Salama Na DULLA Ep 39 | GO HARD OR GO HOME... Part 2

Ойын-сауық

#SalamaNa #SendTip #0762797291
You Can support US through anchor.fm/yahstonetown/support
SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahStoneTownSubs
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm‬
‪ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru‬
GooglePodcast Link bit.ly/GooglePodcastSalamaNa
Audiomack Link bit.ly/YahStoneTownAudioMack
‪KZread Link bit.ly/KZreadSalamaNa
Abdallah Khamis Ambua ndo jina halisi toka kwa wazazi wake ambao hawana asili ya kisiwani wala kuwahi kuishi huko kwa muda mrefu ambako pengine ndo kukamuwezesha kupata hiyo lafdhi. Kabla hatujafika kokote kwa kuskia kutoka kwangu, ningepeda ufahamu kwamba mimi si mmoja ya watu walotaka Dulla apewe kipindi cha Planet Bongo mwaka 2018 wakati naenda zangu Cardiff kushangaa kondoo, na moja ya sababu zangu kubwa ilikua yeye kutokua na lafdhi nzuri ya maneno kwenye lugha yetu adhimu ya Kiswahili. Na hilo nililiweka wazi haswa. Lakini pia nilikubaliana na matokeo baada ya viongozi kuamua kumpitisha yeye, na kwa heshima zote leo napenda kuchukua nafasi hii kuwapongeza kwa kazi nzuri waliyoifanya, kwa kuona kijana ambaye alikua na utayari kwa kujifunza, wa kujua kwamba alikua hajakamilika na mlango ukawa wazi kwake kutaka kujifunza na kuwa bora.
Tupeleke miaka mbele mpaka 2020, ingawa hapo nyuma tushakutana mara kadhaa na nikamuambia jinsi ambavyo ananifurahisha kwa kukuwa kwake na kwamba mimi ni mmoja wa watu wanao jivunia yeye. Na hata wakati tunafanya maongezi yetu haya, nilimfahamisha pia. Mwanzo wakati naanza kuandika nilianza kwa kukuambia kuhusu asili yake, sababu ilikua ni juu ya lafdhi yake ya kimwambao ilonyooka haswa. Mimi wakati nakutana na Dulla kwa mara ya kwanza kwenye usaili hakua na hiyo accent, alikua na matatizo ya R na L na pia hakua ‘original’, alikua ana tangaza na kuongea kama B Dozen, ambaye tayari alikua amesha ji establish vizuri tu na anga yote alikua anaunguruma yeye mara ifikapo saa nane kamili ya mchana. So kama mtangazaji mpya anayechipukia, Dulla hakua na nafasi ya kuweza kutamba mbele ya Dozen, na wala hakua na uwezo wa hata robo yake. Kwa yeye kutoboa na kuweka alama yake ilikua inambidi awe YEYE na aje na ladha YAKE.
Leo hii, mimi na enjoy haswa ninapomsikiliza Mjukuu wa Ambua radioni, sauti tamu, matamshi yamenyooka, ladha ya maneno inatulia maskioni, hapayukwi kwenye kipaza sauti na pia kubwa kuliko yote ana akili, akili ya kusema na kuuliza maswali muafaka na muda muafaka. Na kwa hilo namheshimu.
Basi nikataka kujua vile alijiskia alipong’amua kama mimi sikua shabiki yake hata kidogo? Na Kama ilimtoa katika ‘mchezo?’. Wakati mshindi wa mtangazaji mpya wa Planet Bongo anatangazwa tayari Mimi nilikua nishafika zangu Cardiff kwahiyo sikuwahi kuongea nae tena kuhusu uchaguzi wake na wala maendeleo yake kwahiyo hii imekua mara ya kwanza tuna discuss. Pia nilitaka kujua kuhusu mke wake, watoto, Kaka yake ambaye naye ndo alimfanya kwa kiasi kikubwa achague kazi hii anayofanya sasa. Pia kuhusu mahusiano yake na Diamond Platnumz na Ali Kiba, muziki wa Bongo Flava kwa ujumla. Kazi, mapenzi, ujana, dini na yeye kama binadamu. Haya yalikua maongezi flani ya kikubwa ambayo nimefurahi tuliyafanya mimi na mdogo wangu huyu.
Kama kawaida, yangu matumaini hii pia itakufunza jambo, itakutaka uwe bora na kutokubali kushidwa hata kama ulokua unapenda sana akupe sapoti akawa haamini juu ya uwezo wako, hiyo ndo iwe chachu ya wewe kutaka kufanya vyema zaidi.
Love,
Salama
Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown

Пікірлер: 70

  • @hamidaabdalla8091
    @hamidaabdalla80913 жыл бұрын

    Dula ni muungwana saana tofauti na umri wake ana majibu ya busara na hakurupuki kwenye kujibu

  • @OnlyRuky
    @OnlyRuky3 жыл бұрын

    Dullah amekuwa Daah namkumbuka alivyoshindaga kuwa mtangazaji wa planet bongo alikuwa kadogo but he was tall...

  • @aminanamoyo83
    @aminanamoyo833 жыл бұрын

    Dullah your the best ni mfano mzuri kwa vijana,much ❤ kwako salama

  • @queenseptember4640
    @queenseptember46403 жыл бұрын

    Nimemaliza nikitabasamu, Salama na Dullah ilikua interview poa sana, mmeongea kishkaji sana, good chemistry.

  • @talazain1017

    @talazain1017

    3 жыл бұрын

    Queen September

  • @hamambuka5616
    @hamambuka56163 жыл бұрын

    Salama- "Mama Wa Taifa" Planet Bongo Dullah - "Rais Wa Awamu ya Pili"

  • @besteemusic9368
    @besteemusic93683 жыл бұрын

    Hii ni interview bora sana big up👏

  • @winfridamdaki5699
    @winfridamdaki56993 жыл бұрын

    Interview zuri sana Dullah na Salama mnaongea vizuri good chemistry

  • @allyswaleh3379
    @allyswaleh33793 жыл бұрын

    Nimeinjoi kipndi. 💓🔥🔥

  • @thomasbutingo17
    @thomasbutingo173 жыл бұрын

    Show iko vzr xn , Dulla planet uko vzr mjomba nakuelewa xn

  • @ruhumakhadija8772
    @ruhumakhadija87723 жыл бұрын

    Mimi nimeaza kukufwatilia toka mkasi kwa hakika una kipaji Dada salama hongera sana

  • @abdumahanyu1031

    @abdumahanyu1031

    3 жыл бұрын

    @yahstonetown

  • @Paplick9
    @Paplick93 жыл бұрын

    Dullah ww ni the best afu huna mbwembwe za kutaka kuwathibitishia watu uwezo wako sisi tunajua unajua

  • @maryamselemanabdalah4086

    @maryamselemanabdalah4086

    3 жыл бұрын

    Kabisa yaani

  • @winfridamdaki5699
    @winfridamdaki56993 жыл бұрын

    Ni kweli waswahili tunaogopana kwa kutamazana mtu kavaa kapendeza unastuka sana

  • @michaelmallya5622
    @michaelmallya56223 жыл бұрын

    Such a nice Interview, Hope to see Millard Ayo Next...

  • @mozasaid3869
    @mozasaid38693 жыл бұрын

    Interview nzuri sana! Hongera Salama na Dullah

  • @denislucas8952
    @denislucas89523 жыл бұрын

    Best Session! Great platform to learn more.

  • @zakazakaz1297
    @zakazakaz12972 жыл бұрын

    Zaka zakazi wa itumbi chunya migodini blaza dulla naku kubari sana

  • @hassanaloobaidan25
    @hassanaloobaidan253 жыл бұрын

    I really appreciate #salamanadullahplanet was good

  • @zainaramadhan7769
    @zainaramadhan77693 жыл бұрын

    nimefarijika sana kuwaona kitambo sana planet bongo baada y salama akawa dula nice sana

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan24992 жыл бұрын

    Dulla Umetisha, umeongea point

  • @nuruhmnyota2482
    @nuruhmnyota24823 жыл бұрын

    Interview bora Sana❤️❤️❤️❤️

  • @edwardbazaneza1613
    @edwardbazaneza16133 жыл бұрын

    Aksante daah mkubwa

  • @mkinalagekinoga1766
    @mkinalagekinoga17663 жыл бұрын

    I do remember when this guy won as planet presenter......He cried simply because he didn't realize if he would won it

