SALAAH MOHAMED: MTANZANIA ALIEAJIRI WACHINA ZAIDI YA MIA TATU NCHINI KWAO

Salaah Mohamed ni Mtanzania anaeishi China kwa zaidi ya miaka 10 pia ndie Mkurugenzi Mkuu Mtendaji wa Kampuni ya SILENT OCEAN kwenye mahojiano na AyoTV na millardayo.com anasema Tanzania ni rahisi kupata usajili wa kampuni kuliko China na tayari ameajiri Wachina zaidi ya mia tatu kwenye kampuni yake hiyo inayojishughulisha na usafirishaji wa mizigo kutoka China kuja Tanzania na nchi nyingine za jirani.

Пікірлер: 123

  • @yahyamajidyahyahilalal-har8762
    @yahyamajidyahyahilalal-har87625 жыл бұрын

    Hongera Sana brother!!! Nakushauri tu ajiri pia na Watanzania kiasi fulani kusaidia waweze kupata ajira.

  • @hamisisilimu1245

    @hamisisilimu1245

    5 жыл бұрын

    Watanzania wavivu kaka

  • @user-xq9dh7hi1x

    @user-xq9dh7hi1x

    2 ай бұрын

    Pia sio wengi wao wanachangamoto ya uaminifu bro

  • @paulonima6947
    @paulonima69475 жыл бұрын

    Ayo tv itabaki kileleni itabaki kuwa juu 👍

  • @dehtkei8882
    @dehtkei88825 жыл бұрын

    Nadhani kama a good interviewer moja ya maswali ya mwanzo ilitakiwa kuwa "kampuni yako inadeal na nini?"

  • @nicholausmakundi2663
    @nicholausmakundi26635 жыл бұрын

    Big up Silent Ocean limited...i was there i saw it.

  • @willykaovela5485

    @willykaovela5485

    5 жыл бұрын

    How. Was it

  • @augustinopanga9622

    @augustinopanga9622

    3 жыл бұрын

    Wekeni namba za simu

  • @grecioussilas9885
    @grecioussilas98855 жыл бұрын

    Hongra sana broo unatuispire sana bro watz wachanga katika biashara

  • @barikimichael7020
    @barikimichael70205 жыл бұрын

    mahojiano ni mazuri lakini mtangazaji anapaswa aandae maswali kabla ya interview ambayo yatagusa maeneo yote muhimu kwa mtiririko mzuri, kwa mfano ameanza vizuri kwa kumuuliza historia yake binafsi, lakini hajaweka mtiririko mzuri wa maswali kwa mfano hajamuuliza histofia japo kwa kifupi ya kampuni yake, inashuhulika na nini, mission ya kampuni na ni vema angekua specific kama swali ni la binafsi ama la kampuni lakini mahojiano ni mazuri, BIG UP!!!!!

  • @samweldaudi9261

    @samweldaudi9261

    5 жыл бұрын

    Thank you for your positivity, that's how educated ppl should respond to a certain matter!

  • @dorismamf7404
    @dorismamf74045 жыл бұрын

    Mashaalah

  • @badaral6167
    @badaral6167 Жыл бұрын

    Mashallah

  • @grecioussilas9885
    @grecioussilas98855 жыл бұрын

    That is good

  • @ramadhanseif4564
    @ramadhanseif45645 жыл бұрын

    Safi na hongera bwana Mohammed salah

  • @josephmanyanya3689
    @josephmanyanya36895 жыл бұрын

    Hongera mwekezaji.

