hayo ndo majibu mazuri, itifaki imezingatiwa, hekima na busara ndo kila kitu, hongera sana #Alkiba4real
@rubnagadafi83674 жыл бұрын
I love king kiba 😍😍😍
@nassorabdalla88912 жыл бұрын
King kiba mmefrahiii snaaaa kuskia hvoooo we jamaaa ni mtu wa mung
@monicawanza87794 жыл бұрын
Till death u will always be my number one artist
@laurentchimbirani5990
4 жыл бұрын
Me too
@shaabanramadhan67704 жыл бұрын
Hii nimeipenda sana 🤣🤣🤣🤣🤣🤣👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏 pensel isharudishwa hakuna ugomvi tena na km kuna rula basi aisamehe tu
@annamshaka4680
4 жыл бұрын
Hahaaaa
@khamissaidi7187
4 жыл бұрын
Na kompas pia isisahaulike.
@zamizozamy5528
4 жыл бұрын
Wampe na kichongeo huyu
@siaammo1104
4 жыл бұрын
Hahahahaha
@shaabanramadhan6770
4 жыл бұрын
@@zamizozamy5528 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@betrue334 жыл бұрын
NDIO MAANA AKAITWA KING. YANI ANAONGEA KISWAHILI NA BADO MUNASEMA HAMJAELEWA... SISI WAKUBWA TUSHAELEWA..NA NYINYI WANDO ZETU MTABAKI KUULIZIZ PENCELI NI NINI😍😍😍KING ANAONGEA KWA METHALI,MAFUMBO, SIO KUWEKA MAMBO HADHARANI MPAKA WATOTO WAELEWE...# unforgettable king.
@fadhiliefron63564 жыл бұрын
That's great kiba busara umeonesha na umeeleweka
@najmasalimsalim27414 жыл бұрын
Hahahaha watu jamani wanavituko nnauhakika huyu dogo sai ametegeshea mahali yuaskiza kama diamond atamuita ampe pesa ngapi mana sio kwa kiki hii
hekima ulionayo ni utajiri tosha ndani ya maisha yako alikiba, na hiyo ndo rahaa yakuzaliwa na kulelewa na wazazi wenye ufahamu.my name is jules meshak shadrack niko zangu marekani Florida🇺🇸🇺🇸🇺🇸
@mamaibrah93544 жыл бұрын
umenikosha sana king kiba nimeipenda hiyo
@wolfugangtesha57244 жыл бұрын
Mshikaji karudisha penseli...ama kweli wahuni sio watu wazuri😁
@ashaali7154
4 жыл бұрын
Kweli ni wahuni hapo hukukosea.
@bxgdhydydh6505
4 жыл бұрын
😂😂😂
@bakariyusuph7223
4 жыл бұрын
Hawafai hata kidogo😃😃😃
@jeanneandfrancislifestyle1518
4 жыл бұрын
Huyu katumwa nini 🤣🤣🤣🤣
@amiriramadhan7753
4 жыл бұрын
Hahahaha mwanangu nimecheka sana
@adamhashimu44624 жыл бұрын
king kiba umejbu vzur sana,umebarkiwa busara endelea hvohvo
@Salhiya-vm1ts4 жыл бұрын
Mungu akupe afya njem 👑 kiba we love you forever
@lucassudi61604 жыл бұрын
Namkubali sana Alikiba, kutoka 254,...Huyo Dogo, alkua anahaja tu ykumuona Alikiba hakua na chakuongea😹😹😹.Anababaikia sana Masta,
@aaliyahsaid77634 жыл бұрын
Wanaokubaliana na kiba gonga like hapa
@sharifaramadhani62414 жыл бұрын
