Rich Mavoko - Babilon (Official Video)
Музыка
Watch and Share New Rich Mavoko's Brand New Video "BABILON" Available Worlwide backl.ink/56574463
Directed by Lucca Swahili
Produced By AbyDad
Instagram richmavoko...
Twitter richmavoko?lang=en
Facebook web. richmavoko25...
Пікірлер: 1 400
rich mavoko naheshimu sana vile haujawahi niangusha toka zile enzi za ibaki story,team billionaire kid tujuaneni kwa kugonga likes hapa
@ashuramohd3053
4 жыл бұрын
🔥🔥
Bonge la song jomba la Akili. Harmonize ukitoka usirudi . Ukija na gari lifungie ndani Rich kashasema ukiwaonyesha vipesa vyako watakupoteza wale wababilon.
BAD MAN, BAD MAN THE BADDEST Ata sielewi kwann uliwah kwenda WASAFI Strong maintainer
Noma sana hii sio mchezo wasafii watakaaa 2 mwendo wa jongooo tafauti na treni hongera
Me siwezi Kuvumilia Ngumi👊🏿 Wakati na Panga ⚔ Mkononi.
Mavoko broh Nani kama wewe...fundi kweli .... Kazi yako hawawezi ... Hawawezi vumilia ngumi na panga....mkali wangu nakuheshimu...kazi nzuri
Daaa mavoko kwa mistari balaa full mafumbo welevu tumegundua mnyonyaji
Nakukubali jinsi unavyobadilika katika nyimbo,nyimbo nzuri 👏👏👏
From Kenya 🇰🇪 show your love kwa Rich 🔥🔥🔥
@mayormayor.7163
4 жыл бұрын
Hr we are @Lily
@fadhiliyango9749
4 жыл бұрын
Woda form southenwide tz
@flova7022
4 жыл бұрын
NlikuA chukuliaa poaa..kumbe ni bonge ngomaa
@brashmish8290
4 жыл бұрын
🇰🇪🇰🇪Mavoko... Messi wa bongo flava
Na mwanangu wewe wewe wewe Mavoko wewe wewe wewe hii ni kuuuuubwa all the way from 254.... 🙌🙌🙌🙌💥💥💥 Big up sana GOLDEN BOY
Richard mavoko huwa nakukubali saana brother kaka
Aminia sana Rich mavoko now unapeta tuu endelea kuwaumiza roho kina fulaniiii
Lots of love for mavoko.....nyimbo ya mavoko yote ingefaa kua hit song.... Ila tatizo ni moja. Mavoko hangefaa kutoa solo music hadi asimame vizuri,angefaa kushirikisha nyimbo yake wasanii wa level yake kama Ali kiba, jux, Harmonize na Vanessa mdee...... Baada ya kukita mzizi kabisa ndo aendelee with solo.... Naamini atapita even wizkid n davido
Honestly sikutegemea kusikia ngoma kali kutoka kwa mavoko hasa kipindi hiki Lakini goma kali kupita maelezo...Go bilioneaKid ✌🔥🔥🔥🔥🔥
Na wachumba weweh,,,,,, wewehh!!! weweh,,, wewehh!! weweh,,,, wewehh!!!!! Bonga moja la goma yaani lakinyama flani hivi amazing!!!
Siamini mimi ndo mwenye likes chache. Kwani nyimbo mbaya? mbona hamgongi likes?
@nickolausimmassy2854
4 жыл бұрын
Nyimbo Kali sana bro
@niyungekofranck3095
4 жыл бұрын
emmanuel edward kkk
We jamaa mziki ulikua unaujua long time sana najiuliza wcb ulifata nn naona kama ulipoteza mda tu
@diamondplatnumz5598
4 жыл бұрын
mziki sio kujua kupanga mashairi tu ila ni kupata connection ya mbele
@officialsanimo6288
4 жыл бұрын
Zclassic Hb Amini mwanangu jamaa kaenda kupoteza alivyoingia WCB
@diamondplatnumz5598
4 жыл бұрын
ukiingia wcb haitakiwi utoke kwa bifu ukitoka ndo imeisha hiyo
@mrmangetown4323
4 жыл бұрын
Acheni ujinga nyie, kujua mziki kila mtu anajua ila shida connection na promo ndiyo shida sasa. Mfano mzuri nyimbo kaitoa masaa 10 yaliyo pita kitaani haijafika ila enzi za WCB yeye mwenyewe anajua dk 30 tz yote imechafuka kila kona mjiunataradadi maniner. Tuache unazi WCB wanajua promo afrika mzima inatambua hiyo.
