SALAAH MOHAMED: MTANZANIA ALIEAJIRI WACHINA ZAIDI YA MIA TATU NCHINI KWAO
Salaah Mohamed ni Mtanzania anaeishi China kwa zaidi ya miaka 10 pia ndie Mkurugenzi Mkuu Mtendaji wa Kampuni ya SILENT OCEAN kwenye mahojiano na AyoTV na millardayo.com anasema Tanzania ni rahisi kupata usajili wa kampuni kuliko China na tayari ameajiri Wachina zaidi ya mia tatu kwenye kampuni yake hiyo inayojishughulisha na usafirishaji wa mizigo kutoka China kuja Tanzania na nchi nyingine za jirani.
Пікірлер: 123
Hongera Sana brother!!! Nakushauri tu ajiri pia na Watanzania kiasi fulani kusaidia waweze kupata ajira.
@hamisisilimu1245
5 жыл бұрын
Watanzania wavivu kaka
@user-xq9dh7hi1x
2 ай бұрын
Pia sio wengi wao wanachangamoto ya uaminifu bro
Ayo tv itabaki kileleni itabaki kuwa juu 👍
Nadhani kama a good interviewer moja ya maswali ya mwanzo ilitakiwa kuwa "kampuni yako inadeal na nini?"
Big up Silent Ocean limited...i was there i saw it.
@willykaovela5485
5 жыл бұрын
How. Was it
@augustinopanga9622
3 жыл бұрын
Wekeni namba za simu
Hongra sana broo unatuispire sana bro watz wachanga katika biashara
mahojiano ni mazuri lakini mtangazaji anapaswa aandae maswali kabla ya interview ambayo yatagusa maeneo yote muhimu kwa mtiririko mzuri, kwa mfano ameanza vizuri kwa kumuuliza historia yake binafsi, lakini hajaweka mtiririko mzuri wa maswali kwa mfano hajamuuliza histofia japo kwa kifupi ya kampuni yake, inashuhulika na nini, mission ya kampuni na ni vema angekua specific kama swali ni la binafsi ama la kampuni lakini mahojiano ni mazuri, BIG UP!!!!!
@samweldaudi9261
5 жыл бұрын
Thank you for your positivity, that's how educated ppl should respond to a certain matter!
Mashaalah
Mashallah
That is good
Safi na hongera bwana Mohammed salah
Hongera mwekezaji.
What's the name of the company in Dubai or still the same
Hongera sana bro
Big up brother
Mmh hongerA Sana kijana
👍
🙏
Interview yote sijajuwa company inajishughulisha na nini sasa kama lengo ni kuadviertise hapo umemharibia sana
@kelvinthomas4047
5 жыл бұрын
Abdulatif Moxamed huyo chalii anae uliza maswali hajielewi kabisa
Ongera sana
Ongera Sana
Masaki nyumban ,advance st marrys university India ,,,,,Hongera brother it seems ata familia yako iko poa
Mbona hamjatueleza silent ocean ina deal na nini?
@mc-omoro2366
5 жыл бұрын
Ni wasafirishaji wakubwa wa mizigo inayotoka China , kwa bongo kampuni yao ni GSM Group of Company.
@prudencemushi6948
5 жыл бұрын
Sasa mbona hawajasema
@johnsonkiwia6577
5 жыл бұрын
@@prudencemushi6948 hawajasema kwa kuwa hapa walikwepa mambo yetu yale then wakahisi konki liquid atawazoa. Hukumbuki walitangaza mufulisi
MashaAllah ila wajili nawatz wezako piy itapendeza zaid
@trophainamagogwa1163
5 жыл бұрын
Zulfa Mohamed labda anahisi Watamwibia
@zulfamohamed4549
5 жыл бұрын
@@trophainamagogwa1163 wala s ivy mie naisi galama t nausumbufu wawatu kuelewa maisha yakule piya inachangia
Ayo TV mpo juu kileleni
Mko vizur Ayo ,keep it up....
