SOMA DUA HII KUJIFUNGUA MIKONO YAKO KUMBE MIKONO NAYO INAROGWA!(IMAMU MOHAMED MALINA)

Пікірлер: 48

  • @hassanbilali1697
    @hassanbilali16973 ай бұрын

    Shekh Allah anajua unachofanya usiwajibu hao wapinzani we endelea

  • @mbwawafillingstation
    @mbwawafillingstation3 ай бұрын

    Nimesomea Duwa mdomo ni kweli umetoa povu jingii

  • @AbdulMchumira-ll3li
    @AbdulMchumira-ll3li3 ай бұрын

    Allah akubariki shekh,hakika ndo Hali halisi Kwa watu waliopigwa uchawi hasa wa kufungwa hima kutembea(sihir u junun) kama nimekosea ni sahishwe.Asante Kwa darasa

  • @jamilahali-jg8er
    @jamilahali-jg8erКүн бұрын

    Hii imeniusu mimi walahi

  • @salamabakari8384
    @salamabakari838419 күн бұрын

    Amiin mashallah ❤❤❤

  • @ibrahimjuma9709
    @ibrahimjuma97093 ай бұрын

    Utaonekana unaeleza vitu vya uongo ila kwa wenye akili ni elimu kubwa ndiyo maana mwenyezi Mungu amewachukua wachawi Asante sana ALLAH akubariki

  • @neemahalima5440
    @neemahalima54403 ай бұрын

    Mashalla, mwenyenzi mungu akubariki kwa elimu hii unayoitwa kwetu,amina

  • @ashashaban6484
    @ashashaban64843 ай бұрын

    MASHALLAH MASHALLAH ALLAH AKULIPE KILA LA KHER INSHALLAH SHEIKH WETU

  • @BallethSalha
    @BallethSalha3 ай бұрын

    Shukran shekh Allah akulipe kila la kheir Amin

  • @user-mf7mt9zq6c
    @user-mf7mt9zq6c3 ай бұрын

    Mi nimeshika wakulia nikasoma Bismillah nimepata Maumivu ya ajbu na umekua mzito

  • @ashamhina3233
    @ashamhina32333 ай бұрын

    Jadhakallah kheri Shekh wangu

  • @zanzibarfin5789
    @zanzibarfin578918 күн бұрын

    Shukran

  • @halimamfaume1925
    @halimamfaume19253 ай бұрын

    MashaAllah ❤❤❤

  • @yusufwanderawesonga440
    @yusufwanderawesonga440Ай бұрын

    Huwa naumwa sana na mkono nitafanya dua iyo inshallah

  • @ZakadJuma

    @ZakadJuma

    11 күн бұрын

    Shem nimeshika mkono ukauma

  • @user-dh5gw5mq7l
    @user-dh5gw5mq7l3 ай бұрын

    Mwenyezi Mungu akujaze shekhe wetu

  • @cosmasjoshua1973
    @cosmasjoshua19733 ай бұрын

    dua ya mtoto wa jicho tafadhali

  • @ZuwenaSaleh-bb7wx
    @ZuwenaSaleh-bb7wx3 ай бұрын

    Mashaallah 😊🙏

  • @innocentndikumana8928
    @innocentndikumana89283 ай бұрын

    mashallah ❤

  • @amsamaghenah7090
    @amsamaghenah70902 ай бұрын

    Allah akuhifadhi shekhe

  • @user-rn6xm4bj8j
    @user-rn6xm4bj8j3 ай бұрын

    Mashaallah shukran. Sheikh naomba nikuulize mama angu anatatizo la kutetemeka mikono jee hakuna dua au tiba itakayomsaidia.anapata shida sana wakati wa kula mkono kwenda kinywani hua unatetemeka sana

  • @hassanomary7353

    @hassanomary7353

    3 ай бұрын

    Msomee aya hii "salam kaulammi-rabbi rahiim___mara33 kila asubuhi au mda wowote..ukimsomea kila itakuwa vizuri inshaallah.