  • @jasminyiddysulaiman9807
    @jasminyiddysulaiman98073 жыл бұрын

    Saafii..interview tamu kabsaa

  • @nattybeemwenyewe5360
    @nattybeemwenyewe53602 жыл бұрын

    Salama nko narobi nafatilia kazi zako sana letanga cakula afta kipindi please inapoa mtu anasindwa kukula akionekana

  • @omarymohammed2880
    @omarymohammed28803 жыл бұрын

    smart n creative answers from dullah

  • @darviswantana7669
    @darviswantana76693 жыл бұрын

    Nimependa dulla unaongea kiutu uzimaaa .

  • @renatharwaka9231
    @renatharwaka92313 жыл бұрын

    Big up Salama!👊🏾 nakufatilia all the way from Kigali Rwanda

  • @zauhaji4211

    @zauhaji4211

    3 жыл бұрын

    J

  • @AhmedSaleh-rc1yj
    @AhmedSaleh-rc1yj3 жыл бұрын

    Daaah ACE J hujawah niangusha kwa kweli na leo ni bonge la interview pamoja na mjukuu katisha kinoumwa

  • @emanueltesha8873
    @emanueltesha88733 жыл бұрын

    Nawakubali sana wanangu god blees

  • @joharimkelenga5735
    @joharimkelenga57353 жыл бұрын

    Like it seriously

  • @mantyara9981
    @mantyara99813 жыл бұрын

    I love Dulla's sound

  • @ibrahimuramadhan526
    @ibrahimuramadhan5263 жыл бұрын

    Big time ☝

  • @swahiliwithZita
    @swahiliwithZita3 жыл бұрын

    hahaha 7:00 imenikumbusha Indian matchmaking on netflix. good interview

  • @MrSABYY
    @MrSABYY3 жыл бұрын

    Je umeagiza GARI 🚘🚗nje ya nchi na unahitaji huduma ya clearance ya gari lako( Clearing & Forwarding ) kwa uharaka na BEI NAFUU ila unawaza Clearing Agent ⚓️🚢gani atalitimiza Hilo? Basi ondoa shaka na karibu nikuhudumie. Tazama baadhi ya bei zangu za kutoa magari bandarini 🚢Dar Es Salaam (Local) aina ya *TOYOTA* km ifuatavyo.. Kama aina ya gari uliyoagiza haipo kwenye orodha usisite kuniuliza📞Pia wateja wa mizigo ya AIRPORT 🛫/ CONTAINER & MAGARI🚗 yanayokwenda nje ya nchi ( TRANST ) mnakaribishwa..... ------------------ Kwa wateja waishio Dar Es Salaam utafikishiwa gari lako mpaka ulipo BURE na kwa wateja wa mkoani utalipia gharama ya Dereva kutokana na umbali uliopo kutokea Dar Es Salaam kama ukihitaji kusafirishiwa, Asante 1: IST old - 850,000/= 2: HARRIER New-1,000,000/= 3: HARRIER Old-950,000/= 4: RAV 4 - 950,000/= 5: RAUM - 850,000/= 6: SPACIO - 850,000/= 7: PASSO - 800,000/= 8: VITZ - 800,000/= 9: PREMIO - 850,000/= 10: ALTEZA - 850,000/= 11: SUBARU - 850,000/= 12: CARINA - 850,000/= ---------------------------------------- Gharama hizi zinahusisha malipo ya 1: Port Charges 2: Shipping Line 3: Walfage 4: Agent Fee 5: Plate no ---------------------------------------- ☎️DM/Piga/Text 0653953900 / 0742996876 ☎️Whatsapp +255 653953900 📧 Email: charlessabikazi@gmail.com 📢Marketing by @cairo_promotions 🏢Company: Mofaz movers 📍Location: PSSSF Tower, Samora Avenue Dar es salaam, Tanzania *NB: Triangle & Fire Extinguisher 🧯 BURE *NB: KUAGIZIWA GARI NI BURE 🙏 *NB: KUAGIZIWA BIDHAA CHINA 🇨🇳 NI BURE🙏

