Shukrani baarakallahufik shekhe wetu imamu malina Allah nishahidi na Elimu unayotupa nayeye ndoatujuwa chakukulipa maana sisi hatuwezi kukulipa ila Allah pekee ndomwenyeuwezo huko Nakuona video nimekutumiya kwenye wasp mwanangu huu nimwaka 5 hajakaawala kusimama Wala haongey niwakumlishatu hawezi kulamwenyewe kwauwezo wa Allah huwenda wewe ukawa sababu yamwanangu kupona naomba Dua zako shekhe Allah atajua chakukulipa sisiviumbe hatuwezi kukulipa ila Allah pekee
@imamumohamedmalina69957 сағат бұрын
Shukran sana kwa kufuatilia mafunzo haya huyo mtoto tutapanga muda tumsomee dua inshaa Allah na Allah atamponya tu usihofu 🙏
@methodman132212 сағат бұрын
Assalam Alaikum Sheikh jazzaka' Allah
@imamumohamedmalina69959 сағат бұрын
Allahuma amiyn 🙏
@HajrahRamadan14 сағат бұрын
Asalamu alykm warahmatulah wabarakatu,tunakipenda kwa ajili ya Allah,tunaomba tuandikie hiyo dua ili tuweze kuhifadhi
@imamumohamedmalina69959 сағат бұрын
Humu liaduwu fahadharihumu qaatalahum LLAHU
@NoorynMody15 сағат бұрын
Nakupenda sheikh kwaajili ya Allah Allah akuongezee humri mlefu wenye baraka tele
@imamumohamedmalina69959 сағат бұрын
Allahuma amiyn 🙏
@asmaabubakar261420 сағат бұрын
Shukran sheikh Allah akubaarik
@imamumohamedmalina699516 сағат бұрын
Allahuma amiyn 🙏
@mwangimuhammad-sx9hb22 сағат бұрын
Allah akuzidishie
@imamumohamedmalina699516 сағат бұрын
Allahuma amiyn 🙏
@mwangimuhammad-sx9hb22 сағат бұрын
Wa alaykum salaam warahmatullahi wabarakatuhu
@user-iz2dw8rp2i22 сағат бұрын
MASHAALLAH ALLAH AKUJAZE KHERI.
@imamumohamedmalina699516 сағат бұрын
Allahuma amiyn 🙏
@user-tw8qr3ns6r23 сағат бұрын
Jazaka Allah kheir sheikh wangu
@imamumohamedmalina699516 сағат бұрын
Allahuma amiyn 🙏
@AishaAthimaniКүн бұрын
Shukrani shekh
@cosmasjoshua1973Күн бұрын
jazakallah kher.dua ya macho vp
@imamumohamedmalina699523 сағат бұрын
In shaa Allah ntaifundisha
@BigirimanaAbdulshakurКүн бұрын
Assalamwalaykum warahmatullah wabarakatuh vp na hali haya insh allah leo ntakupigia sim
Пікірлер
Jamani nimejaribu kudanlodi imegoma naomba msaada.
Naomba namba yako shekh
Allah akuhifadhi na akupe umri kutuelekeza vyema
Allahuma amiyn 🙏
Shukrani baarakallahufik shekhe wetu imamu malina Allah nishahidi na Elimu unayotupa nayeye ndoatujuwa chakukulipa maana sisi hatuwezi kukulipa ila Allah pekee ndomwenyeuwezo huko Nakuona video nimekutumiya kwenye wasp mwanangu huu nimwaka 5 hajakaawala kusimama Wala haongey niwakumlishatu hawezi kulamwenyewe kwauwezo wa Allah huwenda wewe ukawa sababu yamwanangu kupona naomba Dua zako shekhe Allah atajua chakukulipa sisiviumbe hatuwezi kukulipa ila Allah pekee
Shukran sana kwa kufuatilia mafunzo haya huyo mtoto tutapanga muda tumsomee dua inshaa Allah na Allah atamponya tu usihofu 🙏
Assalam Alaikum Sheikh jazzaka' Allah
Allahuma amiyn 🙏
Asalamu alykm warahmatulah wabarakatu,tunakipenda kwa ajili ya Allah,tunaomba tuandikie hiyo dua ili tuweze kuhifadhi
Humu liaduwu fahadharihumu qaatalahum LLAHU
Nakupenda sheikh kwaajili ya Allah Allah akuongezee humri mlefu wenye baraka tele
Allahuma amiyn 🙏
Shukran sheikh Allah akubaarik
Allahuma amiyn 🙏
Allah akuzidishie
Allahuma amiyn 🙏
Wa alaykum salaam warahmatullahi wabarakatuhu
MASHAALLAH ALLAH AKUJAZE KHERI.
