Wangapi tunapenda kolabo ya ringo na tin since day 1.. tujuane na likes
@thabitisalumu6245
2 жыл бұрын
Toka kitambo sana hawa Jamaa nawaelewa sana
@laikirajabu1380
2 жыл бұрын
Im the one who likes this so nice and wonder
@omimeki9474
Жыл бұрын
P
@mwajumamonze8792 Жыл бұрын
Mm napenda sana combination ya Hawa watu 😂😂😂😂 kwanzia movie ya utani daah much love
@officialbaloteli79652 жыл бұрын
Kazi juu ya kazi🙌🙌🙌🙌🙌🙌
@mohamedngotwike79692 жыл бұрын
Nice combination Ringo na tiny
@bravoabdul82012 жыл бұрын
Alieona tin white miwani imemtulia gonga like apa😂😂😂
@mosseskahemela29692 жыл бұрын
Tunashukuru kwa kutuludishia kijana wetu ringo
@ayoubmontana80272 жыл бұрын
Tin mungu awabariki daa kupitia nyie ua nafurai sana🙏😄
@lukasmichael2813
2 жыл бұрын
Sikupingi tup pamoja Happy tu
@sifamugwaneza87742 жыл бұрын
Team #Tinwhit like zenu jmn kaka angu anaupiga mwingu huyu #TinwhitAladin kazi juu ya kazi kaka anajuwa anajuwa anajua tena 🙌🙌🙌🔥🔥🔥🔥
@muletv74892 жыл бұрын
Broh Tinny, sipo hapa kucoment hii movie, but to talk about you broh, kaka before you die, your the best comedian artist in tanzania, in fact ulitakiwa upate tuzo ya heshima lakini hii ndio nchi yetu. Keep going broh we appreciate you✊
@muletv7489
2 жыл бұрын
Nilisahau pia kuzungumzia Ringo, I mean both of you, for sure your collaborations ni kitu ambacho hatutakuja kukiona tena kwenye hii dunia kwa upande wa tasnia ya filamu za kuchekesha tanzania. Ringo and Tinny, hata kama watu hawawasemei, lakini aminini kwamba hatutakuja tena kupata watu wa Aina yenu kwenye tasnia hii. Ninatamani siku moja nikutane na nyinyi niwashike hata mikono. Your real my celebrity and my admire. I real appreciate you brothers. Mungu aendelee kuwaweka ili tuendelee kufurahia. God bless you 🙏✊
@magamboshabani6320
2 жыл бұрын
Much love 👊👊👊👊
@abdullqadiradam55812 жыл бұрын
Nakubali sana matin boy🔥🔥🔥
@allenchuma72922 жыл бұрын
Be blessed bro tiny
@imaklathamaxkagoma74582 жыл бұрын
Hongera tin white kwa kazi nzuri
@jumakandy20752 жыл бұрын
Tinwhite Ringo masantula nawakubali movie poa sana
@einsteinfromeastern27042 жыл бұрын
Dah hatari Sana dingii 😂😂
@mwalimumlaula61672 жыл бұрын
Brother tin tunakukubali sana kaka na team yako,ila tunaomba kama inawezekana Aladin utuangushie kila siku au kila baada ya siku moja
@Salhiya-hr7dy
2 жыл бұрын
Aladin naona km ndo iko mwsho mwsho ivi 😂
@mwalimumlaula6167
2 жыл бұрын
@@Salhiya-hr7dy nayo ni kweli maana sio kwa jinsi mtelezo ulivyo wa thamthilia
@3kings63
2 жыл бұрын
Wewe unaisi teseme ndio umebeti sasa unaisi hata wewe unaobetibutakuwa salama hamna kabisa😂😂🤣
@alwattanchinga
2 жыл бұрын
Yeah
@allysan46362 жыл бұрын
Tin hakuna mchekeshaji anae nikosha Tanzania zaid yako Ila ushaur wangu ungetumalizia kwanza aladin
@sammybronze1192 жыл бұрын
DIRECTOR ALADIN MENDRAD WHITE 🔥🔥🔥🔥Nzito kwa Nzito jiwe juu ya jiwe 🔥🔥🔥#whitefilms
