MAPENZI YANAUMA | Full Movie
Фильм және анимация
MAPENZI YANAUMA | Full Movie
Ni filamu inayomuelezea kijana Adam ambaye anayatoa maisha yake kwaajili ya kupambania penzi lake kwa Selina mwanamke aliyempenda sana na kubeba mimba ya mwanaume mwingine.
Fuatilia kisa hiki kizuri na usiache ku subscribe, ni filamu yenye mafunzo mazuri sana.
#film #bongomovie #2024movies #swahilimovies #hubajeusi1
Пікірлер: 414
Tafadhalini, ukimaliza tu kutazama filamu, hebu fanya jambo la ungwana kwa kubonyeza alama ya LIKE...ili tukiwa na VIEWS 3000 kwa mfano, nazo LIKES ziwe 3000, yaani.ziambatane
@AdamLeoStudios
21 күн бұрын
Asante sana
@neemamabena-xx5er
21 күн бұрын
Sawa
@user-mc5zb3ox9c
20 күн бұрын
Adamu
@AbelFrancis-ww7cb
20 күн бұрын
Good
@swabrakhamis
19 күн бұрын
Waminifu ni kitu kizuri jamani.
Kazi nzuri sanaa❤❤..Napenda combination ya Adam na nyuki
@AdamLeoStudios
21 күн бұрын
Asante
Unaona hivyo mnavyokimbilia kuview vivyo hivyo muache like kama mnafurahia kupendezwa na filamu achieni Adam like basi nanyie❤
@AdamLeoStudios
21 күн бұрын
Shukrani sana
Sinema nzuri, ya huzuni na pia mafunzo...ila tu sisi wanaume tusionyeshe udhaifu wetu wa kupenda kwa kujitoa uhai...kila siku panapo pambauka, maisha huanza mwanzo..na mapenzi pia yaeza kuanza upya
@AdamLeoStudios
21 күн бұрын
Kabisa kabisaaa
Nilikua Niko BZ Sana na majukum mnisamehe washiriki wote tunaofuatiria filam ya Adam. Na wezie maua yenu🎉🎉🎉🎉❤❤❤
@AdamLeoStudios
18 күн бұрын
Shukrani
Adam leo unafanya kazi nzur sana hongera mungu azidi kuinua kipaji chako inshallaaah
@AdamLeoStudios
19 күн бұрын
Amen
Adam napenda sana movie zako sana
@AdamLeoStudios
21 күн бұрын
Shukrani
Tutanunua papas na maziwa tutaweka ndani😂😂😂nimecheka sana😂
@AdamLeoStudios
20 күн бұрын
Jamani kwani nimekosea!
@user-ko7pw4ct7e
20 күн бұрын
Mapenzi bana ni hatari sana😩😩🤣🤣
@MsodokiAli
15 күн бұрын
From zanzbar
Hongera sana kaka Adam sasa hivi unapiga Kazi bandika bandua
@AdamLeoStudios
21 күн бұрын
Shukrani endelea kuwa hapa kwa pamoja tujenge taifa
Tunachofeli wabongo ndo icho inamana mpaka mimba inakuw kubwa hajafumua nywele😂😂😂
@AdamLeoStudios
10 күн бұрын
Acha kabisa! Bajeti hatuna ndugu zako! 0766135528 Mpesa ukituchangia kidogo utakuwa umetusogeza.
Hata kama lakn sio vizuri kuambia mtu ivo
@AdamLeoStudios
10 күн бұрын
Shukrani
Congratulation my young brother Adam!!
Adam kaz nzur sana
@AdamLeoStudios
13 күн бұрын
Asante sana
Pongezi sana madam sofi kw ushauli nzuli🎉🎉🎉🎉🎉
@AdamLeoStudios
17 күн бұрын
Shukrani
Daah, noma hii kabisa. Ni nzuri sana, big up kwenu nyiote.
@AdamLeoStudios
19 күн бұрын
Shukrani
@mutambabil
17 күн бұрын
@@AdamLeoStudios haya
Leo nimefika on time team Adam hoyee 😂😂😂😂
@AdamLeoStudios
21 күн бұрын
Thanks
@nadyasalim7956
21 күн бұрын
hoyeee tupo team Adam
Nzuri na Ina mafunzo sana hongera sana Adam kazi nzuri.
@AdamLeoStudios
20 күн бұрын
Shukrani
Umetisha sana Adam hadi pampas ulitaka uanze kununua😅😂😂😂😅
@AdamLeoStudios
10 күн бұрын
Acha kabisa na bado nikaachwa
Adam napenda filams zako. Na unanekana kijana mstaarabu sana.
