SHK MAZINGE :WAMEKUJA NA MBINU MPYA WAISLAM WENGI WAMERITTAD || WANADHOOFISHA IMANI ZA WATU
#shkmazinge #zvponlinetv #daressalaam
Жүктеу.....
Пікірлер: 68
@ffed187611 ай бұрын
MaashaAllah shukran sheikh Mola akujaze kheri nyingi na barka pamoja na sheikh wetu Mazinge Mola amhifadhi ampe jannatul Firdaus Aamin Yarabbi.
@babuuabdalla411711 ай бұрын
Ma Sha ALLAH. ALLAH SWT Akulipe Sheikh Kisede wewe na sote kwa nia zetu ili tezea kuwailimisha Waislamu na wasio kuwa Waislamu amin 🤲
@user-pt8ub1th3h11 ай бұрын
Mashaallah Allah awaweke nguvu ya imani waislamu sote
@faridahalwaily8511 ай бұрын
MashaAllaah MashaAllaah Barrakkah Allaah huu fiekoum
@allymbarouk536211 ай бұрын
Namuheshimu sana Shekh Mazinge kwa kaz yake mkubwa sana ya kumtangaza Allah Allah mwenyew ndie atamlipa
@AliMasoud-ux5os10 ай бұрын
Mashalla llah
@mirfatymohd558011 ай бұрын
Mungu akupe maisha marefu shekh mazinge
@adamopitanvitanvita795811 ай бұрын
Allahuma amine
@wardamwikali789111 ай бұрын
Mashallah tabarakallahu sheikh,jazakallahu kheir
@ramyramso11 ай бұрын
Masha Allah
@mkwipunda203611 ай бұрын
Maasha Allah Allah azidi kuwapa nguvu majemedari wetu
@jumannemuhammad207311 ай бұрын
Allahu aqbar
@frankmpembu11 ай бұрын
Nawaombeeni kwa Bwana Yesu, msife mkiwa Waislamu
@haridyhillaryndembo1946
11 ай бұрын
Bwana yesu mwenyewe ni sheikh mvaa kanzu mwenye ndevu nyingi anakuambia imeandikwa muabuduni Mungu na muende masjid kumsujudia Mungu Luka 6:12 yesu anakesha anakosa usingiz kuomba Mungu we kinyago unamuomba yesu😄
@AbdallahHussein-fr4zv
11 ай бұрын
Yesu mwenyewe mwisilam wewe sijui uwo ukristo umeupata wapi
@frankmpembu
11 ай бұрын
@@AbdallahHussein-fr4zv Yesu hakua Muislamu na wala Uislamu haujui. Kipindi cha Yesu Uislamu haukuwepo, Uislamu umeanza mwaka 610 na Bi Khadija ndiye Muislamu wa kwanza Duniani.Qur'an 16:125 (Baruani) FAFANUZI YAKE INASEMA; "Na jadiliana na watu wa Dini zilizotangulia, katika watu wa Biblia yaani Mayahudi na Wakristo. Kitabu:African Bible. Uk: 2216. kinasema; "Uislamu ni dini iliyoenea duniani iliyoanzishwa na mtume wa kiarabu Muhammadi" Kitabu:Maisha ya Nabii Muhammadi Mwandishi: Kadhi Sheikh Abdullah Saleh Farsy Uk :11 kinasema; Bi Khadija yeye ndiye Mwislamu wa kwanza baada ya mtume, naye ndiye mwanamke wa pili mtukufu katika umma huu wa Nabii Muhammad." Kitabu: Wakeze Mtume wakubwa na wanawe. Mwandishi: Kadhi Sheikh Abdullah Saleh Farsy Uk: 13 kinasema÷ "Yeye Bi Khadija ndiye Muislamu wa kwanza ulimwenguni"
@dottomccraney548511 ай бұрын
Masha Allah 😍😍😍
@ramyramso11 ай бұрын
Allah Qarim namuomba Allah anijaalie nife nikiwa muislam anijaalie kabla sijakufa niwe miongoni mwa wanatoa mawaidha 🤲🏾🤲🏾 insha Allah