Hata kama unamkubal mtu sana so vizur kuingilia mambo yq watu huenda wenyew hawana ugomv wwt mashabik ndomnaeteseka
@mageniGrandson5 ай бұрын
Long live mah bro King kiba❤❤❤❤❤❤
@ernestnchumuye54764 жыл бұрын
That is a too much love,katumwa huyu sio bure😁😁
@genioustv4169
4 жыл бұрын
Kamtuma kibakuli dogo anawezaje kupenya bila kuzuiliwa et
@Zanzibar_quiztv
4 жыл бұрын
ernest nchumuye kzread.info/dash/bejne/d2adt9qGpq3IdcY.html
@samcharzy46574 жыл бұрын
Yaani hapa hatakama walipanga ila Nia ilikuwa nikufikisha ujumbe kwa jamii kwamba yeye hakumaanisha hivyooo,
@shaadenshaduni77554 жыл бұрын
Huyo jama Diamond afanye am one amsaidie jamani 😥😥😥maana hayo yote ni kutafuta kujulikana ana bidi
@vincentkaskerpery47224 жыл бұрын
Ali Kiba you’re the 🤴
@Zanzibar_quiztv
4 жыл бұрын
Vincent Kaskerpery kzread.info/dash/bejne/d2adt9qGpq3IdcY.html
@pauldaprince99884 жыл бұрын
Alikiba bna mi c shabiki yko ila mi hua nakupendea kitu kmoja hujigambi frm team mond Arusha Tanzania.
@fanuellameck80224 жыл бұрын
Kama unayo akili timamu na hekima Kama king kiba gonga like ❤️🙏
King hekma nyingi sana Allah akuongoze usishuke kamwe uwe juu kimuziku ubaki na nafasi yako InshaAllah 🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿
@shakira13014 жыл бұрын
Kingkiba mwenye heshima zake nampenda bure.
@rosemaiko9405
4 жыл бұрын
Sana busara kitu bora
@hadijahalidi1375
4 жыл бұрын
Nampenda pia
@Zanzibar_quiztv
4 жыл бұрын
shakira khamis kzread.info/dash/bejne/d2adt9qGpq3IdcY.html
@muhammadmakame6445
4 жыл бұрын
katumwa uyo simuna wajua wazee wakiki
@lilianjeremia10244 жыл бұрын
Mimi nimempenda sana alikiba alivyomp hamasa na alivyo mpokea akatoa maneno ya busara aliyosema kiba🙌🙌
@onlythestrong8659
4 жыл бұрын
@@ronaldoalberty1418 Wimbo 🔥🔥🔥☄️unaongea nini wewe.
@lilianjeremia1024
4 жыл бұрын
@@ronaldoalberty1418 😂😂😂😂😂
@dhulfiqaarally7274
4 жыл бұрын
Kiba leo nimekukubali sana
@lilianjeremia1024
4 жыл бұрын
@@dhulfiqaarally7274sana
@onlythestrong8659
4 жыл бұрын
@@ronaldoalberty1418 hakuna lolote kiba ana bahatisha tu.😁
@aishal19533 жыл бұрын
Nnavyopenda King mm jamani mzee wa busara
@crollinpatrick49644 жыл бұрын
Bangi ni kitu kibaya sana. Kitendo alichokifanya huyu dogo sio ushujaa bali ni hatari sana. Lakini tumshukuru sana m/mungu kwa kumpa Ali Kiba hekma na busara. Kama isingekuwa busara alizotumia sidhani kama huyu dogo angeondoka salama, maana walishaanza kumvuta pembeni lakini kiba akamuombea amani. Hongera sana Kiba kwa kuokoa/kuepusha shari ambayo ingemkuta huyu dogo.