@AdamLeoStudios
20 күн бұрын
Shukrani sana
Mwanaume unapenda unaingia hadi miguu 😮
@AdamLeoStudios
16 күн бұрын
Yaani upendo ulizidi
Kazi nzuri ❤❤❤
@AdamLeoStudios
19 күн бұрын
Asante
Filam iko vizur Sana nawapenda wote❤❤❤❤
@AdamLeoStudios
18 күн бұрын
Shukrani
Move kali sana kaka Adam ila ndevu kaziweke saw kama unavyo wekaga unakua poa sana ❤
@AdamLeoStudios
20 күн бұрын
Movie ilitaka hvyo
Jamani Adam napenda sana Movie zako wlh Yani We mwamba kbx Congratulation for u my brother ❤❤❤
@AdamLeoStudios
18 күн бұрын
Thanks
Wa 8 kazi nzuri sana
@AdamLeoStudios
21 күн бұрын
Au sio
Hapo kwenyekuanza kununua pampas imebidi nicheke😂but hongera sana Adam kaz nzur🎉
@AdamLeoStudios
7 күн бұрын
Asante sana
Kabisaa adam njoo kwangu mimi ni slay pia
Wow❤kaka nyuki .naona hivi soon ukifikia adam kwa upande waushauri 😋😋😋mbele yangu naona niko na makaka wawili shupavu💪 wa kuzidi kunielemisha na kunifunza njinzi nitakavyo ishi na wenzangu hapa duniani.ndomana muliitwa kaka nyuki mwenzio kaka adamu.pokeeni maua yenu kwa kazi nzuri mnayo ifanya❤❤❤much love from kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@AdamLeoStudios
21 күн бұрын
🙏🙏
Hakika ni nzuri sana na inamafunzo mazur ,hongera sn Adam kwa katuelimisha
@AdamLeoStudios
20 күн бұрын
Amen
Dah kuna mchongo nausikilizia mwamba pole bhana ndio mapenzi ayo ... Congraturation adam leo
@AdamLeoStudios
7 күн бұрын
Thanks
Nimejifunza..ukipendwa pendeka😢😢
@AdamLeoStudios
21 күн бұрын
Umeona eh
Nakushauri Adam wajana na huyu Selina juu amekuzarau vibaya
@AdamLeoStudios
9 күн бұрын
Kabisa
One love ❤
@AdamLeoStudios
15 күн бұрын
Thanks
Nakupenda bure🇲🇿🇲🇿
@AdamLeoStudios
21 күн бұрын
Thanks
Kwakweli inauna sana Adam pole sana kakaangu 😢😢😢😢
@AdamLeoStudios
11 күн бұрын
Shukrani
big up brother Adam🎉🎉🎉🎉❤
@AdamLeoStudios
21 күн бұрын
Thanks
Movie tamu 🎉🎉🎉
@AdamLeoStudios
11 күн бұрын
Thanks
Karibu kulenga story nyengne ukitowa mapenz ila kaz nzuri brooo
Adam unafanya Kazi nzuri san ❤❤ from Burundi 🇧🇮
@AdamLeoStudios
21 күн бұрын
Thanks
Great lesson to intended people (youths) from Zagreb
Nampendaga uyu Sophia anajua sana afu mzuri na rangi yake so mwaaa 😍😍❤️❤️❤
@AdamLeoStudios
19 күн бұрын
Shukrani
Move kali sana
@AdamLeoStudios
20 күн бұрын
Asante
Nyuki na adamu nakubari kazi nyuri sana
@AdamLeoStudios
19 күн бұрын
Shukrani
Wow nice 😊😊
@AdamLeoStudios
21 күн бұрын
Thanks
Upo juu Adam hongera hawakuwezi kila la kheri katika kazi zako❤
@AdamLeoStudios
21 күн бұрын
Asante
Adam naww hizo ndevu hazikupendezi😢
@AdamLeoStudios
21 күн бұрын
Fanya mpango basi ka hela kidogo nikanyoeee
@abuuashyam8417
21 күн бұрын
acha husda
Nampenda huyo dada
@AdamLeoStudios
21 күн бұрын
Anajua sana kuigiza kwa kweli🙏🙏
big up adam muvie zako ni kali sana piga kzi kaka
@AdamLeoStudios
19 күн бұрын
Shukrani
