Ahsante Mh. Waziri, Tutafurahi sana kama mtapiga marufuku wanawake kwenda uchi kuvaa visuruali na viguo vifupi, wanaume kuning'iniza suruali mpaka zinakaribia kudondoka haya mambo yanatukera sana. Zanzibar Sasa imekua znz jina tu. Tunaomba Mh. Waziri haya mambo yako ndani ya uwezo wenu
@mpagikhatib3684 Жыл бұрын
Mungu akubariki akupe maisha marefu wanawake wanakwenda uchi vimbaya mnoo hata wanaume wanashusha suruwali chi yakiuno wapigwe marufuku
@jebellwallace3509 Жыл бұрын
Yapi madhara ya electric cigarette?unguja hua Muna visheria vya ajabu sana,me nilitegemea utasema pombe ni marufuku kumbe nawee ni wale wale tu.
@RioIpo
Жыл бұрын
Tatizo mawaziri hao hawatoki Town babu...
@maryammtumwa82789 ай бұрын
Alhamdulillah ya Rrabbi lidumishe hili na utupe ufumbuzi wa kudumu kunisaidia jamii yetu
Serekali ya dhuluma haiwezi kufanikiwa hawana lolote hapo amani ccm hatar chama Cha mashoga Ni kikubwa hakina raisi tu halafu serekali inamkono mrefu lkn kw chama hicho Haina mkono mrefu
@AA-yr7sr Жыл бұрын
Allah Akbar Allahu Akbar Allahu Akbar Allahu Akbar Allahu Akbar Allahu Akbar Allahu Akbar Alhamdulillah Rabbi Allamin 🤲🏿🤲🏿🤲🏿
@saynabmohammed6263 Жыл бұрын
Muliona haya ndo madhara mbona hamtoi sheria na kupapana na ushoga ubasha usagaji
@shaviercharvinho18 Жыл бұрын
hii bora itasaidia sana
@abuubakar7594 Жыл бұрын
Bora mpaka pombe na sigara za kawaida na bangi zote ziwe haramu znz
@saidsalum9587 Жыл бұрын
Usagaji na ushoga jee?
@hassanmchoro1198 Жыл бұрын
Alihamdulilahi yarab likatazwe hili na jengine mabaa pombe wanawake kwenda uchi na wanaume wanoshusha suruwali manywele yanosukwa Zanzibar yetu irud kama alivyo iwacha rais wetu abed aman karume
@RioIpo
Жыл бұрын
Haiwezekani tena iyo dunia imesogea saivi
@abubakarmuhammadsaid3244 Жыл бұрын
Katazeni ulevi pigeni marufuku mabaa yafungwe.
@khamisjuma8501 Жыл бұрын
How about kuko hoa
@pavillioncry5241 Жыл бұрын
Hebu eka video nzima bwana we ahh Kazi kueka vipande tu
@nailamohd-wn6sb
Жыл бұрын
Ah anapenda kukata kata anarusha kidogo kidogo 😅
@shaviercharvinho18 Жыл бұрын
na ma bar ya ulevi Zanzibar yaondolewe wa zanzibar hatuna hizi tamaduni na kwenye za keshi zote zisimamishwe shughul za kufanya ndio sehemu za starehe
@rastafare878
Жыл бұрын
Ni kweli kabisa
@ariifrazakh9371
Жыл бұрын
Dunia ndy inayoyatak haya zanzibr hatutoboi
@hajiabdalla5772 Жыл бұрын
Na ulevi vile vichupa vidogo kama konyagi pia vijana wadogo wanakunywa kuliko maji ila hao unaozungumza nao wote walevi ndio starehe zao
@mohammedkhkombo4439 Жыл бұрын
Azungumze kistaarabu hicho ni kibri Mzee
@RioIpo
Жыл бұрын
😂😂😂
@ghalibelghanim1151 Жыл бұрын
Hawa watu usiku wanaouza vyakula madaga mezani hasa huku chukwani wachekiwe health zao kabla hawajaruhusiwa kufanya biashara ya vyakula barabarani na ni uchafu. Vibanda vimejaa pembeni ya barabara vyote Serikali iviondowe nchi imekuwa uchafu KILA mahali.
@rajabmsinzia1715 Жыл бұрын
safi sana Wamasai wamachinga na baadhi ya wapemba wanachafua sana mji
@mohammedkhkombo4439
Жыл бұрын
We mpemba anakulisha mbwa we kumamamako .
