Mziki juu Sana Hadi kelo unakua nakazi ya kuzidisha na kupunguza ikija mziki
@sniperislam4547
Жыл бұрын
Tupo pamoja maan wengne tumeunganisha ktk radio wazee wa Bluetooth😂
@mdouharoon662 жыл бұрын
Mweupe tupe mwendeleze mzee wangu kitu kikali hichi🤣🤣🤣🤣
@tumajunior60802 жыл бұрын
Mtu na babake wanambio🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🔥🥰👌
@rahmajohn98592 жыл бұрын
Yaan pambee tuuu😍😍😍😍😍😍😍
@mashahmwakah9914 Жыл бұрын
Ii kali kutoka kw TinWhite,,penda saana vituko zako baba
@beckarluhanga84212 жыл бұрын
ukimuona Tin Mr Pilika Best comedian in Tanzania 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@linamvuyekure8872 жыл бұрын
Mbona mwaka huyu tutanyooka kwamana mambo ni 🔥🔥🔥 sakata
@Fihim12 жыл бұрын
Saaafi Sana,. Hahahahahahahaha mutanikata mbavu zangu jamani huu mwisho wa episode ni hatariiiiiii
@zoozzoz98792 жыл бұрын
Yaani raha,,unatoka Ugaigai ya mkojani unakuja hapa Sakata😍😍
@abkcollection57112 жыл бұрын
Sijapenda Haki eb leten mwendelezo Haraka bhna😂😂
@gam_reas61922 жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥😂😂kumekucha Mambooooooo ni 🔥🔥🔥
@adammaganga485 Жыл бұрын
uko vizuri sana ukii angalia aladini na sakata mambo ni 💪💪💪
@abdulbaryaljabry74712 жыл бұрын
Good job bro, we appreciate your work
@phionarehemacharo3353 Жыл бұрын
Haqaaaaaah hii ni motoo wallai tin uko juu bro mungu akuzidhishie
@falmaliciousfoods46382 жыл бұрын
So amazing 👏 😍 🙌 💖 ❤ 💕 keep it up we loved it 😀 ❤ can't wait for next episode 😘 ❣️
@nasongodfrey5305
2 жыл бұрын
Movie zuli sema jamaa toa ndevu izo
@veroslaa1041
2 жыл бұрын
Gooooood job
@mamujoha6034
2 жыл бұрын
Nimecheka
@hadijasuleiman38562 жыл бұрын
Aaaaah subut nyie niatalii nanusu jmn khaaa baba kiduchuuuuuuu👏👏
@rickwyse28402 жыл бұрын
Tin white the best comedian of all time
@davidmaige25632 жыл бұрын
Kwanini tunatembea na biti ya aradini tena !!!! Weka jingine ndugu ili tuwe na tofauti ya aradini na sakata
@jameswisdomtz85802 жыл бұрын
Nambo moja kama kawaida
@zanuramaulid5741 Жыл бұрын
Hongera kwa move nzur sanaa hivyo vitu Tunaishi navyo ila wanaume mungu anawaona jmn Me mwanaume ninae ishi nae vitu hivyo vyote anavyo cyo kwa upande wa kilangaso wala upande wa mzee nani huyo mwingine ila me niligundua mapema nikajaribu kumuuliza to kiutaratibu lakin alikana katu katu hana mtt na kuapa viapo vyote cyo mwanae kumbe ni mwanae mwisho wa siku ndio anakuja kunambia eti ni mwanangu Daaah kuhusu upande wa kilangaso hao kina mafund friji ndio usiseme jmn Xx mwanaume kama huyo unatakiwa ufanyaje jmn waingwana Na Nampenda sanaa ushaur wenu
@andrewmunjabi3182 жыл бұрын
Hii movie ilivyo nzuri msitusubirishe Sana sehemu ya pili
@yassonmganga87052 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣 Yani hi Kama ndo episode ya mwisho Yani Ni motooooooo 🔥🔥🔥
