#24hrslatestswahilibongomovies #africanmovies #latestbongomovies Aforevo Title:Kisa Cha Mpemba
Жүктеу.....
Пікірлер: 75
@1czay8 ай бұрын
Ila mke mkubwa ana gubu mno😂😂😂 to much love from kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@nurumwinyi7969 ай бұрын
❤masha llah mke mdogo mzri na tena anajistiri vzri
@user-qn3st2wj1l9 ай бұрын
Hogereni mlipangilia vizuri sana anafaa sana kwa kuelimisha jamii
@roudhamahmoud7638 ай бұрын
Mashallah mola awabariki nimependa sana igizo
@user-hf4ei8sg4w8 ай бұрын
Jaman mm nilikuwaga siangaliag bngo move lkn hapa mmeniweza ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@khamisjuma37609 ай бұрын
Kwa kweli iko vizuri ubaya upo kufananiza kisa cha mpemba mpemba gani huyo anaye pelekeshwa
@biashaqtr-xd2mf9 ай бұрын
Inshallah tunaomba part 2film nzuri sana.
@doreenmsafari29458 ай бұрын
Movie nimeipenda sana mke mkubwa walai kaniacha hoi❤❤❤❤❤❤😂😂😂😂
@zulachama10679 ай бұрын
Michezo ya kitanga hiyo,mnaeza iko vizuri ❤.
@priscilladama86867 ай бұрын
Bb mkubwa 😂😂😂😂😂maneno ka chiriku😂😂😂😂❤❤❤❤
@rahmasuleiman93349 ай бұрын
Hapo ndo nnapompendea Siyawezi ❤❤
@asyasuleiman20977 ай бұрын
Mutabaki na mateso waswahili kwa kukataa sheria za Mungu,wake ni wanne,waacheni waume waoe wastiri wenzenu
@antoniamushi85329 ай бұрын
❤🎉muwe mnatoa taarifa mnapo owa
@EsemaNikye-xp3kj9 ай бұрын
Aposawa mwana mk ana dekezwa
@geturude-ce7tn9 ай бұрын
Huyu ndiyo siyawesi am❤❤❤
@batalingayachristopher-ry5lv9 ай бұрын
Sauti ipo😂wewe ndio sim lako bovu
@Tumu-zr2ez9 ай бұрын
Uko sawa
@user-qe3rx2ok7z4 ай бұрын
Wifi nae mnafki
@aishahaisha39098 ай бұрын
Nzur sana
@saidahmed96889 ай бұрын
good movie
@hannan27938 ай бұрын
Nimerudi....wekeni mike vya nguo part zengine hatuskiiii plsss
@geturude-ce7tn9 ай бұрын
😂😂😂😂😂ni siyawesi huwa nampenda sn
@user-sb3bp9yz5v8 ай бұрын
Mke mkubwa safi san
@khajumkhamis7910Ай бұрын
Mke wa pili wa babu Ali ni mke na anastahiki kuwa mke coz Kila sifa na sababu anayo ya kuwa mke
@user-it8jb2np6x6 ай бұрын
Ukweli wanawake asili yao niwivu Na wivu ndio upendo.bila wivu no lav. Ila mwanamke mwenye kelele anakinaisha san.maan mapnz niutuliv wa moyo na akili kutulia. Ila mke mdogo anavutia san . Kama mim ningehama hata hiyo nyumba namuachia 2 kwani nin ban
@badalichauchau69839 ай бұрын
Mpemba noma
@user-nb5iv5xi9z7 ай бұрын
Mh hatar sana
@bushzerahamusic47625 ай бұрын
Nazkubali kazi zenu
@swahilihub7630
4 ай бұрын
"Ni kwa sababu ya kuungwa mkono na mashabiki kama nyinyi kwamba ninaweza kufanya kitu ambacho ninakipenda sana. asante adui ukiangalia kzread.info/dash/bejne/oJuhyNKkpM7agMo.html
@SHARIFASEKA
2 ай бұрын
@@swahilihub7630good job