@erickzephania1030
4 жыл бұрын
Ni kweli uyu jamaa ana kipaki cha kuzaliwa
Mwanangu We Ukitoka Usirudi 🔥🔥 Proud Of You Messi #BillionaireKid 🏁🏁 Nimerudi Huku Kukujulisha Mwanangu Rich Nimekubali Kweli Wewe Ni Business Man 💯💯 Tupe Moja Yakufunga Mwaka Tufike 100k Subscribers Huu Mwaka
Kwetu huwezi vumilia ngumi na panga mkononi...na wanangu wewe wewe!..wayokwetu..hapo umesema mavoko bilionnaire kid...love from +254🌟🔥
Kama umeisoma hii comment nakuombea dua njema na Allah akujaalie kheri na mafanikio maishani... InshaAllah!
Brooooi mzikiiii unaujuaaaaaaa vizuriiiiii cnaaaaaaa nakuaminiaaaaaa cnaaaaa very talented cnaaaa uyuuuuuuu
Real talent. Li ujumbe la kukata na shoka... Imefika Broo #kwetu hatuwezi kuvumilia ngumi napanga mkononi
bonge la ngoma...Mwanagu hamonaiz ukitoka usirud weka sawa dish tuishi good
Kweli Broo nakueshimu sanaaa
Hizi ndo ngoma naweza weka kwa simu yangu sasa!
@augustinedavis8094
4 жыл бұрын
Aseee. Hili swala halipingiki.
Ambae ameirudia rudia kusikiliza hii ngoma gonga like twende saw
@mwalimuomari9981
4 жыл бұрын
Kizazi sana mm wanakukubali sana toka huja kuwa wasafi hatujui kaza baba ww umejitambua @Mwalimu. A.k.a Teacher ALONE ndani capetown
@dutchballaka3422
4 жыл бұрын
Nimeirudia kutoka chanika mpaka hom ILala
@kyataonline5262
4 жыл бұрын
iko poa, afu inavyoaanza nkafkiri Rema na Iron Man
@kiissrajabu964
4 жыл бұрын
😂😂dah umenigusa
@kyataonline5262
4 жыл бұрын
@@kiissrajabu964 umeona eenh
Safi sana,amekimbia babylon system yakina tale,fela na sallam ,wanyonyaji wa wasanii wale
trust me mavoko ww ni mkali sana....huhuhuhu...dah hit maker
Kali sana hii
Kazi mzuri mavoko acha wachonge wewe pinga kazi watakuelea tu
@rosemaiko9405
4 жыл бұрын
Watakubali tu wao c mungu,ww mtoto wa mungu
@rosemaiko9405
4 жыл бұрын
Kaza ww kipaji cha kuzaliwa ,tuko nyuma yako
@elodiasiylvester2584
4 жыл бұрын
Kaliii sana ipewe promo tuu
@kyataonline5262
4 жыл бұрын
sana!