  • @emmanuelmunyasa2959
    @emmanuelmunyasa29593 жыл бұрын

    At 15:55 alisema itafikia wakati basata itaitisha mashairi kabla ya kuwasilishwa na leo imetimia

  • @mfamauomary7969
    @mfamauomary79692 жыл бұрын

    Heshima kwako broo

  • @mfamauomary7969
    @mfamauomary79692 жыл бұрын

    Good man # Dullah

  • @MarcoPolo-ol2lz
    @MarcoPolo-ol2lz3 жыл бұрын

    Nahitaji kumuoa salama, kuna nafasi za ushenga zipo

  • @zakazakaz1297
    @zakazakaz12972 жыл бұрын

    Pamoja sana

  • @Hamadybendera
    @Hamadybendera3 жыл бұрын

    🔥

  • @othumanomary4032
    @othumanomary40323 жыл бұрын

    Nk nafuatilia hpaaa salama ila nlteee MWAKINYO

  • @mjunimjuni9982
    @mjunimjuni99823 жыл бұрын

    hii interview imeanza kunoga 17:04, busara mingi sana asee kwa Dulla

  • @nattybeemwenyewe5360
    @nattybeemwenyewe53602 жыл бұрын

    Salamia dula

  • @geniousjustin3424
    @geniousjustin34243 жыл бұрын

    Hapo kwenye kiba na mond sijaelewa vzur

  • @queenseptember4640

    @queenseptember4640

    3 жыл бұрын

    Mond alipishana kikazi na Eatv, Ukaribu wao na Dullah ikabidi upungue sababu hawakua na kazi tena za kufanya pamoja lakini Ali bado anafanya kazi na Eatv so ukaribu wake na Dullah bado upo.

  • @saumuhassan6365
    @saumuhassan63653 жыл бұрын

    Kipindi kilikuwa kizuri mno, nimefurahi sana kuwa hapa.

  • @farshuually7558
    @farshuually75583 жыл бұрын

    🔥👌

  • @mrsliverpool4235
    @mrsliverpool42353 жыл бұрын

    Huyu jamaa Hua napenda sana

  • @smithsane8119
    @smithsane81193 жыл бұрын

    Punguzenii matangazoo yanaboa

  • @nurukhalifa9413
    @nurukhalifa94133 жыл бұрын

    Dullah

  • @Ali_Manzu
    @Ali_Manzu3 жыл бұрын

    Salama aisee! At some point leo umekaa kama shangazi flani hivi! Ushauri nasaha kwa mambo ya Ndoa.Safi u.

  • @lameen_zolloh5256

    @lameen_zolloh5256

    3 жыл бұрын

    😂😂 umeona bana kaka mkubwa...Salama kapita ki bi msafari

  • @thomasbutingo17
    @thomasbutingo173 жыл бұрын

    Dulla umeongea point xn juu ya kuoa nakubaliana na ww

  • @asyamasoud2438
    @asyamasoud24383 жыл бұрын

    Nice dulla

  • @dianakalinga6420
    @dianakalinga64203 жыл бұрын

    Nimetamani isiishe jaman 😋😋

  • @safiyahaji9682
    @safiyahaji96823 жыл бұрын

    Good 👍

  • @wiyz_ta_fitness
    @wiyz_ta_fitness3 жыл бұрын

    🔥🔥🔥🔥

  • @ephrahimkamenge321
    @ephrahimkamenge3213 жыл бұрын

    namsaidia kusema ni barnaba......

  • @jumamalilo749
    @jumamalilo7493 жыл бұрын

    💣💣🍾

  • @MultiMed100
    @MultiMed1003 жыл бұрын

    Nimependa sana hii interview.... Talking about things that touch most youths was the highlight of it all. I am looking forward for more. Keep it up

  • @philemonmgasha6874
    @philemonmgasha68743 жыл бұрын

    Kiswahili chake n kizur

  • @bish_daddiyao
    @bish_daddiyao3 жыл бұрын

    Nice thanks You For the Advice On Marriage Dullah Aunty Maswali ☀️🙏

  • @afrotv3982
    @afrotv39823 жыл бұрын

    Get the following on the show am a big fan of #Bdozen #Gnako and #Nikkwapili

  • @khadijahali4837
    @khadijahali48373 жыл бұрын

    🔥🔥🔥🔥

Келесі