KISA CHA NABII MUSSA NA NABII IBRAHIM SHEIKH KIPOZEO

Пікірлер: 50

  • @husseinibrahim5438
    @husseinibrahim54382 жыл бұрын

    MA SHA ALLAH

  • @omarlameck9130
    @omarlameck91302 жыл бұрын

    Mashaaallah

  • @akimmiradji981
    @akimmiradji9812 жыл бұрын

    Allah akbar

  • @hamissuche6576
    @hamissuche65762 жыл бұрын

    Allahu akbar

  • @samirasadasalum5974
    @samirasadasalum59742 жыл бұрын

    Much love to u sheikh wng ALLAH azidi kukulinda

  • @karimmwaga519

    @karimmwaga519

    2 жыл бұрын

    🙏🙏🙏

  • @jumakhamis226
    @jumakhamis2262 жыл бұрын

    Jazaka Allah khaira shekh kipozeo

  • @dadejamal
    @dadejamal4 ай бұрын

    Masha allha

  • @user-fy4op1sw2f
    @user-fy4op1sw2f Жыл бұрын

    Ma shaa allah qiswa kizuri sana sheikh ila mumekifupisha

  • @idrissamustafabukenya6110
    @idrissamustafabukenya61102 жыл бұрын

    Uyu ni sheikh kabisa acheni masiyara. Tumusikilize kabisa anayilimisha wayisilamu wote.yani Mungu amulinde kila libaya

  • @Ngangabwite
    @Ngangabwite2 жыл бұрын

    Huyu ndio sheikh wa Africa

  • @hamzaforogo
    @hamzaforogo Жыл бұрын

    Maashallah shekhe wangu

  • @gnatyqqq4601
    @gnatyqqq46012 жыл бұрын

    mashaAllahu mashaAllah jazzakh Allahu kheiri

  • @TomAyodi
    @TomAyodi5 ай бұрын

    😮😮😮

  • @omarlameck9130
    @omarlameck91302 жыл бұрын

    Hyu n ibrahim au adam...

  • @danielshawa579
    @danielshawa579 Жыл бұрын

    Uyu jamaa uwa sichokagi kumsikiliza, mungu ampe maisha malefu

  • @tysonpambakali9260
    @tysonpambakali92602 жыл бұрын

    Mungu ukupe nguvu

  • @saudamlelwa3468
    @saudamlelwa34682 жыл бұрын

    Muendelezo jaman haya mawaidha hayafika mwisho

  • @muuhbaddy601
    @muuhbaddy6012 жыл бұрын

    Safiii

  • @officialbabatundaii6766
    @officialbabatundaii67662 жыл бұрын

    Mimi ni mkristo, Ila huyu sheikh!!! Mungu wake anaemuamini amjaalie sana...napenda sana kumsikiliza

  • @mohameeddoaan2296

    @mohameeddoaan2296

    2 жыл бұрын

    Aamin yaarab

  • @rizikilukali1558

    @rizikilukali1558

    Жыл бұрын

    Mungu akuongoze umfuate usiishie tu kumsikiliza

  • @amjadken
    @amjadken Жыл бұрын

    kwahiyo mtu wa motoni anaweza kuuliza "mbona naingizwa motoni kwa madhambi ambayo mungu aliisha andika ntafanya?"

  • @daudimwambelo4154
    @daudimwambelo41542 жыл бұрын

    Pomoja sana

  • @gibsonkabusola6923
    @gibsonkabusola69232 жыл бұрын

    Kuonyesha chakike😂😂😂😂 shekhe kanifurahisha

  • @aminiyussuf6945
    @aminiyussuf69452 жыл бұрын

    Poa😭😭😭🙋🙋🤲🤲🤲

  • @daudimichael7338
    @daudimichael73382 жыл бұрын

    Huyu jamaa bhana, Mungu anaweza kila kitu anaweza kukuotesha cha kike, halafu uone watu watakavyo kushambulia hahahaaaa

  • @shamimnassor6192

    @shamimnassor6192

    2 жыл бұрын

    🤣🤣🤣jambo hlo linawatishia wanaume🤣

  • @stephenmnkande8192

    @stephenmnkande8192

    2 жыл бұрын

    Mimi sio Mwislamu lakini siku zote namkubali sana Sheikh Kipozeo. Yaani kiufupi ni mtu mzuri sana. Ningetamani niingie msikitini siku moja nimsikilize tu nicheke kidogo.

  • @daudimichael7338

    @daudimichael7338

    2 жыл бұрын

    @@stephenmnkande8192 Yeah, jamaa anachekesha sana, ila ukisoma comments nyingi za waislamu zinaonyesha anawakela wengi.

  • @idrissamustafabukenya6110

    @idrissamustafabukenya6110

    2 жыл бұрын

    @@daudimichael7338 sheikh kipozewo anafundisha wayisilamu kabisa.labda wenye husida ndo wanakereka

  • @daudimichael7338

    @daudimichael7338

    2 жыл бұрын

    @@idrissamustafabukenya6110 Ebu jaribu kufuatilia comments zao kwanza, pengine zitakusaidia kuelewa kama wana husuda au wana ukweli fulani.

  • @idaaman7489
    @idaaman74892 жыл бұрын

    sheikh kipozeo ana pumu? maana anavyopumua inaonekana ana tatizo

  • @afnuruaftinu2253
    @afnuruaftinu22532 жыл бұрын

    Kids ni mussa na Adam si ibrahim

  • @afnuruaftinu2253

    @afnuruaftinu2253

    2 жыл бұрын

    Kisa

  • @muhammadmuhammad5043
    @muhammadmuhammad50432 жыл бұрын

    Subhallah Kwanini.Masheikh Wetu Husa TZ.Na Zan.B Mutowa Maisha Lazima Mutafute Kitu Ili Mchekeshe ??? Kama Hapa Tayari Katia Uchepe ???

  • @mramsayo1025

    @mramsayo1025

    2 жыл бұрын

    Kwani wewe waislam wakifurahi unakereka nini!?,yani watu wengine cjui mkoje yani hamna wema.akh

  • @shamimnassor6192

    @shamimnassor6192

    2 жыл бұрын

    @@mramsayo1025 amezowea wale wakiongea na hasira kama wataliban dini sio lazima uwe na hasira ndio uwe na dini hata mtume alicheka na masahaba zake

  • @basharahamtzhalisi6871

    @basharahamtzhalisi6871

    2 жыл бұрын

    Mimi nachukua faida inayopatikana hapa, mambo ya KULETEANA RAADI ni ya kwenu ninyi mnaojiita wenye elimu ya kukosoana kumbe nyote hovyo.

  • @idrissamustafabukenya6110

    @idrissamustafabukenya6110

    2 жыл бұрын

    Kwani sheikh Kipozewo amefanya kosa gani? Allah umujakiye kabisa uyu ana umuhimu katika wisilamu

  • @stephenmnkande8192

    @stephenmnkande8192

    2 жыл бұрын

    Mzee huyu Sheikh Kipozeo atakuwa ana akili na kipaji kikubwa sana cha kuzungumza na watu. Hata Kisaikolojia inaonesha kabisa kwamba ili watu wakusikilize vizuri huna budi kuwachekesha kidogo la sivyo wanaweza kuchoka na mawaidha yako wakaanza kusinzia.

  • @aminarashid3916
    @aminarashid39162 жыл бұрын

    UTENZI MPYZ HURUMA KWA MAYATIMA kzread.info/dash/bejne/qIyVpbiweNKyo6g.html

  • @ssulking8136
    @ssulking81362 жыл бұрын

    Allahu Akbar