@amanikiza98822 жыл бұрын
Jamani raha san vrmt ❤️❤️❤️🥰🥰🥰🔥🔥
@jasiribeats48552 жыл бұрын
Kali sana nimeipenda mno❤️
@jacksonhaggai67712 жыл бұрын
ay love this Tim love you
@perfect47972 жыл бұрын
White we ni kipaji kaka honger sana series nzur san hii🤗
I cant believe what a comedy movie from martin white love u so much ma name is joh all de way from united kingdom
@sophiajamali817 Жыл бұрын
Dume la pwani eti booooo🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@abdurahmnsobo48102 жыл бұрын
Washiriki wote wameitendea haki kz yao lkn baba na mwana daah co poa wehu kupitiliza
@user-pu8li7jp2q2 жыл бұрын
hahahahahaaaaa kilangaso jamani na tin white hahahaaa
@alverztv62722 жыл бұрын
SAKATA 🔥🔥🔥🔥🔥👌👌👌
@yasodishonest97922 жыл бұрын
Mtoto watin ndimuuyo🤣🤣🤣🤣
@fubu1054
Жыл бұрын
Hatareee😁😁
@bettyojiambo86602 жыл бұрын
Hapa nicheke kwaza Kwa mpiriko fundi furiji kaleta shida na Kwa kirangaso kiduchu mwanaye pia kaleta shida hii noma wamama wanahitaji ukweli na lazima ijulikane kazi poa guys
@davidreuben7694 Жыл бұрын
Kazi nzuri tine
@moxabinlai41962 жыл бұрын
Kaz mzur nakubali kutoka 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
@alexandrebucumi73762 жыл бұрын
Call me madam,hahahaaaa !!wee tin
@AhmedSalah-wm6tq2 жыл бұрын
Hahahah tin wewe bwanaa wajadilianee ausiooo
@congoprince8792 жыл бұрын
im the one for watching movies 🎥
@omarbosiomar8608
2 жыл бұрын
Correct your English
@rickwyse2840
2 жыл бұрын
😄😄😄
@maryammwinyi932
2 жыл бұрын
Dah 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 kizung hich
@JerryMpex
2 жыл бұрын
😂😂 Congo bado mnatumia french
@ManuldoofficialOG
2 жыл бұрын
Stop bullying him 😂
@laboypeace85022 жыл бұрын
safi thana🙂🙂🙂
@aishaamiry296 Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂tin jamani eti bando langu limeishaa 😂😂😂😂
@innocentlaurentsingano38562 жыл бұрын
Sema mnazingua kitu kimoja kati kati ya movie mnaweka singeli mnaboa
Пікірлер: 377
Hii nikali ya mwaka team #Tinwhit mko wapi jmn🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Tinwhite lete muendelezo sasa 🙌🙌 unakuja kwa 🔥 sana
😁😂🤣mshua na mtoto wanaamsha popo 😁😁dahhh sio poa
Kilangaso “niyaleyale” 😂😂🤣🤣🤣🤣 yaniwote nimademu kusongambele tuu🤣🤣
Kule ugaigai huku sakata mamb bul bul🤭
Mziki juu Sana Hadi kelo unakua nakazi ya kuzidisha na kupunguza ikija mziki
@sniperislam4547
Жыл бұрын
Tupo pamoja maan wengne tumeunganisha ktk radio wazee wa Bluetooth😂
Mweupe tupe mwendeleze mzee wangu kitu kikali hichi🤣🤣🤣🤣
Mtu na babake wanambio🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🔥🥰👌
Yaan pambee tuuu😍😍😍😍😍😍😍
Ii kali kutoka kw TinWhite,,penda saana vituko zako baba