@fredrickgitonga1972
11 ай бұрын
Ukifa mwislam umepotea
@hassancharo1496
11 ай бұрын
Inshallah
@hassancharo1496
11 ай бұрын
@@fredrickgitonga1972Muslim na Kaffir nan ame poteya
@yusufkhanna
11 ай бұрын
@@fredrickgitonga1972 na wote waliolala kwenye ukristo wamepotea,hayo ni maneno ya bibilia sasa ww lete aya waliolala kwenye uislamu wamepotea,hamuna kitu wala hoja wakristo kama kuna mtu anayejiamini ajitokeze
@ramyramso
11 ай бұрын
@@fredrickgitonga1972 nyie hamjielewi mwamposa kawapelekea malori ya udongo mmeuziwa kijiko buku mumemtajirisha mwenzenu kawapiga pesa kaenda kujenga hotel nyie mnaakili kweli
@amittambwe47311 ай бұрын
Sheikh Kisede, nimimi Tambwe Ibrahim Goma. Nitumie number yako plz nilipata Habari ya kufungwa kwako, pole sana nasema tena karibu sana tena ukumbuni.
Huyu mrongo sana hadithi za kutunga...eti wakasema mkiinamisha kichwa chini mnasujudia shetani? Acha upuzi...mkristo yupi akupe hoja ya kitoto hivyo?njoo kenya tukupe injili ya kweli uokoke...si hizi habari za mazinge kutunga sarakasi na wafuasi wenzake....
@hassaniharuna1010
11 ай бұрын
Ndugu hii Nch Ina Mambo ya Ajabu Sana Usibishe Kama ww unajua ukiristo Basi Shukuru kwa kufahamu Kuna Watu hawajui kitu kabisa na Utashangaa ukisimuliwa watu hajui kitu pia Kuna waislamu pia hawajui lolote
Kwan yesu alikuwa anamwabudu nani au ndio hujielewi
@banyankirubusamarc172711 ай бұрын
Siyo ivo waislamu muna muabudu shetani , si kwakusujudu, apana, kwa mulivyo bi amini tena uyo yiko anazngumuza akasema muhammadi ni zaidi ya mitume yote ilipo pita duniani ati n'a Yesu nimudogo kwa muhammadi, huyo mwalimu anakufuru, muhammadi aliowa mutoto wa myaka sita muhammadi kitabu alico telemka naco alikipewa nashetani mwenyewe, sourat albakala 2:97 muhammadi ni mwalimu wa mashetani , uwo ni mutume gani? Potenza hawo bipofu habaguwi kushoto na kuliya hawo ni Kuni za za jahanhamu. Endeleeni. Yesu alisema kuna waliyo na masikiyo hawasikii na wana maco hawaoni endelea kumukufulu mungu kiama Kiko mulangoni kitatueleza Nani muongo Nani mu kweli.
@jesusislord919011 ай бұрын
Muhhamad hajawahi kutukanwa yeye ndio huwa anatukana watu ...kwani? Muhhamad aliupata utume vipi?? Nani?? Alimpa Muhhamad utume?? Nani alie waambie muelekee makkah we umewahi kumsikia Allah au jibril akisema Muhhamad ni mtume??
@felixgitonga678311 ай бұрын
Nikweli unababundu seteni waislamu wote wanabudu jiwe markaa
@andrewmhagama9816
11 ай бұрын
Wewe waache tu waangamie maana Mithali 29:1 Aonywaye mara nyingi akishupaza shingo, Atavunjika ghafula, wala hapati dawa.
