Try the free video editor CapCut to create videos! www.capcut.com/?...
Жүктеу.....
Пікірлер: 8
@mercymcute26 күн бұрын
Mim hata kwa dawa😂😂😂
@christineombalombalo236527 күн бұрын
Mii hata flower siwezi tumia mtu Ako idle Kenya ati akitaka pesa anakula online na saa hizo mm sijakaa chini then nitumie mtu wueh 🙃🙃
@eunice317827 күн бұрын
Mimi ati nisugue hamam apa nitumie mtu lion nijikute. Ata ueda ajawai tumia mamake mzazi io kiasi ya pesa jameni team strong tukue mak8ni ii pesa tunatoa kwa meno ya simba
@user-df2yr1cd6t27 күн бұрын
I am from 🇺🇬🇺🇬 I love girl ❤❤❤
@anitamusyoka27 күн бұрын
Mimi siwezi
@Pretty2275027 күн бұрын
😂😂😂 qwani alisikia nyakoo ni mchungaji?mie hata mchungaji aniambie nimtumie ili aniombee atasoma namba km ni kutoa fungu la kumi nk na Dini yangu ambayo huwa ninahudhuria so huko ndo nk suppose kutoa mm huwa nashaangaa wenye tuko huku Gulf tunawashwa na pesa sijui nikujipendekeza weee sio yangu watasuburi sana Nkt 🏃🏽♀️🏃🏽♀️🙈
@christineombalombalo236527 күн бұрын
Ivano ni ujinga tu Mii nko gulf but siwezi fanya kitu kama hiyo wueh!!🙆 hii kazi ni ya kucheza na pesa Yako kweli Mii sikukuja na kitabu but hata elfu Moja nikitumia mtu lzma ikue na sababu yake Bure hutaamka asuhi kuniambia nikutumie pesa nikutumie wueh,!!!
@DianaKubai27 күн бұрын
😂😂 i think she did for some promises... Mbona nyako alimblock, maybe alimdanganya atafanya jina yake ikue fame na a gain more followers
Пікірлер: 8
Mim hata kwa dawa😂😂😂
Mii hata flower siwezi tumia mtu Ako idle Kenya ati akitaka pesa anakula online na saa hizo mm sijakaa chini then nitumie mtu wueh 🙃🙃
Mimi ati nisugue hamam apa nitumie mtu lion nijikute. Ata ueda ajawai tumia mamake mzazi io kiasi ya pesa jameni team strong tukue mak8ni ii pesa tunatoa kwa meno ya simba
I am from 🇺🇬🇺🇬 I love girl ❤❤❤
Mimi siwezi
😂😂😂 qwani alisikia nyakoo ni mchungaji?mie hata mchungaji aniambie nimtumie ili aniombee atasoma namba km ni kutoa fungu la kumi nk na Dini yangu ambayo huwa ninahudhuria so huko ndo nk suppose kutoa mm huwa nashaangaa wenye tuko huku Gulf tunawashwa na pesa sijui nikujipendekeza weee sio yangu watasuburi sana Nkt 🏃🏽♀️🏃🏽♀️🙈
Ivano ni ujinga tu Mii nko gulf but siwezi fanya kitu kama hiyo wueh!!🙆 hii kazi ni ya kucheza na pesa Yako kweli Mii sikukuja na kitabu but hata elfu Moja nikitumia mtu lzma ikue na sababu yake Bure hutaamka asuhi kuniambia nikutumie pesa nikutumie wueh,!!!
😂😂 i think she did for some promises... Mbona nyako alimblock, maybe alimdanganya atafanya jina yake ikue fame na a gain more followers