  • @mmary70
    @mmary705 жыл бұрын

    What's the name of the company in Dubai or still the same

  • @anithashembilu7732
    @anithashembilu77325 жыл бұрын

    Hongera sana bro

  • @lulanjamd3886
    @lulanjamd38865 жыл бұрын

    Big up brother

  • @muhammehusna3384
    @muhammehusna33842 жыл бұрын

    Mmh hongerA Sana kijana

  • @petermalesa3164
    @petermalesa31645 жыл бұрын

    👍

  • @robertdaud9894
    @robertdaud98945 жыл бұрын

    🙏

  • @abdulatifmoxamed8047
    @abdulatifmoxamed80475 жыл бұрын

    Interview yote sijajuwa company inajishughulisha na nini sasa kama lengo ni kuadviertise hapo umemharibia sana

  • @kelvinthomas4047

    @kelvinthomas4047

    5 жыл бұрын

    Abdulatif Moxamed huyo chalii anae uliza maswali hajielewi kabisa

  • @agathaagustino2820
    @agathaagustino28205 жыл бұрын

    Ongera sana

  • @reymasenya6450
    @reymasenya64505 жыл бұрын

    Ongera Sana

  • @aminabugembe3708
    @aminabugembe37085 жыл бұрын

    Masaki nyumban ,advance st marrys university India ,,,,,Hongera brother it seems ata familia yako iko poa

  • @masums5399
    @masums53995 жыл бұрын

    Mbona hamjatueleza silent ocean ina deal na nini?

  • @mc-omoro2366

    @mc-omoro2366

    5 жыл бұрын

    Ni wasafirishaji wakubwa wa mizigo inayotoka China , kwa bongo kampuni yao ni GSM Group of Company.

  • @prudencemushi6948

    @prudencemushi6948

    5 жыл бұрын

    Sasa mbona hawajasema

  • @johnsonkiwia6577

    @johnsonkiwia6577

    5 жыл бұрын

    @@prudencemushi6948 hawajasema kwa kuwa hapa walikwepa mambo yetu yale then wakahisi konki liquid atawazoa. Hukumbuki walitangaza mufulisi

  • @zulfamohamed4549
    @zulfamohamed45495 жыл бұрын

    MashaAllah ila wajili nawatz wezako piy itapendeza zaid

  • @trophainamagogwa1163

    @trophainamagogwa1163

    5 жыл бұрын

    Zulfa Mohamed labda anahisi Watamwibia

  • @zulfamohamed4549

    @zulfamohamed4549

    5 жыл бұрын

    @@trophainamagogwa1163 wala s ivy mie naisi galama t nausumbufu wawatu kuelewa maisha yakule piya inachangia

  • @sharifaabdullah6825
    @sharifaabdullah68255 жыл бұрын

    Ayo TV mpo juu kileleni

  • @ashirunazubery3821
    @ashirunazubery38215 жыл бұрын

    Mko vizur Ayo ,keep it up....

  • @tzaphin1975
    @tzaphin19755 жыл бұрын

    Simbaaaaaaaaaaaaaa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Me nakucheki tuuuuu, Nautambua mchango wako in my Business. Be blessed CEO Sallaah

  • @keysiameddy8179
    @keysiameddy81795 жыл бұрын

    nc

  • @charlesgodwin3912
    @charlesgodwin39125 жыл бұрын

    Hongera brother ila ni wakisure kweli sisi wa mwakaleli, kibondo,tandahimba,ngara, shule za kata kidumu na mfagio tunaweza enda invest china😂😀

  • @richardsaidi2448

    @richardsaidi2448

    Жыл бұрын

    😂

  • @nathanaelboay1313
    @nathanaelboay13133 жыл бұрын

    Naomba mawasiliano,tufanye kazi

  • @moudymchemia6598
    @moudymchemia65985 жыл бұрын

    Haya ndio mambo sasa hata tz tunaweza

  • @zakayosilas6963
    @zakayosilas69635 жыл бұрын

    Inawezekana kabisa kwani unashagaa kuajiliwa mchina Tena bado

  • @amm24media65
    @amm24media65 Жыл бұрын

    Guangzhou!!

  • @saidalreyami6748
    @saidalreyami67485 жыл бұрын

    Nilionana nae kama miaka kumi ilo pita Hongera Salah

  • @TamuzaKale
    @TamuzaKale5 жыл бұрын

    Maswali mengine umesahau kuuliza tena ya msingi, kampuni inashughulika na nini?