@melkizedecklyimo90754 жыл бұрын
hahahahaaaa!!!!!huyu dogo alitumw na mondi muangalie alivyo suka kam mondi duh wahun cyo watu wazur
Kiba kumbe nae ana vya ku achieve..... Mondi amekuacha mbali sana kimaendeleo unavotaka ku achieve mwenzako amesha achieve. Ila is cool "Katika Maisha Kuna Kupanda na Kushuka" so Kiba alipanda akashuka team Kiba mna nini acheni kumpa vyeo msaidieni king wenu ku achieve goals zake
@samueljames69774 жыл бұрын
What maturity
@davidmakala50544 жыл бұрын
Leo king kiba kajibu vzr. nakbal ally kiba
@raymondmacha28924 жыл бұрын
Vizuri sna!! Dogo me nimefrahii alikiba alikataza walimtoee!! Me nahis n hki yakee dogo kujibiwa alichotakaa n vyema!, nazan wengne ndo mmeielewa leo ile post Alikiba
@mohammediddi773
4 жыл бұрын
Ndio unasema nn kijana Mbona hueleweki na tumerejesha penseli
@Zanzibar_quiztv
4 жыл бұрын
Raymond Macha kzread.info/dash/bejne/d2adt9qGpq3IdcY.html
@zclassicfashionz15734 жыл бұрын
👑 tuko pamoja
@hassanhamisi30616 ай бұрын
Dah! mshkaji katulia sana. King Kiba
@jazzeminecute84224 жыл бұрын
Alikiba kaka ,mbele niseme nakushukuru kwa busara yako ,na nasema hivi ,wewe hauna washabiki wavuta ma bangi tuna busara kama wewe kaka endeleya kutupatiya burudani Asante
@ommyTv194
4 жыл бұрын
kabixaa ujakosea wote vityukoo
@happymackernest93484 жыл бұрын
Penseri dar dogo katisha kama nawe ememuona dogo aricho Fanya cha maana gonga like apo
@Zanzibar_quiztv
4 жыл бұрын
Happymack Ernest kzread.info/dash/bejne/d2adt9qGpq3IdcY.html
@zclassicfashionz15734 жыл бұрын
Dogo kafunguliwa alikua ajajua watu wazima tulishagajua toka mwanzo ila wasojua iyo ndio dawa yao.... ™ⓩⓒⓛⓐⓢⓢⓘⓒ
@emiyseif37324 жыл бұрын
I love you king kiba mmmmmwwaaaaa, wakondeshe awooo
@aishaMape-jc4ef4 ай бұрын
Hakuka umejaliwa busara kk mashaalah nakupenda sn
@zinuraminaji12424 жыл бұрын
Dogo umetisha kamletea kiba penseli hiyo kali sanaaaaa
Пікірлер: 1 000
Kama unaamini kuwa ataemshusha king kiba ni mwenyezi mungu peke yake gonga like hapa❤❤
Ali kiba nakupenda.. sikupendi eti Kwa sababu waimba.. nakupenda sababu Una utu na busara..Una majivuno.. Masha Allah..mungu akuongoze...Una vaa vzr..uja vaa hereni wala kipuli..Yani uo ndio uwanaume..hongera yako...utabi kuwa Ali...tu
Big up King kiba kwa uelewa wako nilikuwa na mawazo ila tu ulipo toa ufafanuz kuhusu penseli nimejikuta naenda bank kudraw hela niwalipe mafundi ili nami niwe huru na ujenzi wa nyumba yangu big King kiba wewe ni Mfalme wa muziki Africa.
@farajiwanted8257
Жыл бұрын
Duuuh aiseeh 😁😁🤣
#Alikiba Mungu ambariki kwa heshima yake na kwa kukuza amani kila mahali....... you're really humble God bless you ...🇰🇪🇰🇪🇰🇪 tunakupenda sana
@ommyTv194
4 жыл бұрын
💪👏👏👊king daima yuko juuu
@kelvinmwangi9645
4 жыл бұрын
@@ommyTv194 i salute him so cool....real gentleman
@ommyTv194
4 жыл бұрын
yap very smart
Hishima, hikma na busara na ndio maana tukakuozesha dada yetu. Salute kwa shemeji yetu from 001+254.
