Hapo kwenye makofi na walivyo mchangia 😂😂😂😂😂 yani sina mbavu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@nessmwambogolo2545 Жыл бұрын
Kiduchu na babaye💋💋💋
@blackice4568 Жыл бұрын
Kwanini mnatupa episode fupi? Ebu tunataka ndefu kidogo ili tuwe tuna enjoy, I really love this series and I’m your big fan from 🇸🇪🇸🇪 Sweden 🇸🇪
@ibrahimlaiza
Жыл бұрын
Pia mimi nipo hapo hapo episode ni fupi na wana chelea sana
@tungozamswahilijk4656
Жыл бұрын
Jifunzeni kuridhika dakika 28 ndogo? Angalieni ugaigai ya mkojani dakika 15/16,binadamu wabaya yakitale kama hii dakika zake na inatoka Kwa wiki mara moja
@ibrahimlaiza
Жыл бұрын
@Mussa Hoza ndio
@nockigona5160
Жыл бұрын
wengine wavivu wa kuangalia dakika nyingi mimi hata dakika 28 nyingi mno wangefata mwongozo wa aladin
Пікірлер: 342
Yani iki kipande tinh anawapiga makofi nimeludia zaidi ya mala miah😂😂😂😂😂😂🤣😂😂😂🤣🤣🤣😂🤣🤣🤣🤣😋
Wakwanzaaaaaaa gonga like kama unamkubal Tin Mweupee @Sakata Series 🔥🔥🔥🔥🔥
😂😂😂😂aki nafurahia sana movies zenu mungu azidi kuwa pamoja nanyi mtuletee vitu tamutamu kama hivi from Kenya love guys
Jamani tulio rudia mara nyingi hicho kipande wanacho pigana makofi nimecheka mpaka nimelia 😂😂😂😂
Ata huwa sitamani ishee hii movie naipendaa Sanaa much love from Saudi 🇨🇨🇨🇨🇨🇨
Team tin white nipe like zangu hapa nimeipenda Sana 🔥🔥🔥 ❤️+61
Zakayo wewe mzuriîii
@Mustykhan
Жыл бұрын
🤓🤓🤓thanks kwa Kufatilia🙏🙏
Ira nmecheka kirangoso umetisha daaah
Mamae zakayo anakula kucha mamae zake zakayoooo unatuhaibishaà wajumbe😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣muacheni tiny jmn nyote mwampiga 👌👌👌👌🔥🔥🔥🔥
Jamani asanten kwa burudani tunainjoi mungu awalinde mzidi kutupa burudani
Sakata iko vizuri hongera washiriki wote
Huyu zakayo huyu ananiangusha kabisaa🙆🙆🙆🙆
@Mustykhan
Жыл бұрын
🤓🤓🤓thanks kwa Kufatilia🙏🙏
Zakayo asa umejua kuliangush jahazi
@Mustykhan
Жыл бұрын
🤓🤓🤓thanks kwa Kufatilia🙏🙏
🔥🔥❤️ sataka nzuri sana series tin white big up bro 🤗
@nusranuznusra8979
Жыл бұрын
White penda wewe sakata😜😜😜😜😜😜😜😜😜😜😜😜😜😜😜😜😜😜😜big up
@mr.tabasamumedia9740
Жыл бұрын
@@nusranuznusra8979 sure series zake 🔥❤️ very creative
yaani nilikuwa nipo macho nasubiri 🥰🥰🥰🙌
🔥🔥🔥namkubali dume la pwan Yuko🔥
laana sumaka😂😂😂. Dume la pwani miyeyusho sana😂😂
Dagobet ajengewe sanam morogor nkukubali snaaaaaaa
Utamu utamu tin white kilangaso hii combination naipenda sana na dune la pwani
Hapo kwenye makofi jmn nime cheka sn🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂
Leo namba moja tenakama kwaida Tiya like kama unakubaki team tin white
Wakwanza Leo nakubal bro tin na member of crew
Abdul nakukubali sana we ni nomaaaa.