@zainabhussein46852 жыл бұрын
Yani nmefurahi sana kuona mnaigiza tena pamoja tin na ringo
@Salhiya-hr7dy2 жыл бұрын
Mm sio mtabiri ila km Aladini ipo mwsho mwsho ivi 😂😂😂😂😂
@dirakidaramadhani3692 жыл бұрын
Ringo na tini toka utani mnamechi mpaka leo namikubali sana Yan Kama pita na Paulo
@johnshango56512 жыл бұрын
Wa kwanza wapi likes zangu😁🙏🙏
@officialbaloteli79652 жыл бұрын
Ringooo ndaniiii daaah😂😂😂😂😂😂
@issackcomed30442 жыл бұрын
Brother Tin respect to you
@stevenmsuya40782 жыл бұрын
Nimefurahi kuwaona mnafanya kazi pamoja
@rhemalidyo70372 жыл бұрын
Muna tiisha sana tin🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@SylviaAnyango-sy6zn5 ай бұрын
Wa❤lah ata mungu yuwajua mwachekesha mana yeye ndo amewapa hicho kipaji
@molidev41662 жыл бұрын
Hiii moja kaaaaliiiii kabisa wadau nakubali san
@vionjocomedy48562 жыл бұрын
Nakubali blood😂😂👹👹
@dirakidaramadhani3692 жыл бұрын
Ringo angeonekana Kwenye aladini ingekua poa sana From Tanga
@rascalkaloza7409
2 жыл бұрын
Ahhahaah kwel Yan ingenoga zaid, kwa woga wa Ringo...🤔
@peasant-bi6hb2 жыл бұрын
😁😁😁😁 raha ipo uku big up sana bro tin
@rahmanassor51802 жыл бұрын
Dah kidanlob yaani mie nimgonjwa wa moyo nafarijika sana ninapotizama mouv zenu
@mchangeboy59282 жыл бұрын
😁😁 DONDOSHA KWANZA ALADIN BABUUU
@mercyowano61812 жыл бұрын
Kazi nzuri naipenda sana
@erickkalumuna3292 жыл бұрын
Ringo and tin🔥🔥🔥🔥
@aliabdallah89082 жыл бұрын
Tin for life
@iddriskiponda36882 жыл бұрын
Kaz nzuri kk
@luvboywcbnyamz5342 жыл бұрын
Waisha part 2 mzee babaa...Watching from Nairobi
@albetostafody77432 жыл бұрын
Sanaa lingo now uende kama kibonge mayare anamwelewa white
@axsarhodajaphet44792 жыл бұрын
Natamani kufanya Kaz na wewe kaka, Ila naamini one day yes
@shaziliiddi89012 жыл бұрын
Ramadan kareem 🌙💫💫💫💫
@josephzakaria4896
2 жыл бұрын
Tini wit kiboko
@npiperito192 жыл бұрын
Mumezidi sasa✔✔✔🔥🔥🔥
@purityneema2182 жыл бұрын
Wee kubwa kuliko 🔥🔥
@sadam3560 Жыл бұрын
Atal sanaaaaa
@rashidjuma13382 жыл бұрын
Sehemu ya pili naisubiri Kwa hamu🤰🤰🪒✌️🚴🇹🇿🌻🛌
@djhboytz39932 жыл бұрын
Tunaomba na Ringo awekwe kwenye aladini
@ally1702
2 жыл бұрын
Ringo ndo anaenda kununua nyumba uyo
@rehemaathuman6669
2 жыл бұрын
Kwenye seemu ya kilangaso ndo angekaa lingo
@kibasamohamedi8029
2 жыл бұрын
@@rehemaathuman6669 kilangaso kafiti pale
@Lawimbosso
2 жыл бұрын
Kilangaso hapo ndo kawezea sanaa
@djhboytz3993
2 жыл бұрын
Jamaa katisha sana yani sema akiwekwa Ringo itakua tam sana kuliko savi
@dfrankie21392 жыл бұрын
Movie nzur sana Kaz nzuri
@yockshanedssonking45722 жыл бұрын
Haaaa mwanangu wamekupiga kidanilopu👌
@user-hf6ye5jb1v3 ай бұрын
Kazi nzuri sana
@najmahamso83642 жыл бұрын
Na kucoment pia ni mm wa kwanza
@fadhilfussi36372 жыл бұрын
Kazi nzuriiiii🔥🔥🔥🔥
@mtallitv99952 жыл бұрын
😄😄🤣🤣🤣 wa kwanza kulalekiii
@alphamwasakyen76962 жыл бұрын
gonga like kwa sisi wa mwazo
@fzlcomrajabu95142 жыл бұрын