Alaaaaa leo nimemuona Sofi uliteact nae Moyo wow ni muda sijamuona kwenye movie nyengine ❤
@AdamLeoStudios
20 күн бұрын
Anakusalimia
@user-pl4ns8sb4k
20 күн бұрын
@@AdamLeoStudios nimezipokea nampenda huyo mdada from Kenya
Pole sana adam baba selina hakufanya vizur lkn pole salimia wote. Kwa bwana yesu
@AdamLeoStudios
21 күн бұрын
Amen😂😂
Comment na like before nione ❤❤❤
@AdamLeoStudios
21 күн бұрын
Asante baba
Adamu please ungeweka hii sound truck nmeielewa sanaaaa
WA 9 kutoka DRC 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@AdamLeoStudios
21 күн бұрын
Shukrani
Nampenda huyu Selina na yule mwenzake Salma ni warembo Ma Sha Allah. Wanajua kuact
@AdamLeoStudios
19 күн бұрын
🙏
kaz nzuri sana🎉❤
@AdamLeoStudios
21 күн бұрын
Shukrani
@AyubIyow
12 күн бұрын
Kwli tujifuze
@AdamLeoStudios
12 күн бұрын
@AyubIyow ni kweli
Kabisa kazi nzuru kwa adam
@AdamLeoStudios
11 күн бұрын
Shukrani
@FloribertMwessa
7 күн бұрын
Ndio mkubwa
@FloribertMwessa
7 күн бұрын
Sio mambo izi Siku mbili mbona
Mmi ndomana nimeamuwa kuacha mapenzi nikachaguwa kutafuta pesa kisa sitaki stress za mapenzi
@AdamLeoStudios
21 күн бұрын
Acha kabisa😢😢
@Nailaty564
20 күн бұрын
Pesa sio kila kitu kuna muda lazima mwili utahitaji haki yake
@marynaomi
12 күн бұрын
Nkweli
@user-pw2sw1sk1b
3 күн бұрын
😅😅😅😅umeona eee
@user-pw2sw1sk1b
3 күн бұрын
@@Nailaty564utapata tu wakukunyoosha viungo
Wow! Nimeshafika jamani
@AdamLeoStudios
21 күн бұрын
Shukrani
Pole sana yalikukuta na hongera kwa mafunzo❤❤❤❤❤❤❤
@AdamLeoStudios
21 күн бұрын
Shukrani
Kazi nzuri sana Adam 🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤
@AdamLeoStudios
18 күн бұрын
Shukrani
Very nice u should respect true love❤
@AdamLeoStudios
21 күн бұрын
True😢
Adam🎉🎉🎉🎉🎉nyuki🎉🎉🎉🎉❤ good job my brothers and sisters ❤❤❤❤
@AdamLeoStudios
21 күн бұрын
Thanks
Congra movie kali Adamsleo..🎉🎉
@AdamLeoStudios
20 күн бұрын
Thanks
Jaman mnaferi wapi kulike ki chapu Kwa haraka wakuuh❤
@AdamLeoStudios
21 күн бұрын
Shukrani kwa kuona hilo🙏🙏
@user-bt6el2co9h
21 күн бұрын
@@AdamLeoStudios kaka MUNGU ni mwema pole pole ndo mwendo Dua tyu kakangu
Wapili jamani nimefurahi
@AdamLeoStudios
21 күн бұрын
Asante
From kenya
@AdamLeoStudios
21 күн бұрын
Thansk
Kenya Watching, twapenda
@AdamLeoStudios
20 күн бұрын
Shukrani
Selina mwali wangu mwanamke nangai abebi mimba y Mume wa mtu..bora ungebaki na adamu kwanza yupo na sauti ya mahaba mashallah...pesa tu ndo hana
@neemamabena-xx5er
21 күн бұрын
Kweli
@user-ql2lz2hh8e
21 күн бұрын
Wooooi adam😢😢😢😢 jipe moyo bro yote yawezekana❤❤❤bilahuyo selina
@AdamLeoStudios
21 күн бұрын
Pesa nitapata tu😂😂
Nimependa sana kazinzul
@AdamLeoStudios
21 күн бұрын
Asante
Mambo ni moto 🎉🎉🎉 mm kaz yang kuwapelekea stust2😂😂
@AdamLeoStudios
21 күн бұрын
Shukrani
Wow so nice 😊
@AdamLeoStudios
21 күн бұрын
Thank you! Cheers!
