Salama Na DULLA Ep 39 | GO HARD OR GO HOME... Part 2
Ойын-сауық
#SalamaNa #SendTip #0762797291
You Can support US through anchor.fm/yahstonetown/support
SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahStoneTownSubs
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm
ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru
GooglePodcast Link bit.ly/GooglePodcastSalamaNa
Audiomack Link bit.ly/YahStoneTownAudioMack
KZread Link bit.ly/KZreadSalamaNa
Abdallah Khamis Ambua ndo jina halisi toka kwa wazazi wake ambao hawana asili ya kisiwani wala kuwahi kuishi huko kwa muda mrefu ambako pengine ndo kukamuwezesha kupata hiyo lafdhi. Kabla hatujafika kokote kwa kuskia kutoka kwangu, ningepeda ufahamu kwamba mimi si mmoja ya watu walotaka Dulla apewe kipindi cha Planet Bongo mwaka 2018 wakati naenda zangu Cardiff kushangaa kondoo, na moja ya sababu zangu kubwa ilikua yeye kutokua na lafdhi nzuri ya maneno kwenye lugha yetu adhimu ya Kiswahili. Na hilo nililiweka wazi haswa. Lakini pia nilikubaliana na matokeo baada ya viongozi kuamua kumpitisha yeye, na kwa heshima zote leo napenda kuchukua nafasi hii kuwapongeza kwa kazi nzuri waliyoifanya, kwa kuona kijana ambaye alikua na utayari kwa kujifunza, wa kujua kwamba alikua hajakamilika na mlango ukawa wazi kwake kutaka kujifunza na kuwa bora.
Tupeleke miaka mbele mpaka 2020, ingawa hapo nyuma tushakutana mara kadhaa na nikamuambia jinsi ambavyo ananifurahisha kwa kukuwa kwake na kwamba mimi ni mmoja wa watu wanao jivunia yeye. Na hata wakati tunafanya maongezi yetu haya, nilimfahamisha pia. Mwanzo wakati naanza kuandika nilianza kwa kukuambia kuhusu asili yake, sababu ilikua ni juu ya lafdhi yake ya kimwambao ilonyooka haswa. Mimi wakati nakutana na Dulla kwa mara ya kwanza kwenye usaili hakua na hiyo accent, alikua na matatizo ya R na L na pia hakua ‘original’, alikua ana tangaza na kuongea kama B Dozen, ambaye tayari alikua amesha ji establish vizuri tu na anga yote alikua anaunguruma yeye mara ifikapo saa nane kamili ya mchana. So kama mtangazaji mpya anayechipukia, Dulla hakua na nafasi ya kuweza kutamba mbele ya Dozen, na wala hakua na uwezo wa hata robo yake. Kwa yeye kutoboa na kuweka alama yake ilikua inambidi awe YEYE na aje na ladha YAKE.
Leo hii, mimi na enjoy haswa ninapomsikiliza Mjukuu wa Ambua radioni, sauti tamu, matamshi yamenyooka, ladha ya maneno inatulia maskioni, hapayukwi kwenye kipaza sauti na pia kubwa kuliko yote ana akili, akili ya kusema na kuuliza maswali muafaka na muda muafaka. Na kwa hilo namheshimu.
Basi nikataka kujua vile alijiskia alipong’amua kama mimi sikua shabiki yake hata kidogo? Na Kama ilimtoa katika ‘mchezo?’. Wakati mshindi wa mtangazaji mpya wa Planet Bongo anatangazwa tayari Mimi nilikua nishafika zangu Cardiff kwahiyo sikuwahi kuongea nae tena kuhusu uchaguzi wake na wala maendeleo yake kwahiyo hii imekua mara ya kwanza tuna discuss. Pia nilitaka kujua kuhusu mke wake, watoto, Kaka yake ambaye naye ndo alimfanya kwa kiasi kikubwa achague kazi hii anayofanya sasa. Pia kuhusu mahusiano yake na Diamond Platnumz na Ali Kiba, muziki wa Bongo Flava kwa ujumla. Kazi, mapenzi, ujana, dini na yeye kama binadamu. Haya yalikua maongezi flani ya kikubwa ambayo nimefurahi tuliyafanya mimi na mdogo wangu huyu.
Kama kawaida, yangu matumaini hii pia itakufunza jambo, itakutaka uwe bora na kutokubali kushidwa hata kama ulokua unapenda sana akupe sapoti akawa haamini juu ya uwezo wako, hiyo ndo iwe chachu ya wewe kutaka kufanya vyema zaidi.
Love,
Salama
Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown
Пікірлер: 70
Dula ni muungwana saana tofauti na umri wake ana majibu ya busara na hakurupuki kwenye kujibu
Dullah amekuwa Daah namkumbuka alivyoshindaga kuwa mtangazaji wa planet bongo alikuwa kadogo but he was tall...
Dullah your the best ni mfano mzuri kwa vijana,much ❤ kwako salama
Nimemaliza nikitabasamu, Salama na Dullah ilikua interview poa sana, mmeongea kishkaji sana, good chemistry.
@talazain1017
3 жыл бұрын
Queen September
Salama- "Mama Wa Taifa" Planet Bongo Dullah - "Rais Wa Awamu ya Pili"
Hii ni interview bora sana big up👏
Interview zuri sana Dullah na Salama mnaongea vizuri good chemistry
Nimeinjoi kipndi. 💓🔥🔥
Show iko vzr xn , Dulla planet uko vzr mjomba nakuelewa xn
Mimi nimeaza kukufwatilia toka mkasi kwa hakika una kipaji Dada salama hongera sana
@abdumahanyu1031
3 жыл бұрын
@yahstonetown
Dullah ww ni the best afu huna mbwembwe za kutaka kuwathibitishia watu uwezo wako sisi tunajua unajua
@maryamselemanabdalah4086
3 жыл бұрын
Kabisa yaani
Ni kweli waswahili tunaogopana kwa kutamazana mtu kavaa kapendeza unastuka sana
Such a nice Interview, Hope to see Millard Ayo Next...
