Ruto amewafuta mawaziri kufuatia shinikizo za mageuzi kutoka kwa vijana nchini

Rais William Ruto amewafuta kazi mawaziri wake wote, kufuatia shinikizo za mageuzi kutoka kwa vijana nchini. Kwenye hotuba yake fupi kwa taifa, Rais pia amemfuta kazi mwanasheria mkuu Justin Muturi, huku akitangaza kuwa ni Naibu Rais wake na Mkuu wa mawaziri Musalia Mudavadi watakaosalia

Пікірлер: 21

  • @williammutiso4340
    @williammutiso434020 күн бұрын

    Wakwende Na huko,mtu kama duale mdomo mingi unaweka Kwa defence,weka sameone who is rtd frm same jeshi hawe minister to defence

  • @MustafaKhiranga-mr6dz

    @MustafaKhiranga-mr6dz

    19 күн бұрын

    Wahame kenya

  • @catherinemusyimi2437
    @catherinemusyimi243720 күн бұрын

    Wakwende kabisa wanafanyia mshahara wa 700000 per month nawengine tunafanyia 40k per month na tunaishi maisha ya kawaida tu, mbona wao waishi maisha ya mabwenyenye wa US na ilihali wako Kenya kunyanyasa watu wenye mapato madogo😢😢😢

  • @petermugambi9601
    @petermugambi960119 күн бұрын

    Collective punishment ain't going to work. Ruto hapa amenoa.

  • @rosekadzokillian9700
    @rosekadzokillian970019 күн бұрын

    A aaah, Tha Jumwa naye, afutwa 😢😢😢

  • @MamyHamso
    @MamyHamso20 күн бұрын

    Aisha jumwa anachekelewa na wana ODM 😂😂😂

  • @MustafaKhiranga-mr6dz

    @MustafaKhiranga-mr6dz

    19 күн бұрын

    Mbna xaxa

  • @MustafaKhiranga-mr6dz

    @MustafaKhiranga-mr6dz

    19 күн бұрын

    😮😮😮😮😅

  • @paparonahtv
    @paparonahtv19 күн бұрын

    Why why this Genz sisi ndo tulianzisha lazma tumalize mbona tuallow vijana wengine wakufe ..Genz wake up Plz ruto atamaliza vijana wetu plz..lazma twende state house kama Genz lazma tuamke coz ruto atamaliZa vijana wetu for sure

  • @rosekadzokillian9700
    @rosekadzokillian970019 күн бұрын

    Kithure pia. Ahhh.....

  • @aishasaidi1784
    @aishasaidi178420 күн бұрын

    Alishajua😂😂😂😂😂😂

  • @FatnaAlly-go7yt
    @FatnaAlly-go7yt17 күн бұрын

    Allahu akbar

  • @philomenamueni30
    @philomenamueni3020 күн бұрын

    Jameni kindiki asiende.aki alikua ameanza kutuondolea hii makanisa inalete masaitu kenya

  • @dennismutinda9875
    @dennismutinda987520 күн бұрын

    The next move will be not a friendly one. The reshuffling and appointment we will see, the latter will be better

  • @djkool5991
    @djkool599120 күн бұрын

    😂😂😂I love every moment of it 😂

  • @jacksonkoisi6189

    @jacksonkoisi6189

    20 күн бұрын

    Kindiki jamani arudishiwe huyo anaweza.kazi yake

  • @user-jl2jt3fw7f
    @user-jl2jt3fw7f20 күн бұрын

    Mbona ameacha atwoli??

  • @mushaikenya2584

    @mushaikenya2584

    20 күн бұрын

    Huyo jamaa anafaa aende home,ana ujeuri mwingi sana.

  • @humblemureithi
    @humblemureithi20 күн бұрын

    THE POSSIBLE REASON AS TO WHY he is firing all CS is to justify himself that he was not corrupt and that only them were corrupt, do not be deceived. WE ARE NOT TALKING ABOUT RUTO ONLY but we are talking about any King in the world who have been elected into power. This is what it is written about them. Revelation 19:19 (KJV) And I saw the beast, and the kings of the earth, and their armies, gathered together to make war against him that sat on the horse, and against his army. So this means that even if Ruto goes, the solution is not to elect another person into power because if you do that, you will suffer. The solution is to give yourself to Christ as the only King 𝙎𝙚𝙖𝙧𝙘𝙝 𝙛𝙤𝙧 "𝙏𝙃𝙀 𝙏𝙍𝙐𝙀 𝙒𝘼𝙔 𝙏𝙊 𝙃𝙀𝘼𝙑𝙀𝙉 𝙜𝙤𝙨𝙥𝙚𝙡 𝙢𝙚𝙨𝙨𝙖𝙜𝙚𝙨"

  • @philomenamueni30
    @philomenamueni3020 күн бұрын

    Pls pls presso kindiki asiende aki mr presso.sio wakwetu mimi niwa mks.lakini aki anajua kuchugusha vitu sana

Келесі