Mgundini: Sheikh Kipozeo Aeleza Ruksa Mume Kumpiga Mkewe | Mwanamke Hawezi Kumpa Talaka Mumewe

Sheikh Kipozeo anatoloea ufafanuzi juu ya mwanamke anaweza kumuacha mumewe kama ambavyo Shilole alipost kwenye instagram account yake, na je mwanamke anatakiwa kupigwa na mumewe, na vipi watu kuingilia ndoa za watu ni sawa?

Пікірлер: 47

  • @yusufjuma264
    @yusufjuma2644 жыл бұрын

    Comment zote ni ngoma ngoma munaskiza.maneno ya Sheikh ama ngoma

  • @saidaally5105
    @saidaally51053 жыл бұрын

    huu muziki sio mahala pake

  • @muddyaforeal1145
    @muddyaforeal11454 жыл бұрын

    Huyu dada mbona mzuri mpaka chenji inabaki

  • @abuibra
    @abuibra3 жыл бұрын

    Kuna hukumu ya wazinifu ambao hawajafunga ndoa na pia kunahukumu ya waliofanya zinaa wakiwa katika ndoa kwanini hufafanui hata kupiga huwezi mpiga usoni mkeo,wala kumuumiza fafanua vizuri shaikh kipozeo wengi tunakusikia mtandaoni.

  • @manenojongo3470
    @manenojongo34704 жыл бұрын

    Nyinyi wapuuz mziki wann xx

  • @husseinbakromar5865
    @husseinbakromar58653 жыл бұрын

    Mimi naongezea watu washa shibana kila jambo kabla ya ndoa wakiowana ndio ifae nini shida tuliambiwa tuowe wanawake wenyewe dini twaenda owa wanamuziki wacheza kigodoro ili mupate kiki mitandaoni matokeo ndio hayo

  • @faridahalil4456
    @faridahalil44563 жыл бұрын

    Reduce the volume of music damn!!! Inaleta disturbance or destruction please

  • @khatibuhijja459
    @khatibuhijja4594 жыл бұрын

    Mm nashangaa sana, hiyo Mingoma ya nn,heshimuni mnachokiongelea na mnaeongea nae,mnakera mazungumzo ya maana mnaweka muziki washenzi nyinyi

  • @lionking3015
    @lionking30154 жыл бұрын

    Mnakosea hebu jirekebisheni.. sheikhe anatoa mawaidha ya dini afu munapiga mziki background.. mawaidha yanataka utulivu ili watu wapate faida ya maneno ya Allah..

  • @assoumnassor2930
    @assoumnassor29304 жыл бұрын

    By the way,nimependa ndugu ntangazaji ulivojitahidi kujistiri,umependeza sana,ila next time jitahidi kuzidi kujistiri maeneo ya shingoni,manake nakuona Masha Allah umefunika viganja ambavo ni sawa kuonekana kwa dini yetu ya kiislam,lkn kdg umeshindwa maeneo ya kwe shingo while ndi ni haram kuonekana kiislam.

  • @johsea122
    @johsea1223 жыл бұрын

    Shekhe anamaneno mazuri, yakufurahisha

  • @jumamohammed5378
    @jumamohammed53782 жыл бұрын

    Inallilalahi miziki mingi ila mawaidha mazuri Allah akupeni ufahamu wakuna

  • @mbembelatv
    @mbembelatv4 жыл бұрын

    Nmeupenda muzik huo background 👏😅

  • @hanssabiti3625
    @hanssabiti36253 жыл бұрын

    Jamani,sasa mambo ya mwenyezi Mungu mnaisindikiza kwa mziki ?

  • @ummialey6391
    @ummialey63914 жыл бұрын

    Shehe umeeleweka

  • @ommygoldene3636
    @ommygoldene36364 жыл бұрын

    NAOMBA NIKUALIKE Habari naitwa Hero ni msanii wa mziki naomba nikualike kutizama na subscribe katika video ya mziki wangu mpya GUSA LINK HII KUTIZAMA kzread.info/dash/bejne/nXykj5uwe5y6qdo.html

  • @hashtagdarling4738
    @hashtagdarling47384 жыл бұрын

    Sasa iyo solo beat niyann wakati mada apo imebase kwenye dini.mbona hamna heshima na dini .?

  • @suleymanially974
    @suleymanially9744 жыл бұрын

    Sasa hayo magoma ya nn?

