"SIKUTAKI" MAKONDA AMTIMUA MENEJA WA RUWASA, AGUNDUA UBADHILIFU NA UONGO

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda amemtaka Meneja wa Mamlaka ya Maji sa fi na Usafi wa mazingira (Ruwasa) Wilaya ya Longido, Ramadhan Musiba kuwasiliana na bosi wake (Katibu Mkuu Wizara ya Maji) ili amuachishe kazi kwa kumdanganya mbele ya wananchi na kushindwa kufuatilia miradi ya maji anayotakiwa kuisimamia.
Hatua hiyo imefikiwa leo Mei 23, 2024 baada ya Makonda kufanya ziara ya kukagua Zahanati ya Leremeta iliyopo wilayani Longido na kugundua changamoto ya maji katika eneo hilo.
Akizungumza mbele ya Mkuu wa Mkoa, Mwenyekiti wa Kijiji cha Leremeta Supuk Melita, amesema wamekuwa na changamoto zaidi ya miezi saba na wamekuwa wakitoa taarifa hiyo lakini hakuna kilichofanyiwa kazi.
Meneja huyo alipoulizwa na Makonda, amesema taarifa ya kutopatikana maji eneo hilo aliipata kwa wiki mbili zilizopita.
Baada ya taarifa hiyo, Makonda ameng’aka: "Mwenyekiti anasema amekwambia zaidi ya miezi mitatu alafu wewe unasema umepewa taarifa kwa wiki mbili, kwa umri wako unaona ni vizuri kudanganya? Mtafute katibu mkuu mwambie Makonda kasema sifai, hanitaki."

Пікірлер: 27

  • @joycemwango943
    @joycemwango943Ай бұрын

    waaaaah,,, MAKONDA Ni Kiboko,,,be blessed 🙏🙏

  • @salmontito9019
    @salmontito9019Ай бұрын

    Makonda you are the one

  • @shabanikitula645
    @shabanikitula645Ай бұрын

    Jembe hilo huyu ndiyo mwanaume .

  • @Japhary-sx3je
    @Japhary-sx3jeАй бұрын

    Vijana wapo mkuu

  • @mgongolwajoseph6901
    @mgongolwajoseph6901Ай бұрын

    Makonda longido walichakachia sana sana

  • @mohammedkhimji7505
    @mohammedkhimji7505Ай бұрын

    wanateuana wenyewe kwa wenyewe... wanatenguana wenyewe kwa wenyewe... kinachobakia ni sifa kwa viongozi, hasara kwa mali ya umma na shida kwa wananchi...

  • @jabirkasunzu6841

    @jabirkasunzu6841

    Ай бұрын

    Tatizo wateuliwa wenyewe wanakengeuka, lawama kwa Rais.

  • @MrTop-wj7no
    @MrTop-wj7noАй бұрын

    😂😂😂daah huyu ndo MAKONDA sasa🙌🏼🙌🏼🙌🏼

  • @denisyohana8104

    @denisyohana8104

    Ай бұрын

    magufuli kafufuka,makonda yuko poa sana

  • @ibrahimally8073
    @ibrahimally8073Ай бұрын

    Haya Mzee kalee wajukuu Sasa.. KAZI waachie vijana.. 😂😂

  • @user13375
    @user13375Ай бұрын

    Kizee kibishi,😮😮

  • @ezrajustice4352
    @ezrajustice4352Ай бұрын

    Huyu mzee namjua.huwaga hajui kusimamia kazi,mbishina ni muongo hivyohivyo

  • @martinlema4192
    @martinlema4192Ай бұрын

    Anatakiwa astaafu!

  • @paschalpaul3862
    @paschalpaul3862Ай бұрын

    Jamani mimi ngoja niendelee kuwa mjasiriamali maana ukiwa mzee kubali kufanya kazi zako binafsi

  • @ElibarikiEliud
    @ElibarikiEliudАй бұрын

    Makonda Jimbo la Ubungo linakungoja wanainchi tunakutaka.ulituombea Hospitali uliotuombea haijakamilika

  • @SelijusiMalambo-ur6cr
    @SelijusiMalambo-ur6crАй бұрын

    Alishachoka huyo Mzee hakuna kitu aondoke tu

  • @katemaonlinemedia
    @katemaonlinemediaАй бұрын

    Kwanza huyu mzee anaonekana alidaganya umri mm nafikiri alitakiwa awe amestaafu Shida ndo hiyo huyo ni babu

  • @user-yv7xg4em4s
    @user-yv7xg4em4sАй бұрын

    Huu ndio mlima wa moto .

  • @welsonleonad1743
    @welsonleonad1743Ай бұрын

    Dah we makonda unanikosha na kaz zako

  • @user-rh5yn3bc1o
    @user-rh5yn3bc1oАй бұрын

    Kaz km hizi zisingekuwa za uteuzi ....wasome watume cv wachujwe.......tafuteni korean movie ya son of concubine mjifunze.

  • @user-en5sg8bs4p

    @user-en5sg8bs4p

    Ай бұрын

    Ko pamoja nakuteuliwa unaisi anaelimu ya kitoto au unamzidi Mbona ww hujateuliwa acha kukalili maneno ya wanasiasa uyo ni injinia ni cv ndo zimefanya ateuliwe nenda naww wakuteuwe

  • @ibrahimally8073
    @ibrahimally8073Ай бұрын

    Makonda siku ukimtumbuwa na yule mzee mkurugenzi wa arusha nitafurahi mnoooo.. nipo kanda ya ziwa ila kazi yako naikubali mjomba..

  • @iddijamhuri
    @iddijamhuriАй бұрын

    Namuona mlithi wa JPM kapatkana

  • @paulmaganga9700

    @paulmaganga9700

    Ай бұрын

    Kabisa

  • @isaacmollel345
    @isaacmollel345Ай бұрын

    Makonda.ubunge.huoooo 2025

  • @denisyohana8104

    @denisyohana8104

    Ай бұрын

    no ,uraisi

  • @denisyohana8104

    @denisyohana8104

    Ай бұрын

    sema ,mama angejua angepumzika tumpe nchi hii makonda

Келесі