Kiba that's a good decision kutokwenda wasafi festival labda ungeonyeshwa dharau huko ukiingia stage..ni kama "kuuitwa na ex wako na mlishaachana hakuna kingine kina kusubiri huko isipokuwa kutumiwa na kutupwa nje" salute you kiba...LENGA HUYO panya uma puliza diamond
King kiba nimugwana ! I admire his boundaries second he has soothing top notch voice! And his music like waltz jazz super classy! How can we forget Cinderella kigoma! 🙏🙏🙏🙏
Team Kiba for Life 🙌🏽💖💖💖 Mungu akutunze na azidi kukujalia hekima,..na busara 🙏🏽
Ali kiba nakupenda bure I swear 😍😍😍😍
Huyu ndio king kiba he's the man yea baba🔥🔥🔥🔥🔥
Wow so nice Alikiba always ❤️❤️❤️
Diamond platnumz+harmonize=KING KIBA
This is a working brain. Brains, I repeat. King 🔥
Alikiba Big up sana Unahekima Sana Kingkiba Ongera sana 😍😍😍😍😍😍😍😍😍❤
Wisdom bro.....upstairs uko safi keep the fire burning
@Zanzibar_quiztv
4 жыл бұрын
Emelda Ombwayi kzread.info/dash/bejne/d2adt9qGpq3IdcY.html
Buda wee ni mtu unapenda watu sana then huongei kwa maringo uko tu sawa kiba big up brother
Kiukweli #Alikiba ni msanii pekee mstaarabu pia anajua kitu gani anafanya 🥰nimemwelewa sana I love u brother king
Hongera Alia kiba kwa jibu lako wengi walisema kwa kutasfiri vibaya kwa Leo hongera sana
@Zanzibar_quiztv
4 жыл бұрын
Mary monje Mghalu kzread.info/dash/bejne/d2adt9qGpq3IdcY.html
@edwardtrigga5701
4 жыл бұрын
Hivi mnafurahi kusikiliza ujinga? Hajui ata kuongea huyu Ali
Diamond kamtuma mtoto mwenzake.kapata majibu ya kifalme🔥🔥🔥🔥
I love Alikiba all the way ❤❤❤❤❤❤❤🙌🙌🙌🙌❤❤❤❤🇬🇧🇬🇧🇬🇧🇬🇧🇬🇧
Kiba hua anaongea point sana kwa mtu mwenye akili ata mwelewa ila kama hana akili hatomwelewa king ni noma nakuku bali kaka big up
@Zanzibar_quiztv
4 жыл бұрын
G. P. M TV SHOW VIDEO kzread.info/dash/bejne/d2adt9qGpq3IdcY.html
It's a asearch amazing speech big up king kiba for life.
I like that kiba, umetumia akili sana kumjibu huyo kijana🙏
Safi sana Kiba,,,, Sasa iyo mijitu iliokuwa inamvutavuta uyo dogo nia yao ni nn, kweli naamini hao mijusi wa pembeni ndo wanafanya hii ishu inaonekana kuwa kuuubwa mana dogo alivyotaja diamond tu wameanza kumkimbilia kama wameambiwa kabeba mabomu. ACHENI IZO CHAWA NYIEE msiuuu
@brownjulius8514
4 жыл бұрын
Umeonae mijitu mingine haijielew
@Zanzibar_quiztv
4 жыл бұрын
D Fell Finger kzread.info/dash/bejne/d2adt9qGpq3IdcY.html
kiba kiba unanifanya nalia kiba kwa maneno yako na nikupe pongezi kwa tamko lako mungu akujalie maisha marefu
@najmasalimsalim2741
4 жыл бұрын
Ameen
@Majambo_Duniani_Tv
4 жыл бұрын
Tamko lipi sasa...
@amissislywachako1772
4 жыл бұрын
Allahuma aamyn aamyn
Bro king me shabiki yko mpaka mwisho wa maisha yangu yaani wewe ni mtu mwenye hekima sana n'a usiekua na majigambo I love you brother 😘😘😘
@halfaniland3850
4 жыл бұрын
Duh! Unakosea. Hata Yesu umemsahau kumpenda.
