KISA CHA NABII MUSSA NA NABII IBRAHIM SHEIKH KIPOZEO
Жүктеу.....
Пікірлер: 50
@husseinibrahim54382 жыл бұрын
MA SHA ALLAH
@omarlameck91302 жыл бұрын
Mashaaallah
@akimmiradji9812 жыл бұрын
Allah akbar
@hamissuche65762 жыл бұрын
Allahu akbar
@samirasadasalum59742 жыл бұрын
Much love to u sheikh wng ALLAH azidi kukulinda
@karimmwaga519
2 жыл бұрын
🙏🙏🙏
@jumakhamis2262 жыл бұрын
Jazaka Allah khaira shekh kipozeo
@dadejamal4 ай бұрын
Masha allha
@user-fy4op1sw2f Жыл бұрын
Ma shaa allah qiswa kizuri sana sheikh ila mumekifupisha
@idrissamustafabukenya61102 жыл бұрын
Uyu ni sheikh kabisa acheni masiyara. Tumusikilize kabisa anayilimisha wayisilamu wote.yani Mungu amulinde kila libaya
@Ngangabwite2 жыл бұрын
Huyu ndio sheikh wa Africa
@hamzaforogo Жыл бұрын
Maashallah shekhe wangu
@gnatyqqq46012 жыл бұрын
mashaAllahu mashaAllah jazzakh Allahu kheiri
@TomAyodi5 ай бұрын
😮😮😮
@omarlameck91302 жыл бұрын
Hyu n ibrahim au adam...
@danielshawa579 Жыл бұрын
Uyu jamaa uwa sichokagi kumsikiliza, mungu ampe maisha malefu
@tysonpambakali92602 жыл бұрын
Mungu ukupe nguvu
@saudamlelwa34682 жыл бұрын
Muendelezo jaman haya mawaidha hayafika mwisho
@muuhbaddy6012 жыл бұрын
Safiii
@officialbabatundaii67662 жыл бұрын
Mimi ni mkristo, Ila huyu sheikh!!! Mungu wake anaemuamini amjaalie sana...napenda sana kumsikiliza
@mohameeddoaan2296
2 жыл бұрын
Aamin yaarab
@rizikilukali1558
Жыл бұрын
Mungu akuongoze umfuate usiishie tu kumsikiliza
@amjadken Жыл бұрын
kwahiyo mtu wa motoni anaweza kuuliza "mbona naingizwa motoni kwa madhambi ambayo mungu aliisha andika ntafanya?"
@daudimwambelo41542 жыл бұрын
Pomoja sana
@gibsonkabusola69232 жыл бұрын
Kuonyesha chakike😂😂😂😂 shekhe kanifurahisha
@aminiyussuf69452 жыл бұрын
Poa😭😭😭🙋🙋🤲🤲🤲
@daudimichael73382 жыл бұрын
Huyu jamaa bhana, Mungu anaweza kila kitu anaweza kukuotesha cha kike, halafu uone watu watakavyo kushambulia hahahaaaa
@shamimnassor6192
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣jambo hlo linawatishia wanaume🤣
@stephenmnkande8192
2 жыл бұрын
Mimi sio Mwislamu lakini siku zote namkubali sana Sheikh Kipozeo. Yaani kiufupi ni mtu mzuri sana. Ningetamani niingie msikitini siku moja nimsikilize tu nicheke kidogo.
@daudimichael7338
2 жыл бұрын
@@stephenmnkande8192 Yeah, jamaa anachekesha sana, ila ukisoma comments nyingi za waislamu zinaonyesha anawakela wengi.
@idrissamustafabukenya6110
2 жыл бұрын
@@daudimichael7338 sheikh kipozewo anafundisha wayisilamu kabisa.labda wenye husida ndo wanakereka
@daudimichael7338
2 жыл бұрын
@@idrissamustafabukenya6110 Ebu jaribu kufuatilia comments zao kwanza, pengine zitakusaidia kuelewa kama wana husuda au wana ukweli fulani.
@idaaman74892 жыл бұрын
sheikh kipozeo ana pumu? maana anavyopumua inaonekana ana tatizo
@afnuruaftinu22532 жыл бұрын
Kids ni mussa na Adam si ibrahim
@afnuruaftinu2253
2 жыл бұрын
Kisa
@muhammadmuhammad50432 жыл бұрын
Subhallah Kwanini.Masheikh Wetu Husa TZ.Na Zan.B Mutowa Maisha Lazima Mutafute Kitu Ili Mchekeshe ??? Kama Hapa Tayari Katia Uchepe ???
@mramsayo1025
2 жыл бұрын
Kwani wewe waislam wakifurahi unakereka nini!?,yani watu wengine cjui mkoje yani hamna wema.akh
@shamimnassor6192
2 жыл бұрын
@@mramsayo1025 amezowea wale wakiongea na hasira kama wataliban dini sio lazima uwe na hasira ndio uwe na dini hata mtume alicheka na masahaba zake
@basharahamtzhalisi6871
2 жыл бұрын
Mimi nachukua faida inayopatikana hapa, mambo ya KULETEANA RAADI ni ya kwenu ninyi mnaojiita wenye elimu ya kukosoana kumbe nyote hovyo.
