Wakulungwa tunaoifatilia Sakata toka ilipoanza weka like moja ya nguvu
@mujarifuwiliam6511
Жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/hJetmZmmXdHadLw.html
@alhmdulilah1187
Жыл бұрын
🙌🙌
@mvuyekurelina3070 Жыл бұрын
Mnanipa raha sana mdaa wote niko tu online ju yenu from Burundi 🇧🇮 like zenu jamani
@yesunimwema4497
Жыл бұрын
Wakutoka burundi 🇧🇮tuko pamoja na sakata japokuwa nacherewa hahaha hahaha 😆😂🤣😅
@emmakifimbo1244
Жыл бұрын
Kwaiyo muda wote uko online,kazi unafanya Saa ngapi au ndiyo walewle mnaolalamika mama kabana pesa
@joobuy Жыл бұрын
Kama umesikia uhuru kenyata gonga like 😂😂😂😂😂😂😂🔥🔥🔥🔥
@kassimiddi8593 Жыл бұрын
Like za wakenya apa 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@bahatijuma1626 Жыл бұрын
Wale team Saudi likes zenu 🇸🇦😍😍😝
@nasranasra361
Жыл бұрын
Tuko apa kabisa kama kawaida🇸🇦🇧🇮
@harithnyara1948 Жыл бұрын
Leo kidoogo nimeona movy ina kiwango sio kila siku nagwa awe mbabe tu hakuna wakumzingua ... At least nayeye apate mbabee🤔🤔 Pamoja one love team white...
Пікірлер: 385
Wakulungwa tunaoifatilia Sakata toka ilipoanza weka like moja ya nguvu
@mujarifuwiliam6511
Жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/hJetmZmmXdHadLw.html
@alhmdulilah1187
Жыл бұрын
🙌🙌
Mnanipa raha sana mdaa wote niko tu online ju yenu from Burundi 🇧🇮 like zenu jamani
@yesunimwema4497
Жыл бұрын
Wakutoka burundi 🇧🇮tuko pamoja na sakata japokuwa nacherewa hahaha hahaha 😆😂🤣😅
@emmakifimbo1244
Жыл бұрын
Kwaiyo muda wote uko online,kazi unafanya Saa ngapi au ndiyo walewle mnaolalamika mama kabana pesa
Kama umesikia uhuru kenyata gonga like 😂😂😂😂😂😂😂🔥🔥🔥🔥
Like za wakenya apa 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Wale team Saudi likes zenu 🇸🇦😍😍😝
@nasranasra361
Жыл бұрын
Tuko apa kabisa kama kawaida🇸🇦🇧🇮
Leo kidoogo nimeona movy ina kiwango sio kila siku nagwa awe mbabe tu hakuna wakumzingua ... At least nayeye apate mbabee🤔🤔 Pamoja one love team white...
@magrethdotto32
Жыл бұрын
Duh hat mie nmeenjoy nagwa kuzinguliwa
Nagwa Leo limemkuta jambo 😂😂😂😂
Nagwa😀😀😀🥰🥰🥰 kibokoyako amepatikan🤣🤣🤣🤣😂😂💪💪💪💪nawapenda
kiduchu anavotembea😂😂😂
Hivi watu mnaangalia ikiwa bado haijatoka ikiwa studio maana kila ikitoka nakuta watu buku hadi buku mbili 😂😂😂😂😂😂
@scholahmwelange1406
Жыл бұрын
😂😂😂😂
Nimesikia uhuru Kenyatta kwenye hii sakata 🔥🔥🔥🔥
@fettylove1561
Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
Qeen jiongeze jibanze kibarazan utamjuwa fundi friji
@rahmarajab9835
Жыл бұрын
Nakubaliii
Yaani sakata Bombaa saaana kweny lisaa limoja tu tayar like300 💥💥💥💥
Nawapenda Sana jamari😁😁😁
Big up Tinwhite gang👌👌🔥🔥napenda huo mziki tu,,UAE,, 🇰🇪🙏🙏
Kazi nzuri sana bro 🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Daaaaah tunavyojua kwenda na mudaaa Atimae imetoka😅🔥
@johnmbigi7930
Жыл бұрын
Daaah hii kitu iwepo hata hko peponi😂😂
@totmohammedtotmohammed2982
Жыл бұрын
Kapigwa na kitu kizito leo😀😀😀😀
Yani hii sakata inanipa laha hamuwezi kujuwa hakiyamungu uwiii big up Everyone.
