SHEIKH SHARIF MAJINI | AMCHAMBUA DR. SULLE KWA AYAFANYAYO | NA YALIYOMKUTA | WAKUTANA USO KWA USO
SHEIKH SHARIF MAJINI | AMCHAMBUA DR. SULLE KWA AYAFANYAYO | NA YALIYOMKUTA WAKUTANA LIVE USO KWA USO #Masjid_Mtoro_Online_Tv #DrSulle
Жүктеу.....
Пікірлер: 52
@alhaddajmohammed47683 жыл бұрын
Kesi ya Nyani imepelekwa kwa Ngedele ! Kufanya kazi ya Allah isiwe kichaka cha kutapeli watu !
@duniawadunia48243 жыл бұрын
Masha"Allah Mwaipopo ni atari sana kumbe
@saidswalehe29073 жыл бұрын
Duh masheikh wengine Bhana mtume saw amekataza kunyoa Qaza kwa maana panki Dr kanyoa panki Innaa lillaah wainna ilayhi raajiuun hatar sana Wallahi
@swahilitherapytv38463 жыл бұрын
Unatumia kufanya misheni town..!! Mcheni Allah, msitumie shiriki kufanya tiba
@yahayahmuhando5028
3 жыл бұрын
wenawe. usituchanganye, niewote. matapeli wakubwa mnawatapeli waisilam, waliwaamini sasa mmegeuka. na mligeuzwa, na kikwete, toka mwaka 2010, kwenyeharakati za uchaguzi mku, akawanunua nakuanzisha umoja wavijana wa kiisilam kwamalengo yakumsaidia kwenye uchaguzi, mku kutokana na kanisa kumsusa. nakutoa walaka, wa kura za masilahi,kutoka pale, akawasafirisha, kwenda Africa ya kusini, mlivyorudi wewe umekua mganga wakienyeji? mwenzio nae kawa muuza madawa, yakisanii, na mungu anawaona,
@abuunyoni13063 жыл бұрын
Dr sule unamchango mkubwa sana huwa nakufuatilia unatupa elimu kubwa sana mungu awape umri mlefu na elimu mulizo nazo muzifundishe....
@aliujendo3 жыл бұрын
Jamani ndugu zangu waislamu Dr sulle haja tukanwa bali kakumbushwa mambo anayo yafanya hayalingani na kazi anayo fanya kuzulumu watu zulma ni jambo baya sana mbele ya Allah kama hata omba msamaha hapa duniyani hukumu ya Allah ipo.
@rajabuomari26943 жыл бұрын
Inshallah m mungu atujalie khr
@yasalaam5903 жыл бұрын
Kweli wana umubimu sanaa masheykh wetu mashallah
@mussamalugu17933 жыл бұрын
Matapeli matapeli matapeli matapeli matapeli matapeli kanyaboya ogopa sana matapeli ndugu zangu waislamu tusitapeliwe tena tushawachoka
@ramadhanimtetu72463 жыл бұрын
Wahadhiri Katika Ubora wao Watoto Wa Town hawa A.K.A Wapigaji Haya bana Kazi ianze Upya kama Zamani.
@shafimussa63213 жыл бұрын
Kumtapa Dr sule na kukumbushiya alioyafanya ndani ya dini sio hoja, lamsingi nyinyi masheikh unao mteteya nyote ni matapeli kwanini amlanushi au Dr sule mwenyewe akanushe kuwa yeye sio tapeli Mnabaki kumtapa tu lakini ushuhuda WA watu walio tapeliwa upo lakini amuongeleyi Mwaipopo yupo sahih sana aliosema kuwa masheikh wengi mmatapeli watu na ninafahamu wengi watamchukiya kwa ikweli kaongeya
@mudysaid16513 жыл бұрын
Subhaanallah we dr sule umenyoaje kichwani
@latifahnassoro17
3 жыл бұрын
Kanyoaje
@mudysaid1651
3 жыл бұрын
Angalia kwaumakini kichwani ,nyele zajuu ndefu kuliko za chini
@yasalaam5903 жыл бұрын
Allahu akbar 😭poleni sana wahadhiri
@kaltumaamiyo20173 жыл бұрын
Ni kweli mimi nampenda masikini dr sule mungu amhifadhi
@pacifiquemukanya10093 жыл бұрын
Arudishe pesa zetu
@shabanimohamed48663 жыл бұрын
MBONA SJAELEWA ALICHOONGEA MI NILIZANI UNAKUMBUSHA WATU MEMA KUMBE WAMSIFIA MWANAUME MWENZIO MIAKA YOTE HIO HUMSIFII WAJA KUMSIFIA LEO NA UTAMSIFIAJE MWANAUME MWENZIO
@themagnet42363 жыл бұрын
Doctor Sulle Ni tapeli bwana,hata mumutakase kivipi!!!Sasa Mwaipopo ndiye ametengeneza,zile Audio zawatu wametapeliwa na Sule?
