SHEKHE KIPOZEO: MIZIGO YA KICHINA/ KUONGEZA MKE/MZEE YUSUPH KUIMBA/WANAOMPONDA AKIZUNGUMZIA MIZIGO

Ойын-сауық

SHEKHE Kipozeo amefafanyua kwa wale wanaomsema vibaya akizungumzia Mizigo

Пікірлер: 79

  • @sideboy2739
    @sideboy27393 жыл бұрын

    We carry mwambie mfanya kazi wako aulize maswali ya msingi anamuuliza shekhe et VP kuhusu wanaume wanaovaa ereni sasa unategemea shekhe aseme wavae au

  • @leilamehbub948
    @leilamehbub9484 жыл бұрын

    Asc my favourite sheikh anapenda ukweli na Wala haogopi yeyote isipokuwa Allah mashAllah

  • @omanoma5446
    @omanoma54463 жыл бұрын

    Shekhe, kipozeo, nakupenda, sana, lakini, nipo, mbali, Tena, nakupenda

  • @sanuranassoro7660
    @sanuranassoro76604 жыл бұрын

    Shekh wa maana hafanyiwi interview na wahuni

  • @jumakapilima5674
    @jumakapilima56744 жыл бұрын

    Sheikh uko vizuri!

  • @officialkamdudu
    @officialkamdudu4 жыл бұрын

    kwa kweli mimi swala la nyimbo katika uislam haijalishi unaimba nini kwa kweli bado linanipa ukakasi kwa sababu uislam umeharamisha ala za mziki... aya tumuachie Allah ndiye mjizi zaidi

  • @abubakarmzee3374

    @abubakarmzee3374

    4 жыл бұрын

    Kwani we unaona huyu nae shekhe kwa mujibu wa dini ya kiisilam nyimbo zote zete haramu Mungu hakuleta watu duniani kuja kuimba lego la kuubwa mwanadamu ni kumuabudu molla wale na so kuinga apo hapana kupata ukakasi wala nini nyimbo ni haramu hawa wengine wapo duniani kwa masillahi na so kupeleka din mbele

  • @nurdin.mndeme3447

    @nurdin.mndeme3447

    4 жыл бұрын

    @@abubakarmzee3374 kaka usiwaseme vibaya viogozi wa Dini !

  • @shaloboy3861

    @shaloboy3861

    4 жыл бұрын

    Kabisa

  • @mwalimudzuya6695

    @mwalimudzuya6695

    4 жыл бұрын

    @@abubakarmzee3374 taratibu Kaka n dini hii hataki hasira wala jazba,

  • @rayasaid4099

    @rayasaid4099

    4 жыл бұрын

    Hakuna kosa alilo changia nyimbo haramuuuuuuu

  • @leilamehbub948
    @leilamehbub9484 жыл бұрын

    Jamani mwacheni sheikh akisema mzigo hamanishi mambo mengi hiyo mnadhani la .

  • @twaibumikidadi7377
    @twaibumikidadi73774 жыл бұрын

    yaaa akili zina gredi safi kabsaaaaaaa nakupata sana shekh wanguu! ndıoo shekh cc tunakueleqaa sanaaa wala ucwe na khofuu

  • @ashaally6662
    @ashaally66624 жыл бұрын

    Napenda shekhe kipozeo anavyoongea😁😁😁😁

  • @Catherine-mh8sw

    @Catherine-mh8sw

    4 ай бұрын

    Msauti wake tu😂

  • @kadulathumani7517
    @kadulathumani75174 жыл бұрын

    Nakupenda interviewer. Maswali yako yametulia kwa Skh Kipozeo ingawa majibu yake Skh mengine anayabana bana Tunafaidika sana na Ma story TV. Like it.

  • @ibramtibila7029
    @ibramtibila70294 жыл бұрын

    Mashallaah

  • @gojvon116
    @gojvon1164 жыл бұрын

    Sheikh huyu kwa kweli inaonesha kuwa ni mtu mzima na mwenye busara na hikma sana na ni mtu anaempenda Allah na kumuogopa na mtu mtaratibu na mwenye kufahamu na kuelewa . Allah ambariki sana

  • @saidchidy5383

    @saidchidy5383

    3 жыл бұрын

    True

  • @hemedmselem4889
    @hemedmselem48894 жыл бұрын

    Yeye mwenyewe huko siku za nyuma alipinga nyimbo zote Na alikua akuwasema sana waimn maulid na kaswida Leo anasema ni ruhsa kuimba Ni shekhe ambae haeleweki tu

  • @omanoma5446

    @omanoma5446

    3 жыл бұрын

    Shekhe, kipozeo, nakupenda, Sanaa, lakini, nipo, mbali, jaman, Tena, nakupend

  • @husseinnkami7360
    @husseinnkami73604 жыл бұрын

    Very gd

  • @bennymochiwa4800
    @bennymochiwa48003 жыл бұрын

    sheikh kipozeo acha kutupanga!!!!