  • @settajoseph7034

    @settajoseph7034

    5 жыл бұрын

    Muddyb Mwanaharakati transporters from china to Tanzania

  • @deus8629
    @deus86295 жыл бұрын

    Huyu si ni mtoto wa mmiliki wa Home stopping center Tz ambayo baada ya kuingia JPM ikabadilishwa jina na kuitwa Discount center?

  • @amostandau

    @amostandau

    5 жыл бұрын

    Deus ndiyo yeye

  • @chefr3020

    @chefr3020

    Жыл бұрын

    Ni mdogo wake na Gsm

  • @hijazhija316
    @hijazhija3165 жыл бұрын

    Liverpool

  • @kassimliwola7248
    @kassimliwola72485 жыл бұрын

    Hatar xna...big up

  • @mateikihoi8125
    @mateikihoi81252 жыл бұрын

    mm

  • @KingMuta
    @KingMuta5 жыл бұрын

    Masaki..st marrys..degree india... Sawa

  • @aminabugembe3708

    @aminabugembe3708

    5 жыл бұрын

    Hapo ndio unatambua kuna msingi nyuma yake,,, hapa ndipo hua nakumbuka ule msemo mwenye nacho anaongezewa

  • @michaelsamson9663
    @michaelsamson96635 жыл бұрын

    Jama anakipala chapesa

  • @eliasenyiamaphie8936
    @eliasenyiamaphie89365 жыл бұрын

    hello naomba na me uniajiri

  • @andrewaloyce5241
    @andrewaloyce52415 жыл бұрын

    Mbona mda mchachee au tatizo hist

  • @bigdad1816
    @bigdad18165 жыл бұрын

    Invest where your respect and protect and the government appreciate your work and your investment not to a Nation where the leaders are Dictator and they don't understand the meaning of private sector and open Market,

  • @revocatuschailla1027
    @revocatuschailla10275 жыл бұрын

    Mtangaza nifundishe namna ya kupokea salamu yako usemayo " heshima yako".

  • @suhailaali4175

    @suhailaali4175

    5 жыл бұрын

    Heshima yako unajibu Ahsante"

  • @fahadfahmy
    @fahadfahmy5 жыл бұрын

    Guanjo au Guanzou?

  • @is-hakhassan1090

    @is-hakhassan1090

    5 жыл бұрын

    Fahad10 Guangzhou

  • @saadsalum3253

    @saadsalum3253

    5 жыл бұрын

    Guan zoo

  • @nelsonnovatus9670

    @nelsonnovatus9670

    5 жыл бұрын

    Fahad10 Guangzhou

  • @fahadfahmy

    @fahadfahmy

    5 жыл бұрын

    Guanzhou lol

  • @hyasintapeter204
    @hyasintapeter2043 жыл бұрын

    Na bidhaa mnatuma kwa njia gani? ?

  • @hyasintapeter204
    @hyasintapeter2043 жыл бұрын

    Mizigo mnachukua kwa wauzaji mnatutumia Ama? ?

  • @sophiamwakila3300
    @sophiamwakila33005 жыл бұрын

    Sasa mbona hamjatueleza kampuni yake inajishughulisha na nini. Anaweza kuwa msaada kwa watanzania

  • @atukuzwemwambopa7595

    @atukuzwemwambopa7595

    5 жыл бұрын

    Wasafirishaji wa mizigo kwa njia ya baharii

  • @sophiamwakila3300

    @sophiamwakila3300

    5 жыл бұрын

    @@atukuzwemwambopa7595 Asante kaka yangu kwa kanijibu. Ubarikiwe

  • @karryh5338
    @karryh53385 жыл бұрын

    Yule jet Lee lazima haudhurie hotel hyo

  • @jumarwambo7420
    @jumarwambo74204 жыл бұрын

    Nimegundua milard ayo mmepewa mkwanja mrefu na hawa jamaa muwapromote

  • @lwagamwakalinga5276
    @lwagamwakalinga52764 жыл бұрын

    Ile no yenu 0746 813 813 mliotupa silent ocean Dar inazingua saana,unaweza kupiga mchana kutwa isipokelewe hebu jaribuni kuongeza wigo wa kuwapata jamani ingali bado tuna Moto na China