Sheikh Mwaipopo yupo ,sahihi tu na Dr sule inabidi abadilike kwa sababu hakuna mkamilfu ispokua Allah.
@diagfinamix1861
3 жыл бұрын
Mwaipopo kudhutumiwa kama amefanya dhulma ya kitabu yuko wapi akatae , acheni chuki bwana . Ooh watu wanatapeliwa mbona Mwaipopo kasema ametumwa wahusika wako wapi tuuone usahihi. Chuki tu . Dr Sule jembe achanana nae nyinyi na chuki zenu.
@ummuhkhalfan5542
3 жыл бұрын
@@diagfinamix1861 hakuna chuki kwenye dini Allah aninusuru kumchukia mtu kwa ajiri ya dunia mambo ya mpito hapa hatufati mkumbo wala cfati ushabiki hapa dk sule ni kiongozi wangu katk dini na mwaipopo ni kiongozi wangu katka dini linapotokea jambo kama hili hutakiw kufata umaarufu hapa unaposema chuki zenu ina maana unajua mwanzo mwisho na kama hujui bora na wewe unyamaze usije beba zigo kwa Allah lisokuhusu bora uwe katkat kuliko kutetea kwa ushabiki kumbuka kisa cha bi Aisha mke wa mtume S.A.W kuzushiwa uchafu na habr zilivyozagaa had Allah akaja kumsafisha hukum ilowapata waloeneza jambo bila uhakika na tukapewa onyo tukipata habar tuzifanyie uchunguzi sasa mwenzetu cjui ushapitia huko.
@yasalaam5903 жыл бұрын
Lailaha illallwah
@wahabjuma15393 жыл бұрын
Pamba utakavyo pamba ila ukweli utabakia kuwa ukweli mungu sio wakudanganywa tayari kimaelezo tu waumini washajua kafanya kweli ila munakoelekea ndio munazidi kupotea mashekhe rudini nyuma muombe msamaha
@abuubakalmtangenange43893 жыл бұрын
Nyie matapeli mpo
@abdulmalickupete90153 жыл бұрын
Acheni utapeli huo ndiyo upande wa pili msio taka kuusikia ukisemwa
@saidswalehe29073 жыл бұрын
Na utapel wake mbona husemi na wew majin kaa nae umkumbushe aache twabia ya utapel na arudishe pesa za watu kiyaman atapata khasara kwa amana za watu asiporudisha
@swahilitherapytv38463 жыл бұрын
Wote wapigaji wamekutana 😂😂
@walidsaid78073 жыл бұрын
Tunakubali Dr Sule kafanya mengi ila ukweli usemwe wacheni mapenzi yenu ya kijinga Kullu haki walaukana murra Musikae mkamfagilia Dr Sule Waiteni kikao kuondowa mzizi wa fitina
@abdullahjuma92063 жыл бұрын
matapeli wanateteana
@mwarabumbarak43423 жыл бұрын
Doctor Sule yuwauza dawa za kisunna sasa utapeli uko wapi hapo.
@aliujendo3 жыл бұрын
Huyu sharifu majini ni muongo mkubwa imaani ina panda na kushuka hakuna mkamilifu hayo nima zuri yake pamoja na uwongo aliyo ongeza ila mapungufu yake mbona hamuasemi sule aombe msamaha ache kiburi ni vazi la mwenye ez mungu
@humudmarhoon80443 жыл бұрын
Acha kutetea kama sule kama kafanya makosa lazma aambiwe
@aishaarusha8943 жыл бұрын
Pesa zetu utatulipa lini 🤣🤣🤣🤸♂️
@pacifiquemukanya10093 жыл бұрын
Tunamdayi arudishe la sivyo atatulipa kiyama
@jeanboscosindihebura4035
3 жыл бұрын
Musema kweli kipenzi wa mungu,usicoceye na kukoseya mtu heshima,kama umehujumiwa lolote na Dr sule ututdhibitishiye na ushahidi kama uko nao ulete hapa na tumuogope mwenyezi mungu,namuomba Allah atujaliye mwisho m mwema waisilam wote inshallah.
