Show Nzima ya Diamond Platnumz na Jux kwenye Tuzo za Trace Rwanda
Спорт
Ahsante kwa kuwa mwana familia, kwa habari murua utazipata hapa, Ungana nasi kwa kila update zitakazo jitokeza.. Subscribe Channel yetu ili usipitwe na habari zetu.
FOLLOW US
Follow on Instagram: / mwendokasitv
Follow on Facebook: / mwendokasimedia
#marioo #diamond #alikiba #zuchu #mbosso #rayvanny #zai #kontawa #neywamitego #harmonize #afunguka #yanga #azam #simba #jinsiya #namnaya #baikoko #story #kajala #ireneuwoya #paula #wasafi #piewdew #wwe
Пікірлер: 56
Asante diamond platnums 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 kwakutujengea heshima nafurahi sana kuwa shhabiki wa WCB Simba aujawahi niangusha,,
Kwakweli siamini kama diamond platnums huyu ninaemjuwa Mimi amekuwa juu kiasi hiki jamani chukuwa mauwa Yako diamond platnums 🔥🔥🔥⭐⭐✨✨💥💐🌹🌺🌸🌿🍂🌾🌿☘️☘️🌱🌼
Mshenziii amewanyooshaa nyoko zao chezea shibu dangote nini❤❤❤❤❤❤mond wetu twajivunia wewe
Wow!!❤ stage zao nzuri kama za ulaya
@user-dl5xz5pe2n
7 ай бұрын
Huko hamna mafisadi hata ndege walinza kumiliki kabla yetu
Hamonize kweendraaa na umakonde wako wa kikuma simba❤❤❤
Rwanda 🇷🇼 wako juu kwenye mambo ya ukumbi na maandalizi kama Ulaya
Jux anaenda kimataifaf
Tanzania tunajivunia uwepo wako ,,diamond kwakweli nasema ,mungu akuongoze Zaid kazi zako wtz tunakupongeza Sana na popote inaunguruma,simbaaaa😅😅hongera kwa tuzo
Big performance
Nasisi tukipata Alena yetu itapendeza Sana Sema mama Bado ananunua magori akimaliza atatuwekea na sisi bajeti
Ila Mond yupo juu bnaa alipoingia kwenye nyimbo ya Jux stage ilibadlika na ukumbi ukawaka moto ful shangweeeee
Salute to diamond platnumz this is so amazing
Simba❤❤😂😢😅😅😅
Umetisha kk
Hatari sana
Simple marketing strategy. Kuwa na mangers ambao watafanya research ya nyimbo zako zinazopendwa sehemu Ili ukipaform watu wawe na VIBE. Hii itasaidia kukujenga kwa siku zijazo. Huu ujumbe wangu ni kwa wasanii wachanga sio MONDI
Vraiment upendo
Uyo ndo simba la masimba dangote mpaka waseme baba 😂😂😂❤
Simba kweli baba lao jamn apewe maua yake 🙏❤️🙏❤️👈❤️🙏
Yan amemalizia vizur😊😊😊😊
Kenya tanzania simba ❤❤❤❤
nabado mtasema mpakamseme badohamjasema nautashema simba fanyakaziyako😅
Best artist in Africa.. I say Africa because despite the fact that Simba is from a Swahili nation, he still competes with the best artists
@mickymusic6497
7 ай бұрын
🙏💪💪💪🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@stacytheuri4889
6 ай бұрын
He's the best
Simba
Like zangu😂
Umemheshimisha Jux
Huyu jamaa hanaga muda wa kupumzika....i sure yu anafanya kaz usiku na mchana, na mkono wenye bidii acha upate...
I like the way the cameraman does it well 🎉
Amazing performance🫡🫡
❤❤❤jamaaa anajua mpaka anaboa
Tanzania representing in the house
2:53 ❤❤❤❤❤❤
Simba aaaaa
Nawaza huyu diamond asingekuepo Muzik wetu sijui ungekuwa wapi now maan wasanii wengi TZ hawajitumiii kabisa. Diamond umetuheshimisha sana
kaka mondi umetisha
East africa finest😍😍
Baba lao
Duuuuu ❤❤❤
❤❤❤❤
Je hao kweli ni washirikina
❤❤❤❤ super
D mmoja tuu tz
Pafomas good
❤❤❤❤❤ 🎉🎉🎉🎉
❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉😊
Harmonize kwendaaaaaaa!
Zambia tunakubali saana diamond,kazinzuli saana burundi mukowapi???😂😂😂
Simba ni simba na ndo baba lao
Big parfomce
❤❤
🙏🙏🙏🙏❤❤❤
Mwingine hajalewa mwingine yupo na chameleone halafu wanajiita wakubwa
,🤪🤪🤪🤪🤔