@bellasi34911 ай бұрын
Huyo mkimbizi😂tu nae anafata mafundisho y’a kijinga y’a muhamadi eti upénde muhamadi kuliko wazazi wako mafundisho y’a kijinga maandiko yanasema mwaheshimu wazazi wako ili uishi miaka mingi na kheli duniani alafu eti umpende muhamadi akiri amuna nyie kenge yani uache kumpenda mama yako eti umpende mwarabu wa makka tena aliezaliwa na kafili muabudu masanamu
@dinocastico8495
11 ай бұрын
Hakuomba kuwa mkimbizi ila ni hali hutokea tu baada ya kutofautiana kwa viongozi, si vyema kubeza . Kubishana ni sehem ya wapumbavu ila majibizano ya hoja ni sehem ya wasomi sasa naww jibu kisomi kupitia maandiko😊
@athumanikadaika5817
11 ай бұрын
Sio vizuri kabisa kumdhihaki Mtu au imani ya Mtu U dini usiyoiamini au kujua, tumia hoja au dalili ili uonekane una akili timamu kwa kuvunja hoja za hizo. Swali una dhani aliyekuletea na kukufundisha mafundisho ya kuwa uwaheshimu wazazi wako ni nani kama sio manabii.
@wardamwikali7891
11 ай бұрын
Mungu akusamehe,maana haujuhi unachokisema,nakuombea mungu akuongoze kwa njia ya haki,uwe muislamu,aamiin
@nyetaapaul9389
11 ай бұрын
We acha ukafiri wako, wewe ndio utaenda motoni husipomkubali Mtume Muhammad (s.a.w)
@Versossecretosdoislam659511 ай бұрын
Kisede Hana lolote
@dinocastico8495
11 ай бұрын
Wewe una chochote ukilete sasa katika unacho kifaham
@amittambwe473
11 ай бұрын
Wewe unani zaidi ya Kisede? Kwanza umetiya alama ya lana, tupu. Sababu ya ujingatu
Пікірлер: 68
MaashaAllah shukran sheikh Mola akujaze kheri nyingi na barka pamoja na sheikh wetu Mazinge Mola amhifadhi ampe jannatul Firdaus Aamin Yarabbi.
Ma Sha ALLAH. ALLAH SWT Akulipe Sheikh Kisede wewe na sote kwa nia zetu ili tezea kuwailimisha Waislamu na wasio kuwa Waislamu amin 🤲
Mashaallah Allah awaweke nguvu ya imani waislamu sote
MashaAllaah MashaAllaah Barrakkah Allaah huu fiekoum
Namuheshimu sana Shekh Mazinge kwa kaz yake mkubwa sana ya kumtangaza Allah Allah mwenyew ndie atamlipa
Mashalla llah
Mungu akupe maisha marefu shekh mazinge
Allahuma amine
Mashallah tabarakallahu sheikh,jazakallahu kheir
Masha Allah
Maasha Allah Allah azidi kuwapa nguvu majemedari wetu
Allahu aqbar
Nawaombeeni kwa Bwana Yesu, msife mkiwa Waislamu
@haridyhillaryndembo1946
11 ай бұрын
Bwana yesu mwenyewe ni sheikh mvaa kanzu mwenye ndevu nyingi anakuambia imeandikwa muabuduni Mungu na muende masjid kumsujudia Mungu Luka 6:12 yesu anakesha anakosa usingiz kuomba Mungu we kinyago unamuomba yesu😄
@AbdallahHussein-fr4zv
11 ай бұрын
Yesu mwenyewe mwisilam wewe sijui uwo ukristo umeupata wapi
@frankmpembu
11 ай бұрын
