SHEIKH MZIWANDA AKASIRISHWA NA KAULI YA MWANACHUONI ALIEWATUKANA MASUFI | WASOMAJI QURAN NA KASWIDA

Ойын-сауық

Пікірлер: 125

  • @ramaaman9173
    @ramaaman91732 жыл бұрын

    Mashallah shekh,ujumbe mzurisana kwanihakunaaliyekamilika isipokua maridhiano katika kuyafanyamema na kukemea mabaya

  • @anksusiabdurashid114
    @anksusiabdurashid1142 жыл бұрын

    الله اكبر ولله علم

  • @abdallahsaid8157
    @abdallahsaid8157 Жыл бұрын

    MashaAllah!!!

  • @mikidadihussein5152
    @mikidadihussein51522 жыл бұрын

    Manshaallah 🙏🙏🙏🙏

  • @babumsiha1573
    @babumsiha15732 жыл бұрын

    Mashallah

  • @mohammedmwakyambiki3665
    @mohammedmwakyambiki36652 жыл бұрын

    Allah

  • @Ahmadasshii-raazy8888
    @Ahmadasshii-raazy88882 жыл бұрын

    رضي الله عنكم ساداتنا

  • @shafisaggaf1889
    @shafisaggaf18892 жыл бұрын

    mashaAllah wasia nzuri saan kwa wenye akili

  • @zubedakiruta7044

    @zubedakiruta7044

    2 жыл бұрын

    Mashekhe ugali

  • @abdulhazizi2362
    @abdulhazizi23622 жыл бұрын

    Bas allah anamuona na anamsikia anavo vuruga dira ya sunna za mtume wetu Muhammad swalallahu alayhi wasallam

  • @khadijaomar9653
    @khadijaomar96532 жыл бұрын

    Kwani maarufu mnawatukana mara ngapi mawahabi??

  • @ayububakari9942

    @ayububakari9942

    2 жыл бұрын

    @@ahmadabdulrahman7675 Ni Ahlusunna walopewa Laqabu hiyo Na Masufi Shiya na wengineo..

  • @arqamibnarqam.7185

    @arqamibnarqam.7185

    2 жыл бұрын

    @@ayububakari9942 Unakusudia nini kusema Mawahabi?

  • @nassorozubery7394

    @nassorozubery7394

    2 жыл бұрын

    @@arqamibnarqam.7185 ndo jina walopewa ahlu sunnah,,

  • @swahilitherapytv3846
    @swahilitherapytv38462 жыл бұрын

    BABDEO TV MNAONGOZA KWA KUENEZA BIDA'A NA KUIVUNJA SUNNAH, KWAIYO MTAYAKUTA MADHAMBI YENU HAYA YA BIDA'A KWA ALLAH ,NA MTALIPWA. TUIYOGOPE BIDA'A KAMA MNAVYOOGOPA KORONA.

  • @salimhemed2823

    @salimhemed2823

    2 жыл бұрын

    wewe ni almajinunu ila jikague vizuri ndugu yangu kwa sababu hao unawowasema kuwa ni wanazuoni unawesingizia haukuwaelewa kwahiyo kama ndugu yangu nikuwa muogope mola usifuate kasema sheikh tu nawewe ukalibeba utakuja kusimamishwa siku ya qiiyaama na uambiwe lete ushahidi hiyo sunna unayoipigia domo na hata kuijua haujui haitakusaidia zaidi ya ushahidi na hauna someshwa na umuombe mola ufahamu sio kukariri

  • @saidihaji3739

    @saidihaji3739

    2 жыл бұрын

    Swahili Therapy Mim naomba twende kielimu . na sio kueneza maneno ya chuki na kuwatia watu ktk bida'a . Hebu tuambie " Taswawwuf " ni kitu gani ? Suali jingene : Nini maana ya bida'a ?? tafadhaal naomba majibu .