@idrissamustafabukenya6110
2 жыл бұрын
Kwani sheikh Kipozewo amefanya kosa gani? Allah umujakiye kabisa uyu ana umuhimu katika wisilamu
@stephenmnkande8192
2 жыл бұрын
Mzee huyu Sheikh Kipozeo atakuwa ana akili na kipaji kikubwa sana cha kuzungumza na watu. Hata Kisaikolojia inaonesha kabisa kwamba ili watu wakusikilize vizuri huna budi kuwachekesha kidogo la sivyo wanaweza kuchoka na mawaidha yako wakaanza kusinzia.
@aminarashid39162 жыл бұрын
UTENZI MPYZ HURUMA KWA MAYATIMA kzread.info/dash/bejne/qIyVpbiweNKyo6g.html
Пікірлер: 50
MA SHA ALLAH
Mashaaallah
Allah akbar
Allahu akbar
Much love to u sheikh wng ALLAH azidi kukulinda
@karimmwaga519
2 жыл бұрын
🙏🙏🙏
Jazaka Allah khaira shekh kipozeo
Masha allha
Ma shaa allah qiswa kizuri sana sheikh ila mumekifupisha
Uyu ni sheikh kabisa acheni masiyara. Tumusikilize kabisa anayilimisha wayisilamu wote.yani Mungu amulinde kila libaya
Huyu ndio sheikh wa Africa
Maashallah shekhe wangu
mashaAllahu mashaAllah jazzakh Allahu kheiri
😮😮😮
Hyu n ibrahim au adam...
Uyu jamaa uwa sichokagi kumsikiliza, mungu ampe maisha malefu
Mungu ukupe nguvu
Muendelezo jaman haya mawaidha hayafika mwisho
Safiii
Mimi ni mkristo, Ila huyu sheikh!!! Mungu wake anaemuamini amjaalie sana...napenda sana kumsikiliza
@mohameeddoaan2296
2 жыл бұрын
Aamin yaarab
@rizikilukali1558
Жыл бұрын
Mungu akuongoze umfuate usiishie tu kumsikiliza
kwahiyo mtu wa motoni anaweza kuuliza "mbona naingizwa motoni kwa madhambi ambayo mungu aliisha andika ntafanya?"
Pomoja sana
Kuonyesha chakike😂😂😂😂 shekhe kanifurahisha
Poa😭😭😭🙋🙋🤲🤲🤲
Huyu jamaa bhana, Mungu anaweza kila kitu anaweza kukuotesha cha kike, halafu uone watu watakavyo kushambulia hahahaaaa
@shamimnassor6192
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣jambo hlo linawatishia wanaume🤣
@stephenmnkande8192
2 жыл бұрын
Mimi sio Mwislamu lakini siku zote namkubali sana Sheikh Kipozeo. Yaani kiufupi ni mtu mzuri sana. Ningetamani niingie msikitini siku moja nimsikilize tu nicheke kidogo.
@daudimichael7338
2 жыл бұрын
@@stephenmnkande8192 Yeah, jamaa anachekesha sana, ila ukisoma comments nyingi za waislamu zinaonyesha anawakela wengi.
@idrissamustafabukenya6110
2 жыл бұрын
@@daudimichael7338 sheikh kipozewo anafundisha wayisilamu kabisa.labda wenye husida ndo wanakereka
@daudimichael7338
2 жыл бұрын
@@idrissamustafabukenya6110 Ebu jaribu kufuatilia comments zao kwanza, pengine zitakusaidia kuelewa kama wana husuda au wana ukweli fulani.
sheikh kipozeo ana pumu? maana anavyopumua inaonekana ana tatizo
Kids ni mussa na Adam si ibrahim
@afnuruaftinu2253
2 жыл бұрын
Kisa
Subhallah Kwanini.Masheikh Wetu Husa TZ.Na Zan.B Mutowa Maisha Lazima Mutafute Kitu Ili Mchekeshe ??? Kama Hapa Tayari Katia Uchepe ???
@mramsayo1025
2 жыл бұрын
Kwani wewe waislam wakifurahi unakereka nini!?,yani watu wengine cjui mkoje yani hamna wema.akh
@shamimnassor6192
2 жыл бұрын
@@mramsayo1025 amezowea wale wakiongea na hasira kama wataliban dini sio lazima uwe na hasira ndio uwe na dini hata mtume alicheka na masahaba zake
@basharahamtzhalisi6871
2 жыл бұрын
Mimi nachukua faida inayopatikana hapa, mambo ya KULETEANA RAADI ni ya kwenu ninyi mnaojiita wenye elimu ya kukosoana kumbe nyote hovyo.
@idrissamustafabukenya6110
2 жыл бұрын
Kwani sheikh Kipozewo amefanya kosa gani? Allah umujakiye kabisa uyu ana umuhimu katika wisilamu
@stephenmnkande8192
2 жыл бұрын
Mzee huyu Sheikh Kipozeo atakuwa ana akili na kipaji kikubwa sana cha kuzungumza na watu. Hata Kisaikolojia inaonesha kabisa kwamba ili watu wakusikilize vizuri huna budi kuwachekesha kidogo la sivyo wanaweza kuchoka na mawaidha yako wakaanza kusinzia.
UTENZI MPYZ HURUMA KWA MAYATIMA kzread.info/dash/bejne/qIyVpbiweNKyo6g.html
Allahu Akbar