@@AbdallahHussein-fr4zv Yesu hakua Muislamu na wala Uislamu haujui. Kipindi cha Yesu Uislamu haukuwepo, Uislamu umeanza mwaka 610 na Bi Khadija ndiye Muislamu wa kwanza Duniani.Qur'an 16:125 (Baruani) FAFANUZI YAKE INASEMA; "Na jadiliana na watu wa Dini zilizotangulia, katika watu wa Biblia yaani Mayahudi na Wakristo. Kitabu:African Bible. Uk: 2216. kinasema; "Uislamu ni dini iliyoenea duniani iliyoanzishwa na mtume wa kiarabu Muhammadi" Kitabu:Maisha ya Nabii Muhammadi Mwandishi: Kadhi Sheikh Abdullah Saleh Farsy Uk :11 kinasema; Bi Khadija yeye ndiye Mwislamu wa kwanza baada ya mtume, naye ndiye mwanamke wa pili mtukufu katika umma huu wa Nabii Muhammad." Kitabu: Wakeze Mtume wakubwa na wanawe. Mwandishi: Kadhi Sheikh Abdullah Saleh Farsy Uk: 13 kinasema÷ "Yeye Bi Khadija ndiye Muislamu wa kwanza ulimwenguni"
Masha Allah 😍😍😍
Allah Qarim namuomba Allah anijaalie nife nikiwa muislam anijaalie kabla sijakufa niwe miongoni mwa wanatoa mawaidha 🤲🏾🤲🏾 insha Allah
@fredrickgitonga1972
11 ай бұрын
Ukifa mwislam umepotea
@hassancharo1496
11 ай бұрын
Inshallah
@hassancharo1496
11 ай бұрын
@@fredrickgitonga1972Muslim na Kaffir nan ame poteya
@yusufkhanna
11 ай бұрын
@@fredrickgitonga1972 na wote waliolala kwenye ukristo wamepotea,hayo ni maneno ya bibilia sasa ww lete aya waliolala kwenye uislamu wamepotea,hamuna kitu wala hoja wakristo kama kuna mtu anayejiamini ajitokeze
@ramyramso
11 ай бұрын
@@fredrickgitonga1972 nyie hamjielewi mwamposa kawapelekea malori ya udongo mmeuziwa kijiko buku mumemtajirisha mwenzenu kawapiga pesa kaenda kujenga hotel nyie mnaakili kweli
Sheikh Kisede, nimimi Tambwe Ibrahim Goma. Nitumie number yako plz nilipata Habari ya kufungwa kwako, pole sana nasema tena karibu sana tena ukumbuni.
MashaAllah jakkah ALLAH
Takbiiir takbiiiir, Allah Akbar
ALLAH akulipe kila la kheir
Prof Mazinge
Mashallah
Shukran shekh Kasede
Inalillahi wainailayhi rajiun kesede mola akuifazi duniya na akhera kwakweli nimeskiya ucungu kwagisi umekamatwa
@fatmasimba7540
11 ай бұрын
Ameen
Allah Akbar
MashaAllah
Mashallah kiswaili swahihi
😂 hahaha shehe unalisha watu matango poli. Mungu awasaidie sana waislamu
AMEEN 🤲🏽🤲🏽
Mbona wote waliimba hivi nanyi huaga mnaimba😂😂😂😂😂
Mama hapo kashakula hela za kanisa kisha hawaja mpata 😅😅
Masha ALLAH sheikh ALLAH akuzidishie...lakini sheikh mbona unamtaja mtume na humswalii.saw.
@abdallahkabuto8392
11 ай бұрын
Wewe mswalie ,ACHA zako.
Aiseee namkubali mazinge jamani nimemsikia bado nikiwa mdogo napenda niwe kama yeye
Huyo Ni Mwalimu
Waislam wakiritadi kosa wakristo wakiritadi rahaaaaaaaaa mh mtajibeba
Mie pia nimemsikia mazinge toka niko mtoto mdogo.
Huyu mrongo sana hadithi za kutunga...eti wakasema mkiinamisha kichwa chini mnasujudia shetani? Acha upuzi...mkristo yupi akupe hoja ya kitoto hivyo?njoo kenya tukupe injili ya kweli uokoke...si hizi habari za mazinge kutunga sarakasi na wafuasi wenzake....
