Wakwanza leo from USA 🇺🇸, like zangu jmn. #FAGIO #Tinwhite
@devibantostarbigboytz3182 Жыл бұрын
Sisi kama watanzania na wana est afrika tunaipokea hii filamu kwa moyo mkunjufu 😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍
@kelvinmasini4796 Жыл бұрын
Huyu dada aliyekuwa mke wa kilangaso kwenye SAKATA huwa anakuwa na advice flan hv yenye mashiko namkubali sana💪
@shabanikidu2101
Жыл бұрын
Sure
@jumaramadhani7457
Жыл бұрын
Namkubali xaana uyo dada
@anifaseraphin9117 Жыл бұрын
Mimi kiswahili cha dume la pwani nakipenda sana yaan mm ni shabiki ake namba one ❤❤🎉
@mustaphamwinyi1222
Жыл бұрын
Aisee umeona kumbe.kiswahili chake safi
@MunahSadiq-bh7ol
11 ай бұрын
Pengine amelelewa kenya huyu msa maana kiswahili cha pwani hicho
@ajayrykerandrewofficial6273 Жыл бұрын
Denmark hapa, bado tuko macho kodo 👀 ila sema tuuuh usingizi ulinipitia sana, na ndiyo sababu nimekuja kuwa mtu wa elfu 18.722 kufuatilia hii bonge la series leo daah noma, ila bado nguvu ni nyingi za kuweza msapoti ndugu yetu Martin ✊💪👊🥰🥰🤩 yaani kutowa season SAKATA hii FAGIO ni moto pia....tena fire ya kuotea mbali 🦅🦅🔥🔥🔥🤣🤣🤣shukrani zote kwako Tinwhite na kundi nzima 🤗🤗🤗 TRUE LOVE MY FAMILY 💞💞❤💯
@AhmedSalah-wm6tq Жыл бұрын
Abduly bwana Hahaha kiboko alaf naona kazi nzur sana kilangaso na tin ndugu tena
@arsansuleiman6256 Жыл бұрын
Jmn njoon🤣🤣kitu kimetoka ichooo
@damame7337 Жыл бұрын
First to comment nipeni like zangu
@mweroruwa6339 Жыл бұрын
Tumewahi leo likes zenu jmani..
@swabrinaidassy865 Жыл бұрын
DUME LA PWANIIII ❤ ♥
@muqbilyusuf7739 Жыл бұрын
Tini haujawai kuwa serious na haya maisha😆😅🤣
@suleymannanjia4889 Жыл бұрын
Nazikubali kazi zako kaka tin mambo ni moto 👉🔥🔥🔥
@namtiticomedy1675 Жыл бұрын
KATIKAA yotee aiseee kakaa wewee Ni top of the top naaminiaaa
@carsoncarter53 Жыл бұрын
Fagio is on fire now still bado tunafatilia in 🇳🇴
@scholahmwelange1406 Жыл бұрын
Kibonge mayele 😂😂eti limama lile lipo nje ya uwezo wangu ntalipeleka wapi
@dablejay6404 Жыл бұрын
Nawakubali timu tini wapi like zenyu nikiwa hapa Kenya kazi nzuri
@maasaimkisii9089 Жыл бұрын
Tuleteage mida ya jioni kila siku jamani 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@MycommagessMyco-pd4iy6 ай бұрын
Baba ww ni 🔥🔥🔥 mungu akubalik kwa kila kazi unayo ifanya kk 🙏🙏🙏
@esterhezron6143 Жыл бұрын
Dume la pwani namkubali hata😂😂😂😂ungekuwa we nkuwezaaaa😂😂😂😂
@joyceamos9232 Жыл бұрын
Hizi movie hua nazutafuta kwa ajili yako dume la pwani nakupenda sana kiswahili chako
@leilajohn4600 Жыл бұрын
Tin mmechemsha kwa uyo dada mke wa gawila sijui dalali , hamna muigizaji apo
@margrethamsechu7088 Жыл бұрын
DUME LA PWANI MSIPO MUWEKA TUU MTATUPOTEZA WENGI 🤣💛🧡❤🤍💜💚💙
@faikenyangal254 Жыл бұрын
Jamn mie Naomba number y queen napend vile anapea mtu advice 🙏🙏💕💕💕
@sabratally7688 Жыл бұрын
Hongera zenu nawakubali kikosi kazi
@maherzain615 Жыл бұрын
Fungueni mlango mafala😂😂😂😂
@chrstopher4598 Жыл бұрын
