RUBANI MDOGO MTANZANIA ANAYERUSHA NDEGE AFUNGUKA CHANGAMOTO ALIZOKUTANA NAZO AFRIKA KUSINI

RUBANI MDOGO MTANZANIA ANAYERUSHA NDEGE ZA KIVITA AFUNGUKA CHANGAMOTO ALIZOKUTANA NAZO AFRIKA KUSINI
Hivi karibuni tulikuletea simulizi ya Ndege ya kivita ya Ukraine, MiG-29 Fulcrum inayoongozwa na rubani aliyebatizwa jina la The Ghost of Kyiv (Mzimu wa Kyiv) ambayo ilikuwa gumzo.
Ndege hiyi ilipata umaarufu mkubwa kutokana na oparesheni za kijeshi inazozifanya katika Jiji la Kyiv ambapo ilisemekana kuziangusha ndege sita za kivita za Urusi.
Inaelezwa kwamba ndege sita za Urusi zilitunguliwa Februari 24, 2022 muda mfupi baada ya Urusi kuanza mashambulizi ya anga dhidi ya serikali ya Ukraine na kuanzia hapo, The Ghost of Kyiv amepata umaarufu mkubwa na kuungwa mkono na wananchi wengi wa Ukraine.
Tukiachana na stori hiyo, turudi hapa Bongo na tukutane na simulizi nyingine ya binti Mtanzania mwenye umri mdogo ambaye anaweza kuendesha helkopa inayoweza kutumika kwenye vita.
Huyu si mwingine bali ni luteni Usu Hasnat Akbar.
Ni binti ambaye hivi karibuni alitunukiwa tuzo ya kuhitimu masomo yake ya urubani Afrika Kusini.
Amesimulia changamoto alizokutana nazo pamoja na mambo mengine mengi. Karibu umsikilize….
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Пікірлер: 42

  • @dorcasseruhere6875
    @dorcasseruhere68752 жыл бұрын

    Hongera sana na Mwenyezi Mungu akuongezee kujiamini na kazi iendelee.nakupa Big up.watunze wazazi wako

  • @paulinacherement2534
    @paulinacherement25342 жыл бұрын

    Mashallah ALLAH barik

  • @bartondidas849
    @bartondidas849 Жыл бұрын

    hongera sana dear Mungu azidi kukubariki na kukuongoza

  • @irenembisso1601
    @irenembisso16012 жыл бұрын

    Hongera Sana Asnat akbar

  • @magrethmollel1078
    @magrethmollel10782 жыл бұрын

    Hongera sana binti yetu we real proud about you

  • @safiyatheonlything7848
    @safiyatheonlything7848 Жыл бұрын

    hongera mtt mzuri Mungu akusimamie lnshallha

  • @joackimpeter6501
    @joackimpeter65012 жыл бұрын

    Ongera sana dada kazana utuwakilishe watanzania big up

  • @SaidMkwabi-ho8yy
    @SaidMkwabi-ho8yyАй бұрын

    Hongerasana kwakweli mungu akusaidie najua utapitia mitihani mingi

  • @RonnieMchatta-pr5bd
    @RonnieMchatta-pr5bd2 ай бұрын

    Hongera sana dada keep it up

  • @mkanamc8341
    @mkanamc83412 жыл бұрын

    👏👏👏👏Never give up

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan24992 жыл бұрын

    Mashallah, hongera sana mdogo wangu, 😘❤️

  • @mariasixmund7964
    @mariasixmund79642 жыл бұрын

    Hongera kwake

  • @yusufkisome639
    @yusufkisome6392 жыл бұрын

    Hongera Sana binti yetu

  • @saddamrashidmohmmedsaddamr7378
    @saddamrashidmohmmedsaddamr73782 жыл бұрын

    Nice

  • @RonnieMchatta-pr5bd
    @RonnieMchatta-pr5bd2 ай бұрын

    Very good

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma32312 жыл бұрын

    Hongera sana

  • @alfamweta9922
    @alfamweta9922Ай бұрын

    Salut dada

  • @faridaaloyce7672
    @faridaaloyce76722 жыл бұрын

    Hongera dada

  • @prefectalex9397
    @prefectalex9397 Жыл бұрын

    ONGERA SANA...........ADAA HAPO SH GAPI

  • @user-fx2gx6fo1e
    @user-fx2gx6fo1eАй бұрын

    Daaah tulikua wote pale TMA monduli

  • @yusuphkassimu227
    @yusuphkassimu2272 жыл бұрын

    Ni jambo la kawaida sana kwani urubani hata kijana wa kdato cha nne anasoma tatizo ni kwamba unapataje nafasi kama auna mtu kwenye mfumo .