Allahuma amiyn 🙏
Jazaka Allah kheir sheikh wangu
Allahuma amiyn 🙏
Shukrani shekh
jazakallah kher.dua ya macho vp
In shaa Allah ntaifundisha
Assalamwalaykum warahmatullah wabarakatuh vp na hali haya insh allah leo ntakupigia sim
Hii imeniusu mimi walahi
Sheke nmesoma nkawa naisi kutapka lkini sjapka wallahi
Sisi ambao tuko nchi za wenyewe tutasoma vp ustadh plz huko kujichapa na maji uje ukutwe umeanguka sasa itakuwa tabu
😂😂😂😂shukran shekh yani kuna mengi hatujui sisi tunafanya mazoezi kumbe tulifungwa mola akupe umri mrefu
Alhamdulillah
Alhamdulillah
Alhamdulillah
Sura gani,Aya yangapi
Shukran, allaah akzidishie nuru uzidi kutufahamisha, na allaah atuongoze ktka njia iliyonyooka
Shukran sheikh
Allah akulipe inshallah
Assallam Allaikum warahmattu llah wabarakatu sheikh wangu sheikh unanikumba mimi toka muscat
Nani wewe
Alhamdulillah
Shukrani shukrani Allah akulipe pepo shekhe wetu imamu malina
Inapatikana kwa surah gani?
shukranAllah akubaarik Alhamdulillah
Assalam alaykum warahmatullahi wabarakatuhu... Maa Shaa Allah...Allah akuzidishie
Shekh kunashida ndugu yangu anashida jogoo kagoma
Mungu akuzidishye ni jambo la kheri umelifanya atakulipa
Masalaf wanasema hii dua hajafundisha mtume ,hivi kweli?
جزاك الله خيرا، ياشيخ
Shekhe unapatikana wapi type namba yako
0767684818
Kwajambollote lile Gumu Waqaffa bilaah,,,,,,,,,,,, ,,,... walliyya ..... Nassira ...... Hasiba ...... Birabika ....... Hadiya wa nasira Waqafa bilabika bizunub ibbadi Hadira mbasira Waqafa llah llmuuninina, qitalaah Waqanbna lah qawiiytan AZIZA, Fasayakfika humu llah Wahuwa Samiyyoun LLA llhim Waqafa billah
Naomba unitumie hii dua nimedainlodi imegoma ahsante.
Mashaallah shukrani shekh
Allah akubariki sheikh wangu Allah akulipe Kwa dua zako na elimu
Mashallah dua hii naijua lkn sijui maana yk Alhamdulillah nimejua maana yk shukran
Jazakallah khayri shekhe somo nzuri mashaAllah
Assalam Aleikum warahmatullahi wabarakatuh sheikh. Hii ni dua yangu kila siku naisoma kwenye sijda alhamdulillahi
Jazaak LLAHU khairan (Mombasa?!)
🙏
ALLAH AKULIPE KHERI NYINGI IMAMU MALINA ITABIDI UNIFUNDISHE HIYO DUA YA KUSOMA VITU VYA HASID VITEKETEE BI IDHNILLAH NIMEPENDA HIYO NUKTA IMAM
Allah akulipe kheri shekhe wetu imamu malina kwa Elimu unazotowa unafanya jambo kibwa Sana natunafaidika na Elimu yako
Allahuma amiyn
Allahuma amiyn
Maa Shaa Allah...Allah akuhifadhi na akuzidishie.. Assalam alaykum warahmatullahi wabarakatuhu...jazakallah khyran
Allahuma amiyn
Mashallah Tabarakallah.
Shukran