😁😁😁 like zangu ata kam ninechelewa😒
NANGWA KAKUTANA NACHO😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@ibrahsmartcolour5973
Жыл бұрын
Kabisa yan
DUH WATU KAMA WAMEPEANA TAATIFA VILE NATOA LOKI SIMU NI COMMENT NIWE WAKWANZA NA SHAANGAA NAKUWA MTU WA 10 WAKAT MM WAKWANZA KUIONA😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂👍👍👍👍
@boyiddy9323
Жыл бұрын
Hahahahah watu wako resii saaana
@husseinathuman8469
Жыл бұрын
😀😀😀😀
@tonymsiluwova3926
Жыл бұрын
Tume turn on notification
@ashakhamis9093
Жыл бұрын
😲😲😲😲
Duuh watu wanajua kuniwahi, Ila sakata Tamu Sana, big up Sana wasanii wa sakata.
Asanteni sana white films,, watching from 🇰🇪🇰🇪🔥
Mahari ya kiduchu milioni mbili 🤣🤣🤣🙌 sakata🔥🔥
Nagwa 😅😂😅😂😅😂😅😂😂😅🙌🙌🙌🙌kumbe unaweza tulia😂😅😂😅🔥🔥🇰🇪🇰🇪
Looking from india 🇮🇳 tin Nakupenda sana
@chocolatebby7328
Жыл бұрын
Umeend kufanya kazi au
@rajuphotographer2102
Жыл бұрын
Mambo
@Ghost-rt6pl
Жыл бұрын
Yes
@solizzychessossa1044
Жыл бұрын
Índia WAP ww
@alicembulumi6903
Жыл бұрын
nawewe upo apa india moja😅😅😅
From Zambia Lusaka Nawapenda sana Tin white 🤣🤣🤣
@emmakifimbo1244
Жыл бұрын
Wewe muongo hauko Lusaka uko Kwa mpalange tunakujua
Ila kusema ukweli jeska mzurii jamanii😍😍😋😋😋😘😘😘
@ramadhanhemed9931
Жыл бұрын
Hujamuona Nuru wewe 😂
@rafaelinyakumu1142
Жыл бұрын
jeska chombo
Wapili Leo namm nipeni like zangu 😌
Jamanieeeeee wallahi mwatukat utam pandisheni hata mbili mbili kwakweli mwakera xana
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🔥🔥🔥🔥 nimefika jamani
Daahhhhhh R.I.P sec😭😭pumziko jema
waaah sakata leo nmechelewa all the way from kenya
White filam ni moja tu💞🙌🙌shukran sana kwa kutuletea vitu vizur🙌🙌🙏🙏👄
Dah.. from Nairobi Kenya....alafu naget notification nikidhani am the first kumbe mshavamia sakata😂😂😂
@dullahd7736
Жыл бұрын
Sijui notification huwa zinafika muda tofauti tofauti kwenye simu zetu🙈
Jamani kiukweri nyimbo imeenda Kidato hongereni sana
Sakata kweli kali na wapata kutoka urusi
Mbavu zangu mieeeeee😃😃😃😃
*WAKENYA TUNAWAPENDA* 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Haki amungu wallahi nimecheka sana hapa mwisho tin white kanifuraisha sana
I love everybody in this movie ❤️but jesca 🙉 ako na sura mmh especially anapokuwa seriouse 🤗
Ila jeska hata kwenye maisha halisi ni mjeuri
Nagwa anajifanya m babe sana kaptikana cha moto si mchezo
Tin you are never disappoint God bless you manzee nawapenda sana Kenya twawapenda
Kile chakula cha jioni kimenichekesha kweli yani daah!!! Mumewaweza 😂😂😂🤦🏿♂️
sema awa majamaaa wanajua nawakubali sanaaa
Nagwa umeyakanyaga leo zamu yako maana sijui nàwe ushakua shangingi kisa mkuu wa kuku tuu.