Tin white sio poa unavunja mbavu watu kwenye kumkalibisha 😅😅😅😅😅😅😅😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂unawaza mapenzi TU😂😂😂
@manchuji3408 Жыл бұрын
Wee wamjua jinii samakii weee 🤣🤣🤣 au ushawahi gongwa na jini nyokaa 🤔🤣🤣
@emmasaleji2698 Жыл бұрын
Kkkkk 😂😂😂😂 uncle thin jameni
@neemajustine2098 Жыл бұрын
IPO fireeee an inabamba sanaaa,,,siachi kuifatiliaaa
@theophilwhiteheart1997 Жыл бұрын
Mfanyakazi kabarikiwa huyo😅🔥🔥🔥
@msasenathpotiphar1732 Жыл бұрын
Leo Abdul kawa mchaga😂🤣😍
@harrisonhamisi9971 Жыл бұрын
Tiny white you're never disappoint me,,,eti ndege imezama Bado mkia😂🤣🔥🔥🇰🇪🇰🇪 aisee so enjoyable
@Nextboy001 Жыл бұрын
Leo naona wamwisho like zenu
@nacetsiringa1334 Жыл бұрын
Tin White mpumbav eti nidaivu nikaokoe watu 😂😂😂
@margrethamsechu7088 Жыл бұрын
Queen ana maushauri uyoo 😂
@jumakandy2075 Жыл бұрын
Team tinwhte good job dume la pwani kilangaso
@TALLUBOY Жыл бұрын
HahahaHahaha 👍hili fagio ni kazi ya moto kwel
@gezaulole7501 Жыл бұрын
Uyo najma wamotoo sanaaa
@estaraberd1245 Жыл бұрын
Mtavunja mbavu zangu nyie watu, et mlikuwa mnanisikiliza kweli?,, Eeeh mwanzon mpaka mwisho, kwan ulikuwa unasemaje😅😅😅🏃🏃🤸🤸
@directorfukwetours Жыл бұрын
Tin White ni bonge la comed
@barakamchomvu8135 Жыл бұрын
Huyu dada alie igiza sakata kama mke wa kikongoza da saluti
@allenrwehumbiza5712 Жыл бұрын
Unawafagiaaa big up sana
@rahmaamgoo7919 Жыл бұрын
Dume la pwani mi napendaga ongea yako 😂😂😂
@jovinusbuberwa641 Жыл бұрын
Hahahah tin white kaanza kukosa kuskilza mdada anavoongea😀😀😀
@user-fv9vm9qy1w Жыл бұрын
Asanteni sana wana white film
@iladpiason9166 Жыл бұрын
Hahhahahhahaha et tunakusikiliza Kwan ulikuwa unasemaje tin ww hufai
Пікірлер: 172
Wakwanza leo from USA 🇺🇸, like zangu jmn. #FAGIO #Tinwhite
Sisi kama watanzania na wana est afrika tunaipokea hii filamu kwa moyo mkunjufu 😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍
Huyu dada aliyekuwa mke wa kilangaso kwenye SAKATA huwa anakuwa na advice flan hv yenye mashiko namkubali sana💪
@shabanikidu2101
Жыл бұрын
Sure
@jumaramadhani7457
Жыл бұрын
Namkubali xaana uyo dada
Mimi kiswahili cha dume la pwani nakipenda sana yaan mm ni shabiki ake namba one ❤❤🎉
@mustaphamwinyi1222
Жыл бұрын
Aisee umeona kumbe.kiswahili chake safi
@MunahSadiq-bh7ol
11 ай бұрын
Pengine amelelewa kenya huyu msa maana kiswahili cha pwani hicho
Denmark hapa, bado tuko macho kodo 👀 ila sema tuuuh usingizi ulinipitia sana, na ndiyo sababu nimekuja kuwa mtu wa elfu 18.722 kufuatilia hii bonge la series leo daah noma, ila bado nguvu ni nyingi za kuweza msapoti ndugu yetu Martin ✊💪👊🥰🥰🤩 yaani kutowa season SAKATA hii FAGIO ni moto pia....tena fire ya kuotea mbali 🦅🦅🔥🔥🔥🤣🤣🤣shukrani zote kwako Tinwhite na kundi nzima 🤗🤗🤗 TRUE LOVE MY FAMILY 💞💞❤💯
Abduly bwana Hahaha kiboko alaf naona kazi nzur sana kilangaso na tin ndugu tena
Jmn njoon🤣🤣kitu kimetoka ichooo
First to comment nipeni like zangu
Tumewahi leo likes zenu jmani..