@hassaniharuna1010
11 ай бұрын
Ndugu hii Nch Ina Mambo ya Ajabu Sana Usibishe Kama ww unajua ukiristo Basi Shukuru kwa kufahamu Kuna Watu hawajui kitu kabisa na Utashangaa ukisimuliwa watu hajui kitu pia Kuna waislamu pia hawajui lolote
Kwan uongo? Kwan mnadhani mnamwabudu nan😅😅😅
@zuwenasleiman3587
11 ай бұрын
Waulize waislamu wenyewe watakujibu wanamuabudu nani usimuulize padri
@swalehemusa4546
11 ай бұрын
Kwan yesu alikuwa anamwabudu nani au ndio hujielewi
Siyo ivo waislamu muna muabudu shetani , si kwakusujudu, apana, kwa mulivyo bi amini tena uyo yiko anazngumuza akasema muhammadi ni zaidi ya mitume yote ilipo pita duniani ati n'a Yesu nimudogo kwa muhammadi, huyo mwalimu anakufuru, muhammadi aliowa mutoto wa myaka sita muhammadi kitabu alico telemka naco alikipewa nashetani mwenyewe, sourat albakala 2:97 muhammadi ni mwalimu wa mashetani , uwo ni mutume gani? Potenza hawo bipofu habaguwi kushoto na kuliya hawo ni Kuni za za jahanhamu. Endeleeni. Yesu alisema kuna waliyo na masikiyo hawasikii na wana maco hawaoni endelea kumukufulu mungu kiama Kiko mulangoni kitatueleza Nani muongo Nani mu kweli.
Muhhamad hajawahi kutukanwa yeye ndio huwa anatukana watu ...kwani? Muhhamad aliupata utume vipi?? Nani?? Alimpa Muhhamad utume?? Nani alie waambie muelekee makkah we umewahi kumsikia Allah au jibril akisema Muhhamad ni mtume??
Nikweli unababundu seteni waislamu wote wanabudu jiwe markaa
@andrewmhagama9816
11 ай бұрын
Wewe waache tu waangamie maana Mithali 29:1 Aonywaye mara nyingi akishupaza shingo, Atavunjika ghafula, wala hapati dawa.
Huyo mkimbizi😂tu nae anafata mafundisho y’a kijinga y’a muhamadi eti upénde muhamadi kuliko wazazi wako mafundisho y’a kijinga maandiko yanasema mwaheshimu wazazi wako ili uishi miaka mingi na kheli duniani alafu eti umpende muhamadi akiri amuna nyie kenge yani uache kumpenda mama yako eti umpende mwarabu wa makka tena aliezaliwa na kafili muabudu masanamu
@dinocastico8495
11 ай бұрын
Hakuomba kuwa mkimbizi ila ni hali hutokea tu baada ya kutofautiana kwa viongozi, si vyema kubeza . Kubishana ni sehem ya wapumbavu ila majibizano ya hoja ni sehem ya wasomi sasa naww jibu kisomi kupitia maandiko😊
@athumanikadaika5817
11 ай бұрын
Sio vizuri kabisa kumdhihaki Mtu au imani ya Mtu U dini usiyoiamini au kujua, tumia hoja au dalili ili uonekane una akili timamu kwa kuvunja hoja za hizo. Swali una dhani aliyekuletea na kukufundisha mafundisho ya kuwa uwaheshimu wazazi wako ni nani kama sio manabii.
@wardamwikali7891
11 ай бұрын
Mungu akusamehe,maana haujuhi unachokisema,nakuombea mungu akuongoze kwa njia ya haki,uwe muislamu,aamiin
@nyetaapaul9389
11 ай бұрын
We acha ukafiri wako, wewe ndio utaenda motoni husipomkubali Mtume Muhammad (s.a.w)
Kisede Hana lolote
@dinocastico8495
11 ай бұрын
Wewe una chochote ukilete sasa katika unacho kifaham
@amittambwe473
11 ай бұрын
Wewe unani zaidi ya Kisede? Kwanza umetiya alama ya lana, tupu. Sababu ya ujingatu
@cabylake2320
11 ай бұрын
Kenge ww