Nampenda mke wa kilangaso yuko vizuri sana my favorite acts
@mohammadabdulkadir19972 жыл бұрын
Wa kwanza leo naombeni like
@frankmwaikambo97842 жыл бұрын
Uhusika wa kiduchu hakika uko sawa anafanya vyema sana inaiwekea amsha amsha kazi hii kila mtu anatamani scene zake. Good
@mbembefilms53792 жыл бұрын
Hahahaha za saizi. Umenionaaaa hahahaaa
@johnbernad39902 жыл бұрын
Nampenda sana huyu mama aliye igiza kama mke wa tin white maana huwa anaigiza vizuri saana anacheza ki uharisia kabisa pongezi kwake sana
@hamissahamissa105
Жыл бұрын
Nikweli kabisa yupo vizuri sana
@yusrathomas5373
Жыл бұрын
Kwel yupo vzr
@icenMarto
6 ай бұрын
Ni dadake Tausi Ally
@muhamadhassan68302 жыл бұрын
Jamani kama mtoto ni hyo basi tin kapataaa hatari sana mzeee
@jamesblackjaguar20842 жыл бұрын
Nime Wai Sana Leo Nime Subiri Sana
@harunaramadhani77642 жыл бұрын
Tin fala Sana et "mke wangu kchupa kmejaa" 😂😂😂😂
@CoachHafidh
2 жыл бұрын
Fala kweli...mzee wa showtime 😂
@barakJonijo
Жыл бұрын
Umemskia eeh
@kavulumay9460
Жыл бұрын
Ni mhuni sanaaaa🤓🤓 make wake anaoiga mawe kama risasi
@zoozzoz98792 жыл бұрын
Wa kwanza Wapenzi wangu ..Nipeni like zangu 🥰🥰
@AhmedSalah-wm6tq2 жыл бұрын
Mjomba Tin white unafeli kutuachia ucku sana achia hata mida ya saa moja hvi broo sema kazi nzur sana
@jafarimakuwango29182 жыл бұрын
Wakwanza mm hapa naomb like zakutosha
@hamid42022 жыл бұрын
Zakayoooooo! Kwenye Alladin Ulitisha Sanaa Uko Vizuri BIG UP🔥
@bikyeombewalo5594
2 жыл бұрын
ivi Aladine iliushiyaga wapi?
@falmaliciousfoods4638
2 жыл бұрын
@@bikyeombewalo5594 mbona imemaliza kitamboo
@shebbythespyro53932 жыл бұрын
Sakata ni drama na comedy taamu sanaa hongera team Tin white pia dakika zenu za movie zipo vizur sanaaa naona sakata itakuwa na episode ndefu
@aavvv40052 жыл бұрын
Eti "miwani yako kama kobe"😂😂tin utaniuwa🤣🤣
@kelvinwalter34352 жыл бұрын
Mke wangu Kichupa kimejaaa
@Saidkhel2 жыл бұрын
Dume la pwani 🔥🔥mwari mwari 😂😂😂
@faizalmombaofficial8229
2 жыл бұрын
Lalasumaka we Kweli😂
@mayaashassan39182 жыл бұрын
Napenda sna munavyo tuburudisha🥰🥰miwami km Kobe🤣🤣🤣
@patrickvove2 жыл бұрын
Mimisioni ubaya wa Kiduchu ❤️❤️❤️🔥🔥🔥🔥🤣🤣🤣
@rugendorunene545
2 жыл бұрын
Mimi Patrick siwezi kuwacha mwana wangu... awe msichana ama mwana ume ati kwa mwana muke... Never!
@abcosecomartialarts43212 жыл бұрын
Namba moja hapa leteni like wadau
@yasodishonest97922 жыл бұрын
Kiduchu kama kuduchu🤣🤣🤣🤣🤣❤aunabaya
@mightmanofwar29062 жыл бұрын
Ugali wa bule,😂😂😂😂😂
@ivyaguas21712 жыл бұрын
Zakayo naye yupo😂😂😂😂😂
@zakariaathman90192 жыл бұрын
Utani wetu kama kweli mweupe 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@youngpanther76162 жыл бұрын
Hii move kale sana sana
@AhmedSalah-wm6tq2 жыл бұрын
MBONA JAMAA WA BODA KALAZA MTOTO WA SHULE KULE NYUMAA
@boyiddy93232 жыл бұрын
Duuuuhh kiduchu ana maneno jamoooni🥰
@Idmmuedacente2 жыл бұрын
Good job much love from Mueda Cabo Delgado Mozambique ✌️✌️🇲🇿
@sulaymanwaziri44552 жыл бұрын
Zakayo dah!!! miss you jamaa angu
@nasryabdul73842 жыл бұрын
Hatimaee imetok 🙌
@mariamhimbo98912 жыл бұрын
laana sumaka kweli ww!!! dime la pwani😀😀😀😀
@mansourkhamis72762 жыл бұрын
Leo ni viewer no 1
@pascokibesa9182 жыл бұрын
Mzito km mizigo ya PANGANI, hapo ni kwaajiri ya watot wakiTANGA tu.