@abdallahhamza96893 жыл бұрын
Hilo dubwasha sio Dr sule
@eddymatrix87043 жыл бұрын
Ila mwaipopo anakosea sana hawez kumuadhirisha mwenzake hvy,kama angekua ana makosa angemfata kwa siri na kumkana..mwenye hadhi ya kumuadhirisha mja pekee ni Allah sw....to be honest namfananisha mwaipopo kama mwijaku,anatumia kiki ya kumponda diamond ili yeye ajulikane
@zenaahmedi88573 жыл бұрын
Dr Sulle sio tapel jaman hakun aliyekamilik kweny hii dunia..Nasema tena Dr Sulle Allah yup pamoja na wew walio kuchafua pia wao wanauchafu wao
@prettyh75093 жыл бұрын
Hakuna dini hapo pesa tu huyo anejiita sharifu majini ni mshirikina wa kutupa
@dhaharanijongo9700
3 жыл бұрын
washirikina
@barnabasmajige84733 жыл бұрын
Kumbe ww ndio bingwa wa kufunga majini na mapepo et hii ndio dini ni bora nife bila kuwa na dini.Hosea 4.6.
@prettyh7509
3 жыл бұрын
Mshirikina huyo
@mussarashid67523 жыл бұрын
Nimegundua kwamba kuna chembe za unafiki maana kila mtu anamtetea Dr sule na kwa kutoa historia ya mazuri yake tu, lakin Alisema Mwaipopo dhidi ya Dr sule ni ukweli mtu na mnatakiwa mumshauri Dr sule aachane na utapeli kwa kutumia kivuli cha dini kwani hivo nikuuchafua uislam.
@diagfinamix1861
3 жыл бұрын
Wambie waku tapeliwa waje tuwaone sio kutumia mambo ya ki nafiki kumchafuwa mtu anajitolea kuendelesha dini . Mbona Mwaipopo mme mfanya chombo cha kuleta vurugu , kama watu wametapeliwa duniani kote mbona hakuna hata moja Alisha jitokeza ajitoe mhanga . Wacha chuki ninyi .
@sheikh.abuusamuhath3 жыл бұрын
Wewe Sharifu Majini unamaanisha nini? Au unataka kuwalipa waliotapeliwa na Sulle?? Haya basi lipa kwanza pesa za watu halafu uelezee hiyo historia ya sulle , ila sivyo, yeye atabaki kuwa tapeli... au atoke mwenyewe ajielezee
@sadathboutique62533 жыл бұрын
Dr sule namkubali sna
@yasalaam5903 жыл бұрын
Hao wanomsema vibaya wana mambo yao wanaona yanaharika kwakisomo chake kwahiyo wanaona bora wamtiliye fitna Waislamu tuzindukeni jamani
@kaltumaamiyo20173 жыл бұрын
Dr sule ako sawa ni husda za mashekhe tu wala hana utapeli wowote
Пікірлер: 52
Kesi ya Nyani imepelekwa kwa Ngedele ! Kufanya kazi ya Allah isiwe kichaka cha kutapeli watu !
Masha"Allah Mwaipopo ni atari sana kumbe
Duh masheikh wengine Bhana mtume saw amekataza kunyoa Qaza kwa maana panki Dr kanyoa panki Innaa lillaah wainna ilayhi raajiuun hatar sana Wallahi
Unatumia kufanya misheni town..!! Mcheni Allah, msitumie shiriki kufanya tiba
@yahayahmuhando5028
3 жыл бұрын
wenawe. usituchanganye, niewote. matapeli wakubwa mnawatapeli waisilam, waliwaamini sasa mmegeuka. na mligeuzwa, na kikwete, toka mwaka 2010, kwenyeharakati za uchaguzi mku, akawanunua nakuanzisha umoja wavijana wa kiisilam kwamalengo yakumsaidia kwenye uchaguzi, mku kutokana na kanisa kumsusa. nakutoa walaka, wa kura za masilahi,kutoka pale, akawasafirisha, kwenda Africa ya kusini, mlivyorudi wewe umekua mganga wakienyeji? mwenzio nae kawa muuza madawa, yakisanii, na mungu anawaona,
Dr sule unamchango mkubwa sana huwa nakufuatilia unatupa elimu kubwa sana mungu awape umri mlefu na elimu mulizo nazo muzifundishe....