@ommyTv194
4 жыл бұрын
kibaaaa utabaki juu
@shamsalulanje4151
4 жыл бұрын
Dahhh nimependa sana alichoongea kg kumbe ali unabusara hivyo Allah akubaluki
@angelluanda4221
4 жыл бұрын
@@ommyTv194 kilelenii
@angelluanda4221
4 жыл бұрын
@@halfaniland3850 hahaha apa tupo kidunia zaidi
Kibaaaaaaaaaa dah we niwanaume and ur unforgettable ever Tanzania tunakupenda
Love much kiba 😘😘
that's why we call him king🙌🙌
He doesn't brag he never sing ill of others..so proud of your maturity king kiba
@jacksonkatenga8223
4 жыл бұрын
Jay Classic If you have nothing to sing what will you brag ?
@jayclassic5164
4 жыл бұрын
@@jacksonkatenga8223 its like you the only one who doesn't knw he has amessage in every song he does...my friend..diamond used to sing wakati wa mbagala,kamwambie, ntarejea,ukimwona,etc. But now anapuyuka tu maneno haina mwelekea ameambukiza rayvanny ujinga wa kupayuka pia
@ptrboy8439
4 жыл бұрын
Jay classic the game of musics always changes it doesn't the style you started will be the same always, no that's not an artist with the same style always. Diamond platnumz is a game changer in bongo music industry and that's why he always archieve in his musics
@ptrboy8439
4 жыл бұрын
@@saidjuma9782 like what meaning you mean? All artist in bongo fleva they resemble there music but diamond platnumz came with different ideas that's why he keeps winning trophies in Africa and he has broke many records that no one in Tanzania has done before
@jayclassic5164
4 жыл бұрын
@@ptrboy8439 ..chris brown has undergone so many evolutions in music but he has never changed the conted..and dats y many love have him..he doesn't brag but his music has always been dope...ua boy chibu is a good artist but he copies ideas then makes it them his..go read story about this new track babalao is from Nigeria artist called shatter walle
Dah! Ali we ni mtu poa sanaaaa big up bro anaheshima sana
Maturity at it's best ...Mtoto kaelewa fumbo la penceli
Mwenye heshima zake king kiba🇰🇪
@zclassicfashionz1573
4 жыл бұрын
Umeona enhe
@maryamm7765
4 жыл бұрын
Umeona ee
@nsanzabahizirahma7104
4 жыл бұрын
Kbs king Kiba 👑
@eloisaoriel6638
4 жыл бұрын
We wamuogopa watafuta nni humu utb usio shika mswala ukaswali nyooooo
@kassimrajabu7805
4 жыл бұрын
Khadija Omar najuwa unampenda sana huyu, ila kakuangusha kiukweli
👏👏👏👏 good maturity
Mwanazuoni mwenye hekma BG up. King kiba
Hapa Ally ameonyesha utu zima hasa. Kukubali na kujishusha ni jambo jema sana.
Huyu dogo kama Ulishawah kumuona uwanja wa taifa akimlilia dimond.gonga like kwa dogo aliepewa laki nne na sitin na mond
@RuzoOwzy
4 жыл бұрын
Naomba unipe link ya hiyo video, anayomlilia dimond
@mbodzechiro3669
4 жыл бұрын
Ni yy alikumbatiwa akakataa kuoga😀
@levindalolalola7255
4 жыл бұрын
Weeeh ni yeye
@levindalolalola7255
4 жыл бұрын
@@RuzoOwzy video ziko
@musomatvumakinijadiyetu550
4 жыл бұрын
Ndio huyo halipewa laki nne d ili aje uku
Kama umependa maneno ya busara kwa king kibaaaaaa like apa penda xn kibaaaaaaa😂😂😂😂😂😂
Ali kiba endelea kuimba nyumbo nzuli nakukubali sana kaka achana nauyo mtoto anaetambaa
Nakupenda sana alikiba allah akulinde sana na uendelee na moyo huohuo
hahahaaa Safi sana hayo ndo majibu mazuri, itifaki imezingatiwa, hekima na busara ndo kila kitu, hongera sana #Alkiba4real
I love king kiba 😍😍😍
King kiba mmefrahiii snaaaa kuskia hvoooo we jamaaa ni mtu wa mung
Till death u will always be my number one artist
@laurentchimbirani5990
4 жыл бұрын
Me too
Hii nimeipenda sana 🤣🤣🤣🤣🤣🤣👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏 pensel isharudishwa hakuna ugomvi tena na km kuna rula basi aisamehe tu
@annamshaka4680
4 жыл бұрын
Hahaaaa
@khamissaidi7187
4 жыл бұрын
Na kompas pia isisahaulike.