ukimuona Tin Mr Pilika Best comedian in Tanzania 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mbona mwaka huyu tutanyooka kwamana mambo ni 🔥🔥🔥 sakata
Saaafi Sana,. Hahahahahahahaha mutanikata mbavu zangu jamani huu mwisho wa episode ni hatariiiiiii
Yaani raha,,unatoka Ugaigai ya mkojani unakuja hapa Sakata😍😍
Sijapenda Haki eb leten mwendelezo Haraka bhna😂😂
🔥🔥🔥🔥🔥😂😂kumekucha Mambooooooo ni 🔥🔥🔥
uko vizuri sana ukii angalia aladini na sakata mambo ni 💪💪💪
Good job bro, we appreciate your work
Haqaaaaaah hii ni motoo wallai tin uko juu bro mungu akuzidhishie
So amazing 👏 😍 🙌 💖 ❤ 💕 keep it up we loved it 😀 ❤ can't wait for next episode 😘 ❣️
@nasongodfrey5305
2 жыл бұрын
Movie zuli sema jamaa toa ndevu izo
@veroslaa1041
2 жыл бұрын
Gooooood job
@mamujoha6034
2 жыл бұрын
Nimecheka
Aaaaah subut nyie niatalii nanusu jmn khaaa baba kiduchuuuuuuu👏👏
Tin white the best comedian of all time
Kwanini tunatembea na biti ya aradini tena !!!! Weka jingine ndugu ili tuwe na tofauti ya aradini na sakata
Nambo moja kama kawaida
Hongera kwa move nzur sanaa hivyo vitu Tunaishi navyo ila wanaume mungu anawaona jmn Me mwanaume ninae ishi nae vitu hivyo vyote anavyo cyo kwa upande wa kilangaso wala upande wa mzee nani huyo mwingine ila me niligundua mapema nikajaribu kumuuliza to kiutaratibu lakin alikana katu katu hana mtt na kuapa viapo vyote cyo mwanae kumbe ni mwanae mwisho wa siku ndio anakuja kunambia eti ni mwanangu Daaah kuhusu upande wa kilangaso hao kina mafund friji ndio usiseme jmn Xx mwanaume kama huyo unatakiwa ufanyaje jmn waingwana Na Nampenda sanaa ushaur wenu
Hii movie ilivyo nzuri msitusubirishe Sana sehemu ya pili
🤣🤣🤣🤣 Yani hi Kama ndo episode ya mwisho Yani Ni motooooooo 🔥🔥🔥
Jamani raha san vrmt ❤️❤️❤️🥰🥰🥰🔥🔥
Kali sana nimeipenda mno❤️
ay love this Tim love you
White we ni kipaji kaka honger sana series nzur san hii🤗
Hebu twende nje kanielekeze hahahaha
Big up bro #Tinwhite aminia kwa mwanzo wa sakata
Tinwhte. Kazi zako nzuri ☑️☑️💯💯🔥🔥🔥
😁😁😂daah hili kweli Sakata
*Hili kweli sakata naamini Muendelezo utakuwa mzuri*
Good job all crue ,,,drop ep 2 plz
Ilaaa msenge Tinwhite anajuaa sana😂😂😂😂hapo mwisho sasa et hiii😆😆
@abdulchilyunga7575
2 жыл бұрын
Tumia ruga nzuri matusi sio ishu
Mziki unaboa sanaaaaa matin rekebisha iyo kitu
Sakata 🔥🔥🔥 kazi iendelee
Hhhhhh tin white ww noma sana aisee
Tin ooh Moja makini jombii
Wacha Nikupe Point Zako Team Tinwhite Hii Sakata Nimeielewa 😀😀
🤣🤣🤣🤣🤣 ilipoishia Nimecheka Sanaaa
Dume la pwani 😂😂😂😂🤸
😂😂😂💯🙌Hiii ni moto
watu wa promotion😁😁😂😂😂😂😂
Good job cina mbavu mm
first view brother big up brother 🙌🙌
hahahahahaaaa tinwhite hongera na grp wote nice job
Munataka 😂 tucheke paka tukojoweee 😂 nakupendeni sana yani 😂 nataman nikuoneni hapo munapo fanya muvi
@johnbernad3990
2 жыл бұрын
We ni mzanzibar eeh!