  • @AlawiyaMSaleh
    @AlawiyaMSaleh Жыл бұрын

    Maneno ya kweli unayo sema

  • @abuuammar4924
    @abuuammar49242 жыл бұрын

    Baadh ya masufi wanawaita mawahabi ni makafiri na ibnu baaz ni wahabi

  • @allymuhamed7295
    @allymuhamed7295 Жыл бұрын

    Du Sheikh mziwanda namna ninavyo kufahamu na Elimu yako kubwa inakuwaje leo una leta tafsiru yenye mkanganyiko hivi. Allah huwa hakumbukwi anatajwa. Mwanadamu kusahau kaumbiwa na kusahau nijambo ambalo hukubalika baada ya kukumbuka unatekeleza fardhi.فاذكروني اذكركم Nikumbukeni na nitakukumbukeni. Kama sijakuelewa umelenga nini kwahio tafsiru basi Niwie Radhi maana Nakufahamu wewe ni mwanazuoni mkubwa kasa Masha Allah.

  • @kassimabdallahmohamed6180

    @kassimabdallahmohamed6180

    Жыл бұрын

    Hujafahamu

  • @hassanmtima513

    @hassanmtima513

    10 ай бұрын

    Yuko sahihi kilugha chambua zaid hayo maneno yanamaana kubwa nakachambua pia mbelen pia sema akufuata aliesema ndio shida hapo

  • @husenisiraji9960
    @husenisiraji99602 жыл бұрын

    Masufiiii wanajulikanaaa

  • @kipengeog1767

    @kipengeog1767

    Жыл бұрын

    Ndiyo Hadi Salafi jadida tunawajua

  • @swahilitherapytv3846
    @swahilitherapytv38462 жыл бұрын

    WANACHUONI WANASEMA NI KHERY MTU MNYWA POMBE AU MZINIFU, KULIKO MFANYA BIDA'A(MASUFI),KWA SABABU MZINZI AU MNYWA POMBE HUYU NI RAHISI KUTUBIA KWA ALLAH KWAKUWA ANAJUA ANACHOTENDA NI MADHAMBI, LAKINI MTENDA BIDA'A NI NGUMU KUTUBIA KWA ALLAH,KWA KUWA BIDA'A ANAZOFANYANI ANA AMINI NI KATIKA DINI NA ANAPATA DHAWABU, KUMBE HAPATI CHOCHOTE.

  • @salimhemed2823

    @salimhemed2823

    2 жыл бұрын

    wewe mwenyewe umelewa sasa unafikiri utasema nini zaidi ya pombe

  • @shehesalm9899

    @shehesalm9899

    2 жыл бұрын

    Jamani jamani tuchungeni ndimi zetu kwa upenzi tu na kuwatia watu motoni la msingi tusomeni tujuwe sheria

  • @ismailibrahim1111

    @ismailibrahim1111

    2 жыл бұрын

    Wanachuoni gani? Tupe jina

  • @husseinzayumba702

    @husseinzayumba702

    2 жыл бұрын

    Huna elimu ya hoja ndgu yang kaa kmya maan hata ww unafanya bidaa

  • @shekhefaraji5400

    @shekhefaraji5400

    2 жыл бұрын

    kama kuna sheikh anasema hayo maneno nisheitwan kuliko ibilisi

  • @zabarjalsarjas8600
    @zabarjalsarjas8600 Жыл бұрын

    في أي كتاب قال ابن باز

  • @rjqaasam4587
    @rjqaasam45872 жыл бұрын

    Maneno mazito sana Wallwaahi

  • @MohammedAli-mf3ln
    @MohammedAli-mf3ln2 жыл бұрын

    Mtume saw alikuwa wa group gani ?

  • @mutomubaya
    @mutomubaya2 жыл бұрын

    Tutahadhari kuwaudhi Waislamu kwa kuwa Mtume, Swalla Allahu alayhi wa sallam, alipofahamishwa kuhusu mwanamke aliyekuwa anaudhi jirani kwa ulimi hali ya kuwa alikuwa anafunga mchana na kusimama usiku anaswali alisema, hana heri, yeye ni wa motoni, au kama alivyosema. Tukumbushane ikiwa haki za jirani ni kutoudhiwa hali ya kuwa hata kama sio Muislamu ana haki za ujirani. Kwa nini tunakosa kutambua haki za Waislamu?