Interview nzuri sana! Hongera Salama na Dullah
Best Session! Great platform to learn more.
Zaka zakazi wa itumbi chunya migodini blaza dulla naku kubari sana
I really appreciate #salamanadullahplanet was good
nimefarijika sana kuwaona kitambo sana planet bongo baada y salama akawa dula nice sana
Dulla Umetisha, umeongea point
Interview bora Sana❤️❤️❤️❤️
Aksante daah mkubwa
I do remember when this guy won as planet presenter......He cried simply because he didn't realize if he would won it
Saafii..interview tamu kabsaa
Salama nko narobi nafatilia kazi zako sana letanga cakula afta kipindi please inapoa mtu anasindwa kukula akionekana
smart n creative answers from dullah
Nimependa dulla unaongea kiutu uzimaaa .
Big up Salama!👊🏾 nakufatilia all the way from Kigali Rwanda
@zauhaji4211
3 жыл бұрын
J
Daaah ACE J hujawah niangusha kwa kweli na leo ni bonge la interview pamoja na mjukuu katisha kinoumwa
Nawakubali sana wanangu god blees
Like it seriously
I love Dulla's sound
Big time ☝
hahaha 7:00 imenikumbusha Indian matchmaking on netflix. good interview
Je umeagiza GARI 🚘🚗nje ya nchi na unahitaji huduma ya clearance ya gari lako( Clearing & Forwarding ) kwa uharaka na BEI NAFUU ila unawaza Clearing Agent ⚓️🚢gani atalitimiza Hilo? Basi ondoa shaka na karibu nikuhudumie. Tazama baadhi ya bei zangu za kutoa magari bandarini 🚢Dar Es Salaam (Local) aina ya *TOYOTA* km ifuatavyo.. Kama aina ya gari uliyoagiza haipo kwenye orodha usisite kuniuliza📞Pia wateja wa mizigo ya AIRPORT 🛫/ CONTAINER & MAGARI🚗 yanayokwenda nje ya nchi ( TRANST ) mnakaribishwa..... ------------------ Kwa wateja waishio Dar Es Salaam utafikishiwa gari lako mpaka ulipo BURE na kwa wateja wa mkoani utalipia gharama ya Dereva kutokana na umbali uliopo kutokea Dar Es Salaam kama ukihitaji kusafirishiwa, Asante 1: IST old - 850,000/= 2: HARRIER New-1,000,000/= 3: HARRIER Old-950,000/= 4: RAV 4 - 950,000/= 5: RAUM - 850,000/= 6: SPACIO - 850,000/= 7: PASSO - 800,000/= 8: VITZ - 800,000/= 9: PREMIO - 850,000/= 10: ALTEZA - 850,000/= 11: SUBARU - 850,000/= 12: CARINA - 850,000/= ---------------------------------------- Gharama hizi zinahusisha malipo ya 1: Port Charges 2: Shipping Line 3: Walfage 4: Agent Fee 5: Plate no ---------------------------------------- ☎️DM/Piga/Text 0653953900 / 0742996876 ☎️Whatsapp +255 653953900 📧 Email: charlessabikazi@gmail.com 📢Marketing by @cairo_promotions 🏢Company: Mofaz movers 📍Location: PSSSF Tower, Samora Avenue Dar es salaam, Tanzania *NB: Triangle & Fire Extinguisher 🧯 BURE *NB: KUAGIZIWA GARI NI BURE 🙏 *NB: KUAGIZIWA BIDHAA CHINA 🇨🇳 NI BURE🙏
At 15:55 alisema itafikia wakati basata itaitisha mashairi kabla ya kuwasilishwa na leo imetimia
Heshima kwako broo
Good man # Dullah
Nahitaji kumuoa salama, kuna nafasi za ushenga zipo
Pamoja sana
🔥
Nk nafuatilia hpaaa salama ila nlteee MWAKINYO
hii interview imeanza kunoga 17:04, busara mingi sana asee kwa Dulla
Salamia dula
Hapo kwenye kiba na mond sijaelewa vzur
@queenseptember4640
3 жыл бұрын
Mond alipishana kikazi na Eatv, Ukaribu wao na Dullah ikabidi upungue sababu hawakua na kazi tena za kufanya pamoja lakini Ali bado anafanya kazi na Eatv so ukaribu wake na Dullah bado upo.
Kipindi kilikuwa kizuri mno, nimefurahi sana kuwa hapa.
🔥👌
Huyu jamaa Hua napenda sana
Punguzenii matangazoo yanaboa
Dullah
Salama aisee! At some point leo umekaa kama shangazi flani hivi! Ushauri nasaha kwa mambo ya Ndoa.Safi u.
@lameen_zolloh5256
3 жыл бұрын
😂😂 umeona bana kaka mkubwa...Salama kapita ki bi msafari
Dulla umeongea point xn juu ya kuoa nakubaliana na ww
Nice dulla
Nimetamani isiishe jaman 😋😋
Good 👍
🔥🔥🔥🔥
namsaidia kusema ni barnaba......
💣💣🍾
Nimependa sana hii interview.... Talking about things that touch most youths was the highlight of it all. I am looking forward for more. Keep it up
Kiswahili chake n kizur
Nice thanks You For the Advice On Marriage Dullah Aunty Maswali ☀️🙏
Get the following on the show am a big fan of #Bdozen #Gnako and #Nikkwapili
🔥🔥🔥🔥