SHK MAZINGE :WAMEKUJA NA MBINU MPYA WAISLAM WENGI WAMERITTAD || WANADHOOFISHA IMANI ZA WATU

#shkmazinge #zvponlinetv #daressalaam

Пікірлер: 68

  • @ffed1876
    @ffed187611 ай бұрын

    MaashaAllah shukran sheikh Mola akujaze kheri nyingi na barka pamoja na sheikh wetu Mazinge Mola amhifadhi ampe jannatul Firdaus Aamin Yarabbi.

  • @babuuabdalla4117
    @babuuabdalla411711 ай бұрын

    Ma Sha ALLAH. ALLAH SWT Akulipe Sheikh Kisede wewe na sote kwa nia zetu ili tezea kuwailimisha Waislamu na wasio kuwa Waislamu amin 🤲

  • @user-pt8ub1th3h
    @user-pt8ub1th3h11 ай бұрын

    Mashaallah Allah awaweke nguvu ya imani waislamu sote

  • @faridahalwaily85
    @faridahalwaily8511 ай бұрын

    MashaAllaah MashaAllaah Barrakkah Allaah huu fiekoum

  • @allymbarouk5362
    @allymbarouk536211 ай бұрын

    Namuheshimu sana Shekh Mazinge kwa kaz yake mkubwa sana ya kumtangaza Allah Allah mwenyew ndie atamlipa

  • @AliMasoud-ux5os
    @AliMasoud-ux5os10 ай бұрын

    Mashalla llah

  • @mirfatymohd5580
    @mirfatymohd558011 ай бұрын

    Mungu akupe maisha marefu shekh mazinge

  • @adamopitanvitanvita7958
    @adamopitanvitanvita795811 ай бұрын

    Allahuma amine

  • @wardamwikali7891
    @wardamwikali789111 ай бұрын

    Mashallah tabarakallahu sheikh,jazakallahu kheir

  • @ramyramso
    @ramyramso11 ай бұрын

    Masha Allah

  • @mkwipunda2036
    @mkwipunda203611 ай бұрын

    Maasha Allah Allah azidi kuwapa nguvu majemedari wetu

  • @jumannemuhammad2073
    @jumannemuhammad207311 ай бұрын

    Allahu aqbar

  • @frankmpembu
    @frankmpembu11 ай бұрын

    Nawaombeeni kwa Bwana Yesu, msife mkiwa Waislamu

  • @haridyhillaryndembo1946

    @haridyhillaryndembo1946

    11 ай бұрын

    Bwana yesu mwenyewe ni sheikh mvaa kanzu mwenye ndevu nyingi anakuambia imeandikwa muabuduni Mungu na muende masjid kumsujudia Mungu Luka 6:12 yesu anakesha anakosa usingiz kuomba Mungu we kinyago unamuomba yesu😄

  • @AbdallahHussein-fr4zv

    @AbdallahHussein-fr4zv

    11 ай бұрын

    Yesu mwenyewe mwisilam wewe sijui uwo ukristo umeupata wapi

  • @frankmpembu

    @frankmpembu

    11 ай бұрын

    @@AbdallahHussein-fr4zv Yesu hakua Muislamu na wala Uislamu haujui. Kipindi cha Yesu Uislamu haukuwepo, Uislamu umeanza mwaka 610 na Bi Khadija ndiye Muislamu wa kwanza Duniani.Qur'an 16:125 (Baruani) FAFANUZI YAKE INASEMA; "Na jadiliana na watu wa Dini zilizotangulia, katika watu wa Biblia yaani Mayahudi na Wakristo. Kitabu:African Bible. Uk: 2216. kinasema; "Uislamu ni dini iliyoenea duniani iliyoanzishwa na mtume wa kiarabu Muhammadi" Kitabu:Maisha ya Nabii Muhammadi Mwandishi: Kadhi Sheikh Abdullah Saleh Farsy Uk :11 kinasema; Bi Khadija yeye ndiye Mwislamu wa kwanza baada ya mtume, naye ndiye mwanamke wa pili mtukufu katika umma huu wa Nabii Muhammad." Kitabu: Wakeze Mtume wakubwa na wanawe. Mwandishi: Kadhi Sheikh Abdullah Saleh Farsy Uk: 13 kinasema÷ "Yeye Bi Khadija ndiye Muislamu wa kwanza ulimwenguni"

  • @dottomccraney5485
    @dottomccraney548511 ай бұрын

    Masha Allah 😍😍😍

  • @ramyramso
    @ramyramso11 ай бұрын

    Allah Qarim namuomba Allah anijaalie nife nikiwa muislam anijaalie kabla sijakufa niwe miongoni mwa wanatoa mawaidha 🤲🏾🤲🏾 insha Allah