@binthkhamisi10972 жыл бұрын
Alf zunde usije mthia na hyu taus ujauzit kma pili...😂😂😂😂😂
@abcosecomartialarts43212 жыл бұрын
Hata Mkituma Saa tisa Usiku tupo
@bashirirakoze97012 жыл бұрын
Wakwanza kbx
@deathryder32132 жыл бұрын
Nakubali martini 🤏🤓🤛👉
@maherzain6152 жыл бұрын
I like your house tin. Beautiful
@anordtanzania2 жыл бұрын
Yule sio binadamu bwana yule kiumbe hai 😂😂
@mtotowamamafromkwaleaccoun44012 жыл бұрын
Apo kwa miwani kama kobe 🤣🤣🤣
@joassylivester41602 жыл бұрын
Mambo si ndo hayo
@mbembefilms53792 жыл бұрын
Unakuja kubadilisha nguooo hahahaa
@salehalzakwani32832 жыл бұрын
Hahahahaha zakayo hamjamaliza aladini na taa ya ajabu
@user-fv2sn7js7g2 жыл бұрын
Kazi kazi duuuuu😂🤣😂🤣🤣😂🤣😂🤣🤣🤣🤣😂😆😆😆😆😆😁
@francessimilanzi45452 жыл бұрын
Kiduchu kwepeshii wala hazungukiii😂😂😂
@meddy-killerofficial2417 Жыл бұрын
Burundi 🇧🇮 kids I love you jamen
@mightmanofwar29062 жыл бұрын
Jicho la jiwe😂😂😂😂😂😂
@janeongala66842 жыл бұрын
Nampenda sana kiduchu
@armaniamani7212 жыл бұрын
Good work Mr tin
@chiefalferous2 жыл бұрын
Wakwanza Mie leo
@iddykayembe7272 жыл бұрын
Sema fundi friji ni pisi ya maana🤣🤣🤣🤣
@vivannywizzy9082 жыл бұрын
Wakwanza hapa
@antonmgozi37042 жыл бұрын
hili kwel sakata
@issaamirishenkarwa33912 жыл бұрын
Dah andoke kwenye nyumba yake 😀🤣🤣
@yasodishonest97922 жыл бұрын
Dume la pwani jamani kapatikana🤣🤣🤣
@fatumaselemani38072 жыл бұрын
Mashallah asante sana washilika love 😍
@vivannywizzy9082 жыл бұрын
Nakukubali sana tiny white
@omaryteddy622 жыл бұрын
Mwanangu zakayo upo
@dremmytz8882 жыл бұрын
dah wazee io ndoo mloekea ao kuku😁😂😂😂iosheni bas daah
@rosareekelvin6709
2 жыл бұрын
😂😂😂
@binthkhamisi10972 жыл бұрын
MashaAllah jin Alidin nimemuona leo sinimekulavu kuthok kenya...
@mcdanta69192 жыл бұрын
Yani unataka umuondoe mwezio kwake 😀😀
@dennisevarist2 жыл бұрын
Pilika na binti yake kama majini chap wamepotea 🤣
@sadatamal3655
2 жыл бұрын
Yaani wamepotea kama upepo 😂🤣😂🤣🤣🤣
@khadijashabaninimba78902 жыл бұрын
🙌😂😂Amlali humu you tube nilijua mie wa kwanz 🤕🙌
@mightmanofwar29062 жыл бұрын
Kiumbe hai 😂😂😂😂😂
@handramatei51082 жыл бұрын
Watu hawalali jamaniiii😀😀😀
@tumajunior60802 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🔥mawe mke wangu
@abigaelymbopyo55112 жыл бұрын
Pilika na mwanae wamepoteaje 😂😂😂😂😂😂😂
@aliabdallah89082 жыл бұрын
Zakayo is back
@tcking13292 жыл бұрын
Anyway Queen look mad pretty on God i like her
@mcdanta69192 жыл бұрын
Eti miwani yako Kama Kobe😀😀
@vitalismsacky55242 жыл бұрын
Mjomba hii kali nenda mwendo huu utatoboa sana nimekubali kaka big up sanaaa
@davidreuben7694 Жыл бұрын
Zakayo wa Aladini Umetisha sana
@rugendorunene5452 жыл бұрын
Dume La Pwani the best!