@complex7582
Жыл бұрын
Shami hujambo
Hili kweli sakata 😁😁🙌 Zakayo domo zege 🤣🤣🙌
@Mustykhan
Жыл бұрын
😋😛😛😛
@Mustykhan
Жыл бұрын
thanks kwa Kufatilia
@hancybeny
Жыл бұрын
Na wakati alijifanya na mineno kibao kwa Abduli amuunganishie Kiduchu
From Aladin to Sakata🔥🔥🔥🔥🔥
Duuuuh mmetisha kal khtr yan mnavtk mmenifany nichek kwa saut
You made my day 😂😂😂
Mnatisha mwanagu👍👍👍👍👍👍
wa kwanza leo wapi like zangu jamani
mwanangu zakayo umecheza vzl kinoma
@Mustykhan
Жыл бұрын
🤓🤓🤓thanks kwa Kufatilia🙏🙏
@TALLUBOY
Жыл бұрын
pamoja support me #AVATASTAR255 🎵👈
Mguu wa tausy nmeuelewa wallahy
KAZI nzuri nawakubali kinoma hii combination yenu ni 🔥🔥🔥 acha tuenjoy sasa
Oya zakayo ataniuwa 😂😂😂😂😂🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@Mustykhan
Жыл бұрын
🤓🤓🤓thanks kwa Kufatilia🙏🙏
@tcking1329
Жыл бұрын
@@Mustykhan I'm big fan of you still Aladdin 👍😄
@Mustykhan
Жыл бұрын
@@tcking1329 🙏thanks more🥰🙏🙏💪
@tcking1329
Жыл бұрын
Bro for how long u grow ur hair if no mind give me ur email
Hili kwl sakata duh🤣🤣🤣
Kabeba viatu kasepa zakayooooo🤣🤣🤣🤣🤣🤣😍😍
Jmn naomben mtoa hiyo song inaamsha saan😂😂😂😂😂
😂😂😂Tin white ni zaid ya comedy
Hongereni sakata love frome oman
Zakayo bhnaa unatuanguxhaa
Dume la pwani mzee wa LAANA SUMAKA😂😂
Nuru ni mrembo jaman 😘😘
Huyu Aladin Sasa khaaaa🤣🤣🤣🤣 hiyo mikofi Sasa
Kilangaso umekimbiliyawapi Kilangaso 😁😁😁😁😁🤣katoto kiduc mtamuuwa moupe jameni 😢
Hapo kwenye makofi na walivyo mchangia 😂😂😂😂😂 yani sina mbavu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kiduchu na babaye💋💋💋
Kwanini mnatupa episode fupi? Ebu tunataka ndefu kidogo ili tuwe tuna enjoy, I really love this series and I’m your big fan from 🇸🇪🇸🇪 Sweden 🇸🇪
@ibrahimlaiza
Жыл бұрын
Pia mimi nipo hapo hapo episode ni fupi na wana chelea sana
@tungozamswahilijk4656
Жыл бұрын
Jifunzeni kuridhika dakika 28 ndogo? Angalieni ugaigai ya mkojani dakika 15/16,binadamu wabaya yakitale kama hii dakika zake na inatoka Kwa wiki mara moja
@ibrahimlaiza
Жыл бұрын
@Mussa Hoza ndio
@nockigona5160
Жыл бұрын
wengine wavivu wa kuangalia dakika nyingi mimi hata dakika 28 nyingi mno wangefata mwongozo wa aladin
Uyo zakayo mmempata wap jmn boya ivoo, anakimbiaje sasa jmn😂😂Mali nyeupe iyoo
@Mustykhan
Жыл бұрын
🤓🤓🤓thanks kwa Kufatilia🙏🙏
@mwinukafundibombanjombe
Жыл бұрын
@@Mustykhan ndio wewe sunguraporii unakimbia mali nyeupe kabisa iyoo😂😂😂
@Mustykhan
Жыл бұрын
@@mwinukafundibombanjombe 😂😂🤣🙏🙈
Naona #Sakata inazidi kukolea utamu harafu #Ugaigai inaishiwa kabsa utamu kwa sasa
😂😂 pilika alivyoingia kama mwanajeshi Kofi mwingine kaongea Kofi 😂😂😂 alivyochangiwa sasa
@zakariaathman9019
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Zakayo nilimuona wa maana kumbe domo zege pumbafuu 🤣🤣🤣