  • @fredrickgitonga1972

    @fredrickgitonga1972

    11 ай бұрын

    Ukifa mwislam umepotea

  • @hassancharo1496

    @hassancharo1496

    11 ай бұрын

    Inshallah

  • @hassancharo1496

    @hassancharo1496

    11 ай бұрын

    ​@@fredrickgitonga1972Muslim na Kaffir nan ame poteya

  • @yusufkhanna

    @yusufkhanna

    11 ай бұрын

    @@fredrickgitonga1972 na wote waliolala kwenye ukristo wamepotea,hayo ni maneno ya bibilia sasa ww lete aya waliolala kwenye uislamu wamepotea,hamuna kitu wala hoja wakristo kama kuna mtu anayejiamini ajitokeze

  • @ramyramso

    @ramyramso

    11 ай бұрын

    @@fredrickgitonga1972 nyie hamjielewi mwamposa kawapelekea malori ya udongo mmeuziwa kijiko buku mumemtajirisha mwenzenu kawapiga pesa kaenda kujenga hotel nyie mnaakili kweli

  • @amittambwe473
    @amittambwe47311 ай бұрын

    Sheikh Kisede, nimimi Tambwe Ibrahim Goma. Nitumie number yako plz nilipata Habari ya kufungwa kwako, pole sana nasema tena karibu sana tena ukumbuni.

  • @kassimhassan8426
    @kassimhassan842611 ай бұрын

    MashaAllah jakkah ALLAH

  • @tanzanian8847
    @tanzanian884711 ай бұрын

    Takbiiir takbiiiir, Allah Akbar

  • @thamani5842
    @thamani584211 ай бұрын

    ALLAH akulipe kila la kheir

  • @issafaquedalaura8279
    @issafaquedalaura827911 ай бұрын

    Prof Mazinge

  • @user-uy4xk5dc8c
    @user-uy4xk5dc8c11 ай бұрын

    Mashallah

  • @Catherine-mh8sw
    @Catherine-mh8sw11 ай бұрын

    Shukran shekh Kasede

  • @allahakujazekheriwowww5694
    @allahakujazekheriwowww569411 ай бұрын

    Inalillahi wainailayhi rajiun kesede mola akuifazi duniya na akhera kwakweli nimeskiya ucungu kwagisi umekamatwa

  • @fatmasimba7540

    @fatmasimba7540

    11 ай бұрын

    Ameen

  • @tanzanian8847
    @tanzanian884711 ай бұрын

    Allah Akbar

  • @kassimhassan8426
    @kassimhassan842611 ай бұрын

    MashaAllah

  • @allahakujazekheriwowww5694
    @allahakujazekheriwowww569411 ай бұрын

    Mashallah kiswaili swahihi

  • @umdtv2749
    @umdtv27499 ай бұрын

    😂 hahaha shehe unalisha watu matango poli. Mungu awasaidie sana waislamu

  • @fardoshnassor7847
    @fardoshnassor784711 ай бұрын

    AMEEN 🤲🏽🤲🏽

  • @mozartshukuru8604
    @mozartshukuru860410 ай бұрын

    Mbona wote waliimba hivi nanyi huaga mnaimba😂😂😂😂😂

  • @allymbarouk5362
    @allymbarouk536211 ай бұрын

    Mama hapo kashakula hela za kanisa kisha hawaja mpata 😅😅

  • @saidmruu5897
    @saidmruu589711 ай бұрын

    Masha ALLAH sheikh ALLAH akuzidishie...lakini sheikh mbona unamtaja mtume na humswalii.saw.

  • @abdallahkabuto8392

    @abdallahkabuto8392

    11 ай бұрын

    Wewe mswalie ,ACHA zako.

  • @user-rn3sv8xu8e
    @user-rn3sv8xu8e11 ай бұрын

    Aiseee namkubali mazinge jamani nimemsikia bado nikiwa mdogo napenda niwe kama yeye

  • @sulefromcongo7187
    @sulefromcongo718711 ай бұрын

    Huyo Ni Mwalimu

  • @user-ru8kc6wf1g
    @user-ru8kc6wf1g11 ай бұрын

    Waislam wakiritadi kosa wakristo wakiritadi rahaaaaaaaaa mh mtajibeba

  • @Catherine-mh8sw
    @Catherine-mh8sw11 ай бұрын

    Mie pia nimemsikia mazinge toka niko mtoto mdogo.

  • @ngugimundia6306
    @ngugimundia630611 ай бұрын

    Huyu mrongo sana hadithi za kutunga...eti wakasema mkiinamisha kichwa chini mnasujudia shetani? Acha upuzi...mkristo yupi akupe hoja ya kitoto hivyo?njoo kenya tukupe injili ya kweli uokoke...si hizi habari za mazinge kutunga sarakasi na wafuasi wenzake....