@zena6203
Жыл бұрын
😃😃😃😃😃😃😃
Yahan Tin wewe unakimbiza aswaa😄😄😄😄😄🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kazi nzuri sana🙌🙌😍
Keep it up tin Kenya twakupenda
Dah natamani kukuche haraka mwendelezo
Tausi mzuri kupindukia kipimo ❤️❤️❤️❤️
😃😃😃😃🤣🤣🤣😅😅 ngome zimegongana
Nakubali series Ajjab 👌
daa tin wee ni comedian sijawai ona mwanzo kubwa kuliko
Kweli bro Kanumba from Marecani ❤❤
Bonge moja la muvi...Keep it up White film members..by Rama Simba
Tin white best comedian in east africa since day one
😁😂🤣 eti yale yale aki nimecheka
😂😂😂😂 kaka umetisha, hapo upike ugali kg 5 familia imekuja
AKA Dumelabwana “ ndohayo “ 🤣🤣🔥🔥🔥 ❤️
Jomoni jomoni mzee mpirika😂😂😂😂 #Team_nzima mko sawa sana, ila umulete mkweche itapendeza sana
🔥 🔥 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 nmecheka mpak bac yan duuuh!!
Akuna wema hapa wala sepeto 🤣🤣😅😅 daa
Tini una ujinga mwanangu,simu yangu inaiita😅🤣😂
😂😂😂 mmetish jamn hakun kam nyie
😂😂dah hili kwel Sakata😂😂
DUME LA PWANI 😍😍
You are doing well,eti kaja kama chafya😂😂😂
Kweli tin white mtambo🤣🤣🤣🤣❤️🤣🤣
Fundi friji😂😂😂😂🤣🤣
Hii ni Kali Sana Kaka 🔥🔥
the best artist ☺☺
kaka na move yako nakupataje
Iyi kali sana bro. Inazidi kamari 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣kama kindimu🤒🤒au kichenza 🤣Yani bwana mweupe kapimwe akili akii
😂😂😂🔥🔥🔥🔥moto kama pasi kali kama Aladdin
Kalisana hii🤣🤣🔥🔥♥️
Please, help me my friend madam😂😂😂😂💥💯💯
😁😁😁😁😁🤣🌹moupe bitu bingi
Nilikuw nasubr kwa hamu
I cant believe what a comedy movie from martin white love u so much ma name is joh all de way from united kingdom
Dume la pwani eti booooo🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Washiriki wote wameitendea haki kz yao lkn baba na mwana daah co poa wehu kupitiliza
hahahahahaaaaa kilangaso jamani na tin white hahahaaa
SAKATA 🔥🔥🔥🔥🔥👌👌👌
Mtoto watin ndimuuyo🤣🤣🤣🤣
@fubu1054
Жыл бұрын
Hatareee😁😁
Hapa nicheke kwaza Kwa mpiriko fundi furiji kaleta shida na Kwa kirangaso kiduchu mwanaye pia kaleta shida hii noma wamama wanahitaji ukweli na lazima ijulikane kazi poa guys
Kazi nzuri tine
Kaz mzur nakubali kutoka 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Call me madam,hahahaaaa !!wee tin
Hahahah tin wewe bwanaa wajadilianee ausiooo
im the one for watching movies 🎥
@omarbosiomar8608
2 жыл бұрын
Correct your English
@rickwyse2840
2 жыл бұрын
😄😄😄
@maryammwinyi932
2 жыл бұрын
Dah 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 kizung hich
@JerryMpex
2 жыл бұрын
😂😂 Congo bado mnatumia french
@ManuldoofficialOG
2 жыл бұрын
Stop bullying him 😂
safi thana🙂🙂🙂
😂😂😂😂😂😂tin jamani eti bando langu limeishaa 😂😂😂😂
Sema mnazingua kitu kimoja kati kati ya movie mnaweka singeli mnaboa