Ruto amewafuta mawaziri kufuatia shinikizo za mageuzi kutoka kwa vijana nchini
Rais William Ruto amewafuta kazi mawaziri wake wote, kufuatia shinikizo za mageuzi kutoka kwa vijana nchini. Kwenye hotuba yake fupi kwa taifa, Rais pia amemfuta kazi mwanasheria mkuu Justin Muturi, huku akitangaza kuwa ni Naibu Rais wake na Mkuu wa mawaziri Musalia Mudavadi watakaosalia
Пікірлер: 21
Wakwende Na huko,mtu kama duale mdomo mingi unaweka Kwa defence,weka sameone who is rtd frm same jeshi hawe minister to defence
@MustafaKhiranga-mr6dz
19 күн бұрын
Wahame kenya
Wakwende kabisa wanafanyia mshahara wa 700000 per month nawengine tunafanyia 40k per month na tunaishi maisha ya kawaida tu, mbona wao waishi maisha ya mabwenyenye wa US na ilihali wako Kenya kunyanyasa watu wenye mapato madogo😢😢😢
Collective punishment ain't going to work. Ruto hapa amenoa.
A aaah, Tha Jumwa naye, afutwa 😢😢😢
Aisha jumwa anachekelewa na wana ODM 😂😂😂
@MustafaKhiranga-mr6dz
19 күн бұрын
Mbna xaxa
@MustafaKhiranga-mr6dz
19 күн бұрын
😮😮😮😮😅
Why why this Genz sisi ndo tulianzisha lazma tumalize mbona tuallow vijana wengine wakufe ..Genz wake up Plz ruto atamaliza vijana wetu plz..lazma twende state house kama Genz lazma tuamke coz ruto atamaliZa vijana wetu for sure
Kithure pia. Ahhh.....
Alishajua😂😂😂😂😂😂
Allahu akbar
Jameni kindiki asiende.aki alikua ameanza kutuondolea hii makanisa inalete masaitu kenya
The next move will be not a friendly one. The reshuffling and appointment we will see, the latter will be better
😂😂😂I love every moment of it 😂
@jacksonkoisi6189
20 күн бұрын
Kindiki jamani arudishiwe huyo anaweza.kazi yake
Mbona ameacha atwoli??
@mushaikenya2584
20 күн бұрын
Huyo jamaa anafaa aende home,ana ujeuri mwingi sana.
THE POSSIBLE REASON AS TO WHY he is firing all CS is to justify himself that he was not corrupt and that only them were corrupt, do not be deceived. WE ARE NOT TALKING ABOUT RUTO ONLY but we are talking about any King in the world who have been elected into power. This is what it is written about them. Revelation 19:19 (KJV) And I saw the beast, and the kings of the earth, and their armies, gathered together to make war against him that sat on the horse, and against his army. So this means that even if Ruto goes, the solution is not to elect another person into power because if you do that, you will suffer. The solution is to give yourself to Christ as the only King 𝙎𝙚𝙖𝙧𝙘𝙝 𝙛𝙤𝙧 "𝙏𝙃𝙀 𝙏𝙍𝙐𝙀 𝙒𝘼𝙔 𝙏𝙊 𝙃𝙀𝘼𝙑𝙀𝙉 𝙜𝙤𝙨𝙥𝙚𝙡 𝙢𝙚𝙨𝙨𝙖𝙜𝙚𝙨"
Pls pls presso kindiki asiende aki mr presso.sio wakwetu mimi niwa mks.lakini aki anajua kuchugusha vitu sana