  • @hassanomary7353

    @hassanomary7353

    3 ай бұрын

    Msomee kwa kumshika kila kiganja kimoja kimoja.

  • @halimamfaume1925
    @halimamfaume19253 ай бұрын

    Shukraan sheikh

  • @mwangimuhammad-sx9hb
    @mwangimuhammad-sx9hb3 ай бұрын

    Wa alaykum salaam warahmatullahi wabarakatuhu.. Maa Shaa Allah.....Allah akuhifadhi na akulinde.

  • @sharifaibrahim980
    @sharifaibrahim9803 ай бұрын

    Assalam aleikum warahmatullah wabarakatu Alhamdulillah twakushuru sana Allah akulipe kwa jitihada zako sheikh nimefanya nimepata maumivu mkono wakulia

  • @subirasaid7702
    @subirasaid77023 ай бұрын

    Jazzak Allah kheir

  • @salimfarid4690
    @salimfarid46903 ай бұрын

    MashaAllah!

  • @buhitexmohamed4785
    @buhitexmohamed47852 ай бұрын

    Mashallah

  • @oman1oman179
    @oman1oman1793 ай бұрын

    ❤❤❤❤allaah akulipe kila la kheri kwa kutujuza kwa sasa ma mimi naenda kusomea kiganja changu kwamana nina ganzi kwenye viganja sijui nini

  • @naimajuma3577
    @naimajuma35772 ай бұрын

    Shukran JazakaahAllah kherah ❤️

  • @ashaali4269
    @ashaali42693 ай бұрын

    Sh shukran Allah akulipe

  • @hanifa9153
    @hanifa91533 ай бұрын

    Asalam alaykum warahmatullah wabarakatuh sheikh cku nyungine ongeza sauti kidogo shukran😊🙏

  • @zainamohammed7109
    @zainamohammed71093 ай бұрын

    Asante Mungu akulipe Mema

  • @user-pw9lf6yt9b
    @user-pw9lf6yt9b3 ай бұрын

    aya yangapi shekhe

  • @Lucia-lk6gv
    @Lucia-lk6gvАй бұрын

    Shk weka chini namba yako.

  • @user-xn2yf6nv1i
    @user-xn2yf6nv1i3 ай бұрын

    A.alkm tunaomba dua ya kufungua kitshua

  • @user-dh5gw5mq7l
    @user-dh5gw5mq7l3 ай бұрын

    Asalam aleykum atakae soma dua hizi na akafaulu alete mregesho hapa ili tuzidi kuwa na moyo

  • @AdamMaasa
    @AdamMaasa2 ай бұрын

    Jazaakallahukhairi Allahu akulepe mazuri

  • @kadiffneyy8469

    @kadiffneyy8469

    2 ай бұрын

    Shukran ya sheikh ni ajaribu ulivyosema kwani nimeathirika.

  • @user-pw9lf6yt9b
    @user-pw9lf6yt9b2 ай бұрын

    kweli shekhe tu Fundi she yapo

  • @hassanomary7353
    @hassanomary73533 ай бұрын

    Mi nimepata faida kwa mafundisho yako.

  • @faykasalum9725
    @faykasalum97253 ай бұрын

    Hao ndio hao mahasidi wenyewe usiwasikilize

  • @user-vc2jl9qp9m
    @user-vc2jl9qp9m2 ай бұрын

    Mara ngapi? Kwa siku

  • @harunaisha5786
    @harunaisha57863 ай бұрын

    Assalam aleikum warahmatullahi wabarakaatuh unafanya kwa muda gani and ni Aya gani hio ya kwanza

  • @zuberhamza7852

    @zuberhamza7852

    2 ай бұрын

    Yaani angalitaja sura ingalipendeza Zaid Maana mdamwngine hasikiki vizur

  • @zuberhamza7852

    @zuberhamza7852

    2 ай бұрын

    Nimeipata surat furqan 23

  • @mwajumasadick8688
    @mwajumasadick86883 ай бұрын

    Inshallah

Келесі