@user-ic8mc3bd8l7 ай бұрын
Good job ❤❤❤❤❤❤😂
@user-sd5ph2hz2u6 ай бұрын
❤
@swahilihub7630
4 ай бұрын
"Ni kwa sababu ya kuungwa mkono na mashabiki kama nyinyi kwamba ninaweza kufanya kitu ambacho ninakipenda sana. asante adui ukiangalia kzread.info/dash/bejne/oJuhyNKkpM7agMo.html
@user-qe3rx2ok7z4 ай бұрын
Safi bi mkubwa
@Ronaldo789437 ай бұрын
Mwanaume anamakosa saana
@salahaljahury29077 ай бұрын
Fala huyu
@fatmamuhammed97138 ай бұрын
Usisingizie kua huna faida ya kuolewa na mtu mweupe si umetafuta mbegu uzae mtoto mzuri
@hannan27938 ай бұрын
C mke mkubwa Ana qubu ni mume ndio Ana makosa angemwambia nina mke wapili ajue ataishije....kosa mpemba.makaka mkiowa mseme ni hatari mwaeza kufanya mtu auwe😮
@JumaChapalama-pi1nj4 ай бұрын
wake wakubwa tatizo mazowea
@dorcasmueni22908 ай бұрын
Nzuri ila mwanaume ako na makosa, hakuna mwanamke ambaye anaweza kuchekea hili lililofanyika hapa
@user-sb3bp9yz5v8 ай бұрын
Ndo mkome wake wadogo mjifundishe kabla hamjaingia kwenye ndoa muwachunguze wanaume kwanza
@mamahidaya95668 ай бұрын
Ila mashemeji wanafiki jamanii yan anajua kila kitu lakn n kama hajui lolote😂😂😂
@user-qr7et3vl5z8 ай бұрын
Mpembaa jamani ndio Tania zao
@HusnaMgunda6 ай бұрын
Good job
@swahilihub7630
4 ай бұрын
"Ni kwa sababu ya kuungwa mkono na mashabiki kama nyinyi kwamba ninaweza kufanya kitu ambacho ninakipenda sana. asante adui ukiangalia kzread.info/dash/bejne/oJuhyNKkpM7agMo.html
@rahmasuleiman93349 ай бұрын
Tuwekane sawa sio sheria wane but ni ruksa 4 ni ruksa muislam kuoa 4 na atimize masharti km aya inavoeleza
@roudhamahmoud7638 ай бұрын
Wifi unaliya kama kaka pumbavu
@roudhamahmoud7638 ай бұрын
Hapo mwanamke hasidi umekoseya dada
@user-qe3rx2ok7z
4 ай бұрын
Alekosea ni mume
@user-uy7gk5lj3t9 ай бұрын
Huyo jamaa bazazikwelikweliwrhuuuuu!!!!!!
@rehemapeter94307 ай бұрын
Ukwer ni mzur kuliko kupendelea kuficha mwambie tu ukwer
@salahaljahury29077 ай бұрын
Huyu jamaa ni mpuuzi anaongeza mke halafu hajiamini hawezi ku handle hawa madem anaendeshwa tu mpuuzi anatutia aibu wanaume wa shoka
@bonysulemani8 ай бұрын
Move za kibongo bwana kilasiku nikukoseya tuu tutabadilika lini?
@bonysulemani8 ай бұрын
Sauti ni tatizo tubadilike zingatia location
@SalumAli-dg6cs9 ай бұрын
Sauti aiko saw
@roudhamahmoud7638 ай бұрын
Mke mdogo mpole ila mume unamakosa piya
@user-do6wh4ok9e7 ай бұрын
Kwakweli Wana ume muwe wakweli
@user-je1zi7zb3h8 ай бұрын
Maskini babu ally pole mwaya ila wanaume mkioa semeni ukweli kwa wenzenu 🤔
@roudhamahmoud7638 ай бұрын
Wifi penda cheupe kama kaka fisadi weee
@RoziDocta-cq6bb8 ай бұрын
Watu weupe mna nuksi kwanza kwanini
@user-wp9kc6xs3j
7 ай бұрын
😂 vizuri .