@zamizozamy5528
4 жыл бұрын
Wampe na kichongeo huyu
@siaammo1104
4 жыл бұрын
Hahahahaha
@shaabanramadhan6770
4 жыл бұрын
@@zamizozamy5528 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
NDIO MAANA AKAITWA KING. YANI ANAONGEA KISWAHILI NA BADO MUNASEMA HAMJAELEWA... SISI WAKUBWA TUSHAELEWA..NA NYINYI WANDO ZETU MTABAKI KUULIZIZ PENCELI NI NINI😍😍😍KING ANAONGEA KWA METHALI,MAFUMBO, SIO KUWEKA MAMBO HADHARANI MPAKA WATOTO WAELEWE...# unforgettable king.
That's great kiba busara umeonesha na umeeleweka
Hahahaha watu jamani wanavituko nnauhakika huyu dogo sai ametegeshea mahali yuaskiza kama diamond atamuita ampe pesa ngapi mana sio kwa kiki hii
@Zanzibar_quiztv
4 жыл бұрын
Najma salim Salim kzread.info/dash/bejne/d2adt9qGpq3IdcY.html
YEEEEE BABA WE NI SHIDA MAOJIANO YA KAWAIDA TU UMEPATA NA TUNZO YA PENSELI HIYO NI ZAWADI BABA HONGERA SANA YEEEE BABA
@Zanzibar_quiztv
4 жыл бұрын
Qeen rachel Thadei kzread.info/dash/bejne/d2adt9qGpq3IdcY.html
hekima ulionayo ni utajiri tosha ndani ya maisha yako alikiba, na hiyo ndo rahaa yakuzaliwa na kulelewa na wazazi wenye ufahamu.my name is jules meshak shadrack niko zangu marekani Florida🇺🇸🇺🇸🇺🇸
umenikosha sana king kiba nimeipenda hiyo
Mshikaji karudisha penseli...ama kweli wahuni sio watu wazuri😁
@ashaali7154
4 жыл бұрын
Kweli ni wahuni hapo hukukosea.
@bxgdhydydh6505
4 жыл бұрын
😂😂😂
@bakariyusuph7223
4 жыл бұрын
Hawafai hata kidogo😃😃😃
@jeanneandfrancislifestyle1518
4 жыл бұрын
Huyu katumwa nini 🤣🤣🤣🤣
@amiriramadhan7753
4 жыл бұрын
Hahahaha mwanangu nimecheka sana
king kiba umejbu vzur sana,umebarkiwa busara endelea hvohvo
Mungu akupe afya njem 👑 kiba we love you forever
Namkubali sana Alikiba, kutoka 254,...Huyo Dogo, alkua anahaja tu ykumuona Alikiba hakua na chakuongea😹😹😹.Anababaikia sana Masta,
Wanaokubaliana na kiba gonga like hapa
Hata kama unamkubal mtu sana so vizur kuingilia mambo yq watu huenda wenyew hawana ugomv wwt mashabik ndomnaeteseka
Long live mah bro King kiba❤❤❤❤❤❤
That is a too much love,katumwa huyu sio bure😁😁
@genioustv4169
4 жыл бұрын
Kamtuma kibakuli dogo anawezaje kupenya bila kuzuiliwa et
@Zanzibar_quiztv
4 жыл бұрын
ernest nchumuye kzread.info/dash/bejne/d2adt9qGpq3IdcY.html
Yaani hapa hatakama walipanga ila Nia ilikuwa nikufikisha ujumbe kwa jamii kwamba yeye hakumaanisha hivyooo,
Huyo jama Diamond afanye am one amsaidie jamani 😥😥😥maana hayo yote ni kutafuta kujulikana ana bidi
Ali Kiba you’re the 🤴
@Zanzibar_quiztv
4 жыл бұрын
Vincent Kaskerpery kzread.info/dash/bejne/d2adt9qGpq3IdcY.html
Alikiba bna mi c shabiki yko ila mi hua nakupendea kitu kmoja hujigambi frm team mond Arusha Tanzania.