  • @salehgoldberg7237
    @salehgoldberg72375 жыл бұрын

    Daaah uongo mtupu saaana

  • @TeamKRX
    @TeamKRX5 жыл бұрын

    Jamani munaacha nchi zenu si murudi mutusadie sisi

  • @elyjay6

    @elyjay6

    5 жыл бұрын

    Kila mtu anajitafutia nafasi yake. Jisaidie mwenyewe, ndio ujasiriamali

  • @Celebio_KM

    @Celebio_KM

    5 жыл бұрын

    Kwa nini wataka kusaidiwa?

  • @mc-omoro2366

    @mc-omoro2366

    5 жыл бұрын

    Hao si GSM

  • @ginnimoreno6239
    @ginnimoreno62395 жыл бұрын

    huyu sio councellar

  • @mc-omoro2366

    @mc-omoro2366

    5 жыл бұрын

    Ndio yeye huyo, but sijui kama mpaka sasa anao huo ubalozi wa heshima.

  • @kokudo8389
    @kokudo83895 жыл бұрын

    Huyu jamaa si ndo alipewa ubalozi enzi ya JK?

  • @peterogast5983
    @peterogast59835 жыл бұрын

    Watoto wa kishua hao

  • @upendokileo8840
    @upendokileo88404 жыл бұрын

    Tanzania kwao ni Masaki ...sasa ww wa kigogo manzese amini utatoka tu

  • @khalekichambo1131
    @khalekichambo11315 жыл бұрын

    Interview ni fupi, wengine tulikua bado tunataka zaidi kumsikia. Vitu kama genuine website yake kupata information, direct contacts za kampuni, ana shughulika zaidi na nini?yupo single kohkohkoh

  • @user-qs9rn2je4c

    @user-qs9rn2je4c

    5 жыл бұрын

    😂😂😂singel

  • @zenaycechanzinho6702

    @zenaycechanzinho6702

    5 жыл бұрын

    Ww🤣 yule mume wa xin johwa...

  • @khalekichambo1131

    @khalekichambo1131

    5 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂💃💃💃💃

  • @renatusdeogratias2108

    @renatusdeogratias2108

    5 жыл бұрын

    Amaoa,n mkuruhenzi wa kampuni kubwa la kusafirisha mizigo ndio tunatumiaga kampuni lake,

  • @abiboseleman1649
    @abiboseleman1649 Жыл бұрын

    kaajiri au.wanapiga show.kwasiku.wanakula.percent.bana kkk

  • @mosesjacksonkarashani2642
    @mosesjacksonkarashani26425 жыл бұрын

    Naomba umuulize swali Bw Salamu (with all due respect) zile tuhuma kuhusu kuwabebesha watanzania unga anazizungumziaje?

  • @trophainamagogwa1163
    @trophainamagogwa11635 жыл бұрын

    Juhudi tu zinatosha

  • @rajabmohamed9930

    @rajabmohamed9930

    5 жыл бұрын

    Na capital pia..shule st Marys,nyumban masaki degree India.

  • @emmanuelmushi2774
    @emmanuelmushi27745 жыл бұрын

    Huyu si ndio yule wa kipindi kiiileeeee sshv mna msafisha

  • @mc-omoro2366

    @mc-omoro2366

    5 жыл бұрын

    Ndio yeye huyo

  • @mwanamutemi
    @mwanamutemi5 жыл бұрын

    AJABU YA HUYU MTANGAZAJI HAJAULIZA NI KAZI GANI HUYU MUEKEZAJI IWAFANYA, HATUKUJUA HIYO KAMPUNI YAJISHUHULISHA NA NINI HAO WACHINA ALOWAAJIRI WANAMFANYIA KAZI GANI. VERY USLESS POOR INTERVIEW !!!!