@AndrewMwenda-ib1mx9 ай бұрын
Njia ya mwongo ni fupi
@MichaelLawei-nc6th8 ай бұрын
Mke mdogo ni mzul achanana nahuyo mkubwa anakawenge
@user-ly6qc3nh7c
8 ай бұрын
Mkubwa ndo mzuri mtu chake
@Ronaldo789437 ай бұрын
❤😢😮😅
@nurumwinyi7969 ай бұрын
Hii familia ya mke mdogo iko na makosa japo mume hakuwaambia kama yupo na mke tayari,anefaa kukasirika ni mke mkubwa,uke wenza kazi😅😅
@Fear_Allah394
8 ай бұрын
Asikasirike vp si w’ke wote wanaopenda kuolewa mke wa 2,3,4. Au unadhani ww kila mtu anapenda mashaka??? W’ke wenyewe wa sasa wengi washirikina na w’me ndio kabisa hawajitambui.
@user-sb3bp9yz5v
8 ай бұрын
Hilo nalo neno
@zainabdadu26678 ай бұрын
😅😅😅😅😅😅❤❤❤❤❤
@user-je1zi7zb3h8 ай бұрын
Mke mkubwa mshari eti fizi zote sinatoka jasho🤔
@fgg87947 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂 balaaa
@Fear_Allah3948 ай бұрын
M’ke mtu mzima yatima???
@nurumwinyi7969 ай бұрын
Ssa ulikua wataka ufiche mpaka lini,sheria ni wake wanne
@user-hm9nj9lx2t4 ай бұрын
😂😂❤😢😮😮😮😂😂😂😂😂
@fauziakarama85818 ай бұрын
Mke mkubwa ana maneno manyaufu sana kwa kutumia neno baradhuli kila wakati kumwambia mumewe na wakati anamtaka na anasema haachwi mtu sio vizuri kutumia neno (Baradhuli)
Пікірлер: 75
Ila mke mkubwa ana gubu mno😂😂😂 to much love from kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
❤masha llah mke mdogo mzri na tena anajistiri vzri
Hogereni mlipangilia vizuri sana anafaa sana kwa kuelimisha jamii
Mashallah mola awabariki nimependa sana igizo
Jaman mm nilikuwaga siangaliag bngo move lkn hapa mmeniweza ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Kwa kweli iko vizuri ubaya upo kufananiza kisa cha mpemba mpemba gani huyo anaye pelekeshwa
Inshallah tunaomba part 2film nzuri sana.
Movie nimeipenda sana mke mkubwa walai kaniacha hoi❤❤❤❤❤❤😂😂😂😂
Michezo ya kitanga hiyo,mnaeza iko vizuri ❤.
Bb mkubwa 😂😂😂😂😂maneno ka chiriku😂😂😂😂❤❤❤❤
Hapo ndo nnapompendea Siyawezi ❤❤
Mutabaki na mateso waswahili kwa kukataa sheria za Mungu,wake ni wanne,waacheni waume waoe wastiri wenzenu
❤🎉muwe mnatoa taarifa mnapo owa
Aposawa mwana mk ana dekezwa
Huyu ndiyo siyawesi am❤❤❤
Sauti ipo😂wewe ndio sim lako bovu
Uko sawa
Wifi nae mnafki
Nzur sana
good movie
Nimerudi....wekeni mike vya nguo part zengine hatuskiiii plsss
😂😂😂😂😂ni siyawesi huwa nampenda sn
Mke mkubwa safi san
Mke wa pili wa babu Ali ni mke na anastahiki kuwa mke coz Kila sifa na sababu anayo ya kuwa mke
Ukweli wanawake asili yao niwivu Na wivu ndio upendo.bila wivu no lav. Ila mwanamke mwenye kelele anakinaisha san.maan mapnz niutuliv wa moyo na akili kutulia. Ila mke mdogo anavutia san . Kama mim ningehama hata hiyo nyumba namuachia 2 kwani nin ban
Mpemba noma
Mh hatar sana
Nazkubali kazi zenu
@swahilihub7630
4 ай бұрын
"Ni kwa sababu ya kuungwa mkono na mashabiki kama nyinyi kwamba ninaweza kufanya kitu ambacho ninakipenda sana. asante adui ukiangalia kzread.info/dash/bejne/oJuhyNKkpM7agMo.html
