SOMO LA MADHABAHU NA CHIEF APOSTLE MTALEMWA ARUSHA 01 05 2017

Пікірлер: 42

  • @joannelson1137
    @joannelson11372 жыл бұрын

    Dady chief apstle Asante sana kumbe kuomba bila kupata mafundisho ni sawa na bure ,dad nimechelew kukujua lkn labda pia huo ndo wakati wa mungu.❤️❤️🙏🙏

  • @sharonnasambu6753
    @sharonnasambu67533 жыл бұрын

    Yaani nimekuelewa mchungajii na nimejua wapy am wrong ckua jua haya Asante.... Nashukuru mungu kwa hii neema nimejifunzaa kwa kwely.

  • @gracekwila5674
    @gracekwila56744 жыл бұрын

    Daaah hili somo ni balaa yani liko deep sana... Kumbe sadaka inasiri kubwa hivi... Nimejifunza vitu humu nimepata nguvu kubwa sana i wish kila mtu aliangalie hili somo Asante sana mtume somo zuri sana

  • @petercastro776
    @petercastro7764 жыл бұрын

    Amen,I receive this message in Jesus name barikiwa Sana

  • @chrismwesiga2334
    @chrismwesiga23344 жыл бұрын

    Yahaani wewe kaka,cjui kwann ckukujua zamani,hila nahata sasa nshukuruungu.madhabau imekula ukoo wangu hila namsshukuru mungu ameingilia kati mauti imemezwa.

  • @deborahdelly4532
    @deborahdelly45323 жыл бұрын

    Nimejifunza kitu somo zuri sana ubarikiwe zaidi Mtumishi wa Mungu

  • @saramtei4371
    @saramtei43712 жыл бұрын

    Amen

  • @felestinekwamboka2873
    @felestinekwamboka28732 жыл бұрын

    Be blessed nimejifunza vitu mingi kuhusu sadaka ameeen 🙏🙏🙏

  • @agathasalema1455
    @agathasalema14553 жыл бұрын

    Amen Chief .. Nimeelewa na ntaifanyia kazi

  • @deboranyerere2489
    @deboranyerere24893 жыл бұрын

    Nami napokea ktika jina la yesu mie na family yangu

  • @alvinemajani6395
    @alvinemajani63954 жыл бұрын

    Nimeelewa kabisa,, nashukuru kwa mafundisho yako Apostle Chief Mtalemwa,ata kama yamepita yanapamba

  • @jacquelineallemann604
    @jacquelineallemann6044 жыл бұрын

    Amen 🙏 nimejifuza asante man of GOD nimeelewa Siri ya madhabahu🙏

  • @pastormartins6834
    @pastormartins68343 жыл бұрын

    We're blccd our apostle.... For preaching definite will be free.....

  • @roberthafavour7841
    @roberthafavour7841Ай бұрын

    Amen amen

  • @farajamkuchu8458
    @farajamkuchu84585 жыл бұрын

    Asante sana Apostle nimepokea neema hii ya MADHABAHU

  • @hildpaul7823
    @hildpaul78232 жыл бұрын

    Ni kweki kabisaaa nimetoa sana but now days wamenikosa in Jesus name

  • @saadahmahfudh5790
    @saadahmahfudh57905 жыл бұрын

    Mafunzo muhimu,asante,barikiwa

  • @samsmu3806

    @samsmu3806

    4 жыл бұрын

    Barikiwa Mtumishi kwa SoMo nzuri la mazabahu.

  • @highnesseverest3619
    @highnesseverest36193 жыл бұрын

    Ameen Pastor ahsante sana

  • @user-cg1wb3jj2n
    @user-cg1wb3jj2n2 жыл бұрын

    Ameeeeen 🙏🙏🙏🙏

  • @esthercharles2210
    @esthercharles22103 жыл бұрын

    AMEN!AMEN!AMEN!!!!

  • @happayeustace5667
    @happayeustace56674 жыл бұрын

    Hili somo limenifungua sana baba asante

  • @kabulakinanda5002
    @kabulakinanda50024 жыл бұрын

    Halaka halaka nakupenda bule MUNGUa akubaliki

  • @justinajoseph39
    @justinajoseph395 жыл бұрын

    Asante Kwa somo Chief,, nimejifunza.

  • @romaniombay3642

    @romaniombay3642

    5 жыл бұрын

    Asante mungu kwa nabii wako

  • @chrismwesiga2334

    @chrismwesiga2334

    4 жыл бұрын

    Barikiwa mtumishi,nipo Arusha,ninashukuru kwa hili somo,madhabau imekula ndugu zangu wengi,hila namshukuru Mungu alinipa haya mafunuo,nikatengeneza nasasa mauti imekoma,unafundisha vizuri,unaeleweka,mwenya masikio na asikie neno roho anayabia makanisa.

  • @jokshannubuntu2580
    @jokshannubuntu25803 жыл бұрын

    ❤️🇧🇮

  • @mikemrosso5679
    @mikemrosso56794 жыл бұрын

    You're too much man of God....

  • @ireneasina7946
    @ireneasina79463 жыл бұрын

    Asante

  • @susanmugure6098

    @susanmugure6098

    3 жыл бұрын

    Pls servant of God what will I do pls I want to speak with you

  • @clairemuchai623
    @clairemuchai6233 жыл бұрын

    Thanks

  • @joannelson1137
    @joannelson11372 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🙌🙌💎💎💎💪💪🙏🙏

  • @faidaimmaculee28
    @faidaimmaculee284 жыл бұрын

    Iyonikweli mutumishiwamungu wanafanana namimi mukongwe

  • @saramalila4441
    @saramalila44413 жыл бұрын

    Ee mungu ulie hai fungua ufahamu wangu wa ndani kupitia SoMo hili pia ubarikiwe mtumishi

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya82763 жыл бұрын

    Madhabahu ya makaburi.!! Baba alipata kuapa na kuonyesha na kuweka alama eneo angelizikwa pindi mauti ikimkuta,.na hata kuzihifadhi mbao nzuri za Sanduku lake. Aliwaambia watoto wake, Ukoo wake, na hata kijiji, na hata watumishi wachungaji wa kanisa lake kkkt. Baadhi walipinga na maamuzi yake yalitekelezwa nusu nusu. Nini kitakachotokea kwa ukatili na ukatili huo wakati marehemu ameshalala tofauti na maagizo yake kwa uzao wake, mtumishi PASTOR MUTALEMWA? ASANTE SAAANA BABA. NITAPOKEA USHAURI WAKO.

  • @kenonpeter3692
    @kenonpeter3692 Жыл бұрын

    Chif nakukubalisana

  • @angelkanoga2175
    @angelkanoga21752 жыл бұрын

    Amen

  • @galaxyboyofficial9785
    @galaxyboyofficial97854 жыл бұрын

    Amen

  • @suzanamollel268
    @suzanamollel2685 жыл бұрын

    Amen

  • @elishakadulis7951

    @elishakadulis7951

    4 жыл бұрын

    Suzana Mollel nikwel

  • @wanyonyimaggy6881
    @wanyonyimaggy68814 жыл бұрын

    Amen

  • @eunicemusalia3268

    @eunicemusalia3268

    2 жыл бұрын

    Asate kwamafudisho yamafuta PST