Mumetisha sana
@florajulius42472 жыл бұрын
Mweupeeeeee Kama mweupeeeeee tiny white 🤪😜✌️
@abdulgwaru10492 жыл бұрын
Kali tu sna frm 254
@eng.sultan43332 жыл бұрын
Daaaah sory tin mm sio wa kwanzaa🥺🥺🥺🥺nisamehee hvo hvoo
@alikinehe6820 Жыл бұрын
😊😊😊 Hawa watu wawil wanatisha san nawakubali
@clarencewilbat85982 жыл бұрын
Battle LA utani limerudi tenaaa
@allenchuma72922 жыл бұрын
Yaan nilikuw naisubri kwa hamu zotee
@eliudmakambiofyouvzy31942 жыл бұрын
Kaz nzur mabro
@jasiribeats48552 жыл бұрын
Kubwakuliko😂😂
@jacklinekiria64522 жыл бұрын
Niliumia sana enzi zile walivyo kuwa mbali mbali ila now naenjoy sanaaaaaaa love your more
Пікірлер: 284
Tuliotoka kwa ALADINI tujuane kwa like👍👍😁
@marcelyverani1836
2 жыл бұрын
Nko fuatilia sana nasubilia 13
@dorcasresiato8929
2 жыл бұрын
👌
@stambyser8305
2 жыл бұрын
Tupoooo
@rahmaashimu6400
2 жыл бұрын
Nimekubari
@rahmaashimu6400
2 жыл бұрын
Ruxha nyingine
Wangapi tunapenda kolabo ya ringo na tin since day 1.. tujuane na likes
@thabitisalumu6245
2 жыл бұрын
Toka kitambo sana hawa Jamaa nawaelewa sana
@laikirajabu1380
2 жыл бұрын
Im the one who likes this so nice and wonder
@omimeki9474
Жыл бұрын
P
Mm napenda sana combination ya Hawa watu 😂😂😂😂 kwanzia movie ya utani daah much love
Kazi juu ya kazi🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Nice combination Ringo na tiny
Alieona tin white miwani imemtulia gonga like apa😂😂😂
Tunashukuru kwa kutuludishia kijana wetu ringo
Tin mungu awabariki daa kupitia nyie ua nafurai sana🙏😄
@lukasmichael2813
2 жыл бұрын
Sikupingi tup pamoja Happy tu
Team #Tinwhit like zenu jmn kaka angu anaupiga mwingu huyu #TinwhitAladin kazi juu ya kazi kaka anajuwa anajuwa anajua tena 🙌🙌🙌🔥🔥🔥🔥
Broh Tinny, sipo hapa kucoment hii movie, but to talk about you broh, kaka before you die, your the best comedian artist in tanzania, in fact ulitakiwa upate tuzo ya heshima lakini hii ndio nchi yetu. Keep going broh we appreciate you✊
@muletv7489
2 жыл бұрын
Nilisahau pia kuzungumzia Ringo, I mean both of you, for sure your collaborations ni kitu ambacho hatutakuja kukiona tena kwenye hii dunia kwa upande wa tasnia ya filamu za kuchekesha tanzania. Ringo and Tinny, hata kama watu hawawasemei, lakini aminini kwamba hatutakuja tena kupata watu wa Aina yenu kwenye tasnia hii. Ninatamani siku moja nikutane na nyinyi niwashike hata mikono. Your real my celebrity and my admire. I real appreciate you brothers. Mungu aendelee kuwaweka ili tuendelee kufurahia. God bless you 🙏✊
@magamboshabani6320
2 жыл бұрын
Much love 👊👊👊👊
Nakubali sana matin boy🔥🔥🔥
Be blessed bro tiny
Hongera tin white kwa kazi nzuri
Tinwhite Ringo masantula nawakubali movie poa sana
Dah hatari Sana dingii 😂😂
Brother tin tunakukubali sana kaka na team yako,ila tunaomba kama inawezekana Aladin utuangushie kila siku au kila baada ya siku moja
@Salhiya-hr7dy
2 жыл бұрын