  • @ismailyussuf1805
    @ismailyussuf18054 жыл бұрын

    Shk wangu KIPOZEO wachaneni na huyo mwandawazimu. Msijishugullishe nae.Mwambieni a click KZread YA JENNIFER GROUT.AONE FROM MUZIC TO RECITE THE HOLLY QUR'AN.

  • @drnathanstephen.3882
    @drnathanstephen.38824 жыл бұрын

    Haha Sheikh Kipozeo yupo vzr sana. Pitia na Channel yangu upate kujua Mengi kuhusu afya yako. Mada mbalimbali za Afya zipo huko.

  • @queenslandemile2536

    @queenslandemile2536

    4 жыл бұрын

    Naomba namba

  • @mustaphambwana7944
    @mustaphambwana79444 жыл бұрын

    Shehe mzigo ana penda mizigo yani misambwanda ndo yake ana penda wadada walio Nona viswaswadu kwake hapana yani uyu mzee noma kweli

  • @queenslandemile2536

    @queenslandemile2536

    4 жыл бұрын

    😂😂😂😂

  • @mahamedabdi1881

    @mahamedabdi1881

    4 жыл бұрын

    Na wewe nje?

  • @daudi.gilago5846
    @daudi.gilago58464 жыл бұрын

    Rojah bahna hyo salam umetoa kama we mwisalam kwel

  • @omariselemani3962
    @omariselemani39624 жыл бұрын

    Yani nyinyi Mnayokomenti usenge kwaniakipenda Mizigo kunashidagani Kwaniyeye Sibinadamu Au Kweli hakilikunagred

  • @sidratybinkhamis2837

    @sidratybinkhamis2837

    4 жыл бұрын

    Chagua ukipendacho lkn dini ndio lakwanza kuangalia na sio mizigo maana mizigo inachoka . Ila elmu haichoki

  • @athumanmakale8221
    @athumanmakale82214 жыл бұрын

    Kipozeo naye amerudi Mjini kazi kubwa ni kusifu wasanii wa Muziki. Kutoa fatwa ambazo hazina kichwa Wala miguu.

  • @queenslandemile2536

    @queenslandemile2536

    4 жыл бұрын

    Kabisa

  • @athumanmakale8221
    @athumanmakale82214 жыл бұрын

    Shekh Kipozeo ushapoteza Dira. Huna jipya.

  • @bebisheni4380
    @bebisheni43804 жыл бұрын

    Shekhe kipozeo hujambo

  • @shimoneycashtalk9176

    @shimoneycashtalk9176

    4 жыл бұрын

    Shekh kipozeo kachemka mziki ni mziki tu niharam ni haram

  • @happylusinde9215
    @happylusinde92154 жыл бұрын

    Hhh

  • @abdulchakusaga1322
    @abdulchakusaga13224 жыл бұрын

    Kwani mzee unataka uoe wangapi

  • @zuheorsalim7759
    @zuheorsalim77594 жыл бұрын

    Huyu ni shekh wa mizigo

  • @queenslandemile2536

    @queenslandemile2536

    4 жыл бұрын

    😂😂😂

  • @mwalimudzuya6695

    @mwalimudzuya6695

    4 жыл бұрын

    Ndugu katika imman tusipende kukejeli viongozi wetu Ka kdini,kama Sisi wenyewe tunafanya ivi na wasio kuwa waislamu je?tutumie kauli laaini N ushauri Tu kaka.

  • @mwanahamisiyusuph7562

    @mwanahamisiyusuph7562

    4 жыл бұрын

    @@mwalimudzuya6695 kwa hakika ninavyofahamu Mm mashekhe nao binadamu kukosea kupo

  • @salimmohamedsalim4448

    @salimmohamedsalim4448

    4 жыл бұрын

    Anasema mwenye yy apenda mizigo

  • @sabrinasab2910
    @sabrinasab29104 жыл бұрын

    Huyu shehe anapenda wadada walonona nyuma ndo zake uyo

  • @saidijuniorhan6790

    @saidijuniorhan6790

    4 жыл бұрын

    ww

  • @mahamedabdi1881

    @mahamedabdi1881

    4 жыл бұрын

    Kwani kunaobaya gani? Mtu kupenda mwanamke alio beba hata mei napenda

  • @josephnjoroge5649

    @josephnjoroge5649

    4 жыл бұрын

    Kujaza nyuma ni neema ya Allah kwa wale wanawake waliojaza...mie pia nawapenda..