Kama unayo akili timamu na hekima Kama king kiba gonga like ❤️🙏
Wisdom King!!!
@Zanzibar_quiztv
4 жыл бұрын
Mariam Shaban kzread.info/dash/bejne/d2adt9qGpq3IdcY.html
Kaka nakupenda sana zidi kuwaumiza vichwa💕💕💕💕
King hekma nyingi sana Allah akuongoze usishuke kamwe uwe juu kimuziku ubaki na nafasi yako InshaAllah 🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Kingkiba mwenye heshima zake nampenda bure.
@rosemaiko9405
4 жыл бұрын
Sana busara kitu bora
@hadijahalidi1375
4 жыл бұрын
Nampenda pia
@Zanzibar_quiztv
4 жыл бұрын
shakira khamis kzread.info/dash/bejne/d2adt9qGpq3IdcY.html
@muhammadmakame6445
4 жыл бұрын
katumwa uyo simuna wajua wazee wakiki
Mimi nimempenda sana alikiba alivyomp hamasa na alivyo mpokea akatoa maneno ya busara aliyosema kiba🙌🙌
@onlythestrong8659
4 жыл бұрын
@@ronaldoalberty1418 Wimbo 🔥🔥🔥☄️unaongea nini wewe.
@lilianjeremia1024
4 жыл бұрын
@@ronaldoalberty1418 😂😂😂😂😂
@dhulfiqaarally7274
4 жыл бұрын
Kiba leo nimekukubali sana
@lilianjeremia1024
4 жыл бұрын
@@dhulfiqaarally7274sana
@onlythestrong8659
4 жыл бұрын
@@ronaldoalberty1418 hakuna lolote kiba ana bahatisha tu.😁
Nnavyopenda King mm jamani mzee wa busara
Bangi ni kitu kibaya sana. Kitendo alichokifanya huyu dogo sio ushujaa bali ni hatari sana. Lakini tumshukuru sana m/mungu kwa kumpa Ali Kiba hekma na busara. Kama isingekuwa busara alizotumia sidhani kama huyu dogo angeondoka salama, maana walishaanza kumvuta pembeni lakini kiba akamuombea amani. Hongera sana Kiba kwa kuokoa/kuepusha shari ambayo ingemkuta huyu dogo.