@shebbythespyro5393
2 жыл бұрын
Dume la pwani abaki kuwa na hiyo character imempendeza sanaaa
@mbembefilms53792 жыл бұрын
Kaliiii
@yes_yes13102 жыл бұрын
Yule sio Binadam bali ni kiumbe hai 😂😂
@nurumangi92952 жыл бұрын
Tin chizi eti kichupa kimejaaa🤣🤣🤣🤣🤣
@juliethylukindo21322 жыл бұрын
Jamani episode nzuli tamu Ila fupi
@SinemaZaChina
2 жыл бұрын
Nyie mnazingua
@jemanyamle5945 Жыл бұрын
Uwiiiiiii 🤣🤣🤣🤣 miwan kama kobe
@tungozamswahilijk46562 жыл бұрын
Tin msenge sana 😁 anataka amfukuze adi mwenye nyumba
@zoozzoz98792 жыл бұрын
Dume la Pwani😅🤣🤣🥰
@swabrinaidassy8652 жыл бұрын
Dume la PWANIIII ❤❤❤❤
@allykalumunwa5220 Жыл бұрын
💪💪💪💪💪 hii tamu sana hongereni aisee
@aronpaul2331 Жыл бұрын
Na miwan yako kama kobee🤣🤣🤣🤣dume la.pwaniii
@raphaelsamuel26742 жыл бұрын
Nice movie 🥰🥰🥰🥰 leteni episode 7 ndugu zangu
@stephenmuindi34668 ай бұрын
Kinduchu ah hatari...unatisha!!!
@mwananyamalaz44272 жыл бұрын
Nimeipenda Sana 🔥🔥🔥 ❤️
@islamic37942 жыл бұрын
Bado tuko p1 japo hii nmechelewa kuiangalia ila p1 had mwisho tunasapoti Kaz ww endeleza 2
@purityneema2182 жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥
@Kabeya4102 жыл бұрын
White eee mwambie rafiki yako Nkojanii anatukosea kaanzisha episode Ugai gai matokeo imekufa ghafla kaweka sijui uchawi uchawi Sasa aseme Ile ugai gai imeisha wapi samahani nimeleta huku kwa kuwa kule kwenye page yake wamefunga hakuna kutuma maoni mwambie we rafiki yako.
@mtotowamamafromkwaleaccoun44012 жыл бұрын
Nitakuja uko tz tuakti na mm 🤣🤣🤣🤣
@mwanaheriomar1415 Жыл бұрын
Yan nyie pipo mnajua afu mnajua zaidi
@complex75822 жыл бұрын
Yani kiduchu kama amebemendwa alivyokua mdogo, halafu anatembea kama central bolt imekatika,usiombe ukipe mimba hicho kiduchu hakuna rangi utaacha ona
@sulaymanwaziri4455
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Yani hujaamka kafika home,, hujalala kaingia mpaka utajuta kumfahamu
@sadatisabihi3818
2 жыл бұрын
Ahhahahahahahaha nyie hatar
@yascomdoe56862 жыл бұрын
Hahahhaah et mke wangu kichupa kimejaa 😂😂😂
@harunimaiga86332 жыл бұрын
Et sisi hapa tuna utani wetuuuu😅😅😅😅😅😂😂😂😂
@jeskajoseph6745 Жыл бұрын
Kiduchu me nampenda kweli 🥰🥰🥰
@mohamedfetty29072 жыл бұрын
Dume Ia Pwani 😂😂😂😂
@ashadaudynjokii36362 жыл бұрын
Mambo ya kiduchu ayo duu ilo nalo neno unamfukuza mumeo wenzio wanambeba
@omaryteddy622 жыл бұрын
Good good 👍
@mussagalahenga58262 жыл бұрын
👍
@zaudiashaban75092 жыл бұрын