@rajabmsinzia1715
Жыл бұрын
@@mohammedkhkombo4439 Nyinyi Some Wapemba matusi ndio yenu sasa wale wanaoweka nguo nje ya maduka ya walipa kodi ni nani kama sio Baadhi yenu Wapemba?sasa ule ndio uchafu wa mji ,na wale wanaopanga nguo barabarani na kuweka vimeza ni nani kama sio nyinyi baadhi ya Wapemba?Kisha kunilisha mimi huwezi kwasababu mmekimbia kwenu Pemba kwa sababu ya njaa zenu mukajileta Unguja kuzaliana ili muwe wengi muchukue madaraka hahah yagujuu Kazi kuchafua mji mtu nyinyi na wamachinga pamoja na wamasai ndio munaongoza kuchafua mji wa Zanzibari ,Watu wa Unguja wastaarabu Ammy hauwakuti vile na sio kama hawawezi ila ni wastaarabu na wanaheshimu mamlaka
@RioIpo
Жыл бұрын
@@mohammedkhkombo4439hahahas kake kasema baadhi tutuliee tu
Пікірлер: 32
Ahsante Mh. Waziri, Tutafurahi sana kama mtapiga marufuku wanawake kwenda uchi kuvaa visuruali na viguo vifupi, wanaume kuning'iniza suruali mpaka zinakaribia kudondoka haya mambo yanatukera sana. Zanzibar Sasa imekua znz jina tu. Tunaomba Mh. Waziri haya mambo yako ndani ya uwezo wenu
Mungu akubariki akupe maisha marefu wanawake wanakwenda uchi vimbaya mnoo hata wanaume wanashusha suruwali chi yakiuno wapigwe marufuku
Yapi madhara ya electric cigarette?unguja hua Muna visheria vya ajabu sana,me nilitegemea utasema pombe ni marufuku kumbe nawee ni wale wale tu.
@RioIpo
Жыл бұрын
Tatizo mawaziri hao hawatoki Town babu...
Alhamdulillah ya Rrabbi lidumishe hili na utupe ufumbuzi wa kudumu kunisaidia jamii yetu
Nawanawak kutembea uchu likemewe vikal naomb nawanaume wakikutwa wamesimana nawanawar vichochoron wapigwe bakor haswa
@AbdullahOmar-fv3ld
Жыл бұрын
Serekali ya dhuluma haiwezi kufanikiwa hawana lolote hapo amani ccm hatar chama Cha mashoga Ni kikubwa hakina raisi tu halafu serekali inamkono mrefu lkn kw chama hicho Haina mkono mrefu
Allah Akbar Allahu Akbar Allahu Akbar Allahu Akbar Allahu Akbar Allahu Akbar Allahu Akbar Alhamdulillah Rabbi Allamin 🤲🏿🤲🏿🤲🏿
Muliona haya ndo madhara mbona hamtoi sheria na kupapana na ushoga ubasha usagaji
hii bora itasaidia sana
Bora mpaka pombe na sigara za kawaida na bangi zote ziwe haramu znz
Usagaji na ushoga jee?
Alihamdulilahi yarab likatazwe hili na jengine mabaa pombe wanawake kwenda uchi na wanaume wanoshusha suruwali manywele yanosukwa Zanzibar yetu irud kama alivyo iwacha rais wetu abed aman karume
@RioIpo
Жыл бұрын
Haiwezekani tena iyo dunia imesogea saivi
Katazeni ulevi pigeni marufuku mabaa yafungwe.
How about kuko hoa
Hebu eka video nzima bwana we ahh Kazi kueka vipande tu
@nailamohd-wn6sb
Жыл бұрын
Ah anapenda kukata kata anarusha kidogo kidogo 😅
na ma bar ya ulevi Zanzibar yaondolewe wa zanzibar hatuna hizi tamaduni na kwenye za keshi zote zisimamishwe shughul za kufanya ndio sehemu za starehe
@rastafare878
Жыл бұрын
Ni kweli kabisa
@ariifrazakh9371
Жыл бұрын
Dunia ndy inayoyatak haya zanzibr hatutoboi
Na ulevi vile vichupa vidogo kama konyagi pia vijana wadogo wanakunywa kuliko maji ila hao unaozungumza nao wote walevi ndio starehe zao
Azungumze kistaarabu hicho ni kibri Mzee
@RioIpo
Жыл бұрын
😂😂😂
Hawa watu usiku wanaouza vyakula madaga mezani hasa huku chukwani wachekiwe health zao kabla hawajaruhusiwa kufanya biashara ya vyakula barabarani na ni uchafu. Vibanda vimejaa pembeni ya barabara vyote Serikali iviondowe nchi imekuwa uchafu KILA mahali.
safi sana Wamasai wamachinga na baadhi ya wapemba wanachafua sana mji
@mohammedkhkombo4439
Жыл бұрын
We mpemba anakulisha mbwa we kumamamako .
@rajabmsinzia1715
Жыл бұрын
@@mohammedkhkombo4439 Nyinyi Some Wapemba matusi ndio yenu sasa wale wanaoweka nguo nje ya maduka ya walipa kodi ni nani kama sio Baadhi yenu Wapemba?sasa ule ndio uchafu wa mji ,na wale wanaopanga nguo barabarani na kuweka vimeza ni nani kama sio nyinyi baadhi ya Wapemba?Kisha kunilisha mimi huwezi kwasababu mmekimbia kwenu Pemba kwa sababu ya njaa zenu mukajileta Unguja kuzaliana ili muwe wengi muchukue madaraka hahah yagujuu Kazi kuchafua mji mtu nyinyi na wamachinga pamoja na wamasai ndio munaongoza kuchafua mji wa Zanzibari ,Watu wa Unguja wastaarabu Ammy hauwakuti vile na sio kama hawawezi ila ni wastaarabu na wanaheshimu mamlaka
@RioIpo
Жыл бұрын
@@mohammedkhkombo4439hahahas kake kasema baadhi tutuliee tu
this is nonsense 😭
Apo mmenifurahis smz nip p1
Nawanawak kutembea uchu likemewe vikal naomb nawanaume wakikutwa wamesimana nawanawar vichochoron wapigwe bakor haswa