hahahahaaaa!!!!!huyu dogo alitumw na mondi muangalie alivyo suka kam mondi duh wahun cyo watu wazur
@Zanzibar_quiztv
4 жыл бұрын
Melkizedeck Lyimo kzread.info/dash/bejne/d2adt9qGpq3IdcY.html
Ali kiba penseli yako chukua tunapenda sana Amani na Zombie 🧟♂️ baba lao simba baba lao 🦁
@Zanzibar_quiztv
4 жыл бұрын
Mohammed Iddi kzread.info/dash/bejne/d2adt9qGpq3IdcY.html
On the point king kiba 100
Yaaan kiba nakupenda mpaka naumwa I love you king kiba
Huyu mtoto ni zaidi ya hamorapa
@amiriramadhan7753
4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣ndugu yangu umenichekesha,sana
@jojojohn2886
4 жыл бұрын
Shelui Zonola kabisa
@Zanzibar_quiztv
4 жыл бұрын
Shelui Zonola kzread.info/dash/bejne/d2adt9qGpq3IdcY.html
huyu jamaa mzima kweli mmmmmh wew Kaka jipende mwenye Kwanza Kisha mpende mungu wako aliyokumba
@Zanzibar_quiztv
4 жыл бұрын
kauthar salat kzread.info/dash/bejne/d2adt9qGpq3IdcY.html
KING KIBA all the BEST
Your are a king kwa busara na hekima ulizotumia
The heavyweight kingkiba 👑
Kiba kumbe nae ana vya ku achieve..... Mondi amekuacha mbali sana kimaendeleo unavotaka ku achieve mwenzako amesha achieve. Ila is cool "Katika Maisha Kuna Kupanda na Kushuka" so Kiba alipanda akashuka team Kiba mna nini acheni kumpa vyeo msaidieni king wenu ku achieve goals zake
What maturity
Leo king kiba kajibu vzr. nakbal ally kiba
Vizuri sna!! Dogo me nimefrahii alikiba alikataza walimtoee!! Me nahis n hki yakee dogo kujibiwa alichotakaa n vyema!, nazan wengne ndo mmeielewa leo ile post Alikiba
@mohammediddi773
4 жыл бұрын
Ndio unasema nn kijana Mbona hueleweki na tumerejesha penseli
@Zanzibar_quiztv
4 жыл бұрын
Raymond Macha kzread.info/dash/bejne/d2adt9qGpq3IdcY.html
👑 tuko pamoja
Dah! mshkaji katulia sana. King Kiba
Alikiba kaka ,mbele niseme nakushukuru kwa busara yako ,na nasema hivi ,wewe hauna washabiki wavuta ma bangi tuna busara kama wewe kaka endeleya kutupatiya burudani Asante
@ommyTv194
4 жыл бұрын
kabixaa ujakosea wote vityukoo
Penseri dar dogo katisha kama nawe ememuona dogo aricho Fanya cha maana gonga like apo
@Zanzibar_quiztv
4 жыл бұрын
Happymack Ernest kzread.info/dash/bejne/d2adt9qGpq3IdcY.html
Dogo kafunguliwa alikua ajajua watu wazima tulishagajua toka mwanzo ila wasojua iyo ndio dawa yao.... ™ⓩⓒⓛⓐⓢⓢⓘⓒ
I love you king kiba mmmmmwwaaaaa, wakondeshe awooo
Hakuka umejaliwa busara kk mashaalah nakupenda sn
Dogo umetisha kamletea kiba penseli hiyo kali sanaaaaa
@veronicadaniel1122
4 жыл бұрын
Zinura Minaji Kajifanya hakuelewa somo huyo kijana unafiki2
Uzuli penseli yake ameludi shiwa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@elifasinimpagaritse8925
4 жыл бұрын
Christian Fellix hahaha
Waooooooooo nice kubwa king kiba🎉🎉🎉
Kweli kiba amekomaa ki akili sio mtu wa ku brag kabisa.... A King is alwayz a king
King.. yes, that's what means somebody to be called king
Kweli sana bro❤️🇹🇿🇨🇩
@Zanzibar_quiztv
4 жыл бұрын
Official Bardonie Wilass kzread.info/dash/bejne/d2adt9qGpq3IdcY.html
Baba mwenyewe anaitwa Ali yani hatari sana,roho safi hanaugomvi n mtu yyte Mungu azidi kukubariki Ali Kiba
Kiba nitakupenda daima uko very bright sana unajua nn unafanya kwenye tasinia ya mziki safi sana
Kama unakubali huyu dogo anatafta umarufu gonga like hapa twende sawa