@SHARIFASEKA
2 ай бұрын
@@swahilihub7630good job
Good job ❤❤❤❤❤❤😂
❤
@swahilihub7630
4 ай бұрын
"Ni kwa sababu ya kuungwa mkono na mashabiki kama nyinyi kwamba ninaweza kufanya kitu ambacho ninakipenda sana. asante adui ukiangalia kzread.info/dash/bejne/oJuhyNKkpM7agMo.html
Safi bi mkubwa
Mwanaume anamakosa saana
Fala huyu
Usisingizie kua huna faida ya kuolewa na mtu mweupe si umetafuta mbegu uzae mtoto mzuri
C mke mkubwa Ana qubu ni mume ndio Ana makosa angemwambia nina mke wapili ajue ataishije....kosa mpemba.makaka mkiowa mseme ni hatari mwaeza kufanya mtu auwe😮
wake wakubwa tatizo mazowea
Nzuri ila mwanaume ako na makosa, hakuna mwanamke ambaye anaweza kuchekea hili lililofanyika hapa
Ndo mkome wake wadogo mjifundishe kabla hamjaingia kwenye ndoa muwachunguze wanaume kwanza
Ila mashemeji wanafiki jamanii yan anajua kila kitu lakn n kama hajui lolote😂😂😂
Mpembaa jamani ndio Tania zao
Good job
@swahilihub7630
4 ай бұрын
"Ni kwa sababu ya kuungwa mkono na mashabiki kama nyinyi kwamba ninaweza kufanya kitu ambacho ninakipenda sana. asante adui ukiangalia kzread.info/dash/bejne/oJuhyNKkpM7agMo.html
Tuwekane sawa sio sheria wane but ni ruksa 4 ni ruksa muislam kuoa 4 na atimize masharti km aya inavoeleza
Wifi unaliya kama kaka pumbavu
Hapo mwanamke hasidi umekoseya dada
@user-qe3rx2ok7z
4 ай бұрын
Alekosea ni mume
Huyo jamaa bazazikwelikweliwrhuuuuu!!!!!!
Ukwer ni mzur kuliko kupendelea kuficha mwambie tu ukwer
Huyu jamaa ni mpuuzi anaongeza mke halafu hajiamini hawezi ku handle hawa madem anaendeshwa tu mpuuzi anatutia aibu wanaume wa shoka
Move za kibongo bwana kilasiku nikukoseya tuu tutabadilika lini?
Sauti ni tatizo tubadilike zingatia location
Sauti aiko saw
Mke mdogo mpole ila mume unamakosa piya
Kwakweli Wana ume muwe wakweli
Maskini babu ally pole mwaya ila wanaume mkioa semeni ukweli kwa wenzenu 🤔
Wifi penda cheupe kama kaka fisadi weee
Watu weupe mna nuksi kwanza kwanini
@user-wp9kc6xs3j
7 ай бұрын
😂 vizuri .
Njia ya mwongo ni fupi
Mke mdogo ni mzul achanana nahuyo mkubwa anakawenge
@user-ly6qc3nh7c
8 ай бұрын
Mkubwa ndo mzuri mtu chake
❤😢😮😅
Hii familia ya mke mdogo iko na makosa japo mume hakuwaambia kama yupo na mke tayari,anefaa kukasirika ni mke mkubwa,uke wenza kazi😅😅
@Fear_Allah394
8 ай бұрын
Asikasirike vp si w’ke wote wanaopenda kuolewa mke wa 2,3,4. Au unadhani ww kila mtu anapenda mashaka??? W’ke wenyewe wa sasa wengi washirikina na w’me ndio kabisa hawajitambui.
@user-sb3bp9yz5v
8 ай бұрын
Hilo nalo neno
😅😅😅😅😅😅❤❤❤❤❤
Mke mkubwa mshari eti fizi zote sinatoka jasho🤔
😂😂😂😂😂😂😂 balaaa
M’ke mtu mzima yatima???
Ssa ulikua wataka ufiche mpaka lini,sheria ni wake wanne
😂😂❤😢😮😮😮😂😂😂😂😂
Mke mkubwa ana maneno manyaufu sana kwa kutumia neno baradhuli kila wakati kumwambia mumewe na wakati anamtaka na anasema haachwi mtu sio vizuri kutumia neno (Baradhuli)