Simbaaaaaaaaaaaaaa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Me nakucheki tuuuuu, Nautambua mchango wako in my Business. Be blessed CEO Sallaah
nc
Hongera brother ila ni wakisure kweli sisi wa mwakaleli, kibondo,tandahimba,ngara, shule za kata kidumu na mfagio tunaweza enda invest china😂😀
@richardsaidi2448
Жыл бұрын
😂
Naomba mawasiliano,tufanye kazi
Haya ndio mambo sasa hata tz tunaweza
Inawezekana kabisa kwani unashagaa kuajiliwa mchina Tena bado
Guangzhou!!
Nilionana nae kama miaka kumi ilo pita Hongera Salah
Maswali mengine umesahau kuuliza tena ya msingi, kampuni inashughulika na nini?
@settajoseph7034
5 жыл бұрын
Muddyb Mwanaharakati transporters from china to Tanzania
Huyu si ni mtoto wa mmiliki wa Home stopping center Tz ambayo baada ya kuingia JPM ikabadilishwa jina na kuitwa Discount center?
@amostandau
5 жыл бұрын
Deus ndiyo yeye
@chefr3020
Жыл бұрын
Ni mdogo wake na Gsm
Liverpool
Hatar xna...big up
mm
Masaki..st marrys..degree india... Sawa
@aminabugembe3708
5 жыл бұрын
Hapo ndio unatambua kuna msingi nyuma yake,,, hapa ndipo hua nakumbuka ule msemo mwenye nacho anaongezewa
Jama anakipala chapesa
hello naomba na me uniajiri
Mbona mda mchachee au tatizo hist
Invest where your respect and protect and the government appreciate your work and your investment not to a Nation where the leaders are Dictator and they don't understand the meaning of private sector and open Market,
Mtangaza nifundishe namna ya kupokea salamu yako usemayo " heshima yako".
@suhailaali4175
5 жыл бұрын
Heshima yako unajibu Ahsante"
Guanjo au Guanzou?
@is-hakhassan1090
5 жыл бұрын
Fahad10 Guangzhou
@saadsalum3253
5 жыл бұрын
Guan zoo
@nelsonnovatus9670
5 жыл бұрын
Fahad10 Guangzhou
@fahadfahmy
5 жыл бұрын
Guanzhou lol
Na bidhaa mnatuma kwa njia gani? ?
Mizigo mnachukua kwa wauzaji mnatutumia Ama? ?
Sasa mbona hamjatueleza kampuni yake inajishughulisha na nini. Anaweza kuwa msaada kwa watanzania
@atukuzwemwambopa7595
5 жыл бұрын
Wasafirishaji wa mizigo kwa njia ya baharii
@sophiamwakila3300
5 жыл бұрын
@@atukuzwemwambopa7595 Asante kaka yangu kwa kanijibu. Ubarikiwe
Yule jet Lee lazima haudhurie hotel hyo
Nimegundua milard ayo mmepewa mkwanja mrefu na hawa jamaa muwapromote
Ile no yenu 0746 813 813 mliotupa silent ocean Dar inazingua saana,unaweza kupiga mchana kutwa isipokelewe hebu jaribuni kuongeza wigo wa kuwapata jamani ingali bado tuna Moto na China
Daaah uongo mtupu saaana
Jamani munaacha nchi zenu si murudi mutusadie sisi
@elyjay6
5 жыл бұрын
Kila mtu anajitafutia nafasi yake. Jisaidie mwenyewe, ndio ujasiriamali
@Celebio_KM
5 жыл бұрын
Kwa nini wataka kusaidiwa?
@mc-omoro2366
5 жыл бұрын
Hao si GSM
huyu sio councellar
@mc-omoro2366
5 жыл бұрын
Ndio yeye huyo, but sijui kama mpaka sasa anao huo ubalozi wa heshima.
Huyu jamaa si ndo alipewa ubalozi enzi ya JK?
Watoto wa kishua hao
Tanzania kwao ni Masaki ...sasa ww wa kigogo manzese amini utatoka tu
Interview ni fupi, wengine tulikua bado tunataka zaidi kumsikia. Vitu kama genuine website yake kupata information, direct contacts za kampuni, ana shughulika zaidi na nini?yupo single kohkohkoh
@user-qs9rn2je4c
5 жыл бұрын
😂😂😂singel
@zenaycechanzinho6702
5 жыл бұрын
Ww🤣 yule mume wa xin johwa...
