Mgundini: Sheikh Kipozeo Aeleza Ruksa Mume Kumpiga Mkewe | Mwanamke Hawezi Kumpa Talaka Mumewe
Sheikh Kipozeo anatoloea ufafanuzi juu ya mwanamke anaweza kumuacha mumewe kama ambavyo Shilole alipost kwenye instagram account yake, na je mwanamke anatakiwa kupigwa na mumewe, na vipi watu kuingilia ndoa za watu ni sawa?
Пікірлер: 47
Comment zote ni ngoma ngoma munaskiza.maneno ya Sheikh ama ngoma
huu muziki sio mahala pake
Huyu dada mbona mzuri mpaka chenji inabaki
Kuna hukumu ya wazinifu ambao hawajafunga ndoa na pia kunahukumu ya waliofanya zinaa wakiwa katika ndoa kwanini hufafanui hata kupiga huwezi mpiga usoni mkeo,wala kumuumiza fafanua vizuri shaikh kipozeo wengi tunakusikia mtandaoni.
Nyinyi wapuuz mziki wann xx
Mimi naongezea watu washa shibana kila jambo kabla ya ndoa wakiowana ndio ifae nini shida tuliambiwa tuowe wanawake wenyewe dini twaenda owa wanamuziki wacheza kigodoro ili mupate kiki mitandaoni matokeo ndio hayo
Reduce the volume of music damn!!! Inaleta disturbance or destruction please
Mm nashangaa sana, hiyo Mingoma ya nn,heshimuni mnachokiongelea na mnaeongea nae,mnakera mazungumzo ya maana mnaweka muziki washenzi nyinyi
Mnakosea hebu jirekebisheni.. sheikhe anatoa mawaidha ya dini afu munapiga mziki background.. mawaidha yanataka utulivu ili watu wapate faida ya maneno ya Allah..
By the way,nimependa ndugu ntangazaji ulivojitahidi kujistiri,umependeza sana,ila next time jitahidi kuzidi kujistiri maeneo ya shingoni,manake nakuona Masha Allah umefunika viganja ambavo ni sawa kuonekana kwa dini yetu ya kiislam,lkn kdg umeshindwa maeneo ya kwe shingo while ndi ni haram kuonekana kiislam.
Shekhe anamaneno mazuri, yakufurahisha
Inallilalahi miziki mingi ila mawaidha mazuri Allah akupeni ufahamu wakuna
Nmeupenda muzik huo background 👏😅
Jamani,sasa mambo ya mwenyezi Mungu mnaisindikiza kwa mziki ?
Shehe umeeleweka
NAOMBA NIKUALIKE Habari naitwa Hero ni msanii wa mziki naomba nikualike kutizama na subscribe katika video ya mziki wangu mpya GUSA LINK HII KUTIZAMA kzread.info/dash/bejne/nXykj5uwe5y6qdo.html
Sasa iyo solo beat niyann wakati mada apo imebase kwenye dini.mbona hamna heshima na dini .?
Sasa hayo magoma ya nn?
Mmechemsha mziki
Wazungu wanasema "The pen is mightier than the sword" Sasa wapenzi watazamaji na waskilizaji wenzang tushaona kdg wtaarishaji kipindi wamekosea kutuwekea music,kwnn hatujaribu kuwaambia politely hadi tutoe maneno makali makali namna hii? Siku zote maneno mazuri humtoa nyoka pangoni,lkn kwa hvi tunavofanya itakuwa hatulinganii badala yke ni tunaonesha tunataka mvutano...Tubadilikeni! Hadithi sahihi inasema (ktk uislam),ukiona uovu ktk jamii anza kwa kusema,ikishindikana ondoa uovu huo kwa mikono yako,na ikishindikana bc chukia ktk nafsi yako.Shukran
Mtangazaji umefanya vizuri kwa kumkabili sheikh kwa kujistiri
🎶music wanini kwa mawaidha
Mnaenda kumhoji sheikh kuhusu mambo muhimu thn background mnapiga beats sijui kinanda, sijui singeli hio
@bignation3959
4 жыл бұрын
Haipendezi rekebisheni kdg
Mimi sijaelewa sasa nasikiliza mawaidha na nyimbo au vipi Chagueni moja basi jamani aidha mawaidha ama nyimbo.
mnaongea masaili ya kidini sasa huo mziki wa nini? kwa nini hata maswala ya serious mnafanyia mzaha,? Katika editors wenu wote hamna Muislam aliyesema kuuondoa huo mziki?
mnajadili juu ya kupigwa mwanamke wakati mwanamke alikwenda kwa muhhamad ngozi yake imebadilika imekuwa ya kijani kwa kigigo.. na muhhamad akasema anastahili... sasa unasemaje?? uislam hauruhusu.. kupiga??? pili kuna Aya..kwenye Quran inasema Allah ndio kaleta... uchawi kwaajili ya kuvunja ndoa tu.. sasa mbona anashangaa wakati Allah ndio kaushusha uchawi ili mke na mume wawe wansachana kwahiyo kwenye uislam ni kazi ya Allah
Mziki wa kishenzi inaonesha nyinyi siyo wema
Nimepata mafunzo
Achen ushamba kuweka mziki wakati Sheikh anaongea vitu vya Maana
Sasa yanini mziki
Maharage yambie hawana kheri 😀😀
Aslaamlekum. Shekh sithani kwanza Kama ni vizuri kumpiga mke wako au mwanamke bora kumu talaka ? Pia vipi huyo mwanamke atakupenda kama unampiga?
samahani ingependeza music ikapunguzwa ili tukaweza kujifunza kutoka kwa shekh
Dinî ya ajabu
Music wako anakera daada.yani apana kabisa
Wimbo? na mawaitha inatolewa ?
Music kero
Mdundo upuuzi mtuupu mnakera
Jat the background music for? Can't listen to this mess. Ujinga mtupu inakuje myu anaongea na background music?
NAOMBA NIKUALIKE Habari naitwa Hero ni msanii wa mziki naomba nikualike kutizama na subscribe katika video ya mziki wangu mpya GUSA LINK HII KUTIZAMA kzread.info/dash/bejne/nXykj5uwe5y6qdo.html
NAOMBA NIKUALIKE Habari naitwa Hero ni msanii wa mziki naomba nikualike kutizama na subscribe katika video ya mziki wangu mpya GUSA LINK HII KUTIZAMA kzread.info/dash/bejne/nXykj5uwe5y6qdo.html
NAOMBA NIKUALIKE Habari naitwa Hero ni msanii wa mziki naomba nikualike kutizama na subscribe katika video ya mziki wangu mpya GUSA LINK HII KUTIZAMA kzread.info/dash/bejne/nXykj5uwe5y6qdo.html