Shinyanga, LISSU awaka kauli ya Rais SAMIA kunyamaza, afichua Mkataba mwingine wa waarabu

Ойын-сауық

Пікірлер: 18

  • @classicmolinyo4011
    @classicmolinyo401111 ай бұрын

    miaka 50 sijajawawa huyu mwamba atakuwepo lakin ametimiza wajibu

  • @iddymkeamkea4034
    @iddymkeamkea403411 ай бұрын

    Lisu mungu akulinde

  • @thomasWeigama-ed5vn
    @thomasWeigama-ed5vn11 ай бұрын

    Tupo pamoja sana Lissu

  • @user-yz4uc2kh2l
    @user-yz4uc2kh2l11 ай бұрын

    Nimeisikia iyo pamoja sana lisu

  • @josephjosephgeorge3195
    @josephjosephgeorge319511 ай бұрын

    Kipindi kipi hicho,biashara gani hiyo mbona hii miujiza,bwawa la mwl Nyerere mbona huja dai mkataba

  • @josephmakutano7067
    @josephmakutano706711 ай бұрын

    TZ tumeangukiwa nakitukizitokwelikweli eemungu tusaidiye uwalinde wapendahaki , mikataba yamiaka yatisini imegharimu taifahili leo kwenye mahakama zakimataifa , jamani wafrika tunalaana gani hii??? ebufikilia.miaka sitini serikali yamaccm imebinafusisha vituvingisana lakini bado sisiraia hatujawahi faidika isipokuwa. Watawala tu, 16:08

  • @josephmakutano7067
    @josephmakutano706711 ай бұрын

    TZ kunanini jamani mbona watawala wanapendasana kubinafusisha malizetu kikatilikabisa leokunamakesi mahakama zakimataifa kwasabbu yamikataba yakulazimisha kitapeli tapeli

  • @dullahkalanjedullahkalanje1422

    @dullahkalanjedullahkalanje1422

    11 ай бұрын

    tatizo Tanzania tunawatetea sana wanyang'anyi na kiwapamba ujinga sana akuna kiongozi mzawa wa tanganyika alieuza bandari na maeneo ya misitu kama uyu kiongozi wa nchi

  • @johnmgeta4932
    @johnmgeta493211 ай бұрын

    Hata wabunge wametukosea sana

  • @faidathomas2730
    @faidathomas273011 ай бұрын

    Hiyo ya ushonga tumeichoka tafuta tuhuma nyigine buro

  • @Pedeshee01

    @Pedeshee01

    11 ай бұрын

    Hii kitu demokrasia acha tu sisi africa imeleta tu matatizo sasa fikiria mtz na mtz wanakua maadui,Hivi unaamini kabisa hilo la ushoga ni kweli haujui kama ni propaganda tu ama mbinu za wasiomtakia jema.Hujawahi kumsikiliza kauli yake mwenyewe kasema kwa tz suala la ushoga halikubaliki kwenye maadili na tamaduni zetu?ila ndiyi siasa zilivyo kama huzielewi aisee ndiyo kama hawa viongozi wetu ambao tunawaita wasomi lakini pamoja na usomi wao wameshindwa kuelewa kabisa nchi za Magharibi na mashirika yao ya fedha na misaada ni kuwapumbaza tu,nchi kama tanzania toka ianze kukopa na kusaidiwa mpaka leo ipo nyuma tu imepitwa na iran na korea ya kaskazini ambazo zimo kwenye vikwzo miaka zaidi ya 30.Ila utamsikia boya anasema bila mkopo hutoboi,keshamezeshwa na akaamini kabisa aisee ukitaka kumtawala mtu anza kwenye akili yake kabisa ndicho walichofanikiwa leo wenzetu wametuteka kiakili kiasi ambacho vya kwetu tunaviona vibaya mtu anachukia lugha yake anajiona akiongea lugha ya kigeni kama kingereza ndiyo wa kisasa aisee.walituweza acha tupigane wenyewe kwa wenyewe tu Africa ona wakongo leo nenda somalia nenda libia mhh.ni aibu

  • @jacobonaftari8082
    @jacobonaftari808211 ай бұрын

    Sema ukweli tuko pamoja

  • @mtegochita8466
    @mtegochita846611 ай бұрын

    Duuuuuh tutamkumbuka Sana magu

  • @user-ef2zr4un2u
    @user-ef2zr4un2u2 ай бұрын

    Acha dharau mpumbavu wewe msikiti na mama samia na upuuzi wako wakujaza vifuwa watu unamaana gani kuingiza nembo ya msikiti na tamaa za nafsi laaanakum

  • @dullahkalanjedullahkalanje1422
    @dullahkalanjedullahkalanje142211 ай бұрын

    kiongozi wa nchi mbinafsi sana akuna anayemkubali kwetu

  • @youssefsanje8743
    @youssefsanje874311 ай бұрын

    Kufa kunoga ukipewa nchi wewe si utajaza mashoga tanzania? Maana wewe ni kibaraka mtiifu wa waberigiji

  • @niazonbukoke1964

    @niazonbukoke1964

    11 ай бұрын

    Mbona unafirwa wewe pumbavu sana

  • @dionismutayoba3542

    @dionismutayoba3542

    11 ай бұрын

    @@niazonbukoke1964 Acha matusi jenga hoja

Келесі