Sio hip hop tu ata kutowa taarifa ya abari unawedha Naomba like zenu jamani kama unamkubali PFS JAY
@stevemwalongo1442
4 жыл бұрын
Safi sana J. Kwa Taarifa nzuri
@langatjosphat
Жыл бұрын
@SIVICKEY KAGOMA DOG ooooliskia wapi
@emmanuelpaison17894 жыл бұрын
Yes yes and big yes god bless u mbunge wa watu na wanyama
@bonnyanomaly22724 жыл бұрын
Yeah...safi sana Professor tunahitaji watu waliotuliza akili siyo makelele mengi..kuwa mpinzani siyo dhambi ila dhambi ni chuki na kukosa kiasi,Big up Prof na kambi ya upinzani. Sema nn prof waambie wenzio wale na kiasi ktk siasa, Mungu akusaidie Joseph Haule, Mti mkavu a.k.a Daddy
@foibennjeje77304 жыл бұрын
Hongera sana J Mungu akupe ulinzi amen
@emanuelgella82018 ай бұрын
Mtu smart sana
@bibomax42734 жыл бұрын
Mikumiii stand up
@fransicsamson1064 жыл бұрын
Wapinzani wako vizuli wakati wooooote.sio hawa vilaza vya ccm komba mwiko
@nadrahassan52414 жыл бұрын
😀😀😀unaimba 🚀🔥🔥🔥
@elvismillanz89564 жыл бұрын
Ndugai mda mngine siyo mnafiki ikifanya hivyo atakwawengine pepo utaiyona
@paulinasteven69024 жыл бұрын
Upinza hoyeeeee
@foibennjeje77304 жыл бұрын
Piga keleleeeeee upinzani ni kioo!!
@josephmwaruanda63794 жыл бұрын
Ajili nyingi real professor hongera sana
@elvismillanz89564 жыл бұрын
Mpizani moja ni ccm mia
@eunicesalamba2716
4 жыл бұрын
7i0 +€£¥0₩₩₩¥8877543. Hd *£€€_%90₩
@kirupyseleman5824 жыл бұрын
Mzeyaaa
@emmanuelpaison17894 жыл бұрын
Wewe ndio professor uyu wetu uku kusini cjui hipapu yake inamsaidia nn maana hua nasikia kelele na kulalamika tu kua ananyanyaswa iv ww unafanyaje kilichotofauti na mbilinyi
@abdulrahimmusa85214 жыл бұрын
inapendeza sana hoja inassomeka na anaeleweka saloooot
@barikingowo10524 жыл бұрын
Professor unatakiwa ugombee urais walai
@honnestkimaro93824 жыл бұрын
Jaman tuwe makini na huu ugonjwa wa Corona
@mahorwafrugerance95934 жыл бұрын
Natamani ungekua mmbunge wa korogwe mjini kupitia chama mapiduzí ccm
@innocentndabukakiye61004 жыл бұрын
Rudi CCM utapewa uwaziri
@mahamoudabas8555
4 жыл бұрын
Kaz yenu ccm ndio hiyo. Kuchafua upinzan, mkiona mbunge wa upinzan anafanya vizur mnataka kumnunua, alafu akishaingia ccm mnamnyamazisha kwa kumpandisha nafas, na hapo analua hafai tena.
Пікірлер: 29
Sio hip hop tu ata kutowa taarifa ya abari unawedha Naomba like zenu jamani kama unamkubali PFS JAY
@stevemwalongo1442
4 жыл бұрын
Safi sana J. Kwa Taarifa nzuri
@langatjosphat
Жыл бұрын
@SIVICKEY KAGOMA DOG ooooliskia wapi
Yes yes and big yes god bless u mbunge wa watu na wanyama
Yeah...safi sana Professor tunahitaji watu waliotuliza akili siyo makelele mengi..kuwa mpinzani siyo dhambi ila dhambi ni chuki na kukosa kiasi,Big up Prof na kambi ya upinzani. Sema nn prof waambie wenzio wale na kiasi ktk siasa, Mungu akusaidie Joseph Haule, Mti mkavu a.k.a Daddy
Hongera sana J Mungu akupe ulinzi amen
Mtu smart sana
Mikumiii stand up
Wapinzani wako vizuli wakati wooooote.sio hawa vilaza vya ccm komba mwiko
😀😀😀unaimba 🚀🔥🔥🔥
Ndugai mda mngine siyo mnafiki ikifanya hivyo atakwawengine pepo utaiyona
Upinza hoyeeeee
Piga keleleeeeee upinzani ni kioo!!
Ajili nyingi real professor hongera sana
Mpizani moja ni ccm mia
@eunicesalamba2716
4 жыл бұрын
7i0 +€£¥0₩₩₩¥8877543. Hd *£€€_%90₩
Mzeyaaa
Wewe ndio professor uyu wetu uku kusini cjui hipapu yake inamsaidia nn maana hua nasikia kelele na kulalamika tu kua ananyanyaswa iv ww unafanyaje kilichotofauti na mbilinyi
inapendeza sana hoja inassomeka na anaeleweka saloooot
Professor unatakiwa ugombee urais walai
Jaman tuwe makini na huu ugonjwa wa Corona
Natamani ungekua mmbunge wa korogwe mjini kupitia chama mapiduzí ccm
Rudi CCM utapewa uwaziri
@mahamoudabas8555
4 жыл бұрын
Kaz yenu ccm ndio hiyo. Kuchafua upinzan, mkiona mbunge wa upinzan anafanya vizur mnataka kumnunua, alafu akishaingia ccm mnamnyamazisha kwa kumpandisha nafas, na hapo analua hafai tena.