Ila kiduchu ni mapepe ila Anaakili sana jamani ila baba fiyetu
Пікірлер: 210
Nampenda mke wa kilangaso yuko vizuri sana my favorite acts
Wa kwanza leo naombeni like
Uhusika wa kiduchu hakika uko sawa anafanya vyema sana inaiwekea amsha amsha kazi hii kila mtu anatamani scene zake. Good
Hahahaha za saizi. Umenionaaaa hahahaaa
Nampenda sana huyu mama aliye igiza kama mke wa tin white maana huwa anaigiza vizuri saana anacheza ki uharisia kabisa pongezi kwake sana
@hamissahamissa105
Жыл бұрын
Nikweli kabisa yupo vizuri sana
@yusrathomas5373
Жыл бұрын
Kwel yupo vzr
@icenMarto
6 ай бұрын
Ni dadake Tausi Ally
Jamani kama mtoto ni hyo basi tin kapataaa hatari sana mzeee
Nime Wai Sana Leo Nime Subiri Sana
Tin fala Sana et "mke wangu kchupa kmejaa" 😂😂😂😂
@CoachHafidh
2 жыл бұрын
Fala kweli...mzee wa showtime 😂
@barakJonijo
Жыл бұрын
Umemskia eeh
@kavulumay9460
Жыл бұрын
Ni mhuni sanaaaa🤓🤓 make wake anaoiga mawe kama risasi
Wa kwanza Wapenzi wangu ..Nipeni like zangu 🥰🥰
Mjomba Tin white unafeli kutuachia ucku sana achia hata mida ya saa moja hvi broo sema kazi nzur sana
Wakwanza mm hapa naomb like zakutosha
Zakayoooooo! Kwenye Alladin Ulitisha Sanaa Uko Vizuri BIG UP🔥
@bikyeombewalo5594
2 жыл бұрын
ivi Aladine iliushiyaga wapi?
@falmaliciousfoods4638
2 жыл бұрын
@@bikyeombewalo5594 mbona imemaliza kitamboo
Sakata ni drama na comedy taamu sanaa hongera team Tin white pia dakika zenu za movie zipo vizur sanaaa naona sakata itakuwa na episode ndefu
Eti "miwani yako kama kobe"😂😂tin utaniuwa🤣🤣
Mke wangu Kichupa kimejaaa
Dume la pwani 🔥🔥mwari mwari 😂😂😂
@faizalmombaofficial8229
2 жыл бұрын
Lalasumaka we Kweli😂
Napenda sna munavyo tuburudisha🥰🥰miwami km Kobe🤣🤣🤣
Mimisioni ubaya wa Kiduchu ❤️❤️❤️🔥🔥🔥🔥🤣🤣🤣
@rugendorunene545
2 жыл бұрын
Mimi Patrick siwezi kuwacha mwana wangu... awe msichana ama mwana ume ati kwa mwana muke... Never!
Namba moja hapa leteni like wadau
Kiduchu kama kuduchu🤣🤣🤣🤣🤣❤aunabaya
Ugali wa bule,😂😂😂😂😂
Zakayo naye yupo😂😂😂😂😂
Utani wetu kama kweli mweupe 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hii move kale sana sana
MBONA JAMAA WA BODA KALAZA MTOTO WA SHULE KULE NYUMAA
Duuuuhh kiduchu ana maneno jamoooni🥰
Good job much love from Mueda Cabo Delgado Mozambique ✌️✌️🇲🇿
Zakayo dah!!! miss you jamaa angu
Hatimaee imetok 🙌
laana sumaka kweli ww!!! dime la pwani😀😀😀😀
Leo ni viewer no 1
Mzito km mizigo ya PANGANI, hapo ni kwaajiri ya watot wakiTANGA tu.
