No video
Una uponza epsod 1 staring tin white mkojani nagwa
#Unaupoza# movie 2020#comedy
~-~~-~~~-~~-~
Please watch: "(3) 5 MARKETING HACKS THAT INCREASE YOUR SALES and MAKE YOU MORE MONEY "
• 5 MARKETING HACKS THAT...
~-~~-~~~-~~-~
#Unaupoza# movie 2020#comedy
~-~~-~~~-~~-~
Please watch: "(3) 5 MARKETING HACKS THAT INCREASE YOUR SALES and MAKE YOU MORE MONEY "
• 5 MARKETING HACKS THAT...
~-~~-~~~-~~-~
Пікірлер: 188
Mkojani ni yupo juu..Anakaribia kuliziba pengo la KING MAJUTO... kama unakubali..... Weka like yako tuwe pamoja....
Wanaoanzaga kucheka wakimuona #mkojani #thinwhit pamoja na #nagwa_og like zenu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kwann tusizipige kidogo😂😂😂😂😂
Nakukubali nagwa Pambana saana
Nangwa sura ya kazi
Mkojani, yaani unakopa kwa Nagwa kweli, yaani wewe unatak kifo naona🤣
Hahaha sijawahi kuona comedy kama kipupwe mkojani number one
Sasa mkojani hukuona wa kukopa umeenda kwa nangwa 🤣🤣😂😂kumkopa
Hahah mkojani penda sana ww na kilangaso na sijamuacha nagwa....nikichek movie zenu stress kwishaaa😍😂😂😂😂
Hehehe mkojani penda Sana ww na vituko vyako
Eti maporomoko ayo😅😅😅😅😅😅😅😅mkojani shida ,mdomo mrefu kama kanzu
Mkojanii anamdomoo sanaa hahahHHH
Kutoka Kenya nawapenda sana 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Nakubal San tin na mkojan noma sana
Nagwa boy nakukubali mzee baba
Kazi kazi
kaz nzur xn big up mkojan
Nakubaliana na nyie familia ngoma ngumu ngoma nagwa,mkojani kazi makini
Oy ngoma nagwa ucimuachie huy maneno meng
@nasraabdallah850
4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@dausondamas722
3 жыл бұрын
Oya Nagwa mpe mabanzi
huyu ndiye mrithi wa King Majuto
Kwan mkojan na nagwa muna ugomvi gan siku zote hahahhh mkojan kuwa mpole atakuvunja huyoooooooo . Na ww mkojan hujaona mtu wa kuenda kumkopa mpk nagwa hhhh
@zerosixramso2203
4 жыл бұрын
wanaburudisha sana 😅😅😅
@ramadhanijuma6724
4 жыл бұрын
Haaaa
@ramadhanijuma6724
4 жыл бұрын
Jamani huo wimbo kaimba nani
@aboumassoud4659
4 жыл бұрын
😁😁😁😁
@nasraabdallah850
4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
Wa kwanza mm leo naomben like zng
Hatari sana
Napenda sana tiny white na mkojani
hahahaha mashallah ongereni sana
Nawakubaliii Sana yani mkojan nagwa plus tinii huwa hamfeliii we be loved us😀😀😀😀
Jamani mkojani na nagwa mnaweza sana kazi nzur sana
hahahaha mkojani msuli auna mfuko
🤣🤣🤣🤣🤣Yan nachekaga sana nagwa na mkojan sijui Lin mtaelewana nyny😂😂😂😂😂😂
Kwenye sauti mnazingua saaaana
Miaka mingi sijafilimba ulembe
Daaa eee kweli hii tam mbaka mwisho
Mwanangu mkojani nakubali💯
Tanuuuuu😂😂😂😂😂ila nagwa nakupendaaa
Love you video
haipingwi, nangwa na mkojon kila muv ugomvi🤭🤭🤭🤭🤭🤣🤣🤣🤣😘
😂😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌unauponza
Mkojani unanifulaisha sana asauleusemiwako hapana hapana
Nagwa mkali anaiweza scripts zake hafanyi makosa
😹😹😹😹😹😹mkojan akili zako zoote unamkopa nagwaaa 😹😹😹
Kama unawakubar hawa jamaa gonga like yako twende sawa
Duh amakweli nagwa anamzingua mno mkojani nikwanini mkojani umelegea ivo
heshima kwako mkojani nakupendaaaa
Yani nashekaga sana Yani Nawapenda ga sana dungu zangu
Ngoma nagwa nakubalo mzee
Buti la jeje
@zawadielezekiel5299
4 жыл бұрын
Six combanition
Haaaaa haaaaa mkojani na nagwa. Mmenitoa stress, mkojan mdomo utakuponza
Aisee kipupwe umejipanga
Ila mkojani unajua kuchekesha bro dah hatari Sana 😂😂
siku zore mkojani anadaiwa 🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂leo mkojan kaingia cha kike kwa chuma nagwa
Yaani kwenye mives hizo akikosa mkojani na ngoma nagwa,inakua hainogi🤣🤣🤣
@printedmnyamwez1448
3 жыл бұрын
Amn mzeewangu
Duh mkojani chizi. 😂😂😂😂
Mkojan anamdomo jamn 😀😀😀😀😀
Msuli hauna mfuko hilo laki nne nitaiweka wapi😂😂😂
Kila cheo kinamkataa nagwa mpaka ualimu wa michezo ndio kimekubali 😁😁😁😁
Kipupwe na tin white tunawapata sana 😂😂😂😂
Duuh noma na nusu
mkojan unazngua sana kila sehem sound
kaz nzur kaka
Mkojan haswa ana shida mbele ya huyu mtu pole mkojan
@lucasvicent5298
4 жыл бұрын
Kwer kaka
Makini sanaaaa
HahhahHhaa balaaa mkojani
Noma Sana kwaha Majaa
Ngoma nagwa unaweza isee
Mkojani na nagwa lazima itokee vurugu
nimemkubar huyo jamaa
Unauponza😂😂😂😂
mkojani we andazi kweli jamaaangu
Nice movies
Mkojani ww kilakitu unajifanya unajua .ujui kupigana unategemea uchawi
Hahahah jmn😂😂 mkojan mwehu kwel
Mkojan namkubal mbabe kwel
Wew boya
@zawadielezekiel5299
4 жыл бұрын
Nitakupig ngumi six combination
We boya😂😂😂😂😂😂
Mkojani
Mkojani ulimi unamponza 😂😂😂😀😁
Mkojani kapatikana
sina mbavu kwa mkojan
Hapanaaaaaaa hahahaha
Nagwwwwwwaaaaaaaaaa unatishaaaa
😂😂😂😂😂hawa waty balaa tupu
Maporoko haya
good movie
Haha hii shghuli imepatana na mvua kula wima wima
Jamani kwani Ringo yuko wapi?
Sana nimekubal
Jaman msule hauna mfuko hahaha
Kufilimba ulembe mkojani bhana
Huyu ndio mwalimu( ngoma nagwa) eeh serikali sahii ina mapendeleo😅
Mkojani anamdomo mno jamanai haahhaahah
Kipupwe🤣🤣🤣🤣🤣🤣me hoi
Mkojana acha uongo
Jamani wadau
Kipupwe unanipa raha sana mbaka nimesaau kolona
Weeee boya
Shuhuli imeambatana na mvua iii tuna kula kusimama
@maherzain615
3 жыл бұрын
😂😂
Aaaaagh kumbe mkojani anajua huzuni 😢😢
🤣🤣🤣🤣🤣🔥🔥
👍👍👍👍👍