  • @mutomubaya

    @mutomubaya

    2 жыл бұрын

    @@ahmadabdulrahman7675 Mtume, Swalla Allahu alayhi wa sallam, alikataza Waislamu kutukana wenzao

  • @abuarkam6276

    @abuarkam6276

    2 жыл бұрын

    Wewe fikra Yako kubwa Allah atuhifadhi

  • @abdulhazizi2362
    @abdulhazizi23622 жыл бұрын

    Sheikh mziwanda njaa inaanza kuhamia kwenye kichwa saaa

  • @feisal6592
    @feisal6592 Жыл бұрын

    Shekh askofu kamkosowa or kamtukana

  • @feisal6592
    @feisal6592 Жыл бұрын

    Chanzoo Cha ulevi ni marafikii

  • @tamimumelly3581
    @tamimumelly35812 жыл бұрын

    Kitabu gani hicho alicho sema

  • @mohammedjumakhamis8151
    @mohammedjumakhamis81512 жыл бұрын

    Amekasirishwa na Mwanachuoni Gani?

  • @zuheorsalim7759

    @zuheorsalim7759

    2 жыл бұрын

    Imamu shafi pale aliposema MTU akiingia ktk usufi asubuhi basi mchana anakua mwenda wazimu

  • @zuberiazizi7889
    @zuberiazizi7889 Жыл бұрын

    Nyinyi mbona mpo mbali na madhehebu ya imaam shafi rehema za Allah ziwe juu yake mnafuata matamanio ya nafsi zenu usufi hauteteeki kwa njia yeyote bali imaam shaafi amesema hatoingia katika usufi mtu yeyote mwanzo wa mchana ila haitomuijia adhuhuri isupokuwa atakuwa amepata upumbavu katika akili rejea manaaqibu ashaafi3iya ya imamu albaihaqi juzuu ya pili ukurasa wa 207 قال الإمام الشافعي رحمه الله: لو أن رجلاً تصوف من أول النهار لم يأت عليه الظهر إلا وجدته أحمق. حكم الأثر: صحيح أخرجه البيهقي في مناقب الشافعي (ج2/ص207)

  • @mudhihirugara8845
    @mudhihirugara88452 жыл бұрын

    Huyo aliyewaiti masufi kuwa nimashetani mgemuita mkamlingania aache kutukana lakini kumsemahapo mbeleyahalaikiyawatu piya siyovizuri nanukuu kaliyako yasikuile uliyowasima viongoziwabakwata badhiyao kuwaniwanafiki ulisema shehe akiteleza zitafutwenjianzuri zaumrekebisha ilahapo naona wote makosayenu Nita aina Moja mashekhe rudini kwamenyezimungu namtumewake

  • @user-op9fx3by1k

    @user-op9fx3by1k

    Жыл бұрын

    Masufiy shida Sana

  • @abuutasniym2675

    @abuutasniym2675

    Жыл бұрын

    Ndugu kamsema sheikh gani apo maana hakumtaja jina aau umemsikia akisema kua fulani kasema kua masufi niwafuasi wa shetani? Mimi sikumsikia akimtaja sasa kashfa ipo wapi?

  • @abdulhazizi2362
    @abdulhazizi23622 жыл бұрын

    Mwanzoni alionekana Sheikh wasunna

  • @imraniseifu2508

    @imraniseifu2508

    Жыл бұрын

    Sasa ww una Sunna Gani

  • @hajiali9300

    @hajiali9300

    Жыл бұрын

    Kama sikuogopa nisije nikatamka neno ambalo wanaotoa comenti watanielewa vibaya ngelitamkaneno

  • @deathrow8004
    @deathrow80042 жыл бұрын

    BID'AA NDIO IMELETA FARAKA KTK UMMAH HUU..

  • @allyally5156

    @allyally5156

    2 жыл бұрын

    Komaa kivyako unavyo amini nakunawanao amini mungu baba mwanza na roho mtakatifu ,utawalaximisha?

  • @mafiatv5479

    @mafiatv5479

    Жыл бұрын

    Bidaa km ipi ndg?

  • @abuuazhar3738
    @abuuazhar37382 жыл бұрын

    Masufi hawana tatizo kubwa saana ikiwa tu wataacha bid'daa na waifwate sunnah

  • @saidihaji3739

    @saidihaji3739

    2 жыл бұрын

    Azhar dady . Bida'a ni nini ? hebu tutajie taarifu ya bida'a halafu tuipime na tujue ni nani wanaofanya bidaa ?