Jamani ndugu zangu waislamu Dr sulle haja tukanwa bali kakumbushwa mambo anayo yafanya hayalingani na kazi anayo fanya kuzulumu watu zulma ni jambo baya sana mbele ya Allah kama hata omba msamaha hapa duniyani hukumu ya Allah ipo.
Inshallah m mungu atujalie khr
Kweli wana umubimu sanaa masheykh wetu mashallah
Matapeli matapeli matapeli matapeli matapeli matapeli kanyaboya ogopa sana matapeli ndugu zangu waislamu tusitapeliwe tena tushawachoka
Wahadhiri Katika Ubora wao Watoto Wa Town hawa A.K.A Wapigaji Haya bana Kazi ianze Upya kama Zamani.
Kumtapa Dr sule na kukumbushiya alioyafanya ndani ya dini sio hoja, lamsingi nyinyi masheikh unao mteteya nyote ni matapeli kwanini amlanushi au Dr sule mwenyewe akanushe kuwa yeye sio tapeli Mnabaki kumtapa tu lakini ushuhuda WA watu walio tapeliwa upo lakini amuongeleyi Mwaipopo yupo sahih sana aliosema kuwa masheikh wengi mmatapeli watu na ninafahamu wengi watamchukiya kwa ikweli kaongeya
Subhaanallah we dr sule umenyoaje kichwani
@latifahnassoro17
3 жыл бұрын
Kanyoaje
@mudysaid1651
3 жыл бұрын
Angalia kwaumakini kichwani ,nyele zajuu ndefu kuliko za chini
Allahu akbar 😭poleni sana wahadhiri
Ni kweli mimi nampenda masikini dr sule mungu amhifadhi
Arudishe pesa zetu
MBONA SJAELEWA ALICHOONGEA MI NILIZANI UNAKUMBUSHA WATU MEMA KUMBE WAMSIFIA MWANAUME MWENZIO MIAKA YOTE HIO HUMSIFII WAJA KUMSIFIA LEO NA UTAMSIFIAJE MWANAUME MWENZIO
Doctor Sulle Ni tapeli bwana,hata mumutakase kivipi!!!Sasa Mwaipopo ndiye ametengeneza,zile Audio zawatu wametapeliwa na Sule?
@AllySadjid-ch8ze
Ай бұрын
Mtii weny matuda njo unapigwa mawe nini wey achanana uyo shiekh mwey vip
Sheikh Mwaipopo yupo ,sahihi tu na Dr sule inabidi abadilike kwa sababu hakuna mkamilfu ispokua Allah.
@diagfinamix1861
3 жыл бұрын
Mwaipopo kudhutumiwa kama amefanya dhulma ya kitabu yuko wapi akatae , acheni chuki bwana . Ooh watu wanatapeliwa mbona Mwaipopo kasema ametumwa wahusika wako wapi tuuone usahihi. Chuki tu . Dr Sule jembe achanana nae nyinyi na chuki zenu.
@ummuhkhalfan5542
3 жыл бұрын
@@diagfinamix1861 hakuna chuki kwenye dini Allah aninusuru kumchukia mtu kwa ajiri ya dunia mambo ya mpito hapa hatufati mkumbo wala cfati ushabiki hapa dk sule ni kiongozi wangu katk dini na mwaipopo ni kiongozi wangu katka dini linapotokea jambo kama hili hutakiw kufata umaarufu hapa unaposema chuki zenu ina maana unajua mwanzo mwisho na kama hujui bora na wewe unyamaze usije beba zigo kwa Allah lisokuhusu bora uwe katkat kuliko kutetea kwa ushabiki kumbuka kisa cha bi Aisha mke wa mtume S.A.W kuzushiwa uchafu na habr zilivyozagaa had Allah akaja kumsafisha hukum ilowapata waloeneza jambo bila uhakika na tukapewa onyo tukipata habar tuzifanyie uchunguzi sasa mwenzetu cjui ushapitia huko.