Aladin naona km ndo iko mwsho mwsho ivi 😂
@mwalimumlaula6167
2 жыл бұрын
@@Salhiya-hr7dy nayo ni kweli maana sio kwa jinsi mtelezo ulivyo wa thamthilia
@3kings63
2 жыл бұрын
Wewe unaisi teseme ndio umebeti sasa unaisi hata wewe unaobetibutakuwa salama hamna kabisa😂😂🤣
@alwattanchinga
2 жыл бұрын
Yeah
Tin hakuna mchekeshaji anae nikosha Tanzania zaid yako Ila ushaur wangu ungetumalizia kwanza aladin
DIRECTOR ALADIN MENDRAD WHITE 🔥🔥🔥🔥Nzito kwa Nzito jiwe juu ya jiwe 🔥🔥🔥#whitefilms
Yani nmefurahi sana kuona mnaigiza tena pamoja tin na ringo
Mm sio mtabiri ila km Aladini ipo mwsho mwsho ivi 😂😂😂😂😂
Ringo na tini toka utani mnamechi mpaka leo namikubali sana Yan Kama pita na Paulo
Wa kwanza wapi likes zangu😁🙏🙏
Ringooo ndaniiii daaah😂😂😂😂😂😂
Brother Tin respect to you
Nimefurahi kuwaona mnafanya kazi pamoja
Muna tiisha sana tin🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Wa❤lah ata mungu yuwajua mwachekesha mana yeye ndo amewapa hicho kipaji
Hiii moja kaaaaliiiii kabisa wadau nakubali san
Nakubali blood😂😂👹👹
Ringo angeonekana Kwenye aladini ingekua poa sana From Tanga
@rascalkaloza7409
2 жыл бұрын
Ahhahaah kwel Yan ingenoga zaid, kwa woga wa Ringo...🤔
😁😁😁😁 raha ipo uku big up sana bro tin
Dah kidanlob yaani mie nimgonjwa wa moyo nafarijika sana ninapotizama mouv zenu
😁😁 DONDOSHA KWANZA ALADIN BABUUU
Kazi nzuri naipenda sana
Ringo and tin🔥🔥🔥🔥
Tin for life
Kaz nzuri kk
Waisha part 2 mzee babaa...Watching from Nairobi
Sanaa lingo now uende kama kibonge mayare anamwelewa white
Natamani kufanya Kaz na wewe kaka, Ila naamini one day yes
Ramadan kareem 🌙💫💫💫💫
@josephzakaria4896
2 жыл бұрын
Tini wit kiboko
Mumezidi sasa✔✔✔🔥🔥🔥
Wee kubwa kuliko 🔥🔥
Atal sanaaaaa
Sehemu ya pili naisubiri Kwa hamu🤰🤰🪒✌️🚴🇹🇿🌻🛌
Tunaomba na Ringo awekwe kwenye aladini
@ally1702
2 жыл бұрын
Ringo ndo anaenda kununua nyumba uyo
@rehemaathuman6669
2 жыл бұрын
Kwenye seemu ya kilangaso ndo angekaa lingo
@kibasamohamedi8029
2 жыл бұрын
@@rehemaathuman6669 kilangaso kafiti pale
@Lawimbosso
2 жыл бұрын
Kilangaso hapo ndo kawezea sanaa
@djhboytz3993
2 жыл бұрын
Jamaa katisha sana yani sema akiwekwa Ringo itakua tam sana kuliko savi
Movie nzur sana Kaz nzuri
Haaaa mwanangu wamekupiga kidanilopu👌
Kazi nzuri sana
Na kucoment pia ni mm wa kwanza
Kazi nzuriiiii🔥🔥🔥🔥
😄😄🤣🤣🤣 wa kwanza kulalekiii
gonga like kwa sisi wa mwazo
Mumetisha sana
Mweupeeeeee Kama mweupeeeeee tiny white 🤪😜✌️
Kali tu sna frm 254
Daaaah sory tin mm sio wa kwanzaa🥺🥺🥺🥺nisamehee hvo hvoo
😊😊😊 Hawa watu wawil wanatisha san nawakubali
Battle LA utani limerudi tenaaa
Yaan nilikuw naisubri kwa hamu zotee
Kaz nzur mabro
Kubwakuliko😂😂
Niliumia sana enzi zile walivyo kuwa mbali mbali ila now naenjoy sanaaaaaaa love your more
Wakwanza kama dawa... from Kenya
@abdulbora812
2 жыл бұрын
Haha mimi wapili toka USA WAKWANZA SIMUONI
@reginankalyani3229
2 жыл бұрын
Wakwanza Mimi...!!