  • @abuuazhar3738

    @abuuazhar3738

    2 жыл бұрын

    @@saidihaji3739 bid'da ni uzushi "katika ibadaat". Kitu au jambo ambalo mtume hakulifundisha

  • @sadiqselengu4197

    @sadiqselengu4197

    2 жыл бұрын

    @@abuuazhar3738 kwan vyote ufanyavyo mtume kavifundisha?? Na je kama mtu hajafundisha ila kuna vitu tumewekewa na wanawachuoni ktk huku za kisheria je kinasemaje kitu ulichofanya ktkt huku za kisheria kinafaa au hakifai au just ni bidaa bidaa bidaa a tu..

  • @nuhuissa8494

    @nuhuissa8494

    2 жыл бұрын

    @@sadiqselengu4197 nahisi uelewa wako ni mdogo sana shekh, jamaa kasema bidaa ni jambo lolote ambalo limezuka katika ibada ambalo mohamedi na na wale maswahaba 4 hawajafanya.

  • @nuhuissa8494

    @nuhuissa8494

    2 жыл бұрын

    Hivo kama lipo unalofanya jambo lakiibada ambalo mtue na maswahaba wake 4 hawajawahi fanya basi ujue ni bidaa

  • @tamimumelly3581
    @tamimumelly35812 жыл бұрын

    NDIO VIBALAKA KWANI UWONGO

  • @abuuintisaar2104

    @abuuintisaar2104

    Жыл бұрын

    Kibaraka nani

  • @user-op9fx3by1k
    @user-op9fx3by1k Жыл бұрын

    Masufiy Ni shida

  • @anksusiabdurashid114
    @anksusiabdurashid1142 жыл бұрын

    Someni kisha mtafuteni mtume utamwelewa

  • @swahilitherapytv3846
    @swahilitherapytv38462 жыл бұрын

    Masufi sio makafiri sheikh mziwanda, ni Masufi ni wafuwasi wa sheitwani kwa kueneza bida'a zao, na bida'a ni katika madhambi makubwa, TENA MADHAMBI HAYO YANAPENDWA SANA NA SHEITWANI KWAKUWA YANASURA YA DINI.

  • @swahibually1723

    @swahibually1723

    2 жыл бұрын

    Swahili Therapy TV,Mbona lugha yako ni NGUMU mnooo,ni badaa gani hiyo waliyoieneza inayowaingiza kwenye Ukafiri?Hembu eleza mojawapo tuu,isijekua wewe ndio KAFIRI kwa kukufurisha wenzio, maana Mawahabi nyinyi ni sawa na WALOKOLE,mnajifanya mmeokoka MBWA Nyinyi

  • @ayububakari9942

    @ayububakari9942

    2 жыл бұрын

    @@swahibually1723 SOMA VIZURI HIYO COMMENT YAKE KASEMA SIYO KAFIRI

  • @abdillahhassan5423

    @abdillahhassan5423

    2 жыл бұрын

    @@swahibually1723 al akhy sasa unaita Watu mbwa sasa duhh

  • @abdulmalickupete9015

    @abdulmalickupete9015

    2 жыл бұрын

    Hongera Hadi unaelimu ya kumjua muislamu wa motoni na peponi zamani ilikuwa kwa allah tu

  • @muhidinn5648

    @muhidinn5648

    2 жыл бұрын

    @@abdillahhassan5423 Dawa ya Moto ni

  • @elimikanamadrasa5490
    @elimikanamadrasa54902 жыл бұрын

    PUMBAVUUUUUU SAAAAAAAANAAAA

  • @bahiyajuma8644

    @bahiyajuma8644

    2 жыл бұрын

    😏😏😏😏😏😏

  • @shawwalmsati3405

    @shawwalmsati3405

    2 жыл бұрын

    Hiyo siyo dini ewe mtukanaji. Fanya istighfar ili usijekuwa muflis siku ya qiyama sheikh akachukua thawabu zako zitazolingana name tusi ulomtusi

  • @mkude

    @mkude

    Жыл бұрын

    Wewe matusi ya nini, ahli sunna wall jamaa manhaj salafy ndo wanavyofikisha hivyo,kuwa muungwana wewe,watu wa sunna hawapo hivyo,nyinyi ndo mnafanya watu wa sunna ionekane itikadi mbovu.wewe muislam kweli,au wewe kafiri au shia?

