SAID BWANGA AMLIPUA MKOLLA - " NITAMPIGA kwa MKONO MMOJA, MSHAMBA wa UMAARUFU, KILAZA tu KATUABISHA"
Спорт
SAID BWANGA AMLIPUA MKOLLA - " NITAMPIGA kwa MKONO MMOJA, MSHAMBA wa UMAARUFU, KILAZA tu KATUABISHA"
KUELEKEA Pambano la 'DAR BOXING DERBY' Juni 29, 2024 ambalo mabondia Said Bwanga vs Said Mkolla watapanda ulingoni, tumepiga stori na Bwanga kuhusiana na maandalizi yake.
Пікірлер: 16
#26life🌎👣🏁...... Bwanga ww nibondia og 🥊🥊. Pull up Rasta
Bwanga anajua sanaa
Saf Sana mdogo wangu bwanga kazi kazi bila kuchoka
@muddyzanga7476
20 күн бұрын
nakubali ayoo
Saaafi saaana Mwanangu Side Bwanga
Your New champion side bwangaaa
Real champion 💪 mbagala finest
Salute inja yami
said bwanga anakipaji kweli
Boxer mzuri sana huyu
bondia no 2 mbagara na 1 Juma choki
Said Bwanga anaongea taratiiibu na kwa kusikika safi sana.
@user-nu1yo1ws8n
19 күн бұрын
Katika kuongea Yuko vizuri cyo bondia unaropoka ropoka tu hovyo kama unaimba taarabu wakat ngumi n mchezo wa kiume Dua sana Kwa said bwanga aweze kushinda hyo game yake
Eti unampeleka kilaza kama yule😂
Shida yetu sio wewe shida yetu huyo Msuka Rasta
@WakiliHaule
16 күн бұрын
Ammuwezi Ibra nyinyi..uyo Mkola kashachezea sana kwa Ibra kwenye Spar😊