@jamalmbuvi3383
2 жыл бұрын
@@reginankalyani3229 🤣🤣🤣mm ndo niliwai wakwanza 🔥🔥
@jamalmbuvi3383
2 жыл бұрын
@@abdulbora812 🤣🤣Abdul unanionea wivu mm ndo wakwanza
@abdulbora812
2 жыл бұрын
Haha sijakataa but shikilia hapo mimi wa pili wakwanza simuoni hahaha
Hahahahahaha daah hii kali shusha vitu broo
Hiii mov nikiisbr kwa hamu sana,,,, Asante san white film kwa kutukmbk na kutbrdsh mashafk zenu
@georgemzigo7375
2 жыл бұрын
Nawakubali sana Wakali wangu cku zote hamkosea One love broh!
Ilaa mie naona aladin inaelekea ukingon ad nguvu zinaniishia😖🥴🥴🥴
Back from Ukraine 🇺🇦 hiii movie hatar story nimeandika mwenyewe ,,,, natafuta tajir tufanye nae kazi...
Hili #BATO ni 🔥🔥🔥
Mweupe mzee wangu we kila match we ni fainal umeua
Ringo Salamu umezipata🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nakubari wazee wakunitoa mawazo
Umetisha Sana martin
Hahahahaha aaaaaaaaaa pembe lang!mbe noma ringo
Kazi iyenderee
Kaz nzur
Et mchawi mwenzangu 🤣😆🙌
TIN x Ringo x Masanyula 🔥🔥🔥
@mariamfrancis1814
2 жыл бұрын
Masantula naww
@irenejoshua6936
2 жыл бұрын
Afu kwa nn Ringo asiwepo kwenye kitimtim jmn
Mwanangu wamekupiga kidownlow 🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Ringo fara sana eti nakwelii Salam nimezipataa
Ety mchawi mwenzangu🤣🤣🤣
nzr brother
Nakubalii
Kazi nzur
Dingo na tini toka utani mnamechi mpaka leo Na wakubali sana
White Jojo yuko wapi. Nammiss sana
Mwendelezo lini
Kaka ww n kipaj Cha kuigiza umebarikiwa na Mungu hiki Si tu kujifunza Mungu azid kupa maarifa
Namuuliza Tin na Ringo. Mahokaz iliishia wapi?
Noma
ALADINI amenileta huku kwa speed ya kimbunga aseeee
Tin white uchawi unakupendeza Broo
TINWHIT UMEZINGUA SANA UMEKUWA MCHAWI SANA unaalibu vipi mimba za watu Vip bwana mjinga sana wewe
Aladin mendred white 🤭tsha sana
🔥❤🔥
Sasa cjui wa kwanza ☝️ nani
Watani wa jadi😂😂😂😂😂😂
Bato lá kungonda philime rwaurai!!
Duuuuh lingo huyoooooo
Mwana wa tin kapigwa kidanlop 😂😂😂