  • @ummialey6391
    @ummialey63914 жыл бұрын

    Mmechemsha mziki

  • @assoumnassor2930
    @assoumnassor29304 жыл бұрын

    Wazungu wanasema "The pen is mightier than the sword" Sasa wapenzi watazamaji na waskilizaji wenzang tushaona kdg wtaarishaji kipindi wamekosea kutuwekea music,kwnn hatujaribu kuwaambia politely hadi tutoe maneno makali makali namna hii? Siku zote maneno mazuri humtoa nyoka pangoni,lkn kwa hvi tunavofanya itakuwa hatulinganii badala yke ni tunaonesha tunataka mvutano...Tubadilikeni! Hadithi sahihi inasema (ktk uislam),ukiona uovu ktk jamii anza kwa kusema,ikishindikana ondoa uovu huo kwa mikono yako,na ikishindikana bc chukia ktk nafsi yako.Shukran

  • @fatmaalnabhani3609
    @fatmaalnabhani36092 жыл бұрын

    Mtangazaji umefanya vizuri kwa kumkabili sheikh kwa kujistiri

  • @aishagakurya1964
    @aishagakurya19642 жыл бұрын

    🎶music wanini kwa mawaidha

  • @bignation3959
    @bignation39594 жыл бұрын

    Mnaenda kumhoji sheikh kuhusu mambo muhimu thn background mnapiga beats sijui kinanda, sijui singeli hio

  • @bignation3959

    @bignation3959

    4 жыл бұрын

    Haipendezi rekebisheni kdg

  • @azizaabdallah6491
    @azizaabdallah6491 Жыл бұрын

    Mimi sijaelewa sasa nasikiliza mawaidha na nyimbo au vipi Chagueni moja basi jamani aidha mawaidha ama nyimbo.

  • @mujyu3438
    @mujyu34384 жыл бұрын

    mnaongea masaili ya kidini sasa huo mziki wa nini? kwa nini hata maswala ya serious mnafanyia mzaha,? Katika editors wenu wote hamna Muislam aliyesema kuuondoa huo mziki?

  • @jesusislord9190
    @jesusislord91902 жыл бұрын

    mnajadili juu ya kupigwa mwanamke wakati mwanamke alikwenda kwa muhhamad ngozi yake imebadilika imekuwa ya kijani kwa kigigo.. na muhhamad akasema anastahili... sasa unasemaje?? uislam hauruhusu.. kupiga??? pili kuna Aya..kwenye Quran inasema Allah ndio kaleta... uchawi kwaajili ya kuvunja ndoa tu.. sasa mbona anashangaa wakati Allah ndio kaushusha uchawi ili mke na mume wawe wansachana kwahiyo kwenye uislam ni kazi ya Allah

  • @hmwdy_1173
    @hmwdy_11732 жыл бұрын

    Mziki wa kishenzi inaonesha nyinyi siyo wema

  • @babikirmusa6963
    @babikirmusa69633 жыл бұрын

    Nimepata mafunzo

  • @alithabit7617
    @alithabit76172 жыл бұрын

    Achen ushamba kuweka mziki wakati Sheikh anaongea vitu vya Maana

  • @walidalesry7482
    @walidalesry74822 жыл бұрын

    Sasa yanini mziki

  • @kidjhdf7568
    @kidjhdf75682 жыл бұрын

    Maharage yambie hawana kheri 😀😀

  • @sarahhabib5902
    @sarahhabib59022 жыл бұрын

    Aslaamlekum. Shekh sithani kwanza Kama ni vizuri kumpiga mke wako au mwanamke bora kumu talaka ? Pia vipi huyo mwanamke atakupenda kama unampiga?

  • @saajasnews576
    @saajasnews5763 жыл бұрын

    samahani ingependeza music ikapunguzwa ili tukaweza kujifunza kutoka kwa shekh

  • @Ab-kq7ql
    @Ab-kq7ql Жыл бұрын

    Dinî ya ajabu

  • @idrissamustafabukenya6110
    @idrissamustafabukenya61102 жыл бұрын

    Music wako anakera daada.yani apana kabisa

  • @sarahhabib5902
    @sarahhabib59022 жыл бұрын

    Wimbo? na mawaitha inatolewa ?

  • @idrissamustafabukenya6110
    @idrissamustafabukenya61102 жыл бұрын

    Music kero

  • @mayangeramadhani8497
    @mayangeramadhani84972 жыл бұрын

    Mdundo upuuzi mtuupu mnakera

  • @ameeranassor1619
    @ameeranassor1619 Жыл бұрын

    Jat the background music for? Can't listen to this mess. Ujinga mtupu inakuje myu anaongea na background music?

  • @ommygoldene3636
    @ommygoldene36364 жыл бұрын

    NAOMBA NIKUALIKE Habari naitwa Hero ni msanii wa mziki naomba nikualike kutizama na subscribe katika video ya mziki wangu mpya GUSA LINK HII KUTIZAMA kzread.info/dash/bejne/nXykj5uwe5y6qdo.html

  • @ommygoldene3636
    @ommygoldene36364 жыл бұрын

    NAOMBA NIKUALIKE Habari naitwa Hero ni msanii wa mziki naomba nikualike kutizama na subscribe katika video ya mziki wangu mpya GUSA LINK HII KUTIZAMA kzread.info/dash/bejne/nXykj5uwe5y6qdo.html

  • @ommygoldene3636
    @ommygoldene36364 жыл бұрын

    NAOMBA NIKUALIKE Habari naitwa Hero ni msanii wa mziki naomba nikualike kutizama na subscribe katika video ya mziki wangu mpya GUSA LINK HII KUTIZAMA kzread.info/dash/bejne/nXykj5uwe5y6qdo.html