Lailaha illallwah
Pamba utakavyo pamba ila ukweli utabakia kuwa ukweli mungu sio wakudanganywa tayari kimaelezo tu waumini washajua kafanya kweli ila munakoelekea ndio munazidi kupotea mashekhe rudini nyuma muombe msamaha
Nyie matapeli mpo
Acheni utapeli huo ndiyo upande wa pili msio taka kuusikia ukisemwa
Na utapel wake mbona husemi na wew majin kaa nae umkumbushe aache twabia ya utapel na arudishe pesa za watu kiyaman atapata khasara kwa amana za watu asiporudisha
Wote wapigaji wamekutana 😂😂
Tunakubali Dr Sule kafanya mengi ila ukweli usemwe wacheni mapenzi yenu ya kijinga Kullu haki walaukana murra Musikae mkamfagilia Dr Sule Waiteni kikao kuondowa mzizi wa fitina
matapeli wanateteana
Doctor Sule yuwauza dawa za kisunna sasa utapeli uko wapi hapo.
Huyu sharifu majini ni muongo mkubwa imaani ina panda na kushuka hakuna mkamilifu hayo nima zuri yake pamoja na uwongo aliyo ongeza ila mapungufu yake mbona hamuasemi sule aombe msamaha ache kiburi ni vazi la mwenye ez mungu
Acha kutetea kama sule kama kafanya makosa lazma aambiwe
Pesa zetu utatulipa lini 🤣🤣🤣🤸♂️
Tunamdayi arudishe la sivyo atatulipa kiyama
@jeanboscosindihebura4035
3 жыл бұрын
Musema kweli kipenzi wa mungu,usicoceye na kukoseya mtu heshima,kama umehujumiwa lolote na Dr sule ututdhibitishiye na ushahidi kama uko nao ulete hapa na tumuogope mwenyezi mungu,namuomba Allah atujaliye mwisho m mwema waisilam wote inshallah.
Hilo dubwasha sio Dr sule
Ila mwaipopo anakosea sana hawez kumuadhirisha mwenzake hvy,kama angekua ana makosa angemfata kwa siri na kumkana..mwenye hadhi ya kumuadhirisha mja pekee ni Allah sw....to be honest namfananisha mwaipopo kama mwijaku,anatumia kiki ya kumponda diamond ili yeye ajulikane
Dr Sulle sio tapel jaman hakun aliyekamilik kweny hii dunia..Nasema tena Dr Sulle Allah yup pamoja na wew walio kuchafua pia wao wanauchafu wao
Hakuna dini hapo pesa tu huyo anejiita sharifu majini ni mshirikina wa kutupa
@dhaharanijongo9700
3 жыл бұрын
washirikina
Kumbe ww ndio bingwa wa kufunga majini na mapepo et hii ndio dini ni bora nife bila kuwa na dini.Hosea 4.6.
@prettyh7509
3 жыл бұрын
Mshirikina huyo
Nimegundua kwamba kuna chembe za unafiki maana kila mtu anamtetea Dr sule na kwa kutoa historia ya mazuri yake tu, lakin Alisema Mwaipopo dhidi ya Dr sule ni ukweli mtu na mnatakiwa mumshauri Dr sule aachane na utapeli kwa kutumia kivuli cha dini kwani hivo nikuuchafua uislam.
@diagfinamix1861
3 жыл бұрын
Wambie waku tapeliwa waje tuwaone sio kutumia mambo ya ki nafiki kumchafuwa mtu anajitolea kuendelesha dini . Mbona Mwaipopo mme mfanya chombo cha kuleta vurugu , kama watu wametapeliwa duniani kote mbona hakuna hata moja Alisha jitokeza ajitoe mhanga . Wacha chuki ninyi .
Wewe Sharifu Majini unamaanisha nini? Au unataka kuwalipa waliotapeliwa na Sulle?? Haya basi lipa kwanza pesa za watu halafu uelezee hiyo historia ya sulle , ila sivyo, yeye atabaki kuwa tapeli... au atoke mwenyewe ajielezee
Dr sule namkubali sna
Hao wanomsema vibaya wana mambo yao wanaona yanaharika kwakisomo chake kwahiyo wanaona bora wamtiliye fitna Waislamu tuzindukeni jamani
Dr sule ako sawa ni husda za mashekhe tu wala hana utapeli wowote