DUME LA PWANIIII ❤ ♥
Tini haujawai kuwa serious na haya maisha😆😅🤣
Nazikubali kazi zako kaka tin mambo ni moto 👉🔥🔥🔥
KATIKAA yotee aiseee kakaa wewee Ni top of the top naaminiaaa
Fagio is on fire now still bado tunafatilia in 🇳🇴
Kibonge mayele 😂😂eti limama lile lipo nje ya uwezo wangu ntalipeleka wapi
Nawakubali timu tini wapi like zenyu nikiwa hapa Kenya kazi nzuri
Tuleteage mida ya jioni kila siku jamani 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Baba ww ni 🔥🔥🔥 mungu akubalik kwa kila kazi unayo ifanya kk 🙏🙏🙏
Dume la pwani namkubali hata😂😂😂😂ungekuwa we nkuwezaaaa😂😂😂😂
Hizi movie hua nazutafuta kwa ajili yako dume la pwani nakupenda sana kiswahili chako
Tin mmechemsha kwa uyo dada mke wa gawila sijui dalali , hamna muigizaji apo
DUME LA PWANI MSIPO MUWEKA TUU MTATUPOTEZA WENGI 🤣💛🧡❤🤍💜💚💙
Jamn mie Naomba number y queen napend vile anapea mtu advice 🙏🙏💕💕💕
Hongera zenu nawakubali kikosi kazi
Fungueni mlango mafala😂😂😂😂
Tin white sio poa unavunja mbavu watu kwenye kumkalibisha 😅😅😅😅😅😅😅😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂unawaza mapenzi TU😂😂😂
Wee wamjua jinii samakii weee 🤣🤣🤣 au ushawahi gongwa na jini nyokaa 🤔🤣🤣
Kkkkk 😂😂😂😂 uncle thin jameni
IPO fireeee an inabamba sanaaa,,,siachi kuifatiliaaa
Mfanyakazi kabarikiwa huyo😅🔥🔥🔥
Leo Abdul kawa mchaga😂🤣😍
Tiny white you're never disappoint me,,,eti ndege imezama Bado mkia😂🤣🔥🔥🇰🇪🇰🇪 aisee so enjoyable
Leo naona wamwisho like zenu
Tin White mpumbav eti nidaivu nikaokoe watu 😂😂😂
Queen ana maushauri uyoo 😂
Team tinwhte good job dume la pwani kilangaso
HahahaHahaha 👍hili fagio ni kazi ya moto kwel
Uyo najma wamotoo sanaaa
Mtavunja mbavu zangu nyie watu, et mlikuwa mnanisikiliza kweli?,, Eeeh mwanzon mpaka mwisho, kwan ulikuwa unasemaje😅😅😅🏃🏃🤸🤸
Tin White ni bonge la comed
Huyu dada alie igiza sakata kama mke wa kikongoza da saluti
Unawafagiaaa big up sana
Dume la pwani mi napendaga ongea yako 😂😂😂
Hahahah tin white kaanza kukosa kuskilza mdada anavoongea😀😀😀
Asanteni sana wana white film
Hahhahahhahaha et tunakusikiliza Kwan ulikuwa unasemaje tin ww hufai
Weeee tin uko 👍🏿
Nice movie tine white Kaka
aaaaaaaaaaaataliiiiiiiiiii sanaaaaaa sokwa kushituka uko😂😂😂😂😂
Malaika😄😄
Leo nmewahinaomb like zng
💯💯💯💯🇲🇿🇲🇿🇲🇿 ila bado tunamtaka kiduchu
@nasranasra361
Жыл бұрын
Kumbe nawew umemumis kama mimi kiduchu bwana namukubali sana sem akuje akiwa dadaake Tino bakira ngaso itakuwa bomba
Pamoja xana kupanga,tun,mwamba wa pwan
😂😂😂 sio poa tin anawaza mapenzi
Yani.nawapenda.sana.muna.furaisha
Abduli bora uongee kwa sauti yako ndiyo inafait vizuri
🤣😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂kwer nifagio 🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Nakukubar sana brother tin
Nawapenda sana jamani 🥰🥰🥰
Abduli wa chuga 😀
Broo naomba unitumie zinazo endelea
We tin punguza Tamaa
Kkkkkkkkkkkkkk Kkkkkkkkkk you guys you make me laugh 😅
Big up family tin
🔥❤️🔥
Tin aky ww ujawahi kuwa serious
Queen yupo vizur 😘
Broo kazi Bomba nakukubali
Tulikuw tunakuckiliz san🤣🤣🤣🤣🤣 kwan ulikuw unasemaje??🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@zainabkadzo9241
Жыл бұрын
Hana alichokipata 🤣🤣🤣
Tini kumbe na ww upo 😂😂😂😂😂😂
Tin anawaza mapenzi t😂😂😂
Kazi iendelee mko vizuri
Tin we mshenz Sana 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
kwa wapenda wowowo hawacharuki apo kama Tinbring 3rd episode faster i can't wait
umeonaaa
Watu wa TikTok tujuane hapa
Worch from 🇸🇦🇸🇦 saudi arebia
Movies safi
Kumbe Abdul mchaga😁
@emmalyanga3726
Жыл бұрын
Machame e
Fagiooooo iko hot
Uyu boss anaukakasi 😂😂😂😂😂
Mfanyakaz dada ake na haaland
M kilangaso shabiki yako na dume la mbegu
😂😂😂😂 ni noma
🇹🇿🔥💪🙏 God bless
Tin huyoo,,
Sawa Tu fagio aje afagie na uku tuliko🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Sasa kila mmoja atoa ulimi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣tiny na kilangaso matata
Wakwanza Ku tazama na subiri likes zangu
Nice🤗
From Russia
Nawakubali xana Tim tin white
Pitia frm 254💥💥
Abdul saluti😂😂😂👌
Fagio🔥🔥🔥
Waah fagio kweli
Ety unaniletea mdada anamishepu yake I've umemuona yule mwanamke
Mbona ep moja moja jmn
Wa 27 mnajua mpaka mnajua sana
wapi kiduchuuu