@Mustykhan
Жыл бұрын
🤓🤓🤓thanks kwa Kufatilia🙏🙏
Mashallah asante sana washilika mungu awajalie sana
Wa kwanza leo musininyime likes bas
😄😄😄😄😄😄😄ila nyie nimejikuta nacheka simaliziii
Hyo sehemu ya makofi😁😁🤣🤣🤣🤣🤣
Dume la pwani huo mwendo msuli utaanguka uoo😂😂😂😂
Zakayo alipotimua mbio pale daaah 😆😆😆😆😆😆😆😆
@aronpaul2331
Жыл бұрын
Ila zakayooooo
😂😂😂😂😂😂😂😂sakata imekuwa ya mtoto atari🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Zakayo katixha sana ik kupande
Kali ya mwaka 😂😂😅
Zakayo unazingua ujue 😂
@Mustykhan
Жыл бұрын
🤓🤓🤓thanks kwa Kufatilia🙏🙏
Abdul na zakayo waongezewe muda wa ku shoot
@Mustykhan
Жыл бұрын
🤓🤓🤓thanks kwa Kufatilia🙏🙏
Mbona ya kumi umeichelewesha ndugu yangu au unataka watu wakutoroke ilete bhana
Hongereni Sana❤️🥰
Saka wallah tamu kweli,😂😂😂
Abduli anajua kuuzia MTU mbuzi kwenye gunia 😜😜😜😜😜😜😜😜😜😜😜
Zakayo kumbe na ww chizi na nusu hahaha
🤣🤣🤣aki dume la pwani mungu anakuona
Mweupe unajua ndugu yangu
Nawapeda sana hogera
Hahahahah 🤣😂🤣😂🤣😂🤣yani mnajuwa kututowa ma stress 🤣😂😅😆.
Zakayo umetisha
Zakayo Pumbavu nn wew kucha za nn😂😂😂
Wakwanza leo.. nipeni like zangu
Wee queen wanizingua bana waona viatu vya mumeo bado tu ht naenda mm namfumua nachanacha 👌👌👌🥰🥰🥰🥰
Eti we nawe shoga angu unamkosi😂😂😂😂😂😂😂
Noma sana toka rock city sakata kitaa ndio movie ya taifa🇹🇿🙌🙌🙌🔥🔥🔥
@rechelmbakilwa5567
Жыл бұрын
Saf San jaman aladin
Mzee pirikaaa 🔥🔥🔥
♥️ kaz nzuri SAKATA
Hili nalo sakata kweli🤣 from Qatar
Martin kapewa kipigo cha watatu🤣🤣🤣
Kiduchu kala bakoraaa😂😂😂
Zakayo unaniangusha mzeee🤣🤣
@Mustykhan
Жыл бұрын
🤓🤓🤓thanks kwa Kufatilia🙏🙏
Huyu tini ,,, hpa kiduchu kampga kwel ,,,,.. kwel si et kamzbua mwnzie la mdomo
Ety me nakuja wanichukua🤣🤣🤣
Ngoj nicheke 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 hii ndo sakata bg up wait
Pirik umejua kunchkesha c kwa mbata izo unowapig wenzio😂
Nawakubali sana 😂😂🙌🙌
Sasa acha kung'ata kucha huo umama😂😂😂😂
@Mustykhan
Жыл бұрын
🤓🤓🤓thanks kwa Kufatilia🙏🙏
Mbavu sina kabisa 🤣😂🤣😂🤣😂🤣😂🤣😂🤣🤣😂😆😆😆😆😁
Zakayo you have made my day walae 😂😂😂😂😂😂
@Mustykhan
Жыл бұрын
😁😃😁🥰😂Thanks🙏to you🥰🙏
@Mustykhan
Жыл бұрын
😄😃😁😃🥰🥰🥰🥰🙏🙏thanks to you 🥰🙏
Kazi nzur Sana wangap wanaikubali
Mwendo wa makofiii hahahaaa
Da kka zidi2 kutuleteya vi2 vizuli Kam iv 🙌💥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
zakayo ni chizi😂😂
@Mustykhan
Жыл бұрын
🤓🤓🤓thanks kwa Kufatilia🙏🙏
Like kwa mama Nuru😂😂😂😂
🤔😄😄😄 Yan apa nimepatafunzo ndugu yangu Aladin sema ogezeni mda kwa Kila episode
Hiyo mikofi jamani nimecheka hatar 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 mpk nusu kujikojoleya
Amevamiwaa namtot wake kampga
😂😂😂😂 so kwa makofi hayo