Alf zunde usije mthia na hyu taus ujauzit kma pili...😂😂😂😂😂
Hata Mkituma Saa tisa Usiku tupo
Wakwanza kbx
Nakubali martini 🤏🤓🤛👉
I like your house tin. Beautiful
Yule sio binadamu bwana yule kiumbe hai 😂😂
Apo kwa miwani kama kobe 🤣🤣🤣
Mambo si ndo hayo
Unakuja kubadilisha nguooo hahahaa
Hahahahaha zakayo hamjamaliza aladini na taa ya ajabu
Kazi kazi duuuuu😂🤣😂🤣🤣😂🤣😂🤣🤣🤣🤣😂😆😆😆😆😆😁
Kiduchu kwepeshii wala hazungukiii😂😂😂
Burundi 🇧🇮 kids I love you jamen
Jicho la jiwe😂😂😂😂😂😂
Nampenda sana kiduchu
Good work Mr tin
Wakwanza Mie leo
Sema fundi friji ni pisi ya maana🤣🤣🤣🤣
Wakwanza hapa
hili kwel sakata
Dah andoke kwenye nyumba yake 😀🤣🤣
Dume la pwani jamani kapatikana🤣🤣🤣
Mashallah asante sana washilika love 😍
Nakukubali sana tiny white
Mwanangu zakayo upo
dah wazee io ndoo mloekea ao kuku😁😂😂😂iosheni bas daah
@rosareekelvin6709
2 жыл бұрын
😂😂😂
MashaAllah jin Alidin nimemuona leo sinimekulavu kuthok kenya...
Yani unataka umuondoe mwezio kwake 😀😀
Pilika na binti yake kama majini chap wamepotea 🤣
@sadatamal3655
2 жыл бұрын
Yaani wamepotea kama upepo 😂🤣😂🤣🤣🤣
🙌😂😂Amlali humu you tube nilijua mie wa kwanz 🤕🙌
Kiumbe hai 😂😂😂😂😂
Watu hawalali jamaniiii😀😀😀
🤣🤣🤣🤣🔥mawe mke wangu
Pilika na mwanae wamepoteaje 😂😂😂😂😂😂😂
Zakayo is back
Anyway Queen look mad pretty on God i like her
Eti miwani yako Kama Kobe😀😀
Mjomba hii kali nenda mwendo huu utatoboa sana nimekubali kaka big up sanaaa
Zakayo wa Aladini Umetisha sana
Dume La Pwani the best!
@shebbythespyro5393
2 жыл бұрын
Dume la pwani abaki kuwa na hiyo character imempendeza sanaaa
Kaliiii
Yule sio Binadam bali ni kiumbe hai 😂😂
Tin chizi eti kichupa kimejaaa🤣🤣🤣🤣🤣
Jamani episode nzuli tamu Ila fupi
@SinemaZaChina
2 жыл бұрын
Nyie mnazingua
Uwiiiiiii 🤣🤣🤣🤣 miwan kama kobe
Tin msenge sana 😁 anataka amfukuze adi mwenye nyumba
Dume la Pwani😅🤣🤣🥰
Dume la PWANIIII ❤❤❤❤
💪💪💪💪💪 hii tamu sana hongereni aisee
Na miwan yako kama kobee🤣🤣🤣🤣dume la.pwaniii
Nice movie 🥰🥰🥰🥰 leteni episode 7 ndugu zangu
Kinduchu ah hatari...unatisha!!!
Nimeipenda Sana 🔥🔥🔥 ❤️
Bado tuko p1 japo hii nmechelewa kuiangalia ila p1 had mwisho tunasapoti Kaz ww endeleza 2
🔥🔥🔥🔥🔥
White eee mwambie rafiki yako Nkojanii anatukosea kaanzisha episode Ugai gai matokeo imekufa ghafla kaweka sijui uchawi uchawi Sasa aseme Ile ugai gai imeisha wapi samahani nimeleta huku kwa kuwa kule kwenye page yake wamefunga hakuna kutuma maoni mwambie we rafiki yako.
Nitakuja uko tz tuakti na mm 🤣🤣🤣🤣
Yan nyie pipo mnajua afu mnajua zaidi
Yani kiduchu kama amebemendwa alivyokua mdogo, halafu anatembea kama central bolt imekatika,usiombe ukipe mimba hicho kiduchu hakuna rangi utaacha ona
@sulaymanwaziri4455
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Yani hujaamka kafika home,, hujalala kaingia mpaka utajuta kumfahamu
@sadatisabihi3818
2 жыл бұрын
Ahhahahahahahaha nyie hatar
Hahahhaah et mke wangu kichupa kimejaa 😂😂😂
Et sisi hapa tuna utani wetuuuu😅😅😅😅😅😂😂😂😂
Kiduchu me nampenda kweli 🥰🥰🥰
Dume Ia Pwani 😂😂😂😂
Mambo ya kiduchu ayo duu ilo nalo neno unamfukuza mumeo wenzio wanambeba
Good good 👍
👍
Ila kiduchu ni mapepe ila Anaakili sana jamani ila baba fiyetu
😁😁😁😁😁Nisa kata kweli