Unajua kk
@AdamLeoStudios
21 күн бұрын
Asante
Movie nzur na inamafunzo mazur❤❤❤❤
@AdamLeoStudios
20 күн бұрын
Asante
Love nyingi toka kwa @Juma Saada
@AdamLeoStudios
21 күн бұрын
I see u bro🫡
Unafanya vizuri kukata iyo mimba🎉🎉
@AdamLeoStudios
19 күн бұрын
Eti eh
Kazi nzuri ndugu yangu❤❤
@AdamLeoStudios
21 күн бұрын
Asante
Aaah Adam,una lia bro
@AdamLeoStudios
11 күн бұрын
Nimeumia😭
Wa mwisho ila kali sana ❤❤🎉🎉
@AdamLeoStudios
21 күн бұрын
Thanks
Jaman adam leo ulisema leo kuna movie unatoa sijaiona mpaka sasa inatoka saa ngap
@AdamLeoStudios
18 күн бұрын
Umeme kesho saa 4 tunaiweka
Kaz nzur maashallah ❤️🥰
@AdamLeoStudios
18 күн бұрын
Shukrani
❤❤Apo sawa Adam napenda kazi zako ubarikiwe bro
@AdamLeoStudios
20 күн бұрын
Shukrani endelea kuenjoy
Ndaaani kaa kawa❤❤
@AdamLeoStudios
21 күн бұрын
Ume like?
@margaretandei6186
21 күн бұрын
Nakosaje? Nakwan ushafufuka? 😅
@AdamLeoStudios
21 күн бұрын
Si ndiyo mwenyewe najishangaa nililala tu pale
@margaretandei6186
21 күн бұрын
@@AdamLeoStudios 😂😂😂♥️
Adam usilie mwaya njoo kwangu😂😂 utn tu but mov nzur sanaa❤❤
@AdamLeoStudios
20 күн бұрын
Asante
Adam pongezi kwako
@AdamLeoStudios
12 күн бұрын
Shukrani
Good job ❤❤
@AdamLeoStudios
21 күн бұрын
Thank you so much
dagaa umeeka chumvi nyingi kisa umeahidiwa nyama sasa utakula dagaa ama?
@AdamLeoStudios
21 күн бұрын
Kiukweli mimi mwenyewe sielewi😂
Tamaa mbaya tujifunze kitu hapa Selina kimewaka 😢
@AdamLeoStudios
13 күн бұрын
Kabisa
Napenda sana kuanglia move za adam leo lkn sasa apo jamn miez kadhaaa lkn nywele hazjawai badilka kichwan kweli!!!😢😢
@AdamLeoStudios
17 күн бұрын
Sawa
Sitajali ni wakike sitajali ni wakiume nitampa jina la mama angu 😂😂😂 Ila Adam 🙌🏾
@AdamLeoStudios
21 күн бұрын
Naam😂😂
@mariaphilipo
6 күн бұрын
😂😂😂
Hongera Adam na timu yako😊
@AdamLeoStudios
17 күн бұрын
Asante
Hahahaahh hapo ndio wanawake tunajichanganya unapishana na mtu anayekupenda unahangaik na anayekulipia kodi eti na chakula hata huyo uliyemkataa na hana kitu ndiye kusudi lako ulilopangiw na Mungu huyo anayekulipia kodi tu aliyempa nae ni Mungu maish na mafanikio ya mtu ameyaficha Mugnu mwenyew hata unayeona hana leo kesho atapew tu naye na Mung
@AdamLeoStudios
10 күн бұрын
Kabisa umeona eh
@SamweliJacob-bm2ij
2 күн бұрын
Anayelp kod ndo jembe aeshimiwe
Nimeipenda kwa kweli ❤
@AdamLeoStudios
20 күн бұрын
Shukrani
Wata3😊
@AdamLeoStudios
21 күн бұрын
Shukrani
Anjelo anajua kuvaa uhusika, toka enzi za Teso la Wifi naelewa sana huyu jamaa
@AdamLeoStudios
20 күн бұрын
Shukrani sana
@bongocinema3312
20 күн бұрын
Assnte sana
Rafiki nimempenda ni wachache wanaokushauli ushauli mnzuri
@AdamLeoStudios
20 күн бұрын
Asante
nimetamani kulia wallah,inaumizaa sanaa😢😢😢
@AdamLeoStudios
21 күн бұрын
Polee
Good job bro, am frm kenya and i love watching your contents they have great inspiration to the society keep it up..
@AdamLeoStudios
20 күн бұрын
I appreciate that!
Unajua san🎉
@AdamLeoStudios
20 күн бұрын
Shukrani
Nampenda huyu bint❤️
@AdamLeoStudios
20 күн бұрын
❤️❤️
Adam ataeka maziwa ndani
@AdamLeoStudios
10 күн бұрын
Hahah ndiyo jamanii😂