TAMKO jipya la Waziri bashe kuhusu sakata la MAHINDI "Mnataka kuua soko........"
Waziri wa Kilimo akijibu hoja ya bei ya mahindi yanayonunuliwa na NFRA wakati wabunge walipotaka shughuli za bunge ziahirishwe ili kujadili suala hilo leo Ijumaa, juni 23, 2023.
Пікірлер: 33
Huyu dada yupo vizuri, hoja nzuri🙌☝️👍👍
Foreigner afungue kampuni kununua mahindi sio practical dogo.process ya kufungua kampuni mwaka mzima mahindi bado yanamsubiri.maneno mazuri matendo porojo.pressure ya wakubwa.pole sana.
Jamani soko ra mazao mahindi sh
Hebu wabunge punguzeni makofi ya hovyo hovyo tusikilize hoja
Bado pumba na mashudu wageni wanaenda mpaka maji moto Mpanda
Upo vizuri ilaa ni muongeaji sana unapunyanga
Haogopi kusema ukweli huyu ndo mridhi wa magufuli hamna mwingine
Misijakuelewa luvuma amani makolo kilo 290 mambo Gani hayo
Hapo nimekuelewa sana Mh piga kazi baba
@stevenkatani3047
Жыл бұрын
Nakuombea ufike mbali kisiasa mzeee
Bei.ndogo
Wew mhuni tu, WEWE TUPISHE, KTK NAFSi HIYO,
Nenda mbele Bashe Go forward
Singida hatuna kituo, tunaomba kituo Singida.
Bravo Bashe
Kabisa kabisa kabisa safi sana,safi sana,ndy ndy ndy
Alex
Bashe anachoshindwa kuelewa ni kitu kimoja, huo utaratibu wa hivyo vibali vyote vinachukua muda mrefu sana kwa mkulima kuvikamilisha. Kama vipi kuwe na one stop centre ambayo hivyo vibali vitapatikana kwa pamoja
@FIFO28
Жыл бұрын
Hilo haliwezekana kwa saza mazao hununukiwa kila mahali kote nchini. Hivyo kila halmashauri nchini inatoa vibali vinavyotakiwa kwa ajili kusafirisha mazao ya chakula.
@joesimba
Жыл бұрын
@@FIFO28 haliwezekani nini?
@chemicalmathayo3327
Жыл бұрын
Kuwa na akili
@joesimba
Жыл бұрын
@@chemicalmathayo3327 umepotea njia mkuu au?
Eti musirusu asajili
Safi sana
Safi sana dada umeongea point sana lkn pia je, tunao fanya biashara ndani ya nchi ni utaratibu Gani tufate?
Huyu jamaa ni jembe
Ivi hayo anayo zungumza niyakwake? au anafosi kwann asiingize hoja yake bungeni ifanyiwe uchunguzi? Naona kama anafosi sheria😂
@zagarinojo4227
2 ай бұрын
Bashe kila siku anagomba hivi huwa anamgombeza Nani😄
Kwa nini tra na wizara ya mambo wa siamue kupiga kempu kwenye mikoa yenye matatizo kumaliza hilo
@jumandegwakazee
Жыл бұрын
Njoo uwachukuwe kikomba
Please naomba Bashe ugombee urais please Sana wewe ndo mtu pekee mwenye moyo wa unyenyekevu
Kwani nyie wabunge mmelipwa na hao wafanya biashara??
@jumandegwakazee
Жыл бұрын
Kenya mumesikiya na watanzaniya walioko kenya wasifanye biyashara machinani