kaz nzur knoma mavoko i hope zitakuja nyingi kama izo from now
Hii ngoma nmerudia kuanzia mornie mpaka mchana;;;;nakubali babilon nmekuelewa
umetisha mzee,,sema cjajua kitu gani kinakufanya uwe kimya ila acha tukuombee tu kazi unaijua kwelikweli
nakubaliiiii is your badaman rich mavokoooo billionea kid
🎉 mavoko ulifanya Safi Sana kujitowa wasafii wachafuu kwa ma boya chibu okitoka usirudi 🎉 goma babilon
Rich naongea kiroho swafiiii ujawai kukosea broo...u r alwayz guud
Wanaishi babilon system, Jifanye unanguvu upewe wazimu. much love mavoko from +254
Kumamake bonge la ngoma 🔥🔥
maaaaaavoooookooo nakubali mzazi
Goma la moto mzeee bless kwako
Wat good track!!!!happy coming back Voko wetu!!ila tunakumiss Bujumbura,Burundi
a weeeee acha utan ngoms kaleeee sema video ndo kauwa kabisaaa😌😌😌😌😍😍😍😍alo mwanangu ukitoka fanya usirud🤓🤓🤓🤓
from 254 respect big dog ati kw2 ha2wezi vumilia ngumi n panga mkononi piga lyk 2kiskia mistari mizito
Mwanangu we ukitoka usirudi, fanya kitu upate dishi tuishi good. #babilon
Kwetu hatuwezi kuvumulia ngumi, tukiwa na panga mkononi🔥🔥🔥🔥🔥👌👌👌. sitaki wanitoe kwanye mood ... hatariiiii sanaaa since will u marry me
Somebody shout mavokooooooo make 👇blue😜
@biancasumaya784
4 жыл бұрын
Nakupendaka sana
@danielmrombo
4 жыл бұрын
@@biancasumaya784 🙏🙏
Mm ata sina haja na like zenyu..from Dubai..babilon kid ni kitu safi. I rest my case 🤗
Billionea Kid... 💥💥💣 Bonge ya ngoma... Kali sana... Rich Hujawahi kuharibu
Wanaishi Babylon system.....usiforce kua Kingi utanyimwa hadi kula. WCB ni diamond tu......huwezi endelea kumliko. Harmonize uko baraka zetu
Nisiposikiliza hli goma Mara tatu kwa siku hyo siku yangu haiendi
Sana rich mavoko nakukubal xana mtu Wang zidi kutanua wenye roh za kwann waoñe haya,kama tupo pamoja na rich Tonga like
mwanangu we ukitoka usirudii hahaa fundi umeua sana humu
ukitoka usiru watakupa maseke kusudi tu wakutoe kwenye mood mliokubali huu mstar gonga like
Nani ametoka from studio session ya hii nyimbo.
Love u mavoko mwanangu ukitoka usirudi watupatanishe tuishi gud
Mungu akujalie uzidii kutu burudisha uko juu tuko nyuma yako
Kiukwer project nzuri xana yaan mavoko kaza mzee baba umeximama penyewe
Dont give up Rich,mungu ni wetu sote.inshallah
@rosemaiko9405
4 жыл бұрын
Mungu ndio kila kitu,usimtegemeee binadam atakulate down yy awe Juu siku zote
Ngoma ina mashaili Mazuri Hatariiii Ujembe Ushaa Mfikia kaka
Kweriiii!! Hii ngoma na nusu!! Mwambieee huyo akitoka ahakikishe asirudi!! Cool sana #Mavoko!!
Kwetu hatiwezi kuvumilia ngumi na panga mkononi🔥
Songa mbele baba waache waropoke mara umepotea mara.fyoko huyo ndo mavoko halafu team kiba tunamsapot mavokooooo ✌✌✌
Si lazima ushikwe ndo uamke inabidi ujiongeze safi richi
Mavoko nakubali dude languvo kaka nalirudia paka wasio kupenda wana kereka
swafiii kidbiillionear
Hii kali bro nipeni like zenu jamani love from swenden
@saeedmassoud256
4 жыл бұрын
Upew like kwn ww nd harmonize acha ukuma wweee
@relaxedsounds8894
4 жыл бұрын
Mig också bre
@nasibuabdul1055
4 жыл бұрын
Aina gan iyo????
@barakamarko2103
4 жыл бұрын
Ipo poaw .nic
@hybridmedia9052
4 жыл бұрын
Its Sweden! Not swenden
Kweli babilon bonge LA ngoma🎧🎵💪💪💪
Ukoseagi man Nakubar sana,,, B blessed...