  • @elimikanamadrasa5490
    @elimikanamadrasa54902 жыл бұрын

    NI KWELI MASUFI NI VIBARAKA WA SHAYTWAAN

  • @muhammadochenje4610

    @muhammadochenje4610

    2 жыл бұрын

    Na mawahabi nao?

  • @shawwalmsati3405

    @shawwalmsati3405

    2 жыл бұрын

    Usisahau hata masalafi na makundi mengine hawakosi vibaraka wa mashetani katika wao

  • @mafiatv5479

    @mafiatv5479

    Жыл бұрын

    Ww ndo sheitwani na tena firauni shoga wewe

  • @mkude

    @mkude

    Жыл бұрын

    Nyinyi ndio mnaoipa ionekane itikadi ya kisalafy ni mbovu matusi yote ya nini hayo,wewe ni mtu wa sunna kweli au wewe ni kafiri unataka watu waichukie manhaj ya salafy? Achana na itikadi mbovu za matusi kama wewe unafuata Quraan na sunna

  • @husenisiraji9960
    @husenisiraji99602 жыл бұрын

    Somaa jina la shekh vizurii wewe acha uhunii buhn et ibarhimul aduhumi duhhh jama wewe

  • @abuubakarisaidi9745

    @abuubakarisaidi9745

    2 жыл бұрын

    Linasomwaje?

  • @gfrhajji5233

    @gfrhajji5233

    Жыл бұрын

    Wallah waisilam tunashida mno. Yaani akisema mweziwe hajui ama amekosea, ulikuwa wapi usiseme wewe kabla yake? Jina liwe sababu ya mzungumzaji kuwa criticized? Mungu atunusuru maana tunapielekea hakutakua na mjuzi bali wajuzi.😥😥

  • @sayyidbnally

    @sayyidbnally

    Жыл бұрын

    Wew nn kwan mbona povuu

  • @feisal6592
    @feisal6592 Жыл бұрын

    Mzinifubakipata ,,dawa utawachas lakininmkevi nikazi kubwa kuwachisha Dawa

  • @saidnassor5655
    @saidnassor5655 Жыл бұрын

    Masufi ni wazushi.

  • @ALIYFAKIABDALLAH-ek4hf
    @ALIYFAKIABDALLAH-ek4hf Жыл бұрын

    Masufi tuzidini kupendana Kama ilivyo kawaida ya masufi achukiae nachukie tuu masufi tupo Dunian kote

  • @adambakari6176
    @adambakari61762 жыл бұрын

    Huseni siraji hauna elimu wewe

  • @tamimumelly3581
    @tamimumelly35812 жыл бұрын

    Kupendana ndio kutemeana mate midomoniiii???? Nipeni jibu

  • @nurdinmfamau3493

    @nurdinmfamau3493

    2 жыл бұрын

    Kasomeshwe Usijisomee. Nahayo Ndio Matatizo Yakujinunulia Vitabu Kujisomea Bila Kusomeshwa. Nasikila Usilolijua Nibidaa.

  • @tamimumelly3581

    @tamimumelly3581

    2 жыл бұрын

    @@nurdinmfamau3493 Wewe wachafujo zisizo umiza

  • @nurdinmfamau3493

    @nurdinmfamau3493

    2 жыл бұрын

    😀😀😀

  • @nurdinmfamau3493

    @nurdinmfamau3493

    2 жыл бұрын

    Unajua Yakuwa Kusoma nikitu Kingine. Nakufahamu Nikitu Kingine. Nahayo Ndio Matatizo Yawatu Wengi Wasasahivi. Kama Watoto Tunachagua Shule Zakuwasomesha Basi Ipohaja Yakuzingatia Na Wlimu Diniyetu Usijisomee Mavitabu Tu. Au Usiende Kusoma Kwamtu Yoyote tu Nilazima Utafute Nautafiti Hapo Unapoenda Kusoma Mahali Sahihi Kusoma Nahuyo Anaekufundisha Wapi Nakwanani. Kwasababu Il'm ina Il'ka tuwe Natusiingizane Peponi Nawala Tusipelekane Motoni. Tuusiane Naturahiane BILHIK'MA WAL'MAWAIDHATUN HASSANA. WALLAH AALAM

  • @husenisiraji9960

    @husenisiraji9960

    2 жыл бұрын

    Hawaaa huwaa hawajielewagii kabisaa et mtu anakubalii kutemewaa mate na shekh wakee khaaaaaaaa duh hawa jamaaa wabadilikee

  • @ahmadifakimjaka1433
    @ahmadifakimjaka1433 Жыл бұрын

    Masufi wametajwa kuwa ni wapumbavu na akina imaamu Shafy,Imaam maliky wewe Mziwanda mtoto mdogo wajifanya mjuzi hahahahaha...! Ukitaka dini ya sawa iliyonyooka usijifanye mtu wa kati na kati ukata kila mmoja akupende utapotea shika njia moja iliyo nyooka basi. Ni mpumbavu yule ambaye anadhani anaweza kuwaridhisha watu kwa hakika hiko ni kilele kisichofikika ewe mziwanda.

  • @abubakarymaulidy5681

    @abubakarymaulidy5681

    Жыл бұрын

    Huna maaan wewe , weee huna msaada kwnye dini ya mungu unakuja kuskiliza wapi amakosea hujaona mazuri humu mjinga weeee

  • @shabanimavilu1512

    @shabanimavilu1512

    Жыл бұрын

    Mwehu kweli ww Imam Shaf r,a ameema nmekaa nao masuf kwao nmesoma mambo makuu matatu. Imam Malk asema mwenye kusoma fiqh asisome tasawf huyo fasq anaesoma tasawf asisome fiqh huyo ni mzandq....Mwenye kukusanya elmu mbili hzo huyo atapata ukamlf wa ibada zake. Imam Ahmad r.a anasema mm sjapatapo kuona watu bora kama maaufi.... Ndugu yangu tafuta mashk wahakika wakusomeahe sio mashk wadunia.... Usiishi kwakukaririashwa...,utakuka kujuta... anaesoma

  • @mkude

    @mkude

    Жыл бұрын

    Wewe faki kuwa na adabu wewe,nyinyi ndo mnataka kufanya watu wa sunna wachukiwe kwasababu ya mijitu kama wewe.

  • @abdulhazizi2362
    @abdulhazizi23622 жыл бұрын

    Sasa amezidiwa na njaa anaamua kutetea masufi ili tonge liende kinwani

  • @abamohamed7092
    @abamohamed70922 жыл бұрын

    Hakika mawahabi hawana haja na kuitafuta elimu ya kweli bali wao hujazwa misimamo yao yakukufurisha waislamu,usichokifahamu nenda kwa wahusika ukasome na ukweli ukikubainikia basi ukiri Hilo,

  • @zuberiazizi7889

    @zuberiazizi7889

    Жыл бұрын

    Maneno matupu tu hayatoshi toa ushahidi wa mwanazuoni yeyote unaoona wewe ni wakiwahabi amewakufurisha waisilamu katika kitabu chochote hata kama unawachukia watu kuwa muadilifu hakika kila unalosema,unaloandika Allah atakuuliza siku ya qiyaama hivyo kusema pasina ubainifu huo si uadilifu

  • @user-op9fx3by1k

    @user-op9fx3by1k

    Жыл бұрын

    Wewe uliosoma elimu ya kisufiy umeelimika nanini,?

  • @ramygichero1016
    @ramygichero10165 ай бұрын

    Huyu ni Matako anatuka Baadhi ya waislamu ubwa mkubwa wewe

  • @bakarmabrouk3647
    @bakarmabrouk36472 жыл бұрын

    Kumbeshekhe nikadiria wewe

  • @allycomm1553
    @allycomm15532 жыл бұрын

    Masufi ote motoni

  • @abubakarmohamed2845

    @abubakarmohamed2845

    2 жыл бұрын

    Kwani hio pepo ni ya babako?

  • @allyally5156

    @allyally5156

    2 жыл бұрын

    Msenge wewe ,, akili huna kukata suruali mnaona mmeingia peponi inshallmungu atakujibu .

  • @hasanikambi8195

    @hasanikambi8195

    2 жыл бұрын

    We ni mpiga ramli?umejueje?

  • @alikhamis2572

    @alikhamis2572

    2 жыл бұрын

    Ndugu yangu...wew ni muislam...tumia pumzki zako vzr...kauli kubwa sana hyo na inadhima kubwa sana. Shauri yako..

  • @Big_father098

    @Big_father098

    2 жыл бұрын

    Acha kukufurishaa waislam wenzioo huna haja ya kubashiria moto.

Келесі