@khalekichambo1131
5 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂💃💃💃💃
@renatusdeogratias2108
5 жыл бұрын
Amaoa,n mkuruhenzi wa kampuni kubwa la kusafirisha mizigo ndio tunatumiaga kampuni lake,
kaajiri au.wanapiga show.kwasiku.wanakula.percent.bana kkk
Naomba umuulize swali Bw Salamu (with all due respect) zile tuhuma kuhusu kuwabebesha watanzania unga anazizungumziaje?
Juhudi tu zinatosha
@rajabmohamed9930
5 жыл бұрын
Na capital pia..shule st Marys,nyumban masaki degree India.
Huyu si ndio yule wa kipindi kiiileeeee sshv mna msafisha
@mc-omoro2366
5 жыл бұрын
Ndio yeye huyo
AJABU YA HUYU MTANGAZAJI HAJAULIZA NI KAZI GANI HUYU MUEKEZAJI IWAFANYA, HATUKUJUA HIYO KAMPUNI YAJISHUHULISHA NA NINI HAO WACHINA ALOWAAJIRI WANAMFANYIA KAZI GANI. VERY USLESS POOR INTERVIEW !!!!
Mmmmmm,,,ayo tv mpaka chinaa???
@edigamwalongo1913
5 жыл бұрын
Nassoro Ramadhan naomba mawasiliano nipo njombe
@masimangotambwe2459
5 жыл бұрын
ayo TV acheni huwongo apo nitamzania nasio china
@nassororamadhan2515
5 жыл бұрын
@@edigamwalongo1913 ....okay ulikuwa unasemaje mzee??
Pesa wamechota hapa, wanaenda kuwekeza nje! Tunacheka tu, wakifuatiliwa wanaweza kueleza source ya fund zake?
@leonelleo4425
5 жыл бұрын
Wapo wengi sana..hata hapa Uk kuna wahindi wengi tu wamepiga pesa Tanzania na kenya na kuja hapa Uk kufungua biashara za maduka..
@nasreensaleh4556
5 жыл бұрын
Na wewe chota basi si zipo nyingi😂😂😂pambana na hali yako acha wivu
@fareessanad7623
5 жыл бұрын
Yaani sijui kwanini wabongo tuna wivuuuu. Kachotee na wewe basii utoboee.upande mwegine Kijana wetu Diamond a. K.a SIMBAAAAAA ametoboaaa na Anaendelea kutoboaa nae pia mnamwambia freemason. Kajiungen basi hukoo freemason mpate kutoboaaaa. 😂😂
@lovumwalile9508
5 жыл бұрын
wivu tu.na wewe chota basi.
@danieldaniel-lb2on
5 жыл бұрын
Tuondolee harufu ya pumbu hapa, Kachote na wewe tuone!
Inafanya kazi gani hii kampuni?
@zenchusa1676
5 жыл бұрын
Kusafirisha mizigo mbalimbali
@rashidbakar9195
5 жыл бұрын
Ok sawa
@rashidbakar9195
5 жыл бұрын
Zenchusa z mawasiliano yenu?
@zenchusa1676
5 жыл бұрын
@@rashidbakar9195 mzee baba mi nilikujibu tu labda uliza uulize kwenye wavuti ya Millard ayo vinginevyo sifahamu
Mnajikuta mshakuwa machief katk interview, hamna hata karatas ya miongozo ya maswali , mnauliza vitu ambacho sio vya msingi kabisaa, eti umri wako, hadi mmesahau kumuuliza kampuni yake inadeal na nn, kama kuuza maandaz au miwa, bored
@joshxrv7503
5 жыл бұрын
Mahojiano yakitoto
@meshackmeshack6849
4 жыл бұрын
Kaka tutumie namba zao
wewe mtangazaji hujui kuhoji kabisa
Uyu jamaa nae pozi kibao uvivu hadi kuskiliza
Mashallah
Mmh hongerA Sana kijana