  • @Catherine-mh8sw

    @Catherine-mh8sw

    4 ай бұрын

    ​@@josephnjoroge5649ooooooyiii

  • @alihijiiddi8977
    @alihijiiddi89774 жыл бұрын

    WAHARIBIFU NI WAIMBAJI NDIO WANAHARIBU WATU WANASIYASA NA MATIVII BOTAILIKUWA NYERERE ALIKUWA ANATIZAMA TV KWA KUANGALIYA NCHIGANI ZIMEPATA UHURU

  • @shaloboy3861
    @shaloboy38614 жыл бұрын

    Nyimbo zote haram sheikh ameteleza kias kama binadam inaeleweka mana akuna aliekamilika na elmu utofautiana

  • @queenslandemile2536

    @queenslandemile2536

    4 жыл бұрын

    Uyu cheikh nibala

  • @mwalimudzuya6695

    @mwalimudzuya6695

    4 жыл бұрын

    @@queenslandemile2536 kwa Baya gani alilolifanya mpaka umvue cheo chake,m n mkenya na najua n SHEIKH.

  • @rayasaid4099

    @rayasaid4099

    4 жыл бұрын

    Nyimbo yoyote haramu

  • @sidratybinkhamis2837

    @sidratybinkhamis2837

    4 жыл бұрын

    Haramu ndio jamani tuache ushabik

  • @queenslandemile2536

    @queenslandemile2536

    4 жыл бұрын

    @@mwalimudzuya6695 nyimmbo zote haramu

  • @ambrosiamlinga8402
    @ambrosiamlinga84024 жыл бұрын

    Basi una choyo kusema ‘hupendi thawabu ziende kwa watu wengine’ Wewe ni shehe wa wapi mwenye choyo?

  • @ahmedyzo

    @ahmedyzo

    4 жыл бұрын

    Charity starts within your own family, na yeye ametaka basi mema waanze kupata familia yake, niuelewa tuu..

  • @sudaissoud3670
    @sudaissoud36704 жыл бұрын

    Nyote ndo walewale..nawe pia kipozeo ndo hao hao

  • @huseniyahya9121

    @huseniyahya9121

    4 жыл бұрын

    Wee mpuuzi kumbe

  • @ummialey6391
    @ummialey63914 жыл бұрын

    Nyimbo za heri ndo nyimbo gani shehe tunapenda ufafanuzi

  • @bakariathman3858

    @bakariathman3858

    4 жыл бұрын

    Kaswida

  • @sleimanwtwaha9983

    @sleimanwtwaha9983

    4 жыл бұрын

    @@bakariathman3858 kaswida za aina gani

  • @sidratybinkhamis2837

    @sidratybinkhamis2837

    4 жыл бұрын

    Nasheed mbona zipo

  • @sleimanwtwaha9983

    @sleimanwtwaha9983

    4 жыл бұрын

    @@sidratybinkhamis2837 kwasida za mziki ni haramu

  • @abubakarmzee3374
    @abubakarmzee33744 жыл бұрын

    Shekhe ubwabwa

  • @mwalimudzuya6695

    @mwalimudzuya6695

    4 жыл бұрын

    ALLAH ndie mwenye ku hukumu kaka,Sisi kama binadamu hatuna uwezo huyo,tufanye kheri TU,ushauri Tu

  • @rayasaid4099

    @rayasaid4099

    4 жыл бұрын

    Shehe wali na mihogo na kunde

  • @jumakapilima5674

    @jumakapilima5674

    4 жыл бұрын

    Sheikh ugali ni wewe!!

  • @abubakarmzee3374

    @abubakarmzee3374

    4 жыл бұрын

    @@mwalimudzuya6695 sisi hatuhukumu Ila ishara jema huonekana Mungu na sisi katupa akili mbona mtu akiwa mwizi au mla madawa hujawihi ata siku moja kuonana nae Ila ukimuona akili inakwambia huyu mwizi au huyu mla madawa

  • @saidmarley4049
    @saidmarley40494 жыл бұрын

    Huyu sheikh fake kama simu za kichina....vp unasema nyimbo inafaa ambapo ina mkaribisha shetani kupoteza watu kwenye maaswiya????

  • @sidratybinkhamis2837

    @sidratybinkhamis2837

    4 жыл бұрын

    Kweli kaka maana wengi wamebobea kwenye qaswidaa

  • @messiomy8655
    @messiomy86554 жыл бұрын

    Salaf ndo wenye dinii ...wootee hawa waigizajiii tuuu...huyo sheh na anaemuongelea ..wote ngma droo

  • @hamzaswaibu9470

    @hamzaswaibu9470

    4 жыл бұрын

    Kuwa na hekima kwani ww umekamirika?

  • @saidchidy5383

    @saidchidy5383

    3 жыл бұрын

    Acha mipasho

  • @saidchidy5383

    @saidchidy5383

    3 жыл бұрын

    Izo tabia za wasenge

Келесі