  • @romanambelle6356

    @romanambelle6356

    2 жыл бұрын

    Mpe hongera mbona kama unalalamika kwa wivu

  • @magrethmollel1078

    @magrethmollel1078

    2 жыл бұрын

    Kama ni jambo la kawaida mabinti wooooote wangekuwa huko pamoja na wewe mpe mtoto wa mwenzio hongera na wakwako atafanikiwa

  • @yusuphkassimu227

    @yusuphkassimu227

    2 жыл бұрын

    @@magrethmollel1078 Hyo fani tatizo garama za malipo tu ni makubwa lakini akuna cha ajabu kwenye urubani jaribu kufatilia uone tatizo wandishi wa bongo wamechukulia kama kitu cha ajabu sana ndio nacho Pinga .

  • @jasonwatz7457

    @jasonwatz7457

    Ай бұрын

    ​@@yusuphkassimu227urubani una vitu vingi, masuala ya kusema hakuna cha ajab ni kelele za tembo, otherwise kila mtu nchi hii angekuwa rubani

  • @vintz338
    @vintz3382 жыл бұрын

    Huna connection undeshe ndege ya Nan? Endesha ungo wako msumbuane huko mtaani. Kunawatoto huku mtaani ni talented had unaumia ,hawana exposure tu,Ila fresh ...watu wa kawaida huku mtaani ndo wanaolewa

  • @benitoilulatvpilla144

    @benitoilulatvpilla144

    2 жыл бұрын

    Keel big

  • @jasonwatz7457

    @jasonwatz7457

    Ай бұрын

    Haina connection, kwa jeshi la wananchi kama una vigezo wanavyotaka wanakupeleka kozi wenyewe

  • @user-pt3io6ud2h
    @user-pt3io6ud2hАй бұрын

    Sasa siamna vita..

  • @Jr_gavana
    @Jr_gavana2 жыл бұрын

    Bongo bwana

  • @edgarnandonde48
    @edgarnandonde482 жыл бұрын

    wabongo bhana sasa huyu helkopta yule wa uganda anayesukuma ndege kubwa mbona awajisifii hivi dah😂😂😂😂😃😃😃😃

  • @Thomas-lm1dq

    @Thomas-lm1dq

    Ай бұрын

    Hivi unajua license ya ATPL na CPL au unaropoka tu. Huyo anaweza kurusha ndege kubw kabisa ya abiria. Fuatilia hizo kozi za leseni za urubani alizosema zina kuwezesha kurusha ndege gani. Siyo helicopter (hovercraft) pekee.

  • @mdosephayta8075
    @mdosephayta8075Ай бұрын

    😂😂😂ebwana eeeh atakayesema bongo bahati mbaya mpige makofi

  • @malitomalito

    @malitomalito

    24 күн бұрын

    Bongo sio Bahati mbaya viongozi ndio Bahati mbaya

  • @justinemico1871
    @justinemico18712 жыл бұрын

    Hii nchi bwana kama huna watu wewe wahi shamba lako tu huko kijijini. Watu hata salute tu hamna kitu .

  • @faridamohamed4677

    @faridamohamed4677

    2 жыл бұрын

    Hongera binti wa Rashid Ajali Akbaru .mmefanana sana baba Allah amrehem

  • @dodwiedwin3944

    @dodwiedwin3944

    2 жыл бұрын

    Kwa hiyo ulitaka akusaluti ww!

  • @muhammadjuma8457
    @muhammadjuma8457Ай бұрын

    Gost sio mtu icho ni kikosi maalum cha jeshi huku ukreni kinaitwa ivo na sio mtu

  • @mongosimon2065
    @mongosimon2065Ай бұрын

    Vp

  • @sebastianmwantuge5597
    @sebastianmwantuge55972 жыл бұрын

    Nani kamwona yule dada corporal,nimemfurahia anavyo'match'

  • @user-ui1qs9yl1n

    @user-ui1qs9yl1n

    Ай бұрын

    Nimemuona mzee na anabeba mzigo nyuma kinomanoma

  • @samlove6339
    @samlove63392 жыл бұрын

    Kabinti kazuri

Келесі