  • @hassaniharuna1010

    @hassaniharuna1010

    11 ай бұрын

    Ndugu hii Nch Ina Mambo ya Ajabu Sana Usibishe Kama ww unajua ukiristo Basi Shukuru kwa kufahamu Kuna Watu hawajui kitu kabisa na Utashangaa ukisimuliwa watu hajui kitu pia Kuna waislamu pia hawajui lolote

  • @anselmoonolius
    @anselmoonolius11 ай бұрын

    Kwan uongo? Kwan mnadhani mnamwabudu nan😅😅😅

  • @zuwenasleiman3587

    @zuwenasleiman3587

    11 ай бұрын

    Waulize waislamu wenyewe watakujibu wanamuabudu nani usimuulize padri

  • @swalehemusa4546

    @swalehemusa4546

    11 ай бұрын

    Kwan yesu alikuwa anamwabudu nani au ndio hujielewi

  • @banyankirubusamarc1727
    @banyankirubusamarc172711 ай бұрын

    Siyo ivo waislamu muna muabudu shetani , si kwakusujudu, apana, kwa mulivyo bi amini tena uyo yiko anazngumuza akasema muhammadi ni zaidi ya mitume yote ilipo pita duniani ati n'a Yesu nimudogo kwa muhammadi, huyo mwalimu anakufuru, muhammadi aliowa mutoto wa myaka sita muhammadi kitabu alico telemka naco alikipewa nashetani mwenyewe, sourat albakala 2:97 muhammadi ni mwalimu wa mashetani , uwo ni mutume gani? Potenza hawo bipofu habaguwi kushoto na kuliya hawo ni Kuni za za jahanhamu. Endeleeni. Yesu alisema kuna waliyo na masikiyo hawasikii na wana maco hawaoni endelea kumukufulu mungu kiama Kiko mulangoni kitatueleza Nani muongo Nani mu kweli.

  • @jesusislord9190
    @jesusislord919011 ай бұрын

    Muhhamad hajawahi kutukanwa yeye ndio huwa anatukana watu ...kwani? Muhhamad aliupata utume vipi?? Nani?? Alimpa Muhhamad utume?? Nani alie waambie muelekee makkah we umewahi kumsikia Allah au jibril akisema Muhhamad ni mtume??

  • @felixgitonga6783
    @felixgitonga678311 ай бұрын

    Nikweli unababundu seteni waislamu wote wanabudu jiwe markaa

  • @andrewmhagama9816

    @andrewmhagama9816

    11 ай бұрын

    Wewe waache tu waangamie maana Mithali 29:1 Aonywaye mara nyingi akishupaza shingo, Atavunjika ghafula, wala hapati dawa.

  • @bellasi349
    @bellasi34911 ай бұрын

    Huyo mkimbizi😂tu nae anafata mafundisho y’a kijinga y’a muhamadi eti upénde muhamadi kuliko wazazi wako mafundisho y’a kijinga maandiko yanasema mwaheshimu wazazi wako ili uishi miaka mingi na kheli duniani alafu eti umpende muhamadi akiri amuna nyie kenge yani uache kumpenda mama yako eti umpende mwarabu wa makka tena aliezaliwa na kafili muabudu masanamu

  • @dinocastico8495

    @dinocastico8495

    11 ай бұрын

    Hakuomba kuwa mkimbizi ila ni hali hutokea tu baada ya kutofautiana kwa viongozi, si vyema kubeza . Kubishana ni sehem ya wapumbavu ila majibizano ya hoja ni sehem ya wasomi sasa naww jibu kisomi kupitia maandiko😊

  • @athumanikadaika5817

    @athumanikadaika5817

    11 ай бұрын

    Sio vizuri kabisa kumdhihaki Mtu au imani ya Mtu U dini usiyoiamini au kujua, tumia hoja au dalili ili uonekane una akili timamu kwa kuvunja hoja za hizo. Swali una dhani aliyekuletea na kukufundisha mafundisho ya kuwa uwaheshimu wazazi wako ni nani kama sio manabii.

  • @wardamwikali7891

    @wardamwikali7891

    11 ай бұрын

    Mungu akusamehe,maana haujuhi unachokisema,nakuombea mungu akuongoze kwa njia ya haki,uwe muislamu,aamiin

  • @nyetaapaul9389

    @nyetaapaul9389

    11 ай бұрын

    We acha ukafiri wako, wewe ndio utaenda motoni husipomkubali Mtume Muhammad (s.a.w)

  • @Versossecretosdoislam6595
    @Versossecretosdoislam659511 ай бұрын

    Kisede Hana lolote

  • @dinocastico8495

    @dinocastico8495

    11 ай бұрын

    Wewe una chochote ukilete sasa katika unacho kifaham

  • @amittambwe473

    @amittambwe473

    11 ай бұрын

    Wewe unani zaidi ya Kisede? Kwanza umetiya alama ya lana, tupu. Sababu ya ujingatu

  • @cabylake2320

    @cabylake2320

    11 ай бұрын

    Kenge ww