😁😀😁😁😂kishakuneli anakula ng'ombe mzima atamrusharusha Kama njugu
Nouma San asee ama kwel sakata🔥🔥🔥🔥
Uhuru Kenyatta was just chilling then Boom 💥🤯 akajipata kwa mix hehehe🤩🤩
😜🤪🤣😅😂🙄 iyo mzuri sana kweli
Hapo kwenye mahali million 2 hahaah alfu kuna ule mjibu wa nyoooh 😂😂😂😂 #bongomovieipomikonosalamakwenu🙌🙌
Kiduchu babaako muhun kweli et umemuonea huruma abdul
Mkono anakuambia "Ndani mtiti nje mtiti "Jesca kazi anayo patamu apo jamn.
Mkono msenge sana eti haya ivo unavyotaka
Nagwa hapo vipiii,damu imesimamaaa
Eti Mahari Ni Million Mbili2 Nyooo
Nyie et Abdul anataka kutembea na usitake nicheke
Kaka Tausi ukonabusara 🔥🔥❤️❤️❤️
Wajuba nagwa kapanda boti la vibwengo kakutana na mdomo wa bata🤣🤣🤣 from Tz
@zuhuramustapha3996
Жыл бұрын
Atareee sio poa
nawakubal sana kaz zako tin
Qween unamoyo mpenz mungu akufungue t
Uo mwisho sasa tin ustuek sana patam apooo
🤝🤝 shukulan
Hahahahaha Yani jamn inanifuraisha San jamn nacheka pak bas
Jamn kaka ake taus nimempend bur man sio kwa misimamo hiyo kaz nzur san
Aaaaaaaaaaaah tin white umenichekesha sana Leo du we hatar
piga busu uyo
Tin na dume la pwani safi sana
Nmechelewa lkn utam tumepata wote like zenu
Mahari ya mwanangu ni milioni 2.......tutaongea vizuri
Natamani iyi muvi iwe inatoka kilasiku maana utamu unazidi kbx daaaa inanitoa stress kbx🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Yani film ikifika kwa thin na Dagobert inakuwa tamu
😂😂😂😂mkizaa mtoto mtazaa kidunguli
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Mutahama hmo ndani nyiko nyie mxiiiiuu 😂😂😂😆😆😆😆😆
Tuludi nyumaa mbn ujanambia km una bwana yupo marekanii😁😁🤣😂 anoikubali Sakata gonga like hapaa 👍
Ila Bado tupo pamoja bwana nagwa adi huruma 🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂pilikaaa aky ww ukianza kuangukaa waongea kabsaa 😂🤣 much love from kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
🇲🇿🇲🇿🇲🇿From mozambique... 05:48... Cabo delgado Balama
Dad the first like zenu jamn
Doo Leo nimechelewe
Leo mmenifurahisha dakika 38 bado kidgo tutafikisha lisaa lizima🥰🥰😇
@johnbernad3990
Жыл бұрын
Saana nami kwa hili nampa big up tin white 👍💪
Ubwabwa na maharage aushikiki sasa hiyo ela ndogo haitumiki sasa 😂😂💪🏾🔥❤️🇹🇿
😂😂😂 tufanye namtaka jeska
Woyoooooooooooo asante sana washilika mungu awajalie sana
Sasa tin unafuta jasho juu ya kofia😀😀😀
Mahari milioni 2 nyooo tutaongea🤣🤣🤣🤣🤣
Wareteeeee 🤣🤣🤣 jmn nagwa
Jamani jamanii mkono atamtoamtuu rohoo
Iyo inanogesha movie
Dume la pwani hauko sawa kwani Alivyo mlala hakujua hilo litatokea??? Aowe tu hakuna kesi lazima aowe. From Sele suwedi LONDON
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂nagwa Kawa mpole kinyama hiyo ndo SAKATA
Muna tuweka sana jaman
Nagwa sasa kayakanyaga!! Nimecheka haha
Mbele ya mguu wa kuku hakunaga usalama.........nagwa umekua mpole gaflaaa
Pirika cuniokotee hayo mapera unitumie na m pesa
Nimeikubal, Mocimboa da praia--Nanduadua 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Kilangaso acha masiara bro mwachie Mkono aka mpige Jessica matukio mbele mbele 😆😂
Uroho huu ni noma
Wa kwanza Mimi apa