SPIKA TULIA ANA KWA ANA NA PUTIN WAGUSIA SAKATALA VITA VYA UKRAINE
Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
Жүктеу.....
Пікірлер: 28
@ndukulusudikucho_23 күн бұрын
Hongera saana Mhe TA, Mwenyezi Mungu akusimamie wakati uko huko hadi siku utakaporudi nyumbani
@PUTINN36523 күн бұрын
Safi sanaaa mimi kama mtanzania hapa ndo napompenda mama samia na tulia nakupenda upo upande sahihi ukoloni wa marekani hatuutaki
@mohamedally699223 күн бұрын
ASALAM ALAYKUM. MWENYEZI MUNGU AKUTANGULIE KATKA SAFARI YAKO AMEEN
@mwanyongamama440723 күн бұрын
Bwana Akutumie
@halimamasai223423 күн бұрын
Hongera Tulia wetu umetisha
@mwanagwakyala321319 күн бұрын
umetuwakilisha vizuri ,hongera kwa hilo
@FredrickKabura-gd7hg23 күн бұрын
Utuwakilishe vema kwa nidhamu na utuletee mrejesho kamili amani ni muhimu mualike putin atembelee ifucha, marian faith healing centre..fatima ,kibeho, minazi mikinda na vatican pia sehemu zote zenye vivutio duniani TANZANIA-ngorongoro, tanzsnia inahitaji kujiimarisha kijeshi military reforms nashukuru pia ushirikiano wa kulinda amani na mipaka ya Tanzania ee mwenyezi mungu tusaidie.
@yusufurhobi967822 күн бұрын
Dr.Tulia is very smart
@FranckDaniel-cc5rg23 күн бұрын
Kwa hapo nawasapoti tumemchoka marekani anafanya maisha kua magum
@chabrumachabruma23 күн бұрын
Hongera Tulia hongera Tanzania Hongera Afrika
@cineplus-tv25523 күн бұрын
natumai umemuomba nafasi ya watanzania kua sehemu ya brics
@veraisaria23 күн бұрын
Hilo la mahusiano yetu na urusi ndilo la kukazia hilo la ukraine wacha wakandwe hao mashoga😂😂
@PUTINN365
23 күн бұрын
@@veraisaria kweli
@karolikisaka899123 күн бұрын
Haisaidii chochote
@stanastana319923 күн бұрын
Vipi nitumie namba za putin
@CrissDaudi23 күн бұрын
Fanya mpango wa kujiunga
@rodsconehenry424923 күн бұрын
Tuungane nao tu hao
@EmmanuelMagambo54222 күн бұрын
Mitindo ya kusuka wiving
@florianhenry719822 күн бұрын
Mwambie Putin atutembelee uku karikoo amaliza huu utata
@yasiniSwedi-qg5oc23 күн бұрын
HutofanikiwA kwani mataifaya magalibi nandiyo yanayoleta vta mnayaogopa kuyaambia makosayao hasa malekani malekani ni adui wa mataifa machanga
@PhilipoMwita-b2x23 күн бұрын
Ww tulia huwezi saidia chochote Kaa kula Bata rudi
Пікірлер: 28
Hongera saana Mhe TA, Mwenyezi Mungu akusimamie wakati uko huko hadi siku utakaporudi nyumbani
Safi sanaaa mimi kama mtanzania hapa ndo napompenda mama samia na tulia nakupenda upo upande sahihi ukoloni wa marekani hatuutaki
ASALAM ALAYKUM. MWENYEZI MUNGU AKUTANGULIE KATKA SAFARI YAKO AMEEN
Bwana Akutumie
Hongera Tulia wetu umetisha
umetuwakilisha vizuri ,hongera kwa hilo
Utuwakilishe vema kwa nidhamu na utuletee mrejesho kamili amani ni muhimu mualike putin atembelee ifucha, marian faith healing centre..fatima ,kibeho, minazi mikinda na vatican pia sehemu zote zenye vivutio duniani TANZANIA-ngorongoro, tanzsnia inahitaji kujiimarisha kijeshi military reforms nashukuru pia ushirikiano wa kulinda amani na mipaka ya Tanzania ee mwenyezi mungu tusaidie.
Dr.Tulia is very smart
Kwa hapo nawasapoti tumemchoka marekani anafanya maisha kua magum
Hongera Tulia hongera Tanzania Hongera Afrika
natumai umemuomba nafasi ya watanzania kua sehemu ya brics
Hilo la mahusiano yetu na urusi ndilo la kukazia hilo la ukraine wacha wakandwe hao mashoga😂😂
@PUTINN365
23 күн бұрын
@@veraisaria kweli
Haisaidii chochote
Vipi nitumie namba za putin
Fanya mpango wa kujiunga
Tuungane nao tu hao
Mitindo ya kusuka wiving
Mwambie Putin atutembelee uku karikoo amaliza huu utata
HutofanikiwA kwani mataifaya magalibi nandiyo yanayoleta vta mnayaogopa kuyaambia makosayao hasa malekani malekani ni adui wa mataifa machanga
Ww tulia huwezi saidia chochote Kaa kula Bata rudi
Shauri yenu mtapohusishwa kwenye ushahidi ICC🤔
@salumabdallah2990
23 күн бұрын
Kumamaamae si wawachukuwe netanyahu
muoga kuongea😂😂😂
Picha za kuunga-unga....................
@halimamasai2234
23 күн бұрын
We naye kwa wivu huna lolote roho mbaya tu
@PUTINN365
23 күн бұрын
@@goodluckkombe994 msee
𝑆𝑖𝑜 𝑘𝑤𝑒𝑟𝑖, ℎ𝑖𝑧𝑖 𝑛𝑖 𝑝𝑖𝑐ℎ𝑎 𝑧𝑎 𝑚𝑐ℎ𝑜𝑛𝑔𝑜, ℎ𝑝𝑜 𝑃𝑢𝑡𝑖𝑛 𝑎𝑙𝑖𝑘𝑢𝑤𝑎 𝑘𝑤𝑒𝑛𝑦𝑒 𝑚𝑎𝑚𝑏𝑜 𝑚𝑒𝑛𝑔𝑖𝑛𝑒