Nimeurudia mara miaaa
badmaaan unajua sana🔥🔥🔥
Unajua mno mavoko kweli ww ni rich music full vitamin A
Billionea kid ni yule yule siku zote hujawahi kuniangusha 👌🔥🔥🔥
Ingoma kama viza ngumu bs ndo zilizo chafuwa passport 🔥🔥🔥🔥hot sana bro 🔥🔥❤❤❤🔥🔥🔥❤🔥🔥🔥🔥🔥🔥❤❤❤❤❤❤
🇧🇮🇱🇱🇮🇴🇳🇦🇮🇷🇪 🇰🇮🇩
Lucca swahili balaa sana sana moto a lot of ideas,,,
Huu mziki nimekuelewa Sana man Mavoko Babylon
#It's u again Billioner Kid Badman Mavoko Na Wanangu wew
Umeimba vizuri Kaka mkubwa #RichMavoko . Naomba collabo yako wewe na #Alikiba
@korshenomar7376
4 жыл бұрын
Asjali
Ukichinja chinja unachinja kweli Usije ukayumba...🔥🔥🔥🔥
Safari ndefu brother,siku hizi Music 🎶 biashara
Waambie Richie, wanaishi Babylon system na mtu akitoka asirudi... Big up bro...
Mavokoooooooo moto always on top Penda sana wewe
bonge la nyimbo mavoko, bonge la ujumbe
Mwanangu we ukitoka usirud, Fanya tu tupate dish tuishi good, (baasi) Watakupa maseke kusudi, Ili tu wakutoe kwenye mood..... GONGA LIKE 👍 KAMA UMEUELEWA MPANGO WA RICH NA HARMONIZE
@lucynduati9571
4 жыл бұрын
Harmonize akuje huku
@mtituboyncekak979
4 жыл бұрын
voko unaweza best lakini ulipoteza mda kwenda wasaf
@stevenmajoge4644
4 жыл бұрын
Daa ngoma kari sana
@rosemaiko9405
4 жыл бұрын
Kweli harmo
Harmonizer kama umemuelewaaa jamaa ukitoka wasafiii muish good na rich maseke pemben tafuta kazii usikazee ww
Nani alisema mavoko utapotea 📢📢📢
Sawa mavoko kichupa kikali... Mistar inaeleweka
Kalii naombeni namimi like
@bramoajibu5058
4 жыл бұрын
Tafuta kz hii sio kz
ukiachià ngoma na waooohh wanaaachiaa jmaaa wanaaasila na ww duuuhh #harmonize ujumbee umepataa ukitokaa usiludiiii tenaa #WCB
Oya ngoma kali sana mwanang
Big up sana Mavoko good song wewe ni fundi sana unaweza kuimba style hope utatimiza ndoto zako tu siku hazigandi komaa sasa wanaanza kukuelewa
Eti ametoka wcb ataokota makopo walio sema mavoko ataokota makopo mtajikuta mnaokota wenyewe wcb sio wenye wanapanga maisha ya watu na bado ataendelea zaidi ya hapo Mungu atazidi kumlinda big up sana bro💕💕💕🙏
@rosemaiko9405
4 жыл бұрын
Mtoto wa mungu kushuka ngumu,shetan ndio Mwisho wake huwabaya
Big up sana ngoma kal sana nimeipenda sana
This is a message to harmonize once out of WCB no backing/ujumbe huu ni wa harmonize akiamua kutoka na atoke tu WCB kwani kuna anaebisha,Rich ni wa
Mavoko mkariii sana nakukubal
Hahahahhahah atasina chakuongezea hii nyimbo inatosha kutuvimbisha vifua wapenda mzk mzr 🤝😎
Hehehe ujumbe umefika nami leo nipe like hapa mavoko 👌👌👌👌👌👌👌👌👌👌👌👌👌👌👌👌👌🔉🔉🔉🔉🔉🔉
Mavoco God bless you brother upo juu Sana ngoma Kari Iko Powa
Mungu akusimamie kazi zako zisonge mbele
mazingira natural kabisa... iko poa balaaaaaaaa..