SHOGA ANAFUNGA RAMADHANI NA ANASWALI HUU NI MSIBA //SHEIKH KIPOZEO

USISAHAU KU SUBSCRIBE

Пікірлер: 28

  • @hovsback1405
    @hovsback1405 Жыл бұрын

    Am a Christian but napenda mafunzo ya sheikh Kipozeo

  • @partnersah8802

    @partnersah8802

    Жыл бұрын

    Me too

  • @sofiasalimchengo3922
    @sofiasalimchengo3922 Жыл бұрын

    Mashaallah ❤❤❤❤❤❤ wishing all Muslims Ramadhan Kareem wa swaumul maqbul inshaallah

  • @fatmaahmed8637

    @fatmaahmed8637

    Жыл бұрын

    🤝🤲

  • @OmaryTemambele-yf7og
    @OmaryTemambele-yf7og Жыл бұрын

    Moffut assalaam aleykum mollah mattulah wabarakat,tunakutakia heri shekhe mungu akupe wepesi nasi waislam wa robanda Serengeti nasi tupate kuswali inshallah

  • @rasrizzy_g7856
    @rasrizzy_g7856 Жыл бұрын

    Mola ambariki shekhe #KIPOOZEO

  • @idrissamustafabukenya6110
    @idrissamustafabukenya6110 Жыл бұрын

    Jazakallahu khaira ya sheikh

  • @rasrizzy_g7856
    @rasrizzy_g7856 Жыл бұрын

    Mufti wetu mppya nampenda kwaajili ya ALLAH sw...

  • @mohamedhafidh9012
    @mohamedhafidh9012 Жыл бұрын

    Nice Sh . Kipozeo salute.

  • @abdab8466
    @abdab8466 Жыл бұрын

    Sioni kuna ubaya shoga anafunga na kuswali pengine huenda ikawa ni hidaya sababu hamna dhambi kubwa kama kumshirikisha mwenye zimungu, Allah ashasema akitaka kuongoza watu wote si kazi kwake

  • @abdallahyunus7538

    @abdallahyunus7538

    Жыл бұрын

    Ni sawa lakini katika kufunga pia kurekebishana ni muhimu

  • @sskondopoleani9616

    @sskondopoleani9616

    Жыл бұрын

    Ni Kweli Kabisa, humo tupitapo kwa wanazuoni kuokota Ilmu, huwa twaonywa kuwapangia watu pepo na Jahanam na hutupa mifano kabisa kuwa kuna watu duniani walikuwa wabaya sana lakini kwa wema mdogo tu wakaipata pepo na wengine walikuwa wema lakini kwa ubaya mdogo tu wakaenda Jahanam, sasa kisha kosa kwa kufanya ushoga, basi aendeleze makosa kwa kuacha kusali na kufunga?? Allah ya Alam, yeye ndie ajuae wa pepo na Jahanam, Masheikh wetu tuombeeni duaaa, tusilaniane. Allah awazidishie kheri Masheikh wetu nasi maamuma atuzindue. Ameen

  • @babaomi5453

    @babaomi5453

    3 ай бұрын

    Je Ndio Anshaacha Huo USHOGA..Kama Baada Ya Ramadhan Ataendelea Na USHOGAHuyo Hana Chochote Kashinda Njaa Tu.

  • @abdab8466

    @abdab8466

    3 ай бұрын

    @@babaomi5453 mambo mengine tumuachieni Mungu,kuna watu huanza vibaya mwisho wao ukawa mwema,na vise versa,mbona masheikh hawa hawa msikiti ulipojengwa kwa pesa za anasa na kufunguliwa kwa anasa hawasemi ni msiba

  • @abdab8466

    @abdab8466

    3 ай бұрын

    @@babaomi5453 watu Wenda kufungua msikiti kwa rusha roho ,fikiria

  • @OmaryTemambele-yf7og
    @OmaryTemambele-yf7og Жыл бұрын

    Kwan nyumba ya ibada mtihani shekhe,hivyo tunahotaji changizo!!!

  • @rashdiyange7758
    @rashdiyange7758 Жыл бұрын

    Kipozeo naoan ndugu chalusha takua una kipulizaa vizrr baba kuku bali sana chenyew icho 👊👊

  • @uthaymgalax181

    @uthaymgalax181

    3 ай бұрын

    Anapuliza cha Chuga🤔🤔🤔🤔

  • @athumanikhamisi3377
    @athumanikhamisi3377 Жыл бұрын

    Maashaallah

  • @alitsama-xk6rr

    @alitsama-xk6rr

    Жыл бұрын

    Mashallah

  • @fatmaahmed8637
    @fatmaahmed8637 Жыл бұрын

    SIO YA KUCHEKA HAYOO WALA SIO.MAZURI,KUNA DHAMBI ZINAKUJA HATA KWA MWENYE KUSHANGILIA,KUYACHEKEA

  • @Jonas-kk4bh
    @Jonas-kk4bh Жыл бұрын

    TANZANIA WAPO WENGI TU CHA AJABU SELIKALI WANAWAJUA NA MPAKA WANANCHI WENYEWE WANAWAJUA WANAWACHEKEA TANZANIA NCHI YA SARA

  • @rasrizzy_g7856
    @rasrizzy_g7856 Жыл бұрын

    Suala la ushoga linahitaji tuliwekee sheria mpya jaman..wanazidi kushika kasi hawa wahuni nwa wanazidi kuharibu vizazi vya leo

  • @bekabakari7394

    @bekabakari7394

    Жыл бұрын

    Kwanza tuanza na mabasha

  • @masoudalriyamy6298
    @masoudalriyamy6298 Жыл бұрын

    Shoga afunge nini wakati mwenyewe kalaaniwamtu alolaaniwa anafunga

  • @abushirymzee6515

    @abushirymzee6515

    Жыл бұрын

    Soma vzuri kilichoandikwa hapo

  • @MohamedHasan-kt4lw
    @MohamedHasan-kt4lw Жыл бұрын

    Mambo yote haya ni kuwa Sisi waislam hatutaki kuafuta mafundisho ya dini yetu, juu kila kitu Mungu katueleza hukmu ya MTU shonga nkuuwawa Leo hii cc maneno mengi tu ya uoga

Келесі