  • @nassororamadhan2515
    @nassororamadhan25155 жыл бұрын

    Mmmmmm,,,ayo tv mpaka chinaa???

  • @edigamwalongo1913

    @edigamwalongo1913

    5 жыл бұрын

    Nassoro Ramadhan naomba mawasiliano nipo njombe

  • @masimangotambwe2459

    @masimangotambwe2459

    5 жыл бұрын

    ayo TV acheni huwongo apo nitamzania nasio china

  • @nassororamadhan2515

    @nassororamadhan2515

    5 жыл бұрын

    @@edigamwalongo1913 ....okay ulikuwa unasemaje mzee??

  • @edlumala9428
    @edlumala94285 жыл бұрын

    Pesa wamechota hapa, wanaenda kuwekeza nje! Tunacheka tu, wakifuatiliwa wanaweza kueleza source ya fund zake?

  • @leonelleo4425

    @leonelleo4425

    5 жыл бұрын

    Wapo wengi sana..hata hapa Uk kuna wahindi wengi tu wamepiga pesa Tanzania na kenya na kuja hapa Uk kufungua biashara za maduka..

  • @nasreensaleh4556

    @nasreensaleh4556

    5 жыл бұрын

    Na wewe chota basi si zipo nyingi😂😂😂pambana na hali yako acha wivu

  • @fareessanad7623

    @fareessanad7623

    5 жыл бұрын

    Yaani sijui kwanini wabongo tuna wivuuuu. Kachotee na wewe basii utoboee.upande mwegine Kijana wetu Diamond a. K.a SIMBAAAAAA ametoboaaa na Anaendelea kutoboaa nae pia mnamwambia freemason. Kajiungen basi hukoo freemason mpate kutoboaaaa. 😂😂

  • @lovumwalile9508

    @lovumwalile9508

    5 жыл бұрын

    wivu tu.na wewe chota basi.

  • @danieldaniel-lb2on

    @danieldaniel-lb2on

    5 жыл бұрын

    Tuondolee harufu ya pumbu hapa, Kachote na wewe tuone!

  • @rashidbakar9195
    @rashidbakar91955 жыл бұрын

    Inafanya kazi gani hii kampuni?

  • @zenchusa1676

    @zenchusa1676

    5 жыл бұрын

    Kusafirisha mizigo mbalimbali

  • @rashidbakar9195

    @rashidbakar9195

    5 жыл бұрын

    Ok sawa

  • @rashidbakar9195

    @rashidbakar9195

    5 жыл бұрын

    Zenchusa z mawasiliano yenu?

  • @zenchusa1676

    @zenchusa1676

    5 жыл бұрын

    @@rashidbakar9195 mzee baba mi nilikujibu tu labda uliza uulize kwenye wavuti ya Millard ayo vinginevyo sifahamu

  • @geja8708
    @geja87085 жыл бұрын

    Mnajikuta mshakuwa machief katk interview, hamna hata karatas ya miongozo ya maswali , mnauliza vitu ambacho sio vya msingi kabisaa, eti umri wako, hadi mmesahau kumuuliza kampuni yake inadeal na nn, kama kuuza maandaz au miwa, bored

  • @joshxrv7503

    @joshxrv7503

    5 жыл бұрын

    Mahojiano yakitoto

  • @meshackmeshack6849

    @meshackmeshack6849

    4 жыл бұрын

    Kaka tutumie namba zao

  • @samsonkusupa6809
    @samsonkusupa68095 жыл бұрын

    wewe mtangazaji hujui kuhoji kabisa

  • @mohamedjuma1878
    @mohamedjuma18784 жыл бұрын

    Uyu jamaa nae pozi kibao uvivu hadi kuskiliza

  • @selemanibatenga6327
    @selemanibatenga63275 жыл бұрын

    Mashallah

  • @muhammehusna3384
    @muhammehusna33842 жыл бұрын

    Mmh hongerA Sana kijana