Salum Mwalimu Amshukia Kitila Mkumbo, "CHADEMA Inayo Watu wa Kuongoza Nchi"
Taasisi ya Maalim Seif Foundation leo imeandaa mkutano wa tatu Zanzibar katika kuuenzi mchango wa Maalim Seif Hamad katika uongozi Tanzania. Kauli mbiu ya mkutano huu ni Siasa, Uongozi na Utawala:Tumekosea Wapi, Tujisahihishe Vipi?
Kiongozi wa chama cha upinzani cha South Afrika Build One South Africa, Mmusi Maimane ni mgeni mwalikwa katika tukio hili.
Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com/@thechanzo?is_...
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2023 © All Rights Reserved.
Пікірлер: 7
Safi sana! Salumu mwalimu....
Asante Mwalimu kwa kauli thabiti,umeongea point na Chadema itashinda uchaguzi ujao 2024/2025,Ameni. Huyo kitilia mkundu amelewa madaraka aliyopewa kwa kuzawadiwa kutokana na kutetea mkataba wa hovyo wa bandari I(GA) ambao wananchi tunajua ni mkataba haramu!ufutwe!
Goood
Shida jina"Mkumbo"
Tume huru ni lazima msiache maccm yakazid kuiba kura
Mbona unamuharakisha sana acha amwage madini
Inamaana katiba mpya hamna haja nayo ..??