Shadia - A Swahiliwood Bongo Movie 2022
Фильм және анимация
This is a Latest Swahiliwood Bongo Movie. In this Swahili movie a young girl leaves her poor old-time boyfriend to get married to a rich man. She would later come to regret her decision as she discovers that all that glitters isn't gold.
Title: Nirudie Maskini Moyo Wangu
Starring: Mariam Kassim Kijavala,Abdull Kibamba,Hans Popa
MeOhFZwNbd
Пікірлер: 171
Movie nzr sana. Naomba like jaman zifike 30 tu. Nawapenda watanzania wenzangu. Na jiran zangu wa kenya
@kevinotieno014
Жыл бұрын
Tunakupenda pia sisi🇰🇪
@dhbegy6198
Жыл бұрын
tunakupea piasanaa❤
@miburoaaron1804
Жыл бұрын
Na Burundi pia
@miburoaaron1804
Жыл бұрын
Like
@MaryMmm233-yh3hf
11 ай бұрын
Nzuri sana
Hivi vipo kweny maisha unae mpenda hakupendi Kam kweli manen ya mjomba gonga like
mimi ni mwanafunzi wa kiswahili kutoka Malawi.nilikuwa mpya katika lugha ya kitswhili wakati nikatanzama movie hii when it was only 1 day kwenye youtube ilikuwa shida na mimi kuielewa lakini sasa baada ya miezi tisa naweza kuielewa vizuri sana, naipenda. asante♥♥♥♥♥♥
@SamouOman
Ай бұрын
❤❤❤❤
@rachelneema3159
18 күн бұрын
Kwan Iko na translation 😅😅😅
waah ni wakwanz naomb comnt jamani hii movie ni very nice 🥰🥰🥰🥰🥰
@riverwoodbongomovies
Жыл бұрын
Nimefurahi uliipenda
@celinaduka3346
Жыл бұрын
Wallah acha na mm niione
Really great movie. Before you find love, find money first. Thanks for sharing.
Nice movie, muendelezo natamani kuona Abdul kamuoa Sharifa..... Kwahyo Shadia akute rafiki yake ndio mke wa Abdul
Teachable movie waiting for part 2 walirudiana na Abdul au vipi
Penda sana move yako mumy by mkaza ochu like toooo mumy
Pls naomba part 2tafdali nampenda hii movie sana
Masha Allah
Shadia msichana mwenye uragayi mukubwawe!!
LOVE VOICE NICE MOVIE
Nice movie congrats 👏🎉 part 2
Nzuli mashallah ❤️
Masha Allah nice movie
Mapenzi ya kweli yako moyoni na c pesa mfukoni wadada tujielewe jamani
@mapishiyetumazuri2312
Жыл бұрын
Kweli kabisa unaweza ukapata pesa ukakosa furaha ya maisha
@HalimaMohamed-em9zg
11 ай бұрын
Kwer
Hii movie ni ya kwanza kabisaaaaaaa❤❤❤❤
Funzo nzuri sana mpaka ya nivutia❤
Part 2 jamani nzuri hadi raha nataka kuona abdhuli alifanya nn na Shadia alimwambia nn rafiki yake Sharifa much love nkiwa 🇸🇦🇸🇦🇸🇦 Saudi Arabia
@abdulkibamba679
Жыл бұрын
Hahaha Asanteni Kwa saport by Abdul actor from Tanzania
@JoriJori-es2re
11 ай бұрын
Hawa naomba namba yako
Very nice...
Sisi wanawake tuna tamaa ya pesa sana wanaume maskini wana teswa sana kweny mahusiano kisa tu hawana pesa 😢
@aishasocrates5660
Жыл бұрын
Mathna sio mbaya aoe tuu
Shadia ungekubali Abdul kwa sasa unalia pole sana
Chidi hana kosa kumbuka walikua na mausiano kabla ya abdul. Tatizo ni Mahamuzi ya mwanamke. Labda amempenda sababu ya mwonekano wake.Ivyo musilaumu sana eti kisa ni pesa!!
@eashaeasha9776
Жыл бұрын
Na chidi alimuuliza shadia kuhusu huyu Abdul je wameachana akamsibitishia hamtaki ndio maana mwezake akamuoa chidi kosa hana
Jamn nzuri episode two jamn
Mansh Allah inamafuzo mazur
❤❤❤❤love story
Mashaallah
Tuko pamoja nasisi wa kongomani kutoka Bukavu
Movie iko sawa kabisa congratulations 👏👏
Tuko pamoja majirani zetu...Tanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@abdulkibamba679
Жыл бұрын
On love
Hongereni Sana filamu nzuri Sana ina mafunzo
Nzuri
Hamja imalizia vizuri filamu
Nimeipenda
Nzur sana leten muendelezo tuwacfie vzr
Nice move
Waaaah 🤔yani majuto mjukuu hapa,katika mausiano mpk uambiwe uongo ndio utaona ndio ukweli,tamaa mbaya jmn
Mashallah ❤❤❤❤
Movie iko chonjo sana.....🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪tuko ndani ndani ndani
Very nice movie
@isufissa
Жыл бұрын
Daa move mzuli sana tunaomba part 2
Jamani muendelezo wake upo kwel movie nzuri sana hii
Nimeipenda sana
Nzuri sana kazi nzuri be gup
Nimeipienda sana
Subhananllah nimejifunza pole amduli ama kweli tamaa mbaya poleni wote
Mwendelezo 🙏🙏🙏🙏
Mapenzi ya kweli yapo moyoni na sio mdomoni
Oya hii mzuri sana
Abdul banaa!!!mambo gani haya!(Wajizalilisha saaana bwana!!
Jameni ni nzuri sana 🎉
Big up sana
Shadia acha tamaaa
Pore sana shadia.tama.mbaya
Hii movie iko smart.
Pole xana abdul
Kazi nzur vipenzi
Hapo iko sawa..
Good muve
movie nzuri
Xafi san mungu awabarik san movie nzuri 💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚
Shukurani kwafilim nzuri tu kiukweli nimejifunza mengi
Huyu jamaa alipenda sana shadia lakini hakuna kitu mbaya kama kulia mbele y mwanamke. (1) Huyu akienda kubali matokeo (2) Rudi palepale mahali mlipatania bdo xko
Estou ansioso em ver a segunda parte,weka part 2 tunataka sana kuona,cabo delgado Moçambique
😥 part 2 please 🙏
Can we have English subtitles pleaaaaaaaseeeeeeee
Mashaa Allah 😂 honger
I need this kind of love😅😅
MUENDELEZO ❤️❤️💯
@sukhairatyally6077
Жыл бұрын
Nzuli mashallah ❤️
@janetsidi3445
Жыл бұрын
Muendeleze bas
nice
@riverwoodbongomovies
Жыл бұрын
Thanks
Tamaa zina ponza Jamani 😢
Nashukur pia kuna kitu nimejifunza mko vizur
❤❤❤❤❤
❤️❤️❤️❤️❤️
Ndio maana sipendi kuolewa na mwanaume mwenye pesa maana mmmh 🙄 sio poa
Nice movie but part 2
Naomba pat 2
Habari naitwa philimoni naomba nafasi ya kuigiza
@abdulkibamba679
11 ай бұрын
Upo wapi
tutafute ela tusigombonie mapenz😅😅😅😅
Mam wa Ashmat Umetisha sanaaa...Mungu akufanyie wepes, Mpo juu san
@dismasstanislaus6523
Жыл бұрын
Magret shaban usimuamini mtukwamaneno barimshuudie kwamatendoyake naombaprt2
Movie nzuri ,mafunzo tele... ukikubali tamaa ikutawale umwache mwanamme mzuri kisa Hana hela uolewe na wenye hela basi michepuko watakuhusu shoga, upo?!
Nimemaliza movie kwa kusoma coment
Nzury sana Asante sana
Asanti kwa mafunzo hayo
Nice ad teachable movie part 2bona cioni
Ok
kosa pesa ukunye sumu... Eee mapenzi ya sasa
❤❤❤❤
Atr san wanawakee
Mmmmmh
Wap maryam msambaa nakukumbuk xan pind tupo pngani mpnz mungu akupe mafanikio kila hatua unayopga
Mjomba upo sahihi sanq
Malipo ni hapa hapa duniani
Mapenz c pesa anzeni pamoja life bnaaa,mtaishimiana
Please nataka kiendelezo
Nifundisho upendo nikitebdawili
5 to
ujuzi (1) ni taarifa sahihi au ukweli uliokusanywa(9) ni kuleta kuwepo kiakili kupitia Uislamu na kimwili kupitia kwa mwanamke mweusi kutoka kwenye ujuzi (1) hadi kuzaliwa (9) ni kukamilisha misimbo (0) au fundisha kwa kuongeza maarifa (1) kwa msimbo(0) na kurudi kwenye msingi wako ambao ni maarifa (1) kwa sababu 1+9=10 na 1+0=1...
@miburoismail2415
Жыл бұрын
Mbona haish part 2 mbona siiwoni